Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Yah. kuondolewa thread zinazokiuka sheria, maadili, miongozo na taaluma

    Report Post
    Results 1 to 3 of 3
    1. #1
      Candid Scope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 7,607
      Rep Power : 15261
      Likes Received
      3731
      Likes Given
      2868

      Default Yah. kuondolewa thread zinazokiuka sheria, maadili, miongozo na taaluma



      Yah. kuondolewa thread zinazokiuka sheria, maadili, miongozo na taaluma

      Nikiwa mdau mmojawapo wa hapa JF, kumekuwepo na malalamiko mengi kuhusu kuondolewa kwa baadhi ya mada zinazoletwa. Pengine ni kutokana na wengi wetu tunapoleta mada kutokuwa makini kwa kuangalia vigezo ambavyo ni muhimu kwa mtandao ambao ni public.

      Nchi kama Marekani habari iliyoandikwa kuhusu Usalama wa Taifa kwa kudonoa majina ya wahusika, namba zao za simu, walikozaliwa na mengineyo lingekuwa kosa kubwa ambalo bila ajizi ni kufungiwa gazeti hilo for good na mhusika kupambana na mkono wa sheria kitu ambacho ni kuishia kifungoni. Ref: "Intelligence Identities Protection Act" ya US.

      Hii mitandao inaongozwa na sheria za wanao-provide, ukivunja sheria zao tutakuja lalamika kukosa uhondo na hazina kubwa ambayo tunaifaidi kwa sasa hapa.

      Uhuru nao ukizidi unashtukia umekiuka mambo mengi na kusababisha matatizo, tuwe na kiasi na tutafaidi tunachotaka.

      Asante sana kwa mmiliki wa Mtandao huu na shukrani kwa uhuru aliotupa ambao kwa mapana na marefu hakuna mtandao mwingine Tanzania ambao unaweza kufikia uhuru huo hata kwa 50%. Vema tuutumie vema uhuru huu kwa manufaa yetu na nchi yetu.

      Candid Scope

    2. Miaka 50

    3. #2
      Mag3's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 31st May 2008
      Posts : 3,542
      Rep Power : 1805
      Likes Received
      2466
      Likes Given
      2505

      Default Re: Yah. kuondolewa thread zinazokiuka sheria, maadili, miongozo na taaluma

      Hiyo Marekani unayoingelea ni Marekani ipi? Yaani CIA ituhumiwe kuteka, kutesa kwa lengo la kuua na wahusika wajulikane au watajwe na victim lakini habari kama hiyo ifagiliwe tu chini ya kitanda...hiyo Marekani siyo hii United States of Amerika, kadanganye wengine!
      The true sign of intelligence is not knowledge but imagination.
      Education is what remains after one has forgotten what one has learned in School
      -Albert Einstein.


    4. #3
      Njele's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th January 2012
      Posts : 235
      Rep Power : 420
      Likes Received
      100
      Likes Given
      55

      Default Re: Yah. kuondolewa thread zinazokiuka sheria, maadili, miongozo na taaluma

      Anika mambo ya CIA uone cha moto, bongo ni tambalare kabisa, maana kuwafunua hivyo utafumuliwa fumu fumu. Mambo mengine hapa bongo uhuru umepitiliza mno kwa vyombo vya habari, kukiuka maadili na taaluma ya uandishi ni kitu cha kawaida, lakini tuwe makini siku nyingi utashtukia umegusa idara nyeti katika ulimwengu mwingine utajikuta umekalia jivu lenye moto (ndukhsa).
      MKALIMOTTO likes this.

    5. RukaaJuu Final

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...