Mbunge wa zamani wa Arusha mjini, Mhe. Godbless Jonathan Lema, siku ya Jumapili ya tarehe 29.07.2012 ataingia kwa kishindo jimboni kwa Aggrey Mwanry, huko Sanya akitumia Chopa ya Chadema, maarufu kama Movement For Change (M4C).
Haya wakazi wa huko, jiandaeni siku ya jumapili.
SOURCE: Godbless Lema

Reply With Quote


Follow Us Here