Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ikulu yawajibu walimu, yasema mgomo ni Batili, kesi iko mahakamani

    Report Post
    Page 5 of 6 FirstFirst ... 3456 LastLast
    Results 81 to 100 of 118
    1. #1
      dosama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th December 2010
      Posts : 736
      Rep Power : 577
      Likes Received
      296
      Likes Given
      1

      Default Ikulu yawajibu walimu, yasema mgomo ni Batili, kesi iko mahakamani

      ITV habari

      Kama kawaida Ikulu ya Jk imetoa taarifa kwa vyombo vya habari kuwa mgomo wa walimu unatarajiwa kuanza ni batili na hautakiwi kuwepo kwani haujafuata taratibu na kesi yake iko mahakamani.


    2. #81
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Planet Nibiru
      Posts : 11,577
      Rep Power : 42530
      Likes Received
      5091
      Likes Given
      4370

      Default

      Quote By FJM View Post
      Kwanini Ikulu imejibu haraka lakini wakakaa kimyaa kwenye mgomo wa madaktari? Na iwejue Ikulu ndio itoe tamko na sio wizara ya Elimu? Dr Shukuru Kawambwa yuko wapi?
      Nchi hii huijui mkuu!!,ikulu ndo kila kitu, hadi kuzindua gereji ya kampuni binafsi,hii ndo maana ya serikali SIKIVU!

    3. #82
      Sometimes's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th December 2010
      Posts : 1,403
      Rep Power : 771
      Likes Received
      238
      Likes Given
      39

      Default Re: Ikulu yawajibu walimu, yasema mgomo ni Batili, kesi iko mahakamani

      Kama suala liko mahakamani, kwa nini lisitoe tamko la kuharamisha mgomo badala ya kumwachia mlalamikiwa kutoa TAMKO!

    4. #83
      andrewk's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th April 2010
      Posts : 2,291
      Rep Power : 925
      Likes Received
      289
      Likes Given
      65

      Default Re: Ikulu yawajibu walimu, yasema mgomo ni Batili, kesi iko mahakamani

      Ngoja wanajeshi nao wanataka kugoma, maana wao hakuna anayestafuu na miaka 55, SSRA mpo?

    5. #84
      MASIKITIKO's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th December 2011
      Posts : 205
      Rep Power : 482
      Likes Received
      28
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By MAMA POROJO View Post
      atakayegoma kufukuzwa
      umekalia nini

    6. #85
      KOMBAJR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Posts : 3,997
      Rep Power : 5982
      Likes Received
      821
      Likes Given
      233

      Default

      Quote By dosama View Post
      ITV habari

      Kama kawaida Ikulu ya Jk imetoa taarifa kwa vyombo vya habari kuwa mgomo wa walimu unatarajiwa kuanza ni batili na hautakiwi kuwepo kwani haujafuata taratibu na kesi yake iko mahakamani.
      Hivi kesi ya Walimu na Serikali si ilikuwa CMA?


    7. #86
      malema 1989's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2012
      Posts : 806
      Rep Power : 745
      Likes Received
      147
      Likes Given
      118

      Default Re: Ikulu yawajibu walimu, yasema mgomo ni Batili, kesi iko mahakamani

      Quote By PakaJimmy View Post
      Kwa niwajuavyo walimu mkwara huo ni tosha kabisa kuwawafanya wa'retreat. Hiyo kesi mahakamani inachukua muda gani? Naona sasa mahakama imekuwa kichaka cha serikalli na Bunge kukwepa hoja za msingi za madai ya raia wake.
      MATICHA ni muhimu sana kuliko hata hao madokta lakini tatizo lao umoja ni SIFURI!

    8. #87
      malema 1989's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2012
      Posts : 806
      Rep Power : 745
      Likes Received
      147
      Likes Given
      118

      Default Re: Ikulu yawajibu walimu, yasema mgomo ni Batili, kesi iko mahakamani

      Quote By negembo View Post
      umelewa gongo au umevuta bange ww..! Mie nina wadogo zangu 3 ni walimu wenye masters na mmoja ana phd. Vyeti vyao kama havitambuliwi basi ni ww na sirikali yako! Koma kuwadhalilisha walimu hivyo.
      vipi mkuu! Mbona umeruka shahada ya kwanza angali wanahitajika sana kwa general kagame?

    9. #88
      great 2012's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th June 2012
      Posts : 23
      Rep Power : 356
      Likes Received
      8
      Likes Given
      2

      Default Re: Ikulu yawajibu walimu, yasema mgomo ni Batili, kesi iko mahakamani

      Mahakama si ndio sehemu yao ya kukimbilia, kweli jk dhaifu na ccm ni uozo mtupu badala ya kushughulikia madai ya walimu wanakimbilia mahakamani? Kama noma na iwe noma..............!!!!mgomo pale pale

    10. Nzi is offline
      Nzi
      #89
      Nzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2010
      Location : 740 Park Avenue
      Posts : 3,378
      Rep Power : 21639
      Likes Received
      963
      Likes Given
      830

      Default

      Quote By Negembo View Post
      Umelewa gongo au umevuta bange ww..! Mie nina wadogo zangu 3 ni walimu wenye Masters na mmoja ana PhD. Vyeti vyao kama havitambuliwi basi ni ww na sirikali yako! Koma kuwadhalilisha walimu hivyo.
      Chifu,nafikiri alimaanisha mfumo wa serikali hii kuchukua watu waliopata divisheni 4 katika kidato cha 4. Utaratibu huo upelekea watu ambao katika jamii uonekana 'failures' kuingia ualimu. Hivyo,pengine jamaa alimaanisha kwamba kwa mfumo huo ni dhahiri walimu watakuwa wanaogopa.

      Lakini si walimu wote ni 'failures',wengine walifaulu vizuri sana kidato cha 4.

    11. #90
      Kidatu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th June 2008
      Posts : 1,437
      Rep Power : 1481
      Likes Received
      136
      Likes Given
      777

      Default Re: Ikulu yawajibu walimu, yasema mgomo ni Batili, kesi iko mahakamani

      Napata taabu kidogo kuelewa kuhusu suala la utendaji kijumla. Kwanini kila kitu ni lazima kijibiwe na ikulu?. Wizara husika zinafanya nini?. Mh. Raisi alichagua mawaziri na makatibu wakuu wa ma-wizara kwa lengo la kumsaidia kufanya kazi, sasa inakuwaje kila kitu ni lazima kisemewe na ikulu?. Mawaziri na makatibu wakuu wa wizara husika wako wapi na wanafanya nini?. Jamani mpeni nafasi Mh Raisi afanye mambo mengine mazito na kama hamuwezi kazi basi acheni mara moja ili wanaoweza wafanye hizo kazi.

    12. #91
      MANI's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 22nd February 2010
      Location : CHINI YA MBUYU
      Posts : 1,958
      Rep Power : 966
      Likes Received
      583
      Likes Given
      657

      Default Re: Ikulu yawajibu walimu, yasema mgomo ni Batili, kesi iko mahakamani

      Hivi nani mkweli kati ya serekali na chama cha walimu? Chama cha walimu walisema mazungumzo yamekwama na hawakusema kama yameenda mahakamani sasa hapa mahakama inaingia vipi au ndio kificho cha serekali kwa kila tatizo ?
      " TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA"

    13. #92
      Bwanamdogo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th August 2011
      Posts : 63
      Rep Power : 410
      Likes Received
      15
      Likes Given
      11

      Default Re: Ikulu yawajibu walimu, yasema mgomo ni Batili, kesi iko mahakamani

      Unategemea nini kwa serikali ambayo imeshashindwa kujibu hoja na kubaki na vitisho. Haya kazi kwenu walimu LIWALO na LIWE

    14. #93
      Ennie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th January 2011
      Location : DAR ES SALAAAM
      Posts : 1,599
      Rep Power : 822
      Likes Received
      501
      Likes Given
      539

      Default

      Quote By Jackbauer View Post
      kwa mujibu wa ITV ikulu
      imetoa kauli kuwa mgomo wa waalimu unaotarajiwa kuanza jumatatu ni
      batili kwa kuwa suala hilo liko mahakamani.serikali imewataka waalimu
      nchini kupuuza taarifa ya CWT.
      Kama inataka walimu waipuuze cwt basi isiwakate mishahara yao kilazima kuchangia cwt!

    15. #94
      manucho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th April 2012
      Posts : 562
      Rep Power : 473
      Likes Received
      79
      Likes Given
      0

      Default

      Hiyo kesi ilifunguliwa lini na Serikali, mahakama ipi, tarehe gani, file number, hakimu/jaji yupi? Walimu wameshapewa taarifa kwamba kuna kesi ipo mahakamani na anayetakiwa atoe taarifa kwa CWT ni nani kati ya Serikali na mahakama. Wahuni bana

    16. #95
      manucho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th April 2012
      Posts : 562
      Rep Power : 473
      Likes Received
      79
      Likes Given
      0

      Default

      Hiyo kesi ilifunguliwa lini na Serikali, mahakama ipi, tarehe gani, file number, hakimu/jaji yupi? Walimu wameshapewa taarifa ya maandishi kwamba kuna kesi ipo mahakamani na anayetakiwa atoe taarifa kwa CWT ni nani kati ya Serikali na mahakama. Wahuni bana

    17. #96
      nkisumuno's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 22nd May 2012
      Posts : 161
      Rep Power : 389
      Likes Received
      55
      Likes Given
      2

      Default Kikwete na mgomo wa walimu

      Natoa wito kwa Rais Kikwete kuwa ubabe, ujeuri na kiburi cha kuwa Rais kitalipeleka Taifa pabaya, Rais ujue kuwa cheo ni dhamana. Hivyo tunakushauri kama walimu kuwa kukimbilia mahakamani na kutoa vitisho havitasaidia Taifa hili. Bila kuwepo walimu leo hii wewe usingekuwa hivyo ulivyo na hata wale majaji bila walimu wasingekuwa hivyo walivyo.

      Hivi hata huyo mama Salma hakupi ushauri maana naye ni mwalimu? Au ndo kasahau kuwa naye alikuwa mwalimu. Hivi inakuwaje walimu ndo wanapata mshahara mdogo kuliko sekta zote nchini.

      Jawabu la mgomo wa walimu ni kusikiliza madai yao, ubabe na udikiteta hautakusaidia bali utazidisha chuki kwa watanzania maana wanaelewa jinsi walimu tunavyoonewa wakati wabunge wanalipwa mishahara mikubwa kwa kulala bungeni. Hiv Rais hili hulioni au unasubiri kila kitu kiharibike katika Taifa letu?

      Kama Rais utaacha nini cha kujivunia? Migomo? ufisadi?au matumizi mabaya ya madaraka na mali ya uma? Ujue umepewa dhamamana acha kuitumia vibaya.

      Enzi za Nyerere watanzania tulijivunia umoja na mshikamano kwani yeye mwenyewe alikuwa mwadilfu na ndiyo uzalendo ukawepo, wakulima waliishi vizuri na walimu waliheshimika sana.


      Enzi za mzee Ruksa wafanyabiashara walifaidi sana maana maisha yao yaliimarika.


      Mzee mkapa, uchumi uliimarika kiasi kwamba mfumuko wa bei ulishuka sana. sekta ambayo walijiskia vema ni wafanyakazi wote.

      Wewe je ni lipi UBABE? Jirekebishe jaribu kuona aibu kidogo kututishia walimu na ofisi yako. Usalama wa Taifa umegeuka mali yako. Hii ni aibu kubwa. Hata watu wa nje wanakufahamu nilisoma hapa kuwa watanzania kwa wema wetu hatustahiri kuongozwa na dikiteta kama wewe.

      Hata hao wanaokuunga mkono kila ukitoa hotuba za kibabe wanakupoteza ni wanafiki wakubwa. Bora uambiwe maneno ya kweli ili ujirekebishe kuliko sifa ambazo zitalipeleka Taifa pabaya.

      Hivi serikali haioni vibaya kuwalazimisha walimu waende kazini bila kutimiziwa madai yetu. Tunaweza kwenda na kufundisha tofauti hapo tatizo litakuwa limetatuliwa au tutaenda darasani na walinzi kukagua tunafundisha nini.

      Natamania kusema mengi ila najiuliza hivi hata wewe hujui kuwa ukimlazimisha mwalimu ataderiver mabaya baadala ya yanayotakiwa kufundishwa.

      Tuache walimu tugome kama hutaki kutupa kile tunachodai, ni mgomo upi uliowahi kuonekana ni halali. KWA UFUPI UBABE HAUTATUSAIDIA!
      thereitis likes this.

    18. #97
      Kibanga Ampiga Mkoloni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2007
      Location : Here! here!
      Posts : 5,127
      Rep Power : 1785
      Likes Received
      1275
      Likes Given
      1710

      Default

      Quote By Jackbauer View Post
      kwa mujibu wa ITV ikulu imetoa kauli kuwa mgomo wa waalimu unaotarajiwa kuanza jumatatu ni batili kwa kuwa suala hilo liko mahakamani.serikali imewataka waalimu nchini kupuuza taarifa ya CWT.
      ikulu ndio wizara gani sikuhizi? Ni elimu au mahakama au ya migomo.
      Inaonekama ukitaka kugoma sikuhizi ukaombe kibali ikulu.

    19. #98
      MCHONGANISHI's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th May 2011
      Location : Matejooo
      Posts : 135
      Rep Power : 435
      Likes Received
      31
      Likes Given
      15

      Default Re: Kikwete na mgomo wa walimu

      hivi kwa nini? Walimu hatufaidi Keki ya Taifa Afya, Kilimo, Sheria, Jeshi Hao wanafaidi malipo ya nyumba, usafiri sisi ndo watumishi ambao tunaishi kwa plain salary bila posho yeyote bila nyumba wala usafiri. Kwa nini sometime Nawish kinuke wote TUWE katika taharuki, coz katika chaos wanaofaidi Keki ya Taifa na tusiofaidi tutakuwa Hali moja... Bora kinuke tuanze UPYA
      "Religion is like opium to the poor" Karl Marx

    20. #99
      Havizya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 843
      Rep Power : 532
      Likes Received
      167
      Likes Given
      60

      Default Re: Kikwete na mgomo wa walimu

      Mwalimu ndiye anadharauliwa kuliko hata mzibua vyoo mjini. Inasemekana kuwa cheti kimoja hutumika kwa walimu zaidi ya watano, ndiyo maana hamthubutu kugoma! Mtakimbilia wapi? Mko zaidi 51% ya watumishi wa umma, lakini hamna maamzi yoyote nyie. Mazobe wakubwa, ipo siku mtatandikwa mboko matakoni na mkasema asante kwa kututia adabu. Wasomi gani nyie?????

    21. #100
      LiverpoolFC's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2011
      Posts : 6,866
      Rep Power : 23489
      Likes Received
      1527
      Likes Given
      638

      Default Mgomo kwa Walimu! Serikali imetoa warning kwa mwalimu yeyote yule!

      Habari nilizozipata ni kwmb mgomo wa walimu uliotarajiwa kuanza jumatatu,Serikali imetoa onyo kupitia vyombo hbr ya kwmb ni marufuku kwa mwalimu yeyote kufanya mgomo kwani JAMBO HILI LIKO MAHAKAMANI.

      Hiyo ndiyo kauli ya serikali yetu tawala kwa walimu wetu.

      TUTAFIKAAAA!!

    Page 5 of 6 FirstFirst ... 3456 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...