Katika hali ya kustaabisha serikali kupitia kwa maafisa elimu wilaya wamesambaza form zinazowataka walimu wajaze kama wanaunga mkono mgomo au la.
Huku ni kujikanganya kwani chombo pekee kisheria chenye mamlaka ya kuwauliza wafanyakazi kama wanataka mgomo au la ni CHAMA CHA WAFANYAKAZI KILICHOSAJILIA NA CWT WANAKIDHI KATIKA HILO.
To my fellow teachers:
Tusikubali hata kidogo kupewa kitisho hiki ambacho naweza kuita cha kijinga na DHAIFU letu liwe moja TUSIENDA KAZINI JAPO HIZI SIKU TANO TUWAPE MUDA WA KUSHUGHULIKIA MADAI YETU LA SIVYO HAWA WATATUTAKA TULIPIE KODI HATA HII PUMZI YA BURE TUIVUTAYO
Source: AFISA ELIMU MZALENDO NA MWENYE MACHUNGU NA WALIMU KWA NAE NI MWALIMU ALIYEPANDA CHEO HIVI KARIBUNI

Reply With Quote
Follow Us Here