Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Madudu ya Mama Abdallah

    Report Post
    Page 4 of 5 FirstFirst ... 2345 LastLast
    Results 61 to 80 of 89
    1. #1
      Salimia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th February 2011
      Posts : 625
      Rep Power : 543
      Likes Received
      94
      Likes Given
      0

      Default Madudu ya Mama Abdallah

      Kwanza kabisa nalipongeza sana Bunge letu tukufu kwa kufichua maovu ya mama Anna Abdallah mlafi aliyepitiliza. Mmama huyu tangu aingie kwenye bodi ya korosho, sifa kuu aliyonayo ni kula zaidi kuliko hata Kitwana Kondo.

      Ana urafiki wa ajabu sana na huyu Bwana Mudhihiri uliopelekea Anna Abdallah kulipwa posho inayotushangaza hata sisi wafanyikazi .

      Ulaji huu umeanza mara baada tu ya serikali kuruhusu (CEL) yaani fedha za mapato ziingie kwenye bodi. Pesa hizi ni Billion 2 ambazo wanazila kwa kuwa na vikao vingi mno kupita kiasi. Hapa mchezo uliopo ni kwamba kila tani 1 ya korosho inayosafirishwa nje, 2% ya mapato hayo ndiyo huletwa kwenye bodi.

      Tangu aliyekuwa meneja wa cashew-nut Authority of Tanzania Mr. Mhagama afariki mama huyu Anna Abdallah sasa ana nguvu kama mtendaji.

      Ewe Rasi wetu mpendwa J.K Kikwete, chonde chonde, nusuru zao hili na fedha hizi za umma kwa kumteua rasmi mkurugenzi mpya na ikiwezekana huyu mama arudi Nanyumbu akafanye kampeni za UWT maana anakula kupita kiasi, yaani bila hata kunawa!!


      Kuona kupapasa.
      Last edited by Salimia; 28th July 2012 at 18:53.
      OTIS likes this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #61
      Salimia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th February 2011
      Posts : 625
      Rep Power : 543
      Likes Received
      94
      Likes Given
      0

      Default Re: Madudu ya Mama Abdallah

      Quote By NKADABWI
      dah,,yan nchi hii,hakuna kwenye unafuu hata kidogo?wameishi dunia yao wameimaliza na sasa wanaingilia dunia yetu na kuimaliza,wanataka vizazi vyetu sisi vije viishije??dah..
      tafakari...chukua hatua

    4. #62
      Koffie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2012
      Posts : 367
      Rep Power : 437
      Likes Received
      77
      Likes Given
      6

      Default Re: Madudu ya Mama Abdallah

      huyu mama Anna Abdallah achunguzwe kwa tuhuma hizi nzito.

    5. #63
      Mwanaweja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 3,450
      Rep Power : 1109
      Likes Received
      457
      Likes Given
      925

      Default Re: Madudu ya Mama Abdallah

      nchi hii ni uraji tu kila kitu utasikia maududu??????

    6. #64
      Bulesi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2008
      Posts : 3,327
      Rep Power : 1236
      Likes Received
      339
      Likes Given
      72

      Default Re: Madudu ya Mama Abdallah

      Quote By Salimia
      Mume wa kwanza? sidhani kama aliolewa na Kawawa. Ila kuna ukweli kwamba laiwagonganosha wazee wetu hawa wawili
      Ndio utamaduni wa wananwake wote wa chama cha magamba!!

    7. #65
      Abu-Musab's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th October 2011
      Posts : 110
      Rep Power : 404
      Likes Received
      19
      Likes Given
      2

      Default Re: Madudu ya Mama Abdallah

      Quote By Bulesi
      Ndio utamaduni wa wananwake wote wa chama cha magamba!!
      mkuu una uhakika na hili unalosema hapa?

    8. Miaka 50

    9. #66
      Mpaka Kieleweke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2007
      Posts : 2,665
      Rep Power : 1166
      Likes Received
      675
      Likes Given
      7

      Default Re: Madudu ya Mama Abdallah

      Mheshimiwa Spika, kwa kukazia hoja ya Kiongoziwa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, naomba nitoe mfano wa Bodi ya Korosho jinsi inavyowanyonya wakulima wa Korosho katikaMikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma kwa kujilipa posho nyingi na marupurupumengine huku wakiwaacha wakulima wa korosho wakiteseka na kuhangaika huku nahuko kama kondoo wasio na mchungaji bila kutatua matatizo yao.

      Mheshimiwa Spika, kwa kikao cha siku mojakilichofanyika tarehe 29/11/2011 wajumbe wa bodi hiyo walilipwa posho kamaifuatavyo:

      1. Mh. J. Bwanausi – Mjumbe wa Bodi: Huyu alilipwa jumla ya shilingi 1,550,000/=, ikiwa shilingi 750,000/=ni posho ya kawaida (Per diem) na shilingi 800,000 ni “working session” kamailivyoandikwa kwenye fomu ya malipo.

      2. Mh. Anna M. Abdallah – M/Kiti wa Bodi ya Wakurugenzi: Huyu alilipwa jumla yashilingi 1,800,000/= kwa mchanganuoufuatao: Posho ya kikao shilingi 500,000/=, Usafiri shilingi 300,000/= Posho yakawaida (Per diem) shilingi 900,000/= na Usafiri Dar es Salaam shilingi100,000/=

      3. Mh. Jerome Bwanausi – Mjumbe wa Bodi yaWakurugenzi: Huyu alilipwa kwa mara nyingine tena kwenye kikaohicho hicho jumla ya shilingi 1,550,000/=ikiwa posho ya kikao ni shilingi 400,000/=, Usafiri wa Ndege shilingi300,000/=, Posho ya kawaida(Per diem) shilingi 750,000/= na Usafiri Dar esSalaam shilingi 100,000/=
      4. Mh. Mudhihir M. Mudhihir – Mjumbe wa Bodi yaWakurugenzi: Huyu alilipwa jumla ya shilingi 1,550,000/= ikiwa posho yakikao ni sh. 400,000/=, Usafiri wa Ndege sh. 300,000/= Posho ya Kawaida(Perdiem) sh. 750,000/=, Usafiri Dar es Salaam sh. 100,000/=
      5. Mrs. Mudhihir M. Mudhihir – Mke wa Mh. MudhihirM. Mudhihir: Huyu alilipwa jumla ya shilingi 875,000/= kwa mchanganuo ufuatao: Posho ya kikao sh. 200,000/=,Usafiri sh. 300,000/= Posho ya kawaida (Per diem) sh. 375,00/=
      Mheshimiwa Spika, Jumla ya fedha zotezilizolipwa katika kikao hiki cha wakurugenzi wa Bodi ya Korosho cha tarehe29/11/2011 ni shilingi 7,325,000/= Mheshimiwa Spika, Licha ya matumizi ya fedhahizi kuwa hayana tija kwa kuwa matatizoya wakulima wa korosho hayajapatiwaufumbuzihadi sasa, utaratibu walioutumia wajumbe hawa kujipatia fedha hizi una daliliza kifisadi ndani yake. Hii ni kwa sababu mke wa Mh. Mudhihir M.Mudhihir ambayesi mjumbe wa kikao aliingia kwenye kikao na kulipwa posho. Utaratibu uliotumikakumlipa mke wa Mudhihir haueleweki na hata viwango vilivyotumika kukokotoamalipo yake pia havifahamiki.Mheshimiwa Spika, dalili ya ufisadi mwinginekatika bodi hii, ni kwa Mjumbe wa bodi Mh. Jerome Bwanausi kulipwa posho hiyomara mbili. Katika fomu za malipo kwa Mh. Bwanausi, fomu moja ameandika jinalake kwa kifupi yaani J. Bwanausi na tarehe ya kuchukua fedha ameandika nitarehe 28/11/2011 wakati katika fomu ya pili ya malipo ameandika jina kamiliyaani Jerome Bwanausi na tarehe ya kuchukua fedha kaandika 29/11/2011.Mheshimiwa Spika, mazingira kama hayo, yanaibua hisia kuwa Mh.Bwanausi alijipatia fedha hizo kwa njia ya udanganyifu na hivyo kuwaaminishawatu kuwa alitumia nafasi yake kama mjumbe wa bodi ya korosho kufisidi fedha za wakulima wanyonge wakorosho.

    10. #67
      Salimia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th February 2011
      Posts : 625
      Rep Power : 543
      Likes Received
      94
      Likes Given
      0

      Default Re: Madudu ya Mama Abdallah

      Quote By Mpaka Kieleweke
      Mheshimiwa Spika, kwa kukazia hoja ya Kiongoziwa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, naomba nitoe mfano wa Bodi ya Korosho jinsi inavyowanyonya wakulima wa Korosho katikaMikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma kwa kujilipa posho nyingi na marupurupumengine huku wakiwaacha wakulima wa korosho wakiteseka na kuhangaika huku nahuko kama kondoo wasio na mchungaji bila kutatua matatizo yao.

      Mheshimiwa Spika, kwa kikao cha siku mojakilichofanyika tarehe 29/11/2011 wajumbe wa bodi hiyo walilipwa posho kamaifuatavyo:

      1. Mh. J. Bwanausi – Mjumbe wa Bodi: Huyu alilipwa jumla ya shilingi 1,550,000/=, ikiwa shilingi 750,000/=ni posho ya kawaida (Per diem) na shilingi 800,000 ni “working session” kamailivyoandikwa kwenye fomu ya malipo.

      2. Mh. Anna M. Abdallah – M/Kiti wa Bodi ya Wakurugenzi: Huyu alilipwa jumla yashilingi 1,800,000/= kwa mchanganuoufuatao: Posho ya kikao shilingi 500,000/=, Usafiri shilingi 300,000/= Posho yakawaida (Per diem) shilingi 900,000/= na Usafiri Dar es Salaam shilingi100,000/=

      3. Mh. Jerome Bwanausi – Mjumbe wa Bodi yaWakurugenzi: Huyu alilipwa kwa mara nyingine tena kwenye kikaohicho hicho jumla ya shilingi 1,550,000/=ikiwa posho ya kikao ni shilingi 400,000/=, Usafiri wa Ndege shilingi300,000/=, Posho ya kawaida(Per diem) shilingi 750,000/= na Usafiri Dar esSalaam shilingi 100,000/=
      4. Mh. Mudhihir M. Mudhihir – Mjumbe wa Bodi yaWakurugenzi: Huyu alilipwa jumla ya shilingi 1,550,000/= ikiwa posho yakikao ni sh. 400,000/=, Usafiri wa Ndege sh. 300,000/= Posho ya Kawaida(Perdiem) sh. 750,000/=, Usafiri Dar es Salaam sh. 100,000/=
      5. Mrs. Mudhihir M. Mudhihir – Mke wa Mh. MudhihirM. Mudhihir: Huyu alilipwa jumla ya shilingi 875,000/= kwa mchanganuo ufuatao: Posho ya kikao sh. 200,000/=,Usafiri sh. 300,000/= Posho ya kawaida (Per diem) sh. 375,00/=
      Mheshimiwa Spika, Jumla ya fedha zotezilizolipwa katika kikao hiki cha wakurugenzi wa Bodi ya Korosho cha tarehe29/11/2011 ni shilingi 7,325,000/= Mheshimiwa Spika, Licha ya matumizi ya fedhahizi kuwa hayana tija kwa kuwa matatizoya wakulima wa korosho hayajapatiwaufumbuzihadi sasa, utaratibu walioutumia wajumbe hawa kujipatia fedha hizi una daliliza kifisadi ndani yake. Hii ni kwa sababu mke wa Mh. Mudhihir M.Mudhihir ambayesi mjumbe wa kikao aliingia kwenye kikao na kulipwa posho. Utaratibu uliotumikakumlipa mke wa Mudhihir haueleweki na hata viwango vilivyotumika kukokotoamalipo yake pia havifahamiki.Mheshimiwa Spika, dalili ya ufisadi mwinginekatika bodi hii, ni kwa Mjumbe wa bodi Mh. Jerome Bwanausi kulipwa posho hiyomara mbili. Katika fomu za malipo kwa Mh. Bwanausi, fomu moja ameandika jinalake kwa kifupi yaani J. Bwanausi na tarehe ya kuchukua fedha ameandika nitarehe 28/11/2011 wakati katika fomu ya pili ya malipo ameandika jina kamiliyaani Jerome Bwanausi na tarehe ya kuchukua fedha kaandika 29/11/2011.Mheshimiwa Spika, mazingira kama hayo, yanaibua hisia kuwa Mh.Bwanausi alijipatia fedha hizo kwa njia ya udanganyifu na hivyo kuwaaminishawatu kuwa alitumia nafasi yake kama mjumbe wa bodi ya korosho kufisidi fedha za wakulima wanyonge wakorosho.
      Kichefuchefu sana mambo kama haya. Huyu mke wa Mudhihir kwanini jamani analipwa lakini?? wanachuna hadi ngozi watu walafi hawa. Na huyu Anna Abdallah aondolewe kwenye bodi hii kunusuru mamlaka ya korosho na wavuja jasho wa kusini.

    11. #68
      Tiote's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th March 2011
      Posts : 128
      Rep Power : 441
      Likes Received
      26
      Likes Given
      1

      Default Re: Madudu ya Mama Abdallah

      Quote By Salimia
      Kichefuchefu sana mambo kama haya. Huyu mke wa Mudhihir kwanini jamani analipwa lakini?? wanachuna hadi ngozi watu walafi hawa. Na huyu Anna Abdallah aondolewe kwenye bodi hii kunusuru mamlaka ya korosho na wavuja jasho wa kusini.
      Hii ni kali ya mwaka na nafikiri nchi hii imelaaniwa! Leo Mudhihir anapewa preferential treatment kwa sababu ya ulemavu wake wakati kuna watu wengi wenye hali kama yake na hawatendewi hivyo? Hivi mke wa Erio wa PPF au mke wa Kaaya wa AICC nao wanapewa huduma hii. Hakuna jina lingine la kuita kitendo hiki zaidi ya kwamba huu ni wizi na uitwe hivyo bila kupepesa macho!

      Ikumbukwe Mudhihir alipata ajali 2008 na aliendelea kutumikia bunge mpaka 2010. Kwa nini bunge halikuwa likimlipa kiasi hicho mke wake katika wakati wa utumishi wake? Maskini nchi yangu Tanzania.

    12. #69
      Chebacheba's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th December 2011
      Posts : 111
      Rep Power : 397
      Likes Received
      11
      Likes Given
      0

      Default Re: Madudu ya Mama Abdallah

      Quote By Salimia
      Kichefuchefu sana mambo kama haya. Huyu mke wa Mudhihir kwanini jamani analipwa lakini?? wanachuna hadi ngozi watu walafi hawa. Na huyu Anna Abdallah aondolewe kwenye bodi hii kunusuru mamlaka ya korosho na wavuja jasho wa kusini.
      tell me about it!!

    13. #70
      Koffie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2012
      Posts : 367
      Rep Power : 437
      Likes Received
      77
      Likes Given
      6

      Default Re: Madudu ya Mama Abdallah

      Quote By Chebacheba
      tell me about it!!
      Huyu mama na washirika wake wanaofilisi hii bodi wanastahili kunyongwa

    14. #71
      MENDE JEURI's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th April 2011
      Posts : 173
      Rep Power : 445
      Likes Received
      19
      Likes Given
      0

      Default Re: Madudu ya Mama Abdallah

      Quote By Koffie
      Huyu mama na washirika wake wanaofilisi hii bodi wanastahili kunyongwa
      kama kuna mbunge yeyote humu ndani anayekerwa na jambo hili,, hebu aliibue bungeni tupate ufafanuzi kwanini ufisadi huu ndani ya bodi ya korosho unafumbiwa macho. Pia kwanini mke wa Mudhihir alipwe posho kwenye bodi hii? Mnyika? Jembe letu uko wapi?

    15. #72
      MzalendoHalisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2007
      Posts : 3,942
      Rep Power : 1397
      Likes Received
      72
      Likes Given
      120

      Default Re: Madudu ya Mama Abdallah

      Huyu mama hutaamini watoto wake emezaa na wanaume wanne tofauti tofauti!!!!!
      Uadilifu Kiwe Kigezo Muhimu Zaidi Kuwa Kiongozi Tanzania Kwa Sasa!

    16. #73
      MENDE JEURI's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th April 2011
      Posts : 173
      Rep Power : 445
      Likes Received
      19
      Likes Given
      0

      Default Re: Madudu ya Mama Abdallah

      Quote By MzalendoHalisi
      Huyu mama hutaamini watoto wake emezaa na wanaume wanne tofauti tofauti!!!!!
      Ana watoto wangapi huyu mama? Ulafi huu kumbe uko kila mahali!!!

    17. #74
      Koffie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2012
      Posts : 367
      Rep Power : 437
      Likes Received
      77
      Likes Given
      6

      Default Re: Madudu ya Mama Abdallah

      Quote By MENDE JEURI
      Ana watoto wangapi huyu mama? Ulafi huu kumbe uko kila mahali!!!
      Watoto Kumi (10) tu mzazi

    18. #75
      Koffie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2012
      Posts : 367
      Rep Power : 437
      Likes Received
      77
      Likes Given
      6

      Default Re: Madudu ya Mama Abdallah

      Peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee's... .............................. POWER!!

    19. #76
      Borat69's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th June 2012
      Location : Global Citizen
      Posts : 698
      Rep Power : 488
      Likes Received
      279
      Likes Given
      77

      Default Re: Madudu ya Mama Abdallah

      Quote By juu kwa juu
      Anna abdala Ndio chanzo cha migogoro ya korosho kule kusini. Mimi namfahamu vizuri. Kwa hiari hake ajiuzulu kabla hajaumbuka humu jf. Nampa Siku 7 tu.
      Mkuu nilikuwa nakukumbushia tu kwamba siku 7 ulizompa huyu Mama zimepita. Au unamuongezea dozi nyingine ya siku 7? Ili zitimie 7 kutwa mara 3?
      "Our Lives begin to End the Day We Become Silent About Things that Matter"-Dr Martin Luther King Jr.

    20. #77
      Kidzude's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th July 2011
      Posts : 965
      Rep Power : 590
      Likes Received
      115
      Likes Given
      19

      Default Re: Madudu ya Mama Abdallah

      Quote By borat69
      mkuu nilikuwa nakukumbushia tu kwamba siku 7 ulizompa huyu mama zimepita. Au unamuongezea dozi nyingine ya siku 7? Ili zitimie 7 kutwa mara 3?
      aluta continua ulaji unaendelea

    21. #78
      Koffie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2012
      Posts : 367
      Rep Power : 437
      Likes Received
      77
      Likes Given
      6

      Default Re: Madudu ya Mama Abdallah

      Quote By Kidzude
      aluta continua ulaji unaendelea
      mkuu wacha kunitoa udhu!1

    22. #79
      Bob G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : UK Manyasi
      Posts : 1,651
      Rep Power : 715
      Likes Received
      289
      Likes Given
      36

      Default Re: Madudu ya Mama Abdallah

      Ndo tafsiri ya ccm hio, chukua chako mapema, Dawa yake ni kuipiga chini ccm, tutaheshimiana na heshima itarudi

    23. #80
      MENDE JEURI's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th April 2011
      Posts : 173
      Rep Power : 445
      Likes Received
      19
      Likes Given
      0

      Default Re: Madudu ya Mama Abdallah

      Quote By Bob G
      Ndo tafsiri ya ccm hio, chukua chako mapema, Dawa yake ni kuipiga chini ccm, tutaheshimiana na heshima itarudi
      siamini kama ni ccm wote wana hizo mambo

    Page 4 of 5 FirstFirst ... 2345 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...