Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Diwani wa Kata Ya Mondo Kondoa Dodoma asema ALOMTEKA DR. ULIMBOKA NI SHUJAA

    Report Post
    Page 5 of 5 FirstFirst ... 345
    Results 81 to 100 of 100
    1. #1
      nhassall's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 17th December 2010
      Posts : 190
      Rep Power : 466
      Likes Received
      41
      Likes Given
      110

      Default Diwani wa Kata Ya Mondo Kondoa Dodoma asema ALOMTEKA DR. ULIMBOKA NI SHUJAA

      Aliyemteka Dr. ULIMBOKA NI SHUJAA
      WANGU WA KARNE"

      Kauli ya Diwani wa Kata ya Mondo-Kondoa,Dodoma(CCM) Namnukuu..........
      "SIKU YA MASHUJAA NA SHUJAA WANGU WA KARNE...

      Jana ilikuwa Siku ya Mashujaa Tanzania. Siku ambayo huazimishwa kila mwaka kuwakumbuka mashujaa wetu ambao wametoa mchango mkubwa wa kuikomboa Nchi.

      Kwa upande wangu Shujaa wangu wa Mwaka na karne hii. AMBAYE NTAMKUMBUKA NI YULE ALIYEFANIKISHA NA KUMTEKA DKT ULMBOKA.

      Aliyemteka Dkt Ulimboka ameleta Ukombozi mkubwa kwa watanzania masikini na hasa wagonjwa ambao walikuwa wakifa kwa sababu za mgomo wa Madktari Kudai Mishahara Zaidi.

      Kwangu mimi Dkt Ulimboka ni Msaliti wa Taifa lake. Na aliongoza mgomo haramu ulioua watanzania wasio na hatia kwa Tamaa zake.
      Tangu Shujaa huyo alipomteka Ulimboka afanikishe Azma yake alikomesha mgomo na Mijadala yote ya madaktari na mpaka sasa Haisikiki tena


      HONGERA SHUJAA WETU WA MWAKA KWA KUKOMESHA MGOMO."

      Mwisho Wa kunukuu.................

      NAOMBA MNISAIDIE NYIE MMEMWELEWAJE NA HII KAULI YAKE?

    2. RukaaJuu Final

    3. #81
      TEGEMEA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2011
      Posts : 353
      Rep Power : 492
      Likes Received
      30
      Likes Given
      4

      Default Re: Diwani wa Kata Ya Mondo Kondoa Dodoma asame ALOMTEKA DR. ULIMBOKA NI SHUJAA

      Kijana ana mawazo ya kizee.Dah kazi badoipo kuikomboa nchi hii.

    4. #82
      Zawadi Ngoda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th August 2009
      Posts : 1,792
      Rep Power : 856
      Likes Received
      98
      Likes Given
      98

      Default Re: Diwani wa Kata Ya Mondo Kondoa Dodoma asame ALOMTEKA DR. ULIMBOKA NI SHUJAA

      Mjadala umepamba moto, matusi yanatawala, hoja hazijibiwi kwa hoja, ni vigumu kuelewa ni nani ambaye ni mjinga na ni nani muelevu.

      Mnapojadili hii hoja jaribuni kuiangalia shilingi pande zote mbili

      1. Ikiwa baba yako na wagonjwa wengine wengi wamealazwa na wanahitaji operation muhimu siku Dr Ulimboka kaitisha mgomo wa madaktai. Na kwa bahati mbaya wakafariki kwa sababu Dr ambaye angewafanyia hizo operation naye aligoma kwa kuitika wito wa Dr Ulimboka
      2. Ikiwa Dr ulimboka ni kaka yako na yupo katika hali hiyo mpaka sasa.

      Hapo ndio wanaJF mnaweza kuzungumza lugha moja.

    5. #83
      Zulqarnayn's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th October 2011
      Posts : 83
      Rep Power : 400
      Likes Received
      36
      Likes Given
      37

      Default Re: Diwani wa Kata Ya Mondo Kondoa Dodoma asame ALOMTEKA DR. ULIMBOKA NI SHUJAA

      Quote By sweke34
      anaitwa nani?
      Mhe. Saidi Sambala, moderator na mwanzilishi wa kikundi maarufu kule FB kinachoitwa 'Tanuru la Fikra', ni kada mahiri wa CCM na ni 'Jembe la ENL' , ana njaa kali sana

    6. #84
      Zulqarnayn's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th October 2011
      Posts : 83
      Rep Power : 400
      Likes Received
      36
      Likes Given
      37

      Default Re: Diwani wa Kata Ya Mondo Kondoa Dodoma asame ALOMTEKA DR. ULIMBOKA NI SHUJAA

      Quote By Zawadi Ngoda
      Mjadala umepamba moto, matusi yanatawala, hoja hazijibiwi kwa hoja, ni vigumu kuelewa ni nani ambaye ni mjinga na ni nani muelevu.

      Mnapojadili hii hoja jaribuni kuiangalia shilingi pande zote mbili

      1. Ikiwa baba yako na wagonjwa wengine wengi wamealazwa na wanahitaji operation muhimu siku Dr Ulimboka kaitisha mgomo wa madaktai. Na kwa bahati mbaya wakafariki kwa sababu Dr ambaye angewafanyia hizo operation naye aligoma kwa kuitika wito wa Dr Ulimboka
      2. Ikiwa Dr ulimboka ni kaka yako na yupo katika hali hiyo mpaka sasa.

      Hapo ndio wanaJF mnaweza kuzungumza lugha moja.
      mwerevu ni wewe unayeleta hoja za kitoto hapa

    7. #85
      Zulqarnayn's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th October 2011
      Posts : 83
      Rep Power : 400
      Likes Received
      36
      Likes Given
      37

      Default Re: Diwani wa Kata Ya Mondo Kondoa Dodoma asame ALOMTEKA DR. ULIMBOKA NI SHUJAA

      Quote By Lokissa
      hata maoni ya kipuuzi yaheshimiwe?
      usilete maoni ya utumbo hlf utulazimishe tuyaheshimu aisee, wapi na wapi

    8. Miaka 50

    9. #86
      Penguine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th November 2009
      Posts : 510
      Rep Power : 584
      Likes Received
      121
      Likes Given
      19

      Default Re: Diwani wa Kata Ya Mondo Kondoa Dodoma asame ALOMTEKA DR. ULIMBOKA NI SHUJAA

      Kiongozi hakuna maelezo zaidi ya hapo.
      picha yake uliyoipost pamoja na rangi zilizomzunguka vinaeleza mengi kuliko ambayo ningeweza kueleza mie.
      kazungukwa na polluted yellow and green collours in political context of multipartism.

      msamehe bure

    10. #87
      Join Date : 3rd May 2012
      Posts : 61
      Rep Power : 368
      Likes Received
      7
      Likes Given
      2

      Default Re: Diwani wa Kata Ya Mondo Kondoa Dodoma asame ALOMTEKA DR. ULIMBOKA NI SHUJAA

      warangi tunawajua wana tatizo la kuropoka sana.

    11. #88
      moseskwaslema's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd May 2012
      Posts : 61
      Rep Power : 368
      Likes Received
      7
      Likes Given
      2

      Default Re: Diwani wa Kata Ya Mondo Kondoa Dodoma asame ALOMTEKA DR. ULIMBOKA NI SHUJAA

      ee mungu msaidie huyu mrangi kwa maneno anayoyaongea,wana jf naomba profile ya huyu jamaa yawezekana ametoka mirembo karibuni kwani ni dodoma hukohuko.

    12. #89
      sembuli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Posts : 599
      Rep Power : 488
      Likes Received
      243
      Likes Given
      167

      Default Re: Diwani wa Kata Ya Mondo Kondoa Dodoma asame ALOMTEKA DR. ULIMBOKA NI SHUJAA

      njaa kitu kibaya sana

    13. #90
      Liky's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 74
      Rep Power : 374
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default Re: Diwani wa Kata Ya Mondo Kondoa Dodoma asame ALOMTEKA DR. ULIMBOKA NI SHUJAA

      Haya bana,c 2najua chama chake ndo kilifanikisha hayo,kwahyo sitashangaa akisema hvyo.akili yake inamtosha mwenyewe

    14. #91
      bemg's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th April 2010
      Posts : 1,614
      Rep Power : 783
      Likes Received
      218
      Likes Given
      350

      Default Re: Diwani wa Kata Ya Mondo Kondoa Dodoma asame ALOMTEKA DR. ULIMBOKA NI SHUJAA

      kesi iko mahakamani anatakiwa akamatwe mara
      Ni jambo zuri na la kupendeza sana ndugu kuishi pamoja kwa umoja

    15. #92
      Remote's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th May 2011
      Posts : 4,281
      Rep Power : 1364
      Likes Received
      952
      Likes Given
      182

      Default Re: Diwani wa Kata Ya Mondo Kondoa Dodoma asame ALOMTEKA DR. ULIMBOKA NI SHUJAA

      Huyo jamaa ni KILAZA dunia nzima

    16. #93
      Mh SAMBALA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th May 2011
      Posts : 41
      Rep Power : 412
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Diwani wa Kata Ya Mondo Kondoa Dodoma asame ALOMTEKA DR. ULIMBOKA NI SHUJAA

      Hoja ipo wazi kabisa huyo bwana ni shujaa
      kamaliza mgogoro na kuokpoa mamia ya masikini wasife

    17. #94
      chama's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 6th August 2010
      Posts : 4,952
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1178
      Likes Given
      916

      Default Re: Diwani wa Kata Ya Mondo Kondoa Dodoma asame ALOMTEKA DR. ULIMBOKA NI SHUJAA

      Quote By sembuli
      njaa kitu kibaya sana
      Ahaa haaa unanikumbusha Molemo

      Chama
      Gongo la mboto DSM

    18. #95
      LEGE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th October 2011
      Location : Mwenge dar es salaam
      Posts : 1,057
      Rep Power : 596
      Likes Received
      208
      Likes Given
      145

      Default

      Quote By Mh SAMBALA
      Hoja ipo wazi kabisa huyo bwana ni shujaa
      kamaliza mgogoro na kuokpoa mamia ya masikini wasife
      kweli wewe ni aina ya viongozi ambao ni janga kubwa la taifa letu pia type yako ya viongozi ndio mmelifanya taifa hili lifike hapa lilipo fika now na bado mnataka kuendelea kung'ang'ania madalaka. Mim ni nayangu machache ambayo ningeomba unijibu wewe una elim gani?? Kiwango gani na maanisha, je kwa fikra zako na akili yako ya ki ccm ccm unafikili walichokuwa au wanachokidai au madai ya madaktari ni sahihi au siyo sahihi. Je utolewaji wa huduma za afya hapa nchini unazionaje?? Je kitendo alichofanyiwa dr ulimboka ni sahihi tena kimefanywa na vyombo vya usalama. Hivi hicho kibuli,kejeri na zarau mnazipata wapi nyie vionhgozi wa ccm au ndio mmelewa madaraka?? Kama ni njaa na uloho wa madaraka ndio vinawafanya hivyo basi kaaeni mkijua ya kuwa day zenu zinzheabika.

    19. #96
      Makamuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd October 2011
      Posts : 1,062
      Rep Power : 598
      Likes Received
      210
      Likes Given
      21

      Default

      Quote By Mh SAMBALA
      Hoja ipo wazi kabisa huyo bwana ni shujaa
      kamaliza mgogoro na kuokpoa mamia ya masikini wasife
      Ww ni hopeless kabisa..

    20. #97
      Msalagambwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th July 2012
      Posts : 538
      Rep Power : 453
      Likes Received
      178
      Likes Given
      532

      Default Re: Diwani wa Kata Ya Mondo Kondoa Dodoma asame ALOMTEKA DR. ULIMBOKA NI SHUJAA

      Akili zenu zinawaruhusu kuhalalisha,
      utekaji wa watu nchini Tanzania?
      mimi nilidhani ni akina Kova na Jack tu?
      kumbe kuna watu hatari kuliko,
      maharamia tulio nao kwenye system!!!

      Uwezo wenu wa kufikiri umegusa ceiling,
      kumteka mtu hata kama ni muuaji,
      ni kosa la jinai chini ya katiba ya JMT,
      Utawala wa sheria ni lazima utekelezwe,
      hata kama hatua zake ni ndefu na ngumu.

      Kuna abilioni ya fedha yameliwa na,
      Waziri wa afya katibu kuu na wakurugenzi wake,
      na kusababisha ukosefu wa vifaa muhmu vya Tiba,
      jambo liletalo vifo visivyo vya lazima,
      sioni mtu akiomba shujaa ajitokeze,
      kuwateka waziri na katibu wake,
      au wakurugenzi ili awe shujaa wake.

      Kuna siku mtu ataingia na bunduki,
      na kuteka jopo zima la madiwani,
      wezi wa fedha za halmashauri,
      na kudai fedha au la anawamaliza wote,
      mtu huyu atakuwa shujaa wa wananchi?

      Kuna siku mtu atamteka waziri mwizi,
      na kuleta madai yake au hata kumwua,
      sijui mtu huyu atakuwa shujaa wa wananchi?

      Serikali au makundi ya kiharamia,
      yatateka watu wangapi ili kulazimisha,
      wananchi kufuata maagizo yake?

      Sehemu gani ya hatua ya mtekaji,
      unaiona ni kigezo cha kumwita shujaa?
      Kumteka na kumpiga?
      Kumng'oa kucha na meno?
      Kumbana kende kwa kolea,
      kumtupa mabwepande baada ya kudhani kafa?




      Quote By barak obama
      Comrade Sambala ‎....KAMA WEWE NDIO MASIKINI MWENZANGU AMBAYE...

      BABA YAKO,
      MAMA YAKO,
      KAKA YAKO,
      DADA YAKO,
      SHANGAZI YAKO,
      MJOMBA WAKO,
      AMA MWANAO

      ALIKUFA KWA SABABU TU MADAKTARI WALIGOMA MPAKA KWANZA WALIPWE MILIONI 7.

      BASI UTAKUWA NA MIMI KUAMINI KUWA ALIYEMTEKA DK ULIMBOKA NDIO SHUJAA KWANI KAKOMESHA MGOMO

    21. #98
      Raia Fulani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2009
      Posts : 9,261
      Rep Power : 2625
      Likes Received
      1294
      Likes Given
      835

      Default Re: Diwani wa Kata Ya Mondo Kondoa Dodoma asame ALOMTEKA DR. ULIMBOKA NI SHUJAA

      huyo diwani kabila gani

    22. #99
      Ston Merchant's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st August 2011
      Location : Samunge
      Posts : 248
      Rep Power : 444
      Likes Received
      40
      Likes Given
      29

      Default Re: Diwani wa Kata Ya Mondo Kondoa Dodoma asame ALOMTEKA DR. ULIMBOKA NI SHUJAA

      Quote By Nyakageni
      . . . . . . . ! Ana 1kB brain
      mbn umempendelea hvy...? huyu ana 1 byte
      " Umeme hauna kiuno lakini Unakatika. "

    23. #100
      Josaa's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 4th July 2012
      Posts : 5
      Rep Power : 348
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Diwani wa Kata Ya Mondo Kondoa Dodoma asame ALOMTEKA DR. ULIMBOKA NI SHUJAA

      huyu ni yule aliesemwa na kova kuwa kaenda kuungama kwa gwajima



      WANGU WA KARNE"

      Kauli ya Diwani wa Kata ya Mondo-Kondoa,Dodoma(CCM) Namnukuu..........
      "SIKU YA MASHUJAA NA SHUJAA WANGU WA KARNE...

      Jana ilikuwa Siku ya Mashujaa Tanzania. Siku ambayo huazimishwa kila mwaka kuwakumbuka mashujaa wetu ambao wametoa mchango mkubwa wa kuikomboa Nchi.

      Kwa upande wangu Shujaa wangu wa Mwaka na karne hii. AMBAYE NTAMKUMBUKA NI YULE ALIYEFANIKISHA NA KUMTEKA DKT ULMBOKA.

      Aliyemteka Dkt Ulimboka ameleta Ukombozi mkubwa kwa watanzania masikini na hasa wagonjwa ambao walikuwa wakifa kwa sababu za mgomo wa Madktari Kudai Mishahara Zaidi.

      Kwangu mimi Dkt Ulimboka ni Msaliti wa Taifa lake. Na aliongoza mgomo haramu ulioua watanzania wasio na hatia kwa Tamaa zake.
      Tangu Shujaa huyo alipomteka Ulimboka afanikishe Azma yake alikomesha mgomo na Mijadala yote ya madaktari na mpaka sasa Haisikiki tena


      HONGERA SHUJAA WETU WA MWAKA KWA KUKOMESHA MGOMO."

      Mwisho Wa kunukuu.................

      NAOMBA MNISAIDIE NYIE MMEMWELEWAJE NA HII KAULI YAKE?[/QUOTE]

    Page 5 of 5 FirstFirst ... 345

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...