Aliyemteka Dr. ULIMBOKA NI SHUJAA
WANGU WA KARNE"
Kauli ya Diwani wa Kata ya Mondo-Kondoa,Dodoma(CCM) Namnukuu..........
"SIKU YA MASHUJAA NA SHUJAA WANGU WA KARNE...
Jana ilikuwa Siku ya Mashujaa Tanzania. Siku ambayo huazimishwa kila mwaka kuwakumbuka mashujaa wetu ambao wametoa mchango mkubwa wa kuikomboa Nchi.
Kwa upande wangu Shujaa wangu wa Mwaka na karne hii. AMBAYE NTAMKUMBUKA NI YULE ALIYEFANIKISHA NA KUMTEKA DKT ULMBOKA.
Aliyemteka Dkt Ulimboka ameleta Ukombozi mkubwa kwa watanzania masikini na hasa wagonjwa ambao walikuwa wakifa kwa sababu za mgomo wa Madktari Kudai Mishahara Zaidi.
Kwangu mimi Dkt Ulimboka ni Msaliti wa Taifa lake. Na aliongoza mgomo haramu ulioua watanzania wasio na hatia kwa Tamaa zake.
Tangu Shujaa huyo alipomteka Ulimboka afanikishe Azma yake alikomesha mgomo na Mijadala yote ya madaktari na mpaka sasa Haisikiki tena
HONGERA SHUJAA WETU WA MWAKA KWA KUKOMESHA MGOMO."
Mwisho Wa kunukuu.................
NAOMBA MNISAIDIE NYIE MMEMWELEWAJE NA HII KAULI YAKE?

Reply With Quote



Follow Us Here