Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nina wasiwasi Waziri Muhongo na Katibu wake, wanaweza kuumbuka!

    Report Post
    Page 3 of 3 FirstFirst 123
    Results 41 to 47 of 47
    1. #1
      Mtz-halisi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 28th November 2009
      Posts : 43
      Rep Power : 490
      Likes Received
      17
      Likes Given
      13

      Default Nina wasiwasi Waziri Muhongo na Katibu wake, wanaweza kuumbuka!

      Nimefuatilia sana hoja za wabunge na waziri na naibu wake juu ya TANESCO, ninaona siasa zaidi kuliko hali halisi, hapo ndipo naungana na Zitto kabwe. Sakata la Jairo lilipita bila kutajwa wabunge walio hongwa watanzania tukafurahi sana kwa sababu mtu mmoja kasimamishwa kazi kwa taratibu zilizokuwa zinafanywa na wizara zote huko nyuma.

      Waziri pamoja na katibu wake walifanya lobbying kwa wabunge wasimamie hoja za kijinga ili budget yao mbaya ipite, Kwa sababu tuna wabunge wajinga na wapenda sifa kila mmoja alisimamia wala rushwa, hapo ndipo prof alishinda; ukitaka kumshinda mjinga hapo ndipo panafaa; Mjinga yeyote anasimamia sehemu nyepesi iliaonekane ana uchungu.

      Kwa jicho langu la Mbali muheshimiwa Lowassa kawashinda wote washindani wake na kwa hili anasitahili kupewa uwaziri Mkuu walio mpokonya. Kwa sababu inaonekana ni hawa wabunge wala rushwa ndio walitunga ule uongo. Katika hili wengi wataingia hata ambao hatuzanii kama Mwakyembe, Makamba junior etc.

      Kibaya zaidi wanasema wabunge, hawasemi Fulani na Fulani mbona Kafulila alisema kipindi kile Zambi, na yule aliyekamatwa na Rushwa wamefanya abc, lakini leo hatuambiwi majina; Wabunge wa CCM ukiona wamesimama hivyo amini usiamini wamekomaa wakiamini Zitto kala hizo pesa, lakini kwa Siasa za Zitto naamini hawezi fanya ujinga kama huo.

      Siku si nyingi tutaanza mgao wa Umeme, ndipo uongo na Ukweli wa Waziri wetu tutaujua.

      Naomba niishie hapa
      for the evil man has no future; the lamp of the wicked will be put out.




    2. Miaka 50

    3. #41
      Henge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2009
      Posts : 5,440
      Rep Power : 1674
      Likes Received
      918
      Likes Given
      1673

      Default Re: Nina wasiwasi Waziri Muhongo na Katibu wake, wanaweza kuumbuka!

      Quote By waheed suday
      duh! Theory bado zinaongezeka tu
      umeona mkuu hakuna kabisa practical daaah!
      TUKIWAKAMATA MAFISADI NCHI ITAYUMBA by PINDA

    4. #42
      Ungana's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th July 2011
      Location : Tanzania
      Posts : 174
      Rep Power : 431
      Likes Received
      17
      Likes Given
      17

      Default Re: Nina wasiwasi Waziri Muhongo na Katibu wake, wanaweza kuumbuka!

      Muhongo...u are kidding me meeen!

    5. #43
      ngwenda ngulya's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Posts : 25
      Rep Power : 355
      Likes Received
      4
      Likes Given
      2

      Default Re: Nina wasiwasi Waziri Muhongo na Katibu wake, wanaweza kuumbuka!

      kazi kweli kweli

    6. #44
      Bukyanagandi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2009
      Location : DSM
      Posts : 1,950
      Rep Power : 921
      Likes Received
      709
      Likes Given
      1475

      Default Re: Nina wasiwasi Waziri Muhongo na Katibu wake, wanaweza kuumbuka!

      Quote By FJM
      Nakubaliana na wewe kwenye hizo points tatu. Makatabu wakuu wana nguvu sana kwenye utendaji wa wizara, kama mambo yanaharibika basi waziri/naibu waziri na katibu wake waondoke kimoja. Bila hivyo ni hakuna la maana litafanyika.

      Kwenye boards, hawa watu wamejiugeuza kuwa ndio CEO na suppliers kwenye mashirika wanayosimamia. Na sijui wanapatikana na vigezo gani, maana kuna mashirika mengi hao board members hawaelewi kabisa wanachosimamia. Mfumo ubadilishwe na watu waombe hizo nafasi.

      Wabunge kuwa board members hili kwa kweli ni kichekesho.
      Heshima yako mkuu, umesema na hapa nakunukuu "Kama mambo yanaharibika basi waziri/naibu waziri na katibu wake waondoke kimoja" well said, kusema ukweli JK alijitahidi sana kuwaondoa/kubadilisha Mawaziri walio husika na kashfa ila kuna kitu naona kateleza kidogo na hicho kinahusu kumbadilisha Waziri na kumpeleka Wizara nyingine alafu kampandisha cheo naibu wa Waziri na kuwa Waziri kamili lakini akaendelea kubaki Wizara hiyo hiyo na katibu wa wizara yupo tu, ingekuwa vizuri kama Waziri huyo angehamishiwa Wizara nyinginen kabisa!!

      Kuendelea kumbakiza kwenye wizara hiyo hiyo bila kumuhamishia wizara nyingine hakuna mabadiliko yoyote yanaweza kutokea kwenye Wizara hiyo. Si rahisi kuwajibisha wafanyakazi/makatibu/wakurugenzi wa Wizara ambao ulikuwa unafanya nao kazi kwa muda mrefu na wamemzoea, wanajuwa na yeye kama binadamu hawezi kukosa mapungufu yake.

      Kama Serikali inataka kujifunza kitu basi wachukulie mfano wa TANESCO, Waziri mpya mteule Prof na Katibu wake Mzalendo Maswi hawakulaza damu kushughulikia cancer ya Shirika hili la UMMA ambalo lilikuwa lime kubuhu katika ufujaji wa mali za UMMA - huu ni mfano hai wa kuonyesha kwamba kumbe kama mambo ayaendi vizuri kwenye wizara husika basi Waziri/katibu/wakurugenzi wanapaswa kuondolewa kwenye Wizara zenye matatizo.

    7. #45
      HASSAN SHEN's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 26th March 2009
      Posts : 216
      Rep Power : 560
      Likes Received
      23
      Likes Given
      6

      Default Re: Nina wasiwasi Waziri Muhongo na Katibu wake, wanaweza kuumbuka!

      Katibu kama mtendaji anapoboronga automatic waziri anakua ameboronga pia,safisha safisha inatakiwa iwang'oe wote.

    8. FemaTV & Radio

    9. #46
      Jobo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th May 2008
      Posts : 579
      Rep Power : 677
      Likes Received
      26
      Likes Given
      2

      Default Re: Nina wasiwasi Waziri Muhongo na Katibu wake, wanaweza kuumbuka!

      Mtz-halisi a prophet of doom???????
      Ab actu ad posse valet illatio (from what has happened we may infer what will happen)

    10. #47
      Nsiande's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th July 2009
      Location : dar es salaam
      Posts : 1,514
      Rep Power : 806
      Likes Received
      725
      Likes Given
      67

      Default Re: Nina wasiwasi Waziri Muhongo na Katibu wake, wanaweza kuumbuka!

      Mgao wa umeme hauepukiki , kunaweza kuwa na emergency loadshedding vilevile

    Page 3 of 3 FirstFirst 123

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...