Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Rushwa Bungeni: Kamati ya bunge ya Nishati na Madini yavunjwa...!

    Report Post
    Page 12 of 12 FirstFirst ... 2101112
    Results 221 to 228 of 228
    1. #1
      Scofied's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Location : A-City
      Posts : 1,280
      Rep Power : 607
      Likes Received
      332
      Likes Given
      58

      Default Rushwa Bungeni: Kamati ya bunge ya Nishati na Madini yavunjwa...!

      Spika wa bunge ameivunja rasmi kamati ya Bunge ya Nishati na Madini leo akihitimisha kupitishwa kwa bugdet ya Wizara hiyo....

      Quote By AL sadat
      Mwenyekiti wa hii kamati ni Seleman Zedi, miongoni mwa wajumbe wa hii kamati ni Sara Msafiri (mbunge Viti maalum UVCCM) Munde Tambwe (viti maalum CCM), Chirstopher ole Sendeka, John Mnyika (CDM). Hii kamati ilikuwa inaongozwa na Naibu waziri wa sayansi na Technolojia Januari Makamba kabla ya reshufle ndogo iliyofanywa na JK Mwanzoni mwa mwezi June

      Selemani Zeddy atawajibika kisiasa kwa sababu yeye ndie Mwenyekiti wa hii kamati, Wanaodaiwa kuivuruga TANESCO ni Zitto Kabwe na January Makamba, wakishirikiana na Munde Tambwe na Sara Msafiri. Sina nia ya Kumsafisha Zeddy but jamaa ni Clean, namfahamu since akiwa ZAIN. Haya madudu aliyoyasema Prof. Mulongo yalifanyika January Makamba akiwa ni Mwenyekiti.

      Munde ni fisadi mkubwa aliwahi kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumi na Manispaa ya Tabora kwa ubadhirifu wa Shs 987,214,000/= akiwa ni karani idara ya uhasibu manispaa ya Tabora.

      Nashauri ni vizuri kamati ya uongozi ya bunge uwe unawafanyia wajumbe wa kamati vetting kabla ya uteuzi
      Quote By Lua
      Kamati ya Nishati na Madini iliyovunjwa ilikuwa inaundwa na:

      1. January Makamba (kwa sasa ni Selemani Zedi) - M/kiti
      2. Diana Chilolo- Makamu Mwenyekiti
      3. Khalfani Aesh (kwa sasa kavuliwa ubunge na mahakama).
      4. Prof. Kulikoyega Kahigi
      5. Yusufu Haji Khamisi
      6. Mariam Kisangi
      7. Catherine Magige
      8. Amos Makalla (kwa sasa ni Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo)
      9. Dkt. Anthony Mbassa
      10. Abia Nyabakari
      11. Charles Mwijage
      12. Yusufu Nassir
      13. Ole Sendeka
      14. Mussa Silima (marehemu)
      15. Dkt. Festus Limbu
      16. Shafin Sumar
      17. Lucy Mayenga
      18. Josephine Chagulla
      19. Mwanamrisho Abama
      20. David Silinde
      21. Suleiman Masoud
      22. Selemani Zedi (kwa sasa ni m/kiti)
      23. Kisyeri Werema Chambiri
      24. Munde Abdallah
      25. Sara Msafiri
      26. Vicky Kamata
      27. Ali Mbaruk Salim
      28. Pamela Pallangyo - Katibu wa Kamati

      hii ndio kamati ya nishati na madini.
      kitonzegu likes this.

    2. Miaka 50

    3. #221
      Kyaiyembe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st December 2011
      Location : Kisukuru
      Posts : 1,140
      Rep Power : 606
      Likes Received
      345
      Likes Given
      303

      Default Re: Rushwa Bungeni: Kamati ya bunge ya Nishati na Madini yavunjwa...!

      Quote By gfsonwin
      cartura for god sake nitake radhi. Hivi nitakitoa kwa watu wangapi, mara ngapi ili nipate nini?
      Basi ni heri nikitoe bure tu kwa yeyote yule ninayejiskia kuliko kukitoa kwa gharama ya uongozi, ama cheo ama pesa. Hivi my my professional excellency and competency can not sell me???
      Kweli Mkuu gfsonwin
      manake ukitoe kwa Walimu O'& A-Level, kwa ma lecturers na baadae kwa mwajiri na viongozi kitalegea 'nut' zake.

      Ukichukulia kuwa watumiaji wengine wanakuwa na ile "nitakipata lini tena"

      Kisiwe kigezo cha mafanikio!. Sifa na Jhudi za mtu ndiyo viwe vigezo!, mh...! lakini kwa viongozi wetu nina wasiwasi.

    4. ram
      #222
      ram's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Posts : 1,925
      Rep Power : 1112
      Likes Received
      709
      Likes Given
      364

      Default Re: Rushwa Bungeni: Kamati ya bunge ya Nishati na Madini yavunjwa...!

      Mh. Diana Chilolo nae kala rushwa?

    5. #223
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,533
      Rep Power : 1263
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      28

      Default Re: Rushwa Bungeni: Kamati ya bunge ya Nishati na Madini yavunjwa...!

      Quote By GSL
      Mkuu soma posts zilizotangulia. ZZK sio mwenyekiti wala mjumbe wa kamati ya nishati. Ya kwake ni POAC (mashirika ya umma), ambayo kikanuni ni oversight, na lazima mwenyekiti wake atoke opposition
      kwani tanesco sio shirika la umma?? au ni shirika la nini...i thought pia lilikua chini ya uangalizi wake ndo maana wakawa wanamhisi na yeye yuko involved...anyways!!
      Every saint has a past, every sinner has a future' ...Oscar Wilde

      One man's good fortune is another man's misfortune


    6. #224
      Mfamaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2007
      Posts : 2,884
      Rep Power : 1161
      Likes Received
      286
      Likes Given
      158

      Default Re: Rushwa Bungeni: Kamati ya bunge ya Nishati na Madini yavunjwa...!

      Quote By K.Msese
      Nyepesi Zuberi Kabwe, kwa hali hii, gombea urais sasa.........!
      Hivi hayupo kwenye kamati hii. Duh I am out of date kabisa. May be alikuwepo kitambo
      ''The most pathetic person in the world is someone who has sight, but has no vision''

    7. #225
      Pelekaroho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th September 2010
      Location : Bugula
      Posts : 437
      Rep Power : 528
      Likes Received
      63
      Likes Given
      22

      Default

      Quote By Penguine
      Ile ya mrema vipi jamani
      Ile ya Mrema haiwez kuvunjwa kwa sabab hoja ya kuivunja imetoka kwa mbunge binafsi(Kafulila)

    8. RukaaJuu Final

    9. #226
      mchukiaufisadi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Posts : 284
      Rep Power : 481
      Likes Received
      85
      Likes Given
      94

      Default Re: Rushwa Bungeni: Kamati ya bunge ya Nishati na Madini yavunjwa...!

      Quote By mtotowamjini
      kwani tanesco sio shirika la umma?? au ni shirika la nini...i thought pia lilikua chini ya uangalizi wake ndo maana wakawa wanamhisi na yeye yuko involved...anyways!!
      Hesabu za Tanesco hukaguliwa na Kamati ya Zitto. Suala la misumari na mbao za kichina toka kwa Chief mkwawa zinatakiwa zihojiwe na kamati ya Zitto. Zito hachomoi hapa, ameliibia taifa vya kutosha. Huwa anatumia tactic ya kuwa MBOGO ili aonwe kwa uharaka. Zinaanza kumtokea puani sasa. Lazima azitapike

    10. #227
      Kamisaa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 18th June 2011
      Posts : 58
      Rep Power : 412
      Likes Received
      13
      Likes Given
      34

      Default Re: Baada ya bunge kuvunja kamati ya nishati na madini, january makamba ajiuzulu

      Quote By WATANABE
      January Makamba anahusika kwa kuwa yeye ndio aliasisi utaratibu wa kuiingilia Wizara ya Madini na Nishati iliyokuwa chini ya Mhe Wiliama Ngeleja pamoja na menejimenti ya Tanesco na madudu haya yamefanyika wakati wa kipindi chake. Ikizingatiwa kuwa Mhando ni homeboy wa Makamba ililazimika Zitto ambaye ni rafiki yake January Makamba kimaslahi kubebeshwa zigo la kumtetea Mhando blindly. kama kweli Bunge limataka kujisafisha ni lazima uchunguzi huo umhusishe Janaury Makamba. Inafahamika kuwa wote wawili walikuwa katika mradi wa kutafuta fedha kwa ajili ya harakati za kugombea urais katika vyama vyao
      Wewe WATANABE lazima umetumwa, naona unajaribu sana kumuunganisha January Makamba kwenye hii issue lakini hautafanikiwa.

      Wengine someni maelezo haya:
      ---------------------------------------------------------------------------------------

      Kwa upande wake, Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba ambaye awali alikuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, alisema ni sahihi kamati hiyo kuvunjwa, kwa sababu imekithiri vitendo vya rushwa.

      “Wakati mimi nikiwa Mwenyekiti wa Kamati ya Nishati na Madini, vilikuwapo vitendo vya rushwa, si kwa wajumbe wote ila baadhi yao walikuwa vinara, kutokana na hali hiyo nilivipigia kelele na nimepata shida sana kupambana navyo,” alisema na kuongeza:

      “Tuliweka msimamo ndani ya Kamati kwamba vitendo hivyo havikubaliki hata kidogo na ilifikia hatua nilienda kuwashitaki kwa Spika, Anne Makinda, kuhusu tabia ya baadhi ya wajumbe kupokea rushwa na alikubaliana na mimi kisha naye alikemea vitendo hivyo.

      “Kusema ukweli tulifanikiwa kuvidhibiti kutokana na msimamo wa pamoja tuliokuwa nao. Baadhi ya wajumbe wa kamati wakalalamika kwanini nimeenda kusema kwa Spika, unajua ni wabunge wachache ndiyo wanaoharibu sifa ya wabunge wengine.

      “Kwa hiyo, wananchi wasidhani wajumbe wote wa Kamati ya Nishati na Madini ni wala rushwa, hapana, wanaofanya vitendo hivyo ni wachache kama nilivyosema hapo mwanzo.

      “Mimi nataka uchunguzi huo ufanywe haraka na wote wanaohusika wajulikane.”

      Katika hatua nyingine, alisema wakati akiwa Mwenyekiti wa Kamati hiyo, kuna baadhi ya watu walikwenda kwa baba yake, Yusuph Makamba kwa ajili ya kumshawishi alegeze msimamo wake.

      “Unajua Kamati hii ina ‘deal’ na mambo makubwa na yenye maslahi ya watu, kwa hiyo usipokuwa makini kama kiongozi wa kamati au mjumbe wa kamati, watu wengi watakufuata na kukushawishi kwa fedha,” alisema na kuongeza:

      “Mimi nilikuwa na msimamo wangu na ndio maana hata watu wengine wakawa wanaogopa kuanza kunifuata na kunieleza wanayotaka niyafanye.

      “Nakumbuka siku moja, kabla ya kwenda katika mdahalo wa Star Tv kuna watu walimfuata mzee Makamba na kutaka anishawishi nisizungumzie mradi mmoja wa umeme ambao ulikuwa na walakini.

      “Lakini Mzee Makamba akawajibu kwamba mimi sikai kwake na nimehama tangu nikiwa na umri wa miaka 18, kwa hiyo hana namna yoyote ya kufanya. Kwa hiyo mtu unatakiwa uwe na msimamo na ifikie hatua wakuogope.”


      Source: Spika Makinda ang

    11. #228
      THE BIG SHOW's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2012
      Location : tabata-dsm
      Posts : 5,024
      Rep Power : 7104
      Likes Received
      1732
      Likes Given
      1667

      Default

      Quote By measkron
      Walijidai kupinga posho kumbe wanachukua rushwa! Safi sana mambo hadharani sasa, movie ndo imeanza.... Where is my popcorn bag!!!
      zitto niambie Range Rover Vogue huku tabata uliipata wapi??kumbe umeipatia huku eeeh
      mkuu usininyime na mimi hizo popcon,,hahaha

    Page 12 of 12 FirstFirst ... 2101112

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...