Gazeti la majira limeandika kuwa chama cha mapinduzi nchini kimeanza harakati na mipango madhubuti ya kuanzisha benki.. Yake binafsi... My take hiyo benki ndo litakuwa fuko ma kapu la sadaka wanazotoa mafisadi,,? Au ndo hazina ya pesa za rada epa kagoda richmond dowans symbion? Wameamua kuwekeza huko..

Reply With Quote


Follow Us Here