Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mgogoro wa Eng. Muhando na mabosi wake: Siri yafichuka, anaeimaliza TANESCO NI JK

    Report Post
    Page 4 of 6 FirstFirst ... 23456 LastLast
    Results 61 to 80 of 106
    1. #1
      OLEWAO's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th January 2012
      Posts : 57
      Rep Power : 381
      Likes Received
      65
      Likes Given
      3

      Default Mgogoro wa Eng. Muhando na mabosi wake: Siri yafichuka, anaeimaliza TANESCO NI JK

      Wana JF,

      Taarifa za kiintelijensia toka kwa wanaTISS wachache waliobakia na uzalendo kwa taifa lao zinsema, Rais wetu JK ndiye aliyetega mirija kila kona kuhakikisha anachota kila kinachoingia Tanesco.

      IKO HIVI:

      Mtakumbuka vizuri kuwa kampuni ya Richmond ilitengenezwa mikononi mwake huku akimtumia Lowassa kufikisha ujumbe Tanesco. Mambo yalipoharibika alimtoa kafara rafiki yake. Japo Lowassa amejigamba mara nyingi kuwa hawakukutana barabarani, ukweli ni kuwa bado hamjui vizuri swahiba wake.
      Mgogoro uliopo Tanesco baina ya Muhando na wakuu wake ni wa kutengenezwa ili kuwaokoa katibu mkuu bwana Maswi na waziri wake Prof. Muhongo. Pamoja na kwamba Muhando ametengeneza tenda aliyompa mkewe hiyo si ishu kubwa kwa kuwa vifaa kweli vitakuwa supplied ila deal alilopiga katibu mkuu la kuingia mkataba Puma Company Ltd (zamani BP) ambayo haina sifa na pia kufanya kinyume na sheria za PPRA simply because JK anahisa hukoa ndiko kulikokuza ishu ya mhando ili atolewe kafara uma usiangalie deal hilo lenye thamani ya bilioni 26.
      Ukweli ni kwamba wabunge wakiamua kukomaa JK bye bye. Lakini taarifa zinasema JK amemwagiza Pinda kuhakikisha anawaziba midomo wabunge wote wazalendo. Taarifa zinasema Anne Kilango ameingia laini na katika moja ya vikao vyao vilivyoongozwa na Pinda alisimama kidete kutetea kuwa joja hii ikijadiliwa bungeni serikali na chama chao cha CCM vitaanguka!
      Aidha taarifa zinazidi kusambaa kuwa JK ametoa maagizo kwa viongozi wa wizara ya nishati na madini tangu wakati wa Ngeleja kuwa hakuna kutumia gesi kwa ajili ya kuzalisha umeme badala yake majenereta yatumie mafuta mazito ambayo asilimia kubwa yatatoka GAPCO ambako yeye anahisa tangu akiwa waziri.Swali la msingi; Kama gesi imetoka all the way from mtwara to ubungo, mafuta ya nini?
      Aidha Tanesco hulazimishwa kutengeneza mgao feki ili bwana mkubwa achote chake. Isitoshe maajabu mengine ni kwamba Tanesco wameingia mkataba na kampuni ya Ridhiwani ya kuleta nguzo za umeme toka Afrika Kusini na si Iringa tena. Yapo mambo mengine mengi tangu Richmond, DOWANS, Symbion na haya ma-IPTL, Agreko n.k ambayo JK anayajua vema lakini ameendelea na roho ngumu ya kuwanyonya watanganyika.

      Ombi langu kwa Mungu, Avuruge nchi hii ili tuanze upya.
      Wana bodi mnasemaje?

    2. Miaka 50

    3. #61
      kibogo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th April 2012
      Location : MBEYA
      Posts : 1,727
      Rep Power : 703
      Likes Received
      433
      Likes Given
      320

      Default Re: Mgogoro wa Eng. Muhando na mabosi wake: Siri yafichuka, anaeimaliza TANESCO NI JK

      Quote By Tume ya Katiba
      Naisikitikia JF inageuka kuwa kijiwe cha udaku
      Ukiona hivyo unaweza kujitoa, lakini usiite hii habari ni UDAKU inawezekana ikawa na ukweli ndani yake kulingana na hali halisi ilivyo kiuendeshaji wa shirika hili ila kama ni uongo lete utetezi wako tukuelewe usiishie kuita habari hii ni UDAKU.

    4. #62
      Kingcobra's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th January 2011
      Posts : 713
      Rep Power : 564
      Likes Received
      128
      Likes Given
      14

      Default Re: Mgogoro wa Eng. Muhando na mabosi wake: Siri yafichuka, anaeimaliza TANESCO NI JK

      Sasa naanza kuamini kwamba mhando ni mwizi na kwa maana hiyo naendelea kuprove kuwa nchi hii kila mtu ni fisadi.

    5. #63
      Nyenyere's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 1,881
      Rep Power : 0
      Likes Received
      487
      Likes Given
      689

      Default Re: Mgogoro wa Eng. Muhando na mabosi wake: Siri yafichuka, anaeimaliza TANESCO NI JK

      Mmmh, mie sijasdili mambo yaliyoko mahakamani!
      The glory of Christianity is to conquer by forgiveness - William Blake

    6. #64
      Mkandara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2006
      Location : T dot
      Posts : 13,770
      Rep Power : 7663
      Likes Received
      4929
      Likes Given
      4509

      Default Re: Mgogoro wa Eng. Muhando na mabosi wake: Siri yafichuka, anaeimaliza TANESCO NI JK

      Quote By masopakyindi
      Habari yenyewe mbona haina mshiko.
      Uongo upo hapa:
      -Bei ya Puma Tshs 1500. per litre
      -Puma 50% owned na serikali
      -Mhando aliipiga chini Puma
      -Akanunua kwa makampuni swahiba Tshs 1900

      Sasa mtoa mada na TSS wako, hebu tutoe tongo tongo, JK anafaidika vipi hapokwa kumtosa Mhando.
      Yaani serikali imeanzisha shirika la kuingiza mafuta ili kuwauzia Tanesco. I mean hivi Puma shirika linalomilikiwa na serikali lingefuata lingeingia vipi ktk hizi tender ingewakilisha vipi maombi yake kwa serikali ambayo ni wao serikali..Hivi Mtera nao wanawauzia Tanesco umeme au?..
      Exploration of reality

    7. #65
      Zogwale's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 10th July 2008
      Posts : 6,004
      Rep Power : 6482
      Likes Received
      1207
      Likes Given
      509

      Default Re: Mgogoro wa Eng. Muhando na mabosi wake: Siri yafichuka, anaeimaliza TANESCO NI JK

      Kwa issue ya kuipa kampuni ya mke contract ya mil 800 bila ku-declare interest jua basi hapo ni pagumu. He is tupid!! Dhaifu of course!!
      "Kama unaingia Ikulu kwa njia ya rushwa, je ni biashara gani iko huko ya kuwezesha kulipa fadhila ya rushwa hiyo???"


    8. #66
      matumbo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th July 2011
      Posts : 2,345
      Rep Power : 1448
      Likes Received
      653
      Likes Given
      512

      Default Re: Mgogoro wa Eng. Muhando na mabosi wake: Siri yafichuka, anaeimaliza TANESCO NI JK

      Msifikiri hatuna uwezo wa kufikiri..!!

    9. #67
      mpinga shetani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st November 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 1,183
      Rep Power : 667
      Likes Received
      238
      Likes Given
      15

      Default

      Quote By OLEWAO
      Wana JF,

      Taarifa za kiintelijensia toka kwa wanaTISS wachache waliobakia na uzalendo kwa taifa lao zinsema, Rais wetu JK ndiye aliyetega mirija kila kona kuhakikisha anachota kila kinachoingia Tanesco.

      IKO HIVI:

      Mtakumbuka vizuri kuwa kampuni ya Richmond ilitengenezwa mikononi mwake huku akimtumia Lowassa kufikisha ujumbe Tanesco. Mambo yalipoharibika alimtoa kafara rafiki yake. Japo Lowassa amejigamba mara nyingi kuwa hawakukutana barabarani, ukweli ni kuwa bado hamjui vizuri swahiba wake.
      Mgogoro uliopo Tanesco baina ya Muhando na wakuu wake ni wa kutengenezwa ili kuwaokoa katibu mkuu bwana Maswi na waziri wake Prof. Muhongo. Pamoja na kwamba Muhando ametengeneza tenda aliyompa mkewe hiyo si ishu kubwa kwa kuwa vifaa kweli vitakuwa supplied ila deal alilopiga katibu mkuu la kuingia mkataba Puma Company Ltd (zamani BP) ambayo haina sifa na pia kufanya kinyume na sheria za PPRA simply because JK anahisa hukoa ndiko kulikokuza ishu ya mhando ili atolewe kafara uma usiangalie deal hilo lenye thamani ya bilioni 26.
      Ukweli ni kwamba wabunge wakiamua kukomaa JK bye bye. Lakini taarifa zinasema JK amemwagiza Pinda kuhakikisha anawaziba midomo wabunge wote wazalendo. Taarifa zinasema Anne Kilango ameingia laini na katika moja ya vikao vyao vilivyoongozwa na Pinda alisimama kidete kutetea kuwa joja hii ikijadiliwa bungeni serikali na chama chao cha CCM vitaanguka!
      Aidha taarifa zinazidi kusambaa kuwa JK ametoa maagizo kwa viongozi wa wizara ya nishati na madini tangu wakati wa Ngeleja kuwa hakuna kutumia gesi kwa ajili ya kuzalisha umeme badala yake majenereta yatumie mafuta mazito ambayo asilimia kubwa yatatoka GAPCO ambako yeye anahisa tangu akiwa waziri.Swali la msingi; Kama gesi imetoka all the way from mtwara to ubungo, mafuta ya nini?
      Aidha Tanesco hulazimishwa kutengeneza mgao feki ili bwana mkubwa achote chake. Isitoshe maajabu mengine ni kwamba Tanesco wameingia mkataba na kampuni ya Ridhiwani ya kuleta nguzo za umeme toka Afrika Kusini na si Iringa tena. Yapo mambo mengine mengi tangu Richmond, DOWANS, Symbion na haya ma-IPTL, Agreko n.k ambayo JK anayajua vema lakini ameendelea na roho ngumu ya kuwanyonya watanganyika.

      Ombi langu kwa Mungu, Avuruge nchi hii ili tuanze upya.
      Wana bodi mnasemaje?
      Halafu baada ya hapo hao Tiss wazalendo wakaenda kumteka nyara Daktari fulani kwa sababu amefunga Solar kwake hivyo hatumii umeme wa Tanesco.
      Hii inadaiwa kumkosesha JK mapato. Ho, hum!

    10. #68
      masopakyindi's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 3,757
      Rep Power : 4199
      Likes Received
      1015
      Likes Given
      417

      Default Re: Mgogoro wa Eng. Muhando na mabosi wake: Siri yafichuka, anaeimaliza TANESCO NI JK

      Quote By Mkandara
      Yaani serikali imeanzisha shirika la kuingiza mafuta ili kuwauzia Tanesco. I mean hivi Puma shirika linalomilikiwa na serikali lingefuata lingeingia vipi ktk hizi tender ingewakilisha vipi maombi yake kwa serikali ambayo ni wao serikali..Hivi Mtera nao wanawauzia Tanesco umeme au?..
      Mkuu Mkandara, Puma ni kampuni iliyonunua hisa zote za kampuni ile ya British Petroleum(BP), kampuni ambayo imefanya biashara ya mafuta yote na vilainishi(lubricants) kwa muda mrefu sana hapa nchini.

      Serikali ya TZ ilikuwa na hisa katika BP, na hisa hizo zilibakia pale pale ilpoingia Puma.
      Katika sakata hili mimi sioni ajabu, and actually nawapongeza serikali kwa kununua mafuta Puma, hivyo kuokoa Tshs 400 kwa kila lita.
      That does not need one to be a rocket scientist to figure out.

      In actal fact sisi laymen tungependa kujua motivation behind kwa uongozi wa TANESCO kununua mafuta hayo hayo kwa bei kubwa, kuliko ile bei poa ya Tshs 1500/- kwa lita kutoka Puma.
      Morinyo likes this.
      "If you don't know where you are going, any road will get you there-nowhere”

    11. #69
      Join Date : 25th April 2011
      Posts : 42
      Rep Power : 417
      Likes Received
      13
      Likes Given
      1

      Default Re: Mgogoro wa Eng. Muhando na mabosi wake: Siri yafichuka, anaeimaliza TANESCO NI JK

      Banandugu Olewao, Hata kama humpendi JK kabisa kabisa usionyeshe hisia zako kwa njia hii. Hao TISS unaosema hawawezi kuwa TISS bali vibaraka wa kiongozi ambaye ana chuki na JK.

    12. #70
      HKigwangalla's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th February 2008
      Location : Dar es salaam, Tanzania
      Posts : 527
      Rep Power : 682
      Likes Received
      568
      Likes Given
      153

      Default Re: Mgogoro wa Eng. Muhando na mabosi wake: Siri yafichuka, anaeimaliza TANESCO NI JK

      Unaumwa ama umelogwa wewe! Unahitaji kuombewa kwa hakika
      Dr. Hamisi Kigwangalla, MD, MPH, MBA
      Mabadiliko ya kweli yataletwa na sisi...!

    13. #71
      Bramo's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 21st October 2009
      Location : Mtimbwani
      Posts : 1,699
      Rep Power : 9060
      Likes Received
      454
      Likes Given
      301

      Default Re: Mgogoro wa Eng. Muhando na mabosi wake: Siri yafichuka, anaeimaliza TANESCO NI JK

      Quote By OLEWAO
      Wana JF,
      Rais wetu JK
      Mkuu, hapa naomba nikusahihishe, Sema Rais Wenu JK, WENGINE HATUMTAMBUI

      Quote By OLEWAO
      Ombi langu kwa Mungu, Avuruge nchi hii ili tuanze upya
      Wana bodi mnasemaje?
      Pamoja sana Mkuu, mie sio Ustaadh ila nafunga hii Ramadhani Kuombea hili

    14. #72
      Mingoi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st July 2012
      Location : Not reachable
      Posts : 2,135
      Rep Power : 610
      Likes Received
      241
      Likes Given
      213

      Default Re: Mgogoro wa Eng. Muhando na mabosi wake: Siri yafichuka, anaeimaliza TANESCO NI JK

      Quote By OLEWAO
      Wana JF,

      Taarifa za kiintelijensia toka kwa wanaTISS wachache waliobakia na uzalendo kwa taifa lao zinsema, Rais wetu JK ndiye aliyetega mirija kila kona kuhakikisha anachota kila kinachoingia Tanesco.

      IKO HIVI:

      Mtakumbuka vizuri kuwa kampuni ya Richmond ilitengenezwa mikononi mwake huku akimtumia Lowassa kufikisha ujumbe Tanesco. Mambo yalipoharibika alimtoa kafara rafiki yake. Japo Lowassa amejigamba mara nyingi kuwa hawakukutana barabarani, ukweli ni kuwa bado hamjui vizuri swahiba wake.
      Mgogoro uliopo Tanesco baina ya Muhando na wakuu wake ni wa kutengenezwa ili kuwaokoa katibu mkuu bwana Maswi na waziri wake Prof. Muhongo. Pamoja na kwamba Muhando ametengeneza tenda aliyompa mkewe hiyo si ishu kubwa kwa kuwa vifaa kweli vitakuwa supplied ila deal alilopiga katibu mkuu la kuingia mkataba Puma Company Ltd (zamani BP) ambayo haina sifa na pia kufanya kinyume na sheria za PPRA simply because JK anahisa hukoa ndiko kulikokuza ishu ya mhando ili atolewe kafara uma usiangalie deal hilo lenye thamani ya bilioni 26.
      Ukweli ni kwamba wabunge wakiamua kukomaa JK bye bye. Lakini taarifa zinasema JK amemwagiza Pinda kuhakikisha anawaziba midomo wabunge wote wazalendo. Taarifa zinasema Anne Kilango ameingia laini na katika moja ya vikao vyao vilivyoongozwa na Pinda alisimama kidete kutetea kuwa joja hii ikijadiliwa bungeni serikali na chama chao cha CCM vitaanguka!
      Aidha taarifa zinazidi kusambaa kuwa JK ametoa maagizo kwa viongozi wa wizara ya nishati na madini tangu wakati wa Ngeleja kuwa hakuna kutumia gesi kwa ajili ya kuzalisha umeme badala yake majenereta yatumie mafuta mazito ambayo asilimia kubwa yatatoka GAPCO ambako yeye anahisa tangu akiwa waziri.Swali la msingi; Kama gesi imetoka all the way from mtwara to ubungo, mafuta ya nini?
      Aidha Tanesco hulazimishwa kutengeneza mgao feki ili bwana mkubwa achote chake. Isitoshe maajabu mengine ni kwamba Tanesco wameingia mkataba na kampuni ya Ridhiwani ya kuleta nguzo za umeme toka Afrika Kusini na si Iringa tena. Yapo mambo mengine mengi tangu Richmond, DOWANS, Symbion na haya ma-IPTL, Agreko n.k ambayo JK anayajua vema lakini ameendelea na roho ngumu ya kuwanyonya watanganyika.

      Ombi langu kwa Mungu, Avuruge nchi hii ili tuanze upya.
      Wana bodi mnasemaje?
      Hii imekaa kisiasa zaidi, aliyepika kafanya haraka kupakua. Kajipange urudi tena hoja dhaifu.

    15. #73
      Bramo's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 21st October 2009
      Location : Mtimbwani
      Posts : 1,699
      Rep Power : 9060
      Likes Received
      454
      Likes Given
      301

      Default Re: Mgogoro wa Eng. Muhando na mabosi wake: Siri yafichuka, anaeimaliza TANESCO NI JK

      Quote By HKigwangalla
      Unaumwa ama umelogwa wewe! Unahitaji kuombewa kwa hakika
      Mkuu Dr Kigwx, Magamba ndo mnaumwa, mnahitaj Maombezi ili muweze kuuona ukweli, mnahitaj kuamshwa

    16. #74
      Memo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2011
      Posts : 2,128
      Rep Power : 848
      Likes Received
      662
      Likes Given
      937

      Default

      Quote By KISHOKA_ZUMBU
      Unahitaji maombi ww!
      Wewe unahitaji mume!

    17. #75
      Straight corner's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th November 2010
      Posts : 177
      Rep Power : 467
      Likes Received
      18
      Likes Given
      23

      Default Re: Mgogoro wa Eng. Muhando na mabosi wake: Siri yafichuka, anaeimaliza TANESCO NI JK

      Kwa hasira wananchi walizonazo sasa hivi lolote litakalosemwa juu ya JK hata kama kasingiziwa tutajua ni kweli tu kwani kawalaghai watz sana na hatuna imani naye tena!

    18. #76
      Elifasi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 180
      Rep Power : 470
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: Mgogoro wa Eng. Muhando na mabosi wake: Siri yafichuka, anaeimaliza TANESCO NI JK

      Mh, apa hata unene kwa lugha, inatupa shida kuamini ni roho wa kweli au ni yule wa manabii wa uongo!

    19. #77
      Elifasi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 180
      Rep Power : 470
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: Mgogoro wa Eng. Muhando na mabosi wake: Siri yafichuka, anaeimaliza TANESCO NI JK

      Mh, apa hata unene kwa lugha, inatupa shida kuamini ni roho wa kweli au ni yule wa manabii wa uongo!

    20. #78
      maingu z's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 136
      Rep Power : 387
      Likes Received
      20
      Likes Given
      101

      Default Re: Mgogoro wa Eng. Muhando na mabosi wake: Siri yafichuka, anaeimaliza TANESCO NI JK

      Quote By OLEWAO
      Wana JF,

      Taarifa za kiintelijensia toka kwa wanaTISS wachache waliobakia na uzalendo kwa taifa lao zinsema, Rais wetu JK ndiye aliyetega mirija kila kona kuhakikisha anachota kila kinachoingia Tanesco.

      IKO HIVI:

      Mtakumbuka vizuri kuwa kampuni ya Richmond ilitengenezwa mikononi mwake huku akimtumia Lowassa kufikisha ujumbe Tanesco. Mambo yalipoharibika alimtoa kafara rafiki yake. Japo Lowassa amejigamba mara nyingi kuwa hawakukutana barabarani, ukweli ni kuwa bado hamjui vizuri swahiba wake.
      Mgogoro uliopo Tanesco baina ya Muhando na wakuu wake ni wa kutengenezwa ili kuwaokoa katibu mkuu bwana Maswi na waziri wake Prof. Muhongo. Pamoja na kwamba Muhando ametengeneza tenda aliyompa mkewe hiyo si ishu kubwa kwa kuwa vifaa kweli vitakuwa supplied ila deal alilopiga katibu mkuu la kuingia mkataba Puma Company Ltd (zamani BP) ambayo haina sifa na pia kufanya kinyume na sheria za PPRA simply because JK anahisa hukoa ndiko kulikokuza ishu ya mhando ili atolewe kafara uma usiangalie deal hilo lenye thamani ya bilioni 26.
      Ukweli ni kwamba wabunge wakiamua kukomaa JK bye bye. Lakini taarifa zinasema JK amemwagiza Pinda kuhakikisha anawaziba midomo wabunge wote wazalendo. Taarifa zinasema Anne Kilango ameingia laini na katika moja ya vikao vyao vilivyoongozwa na Pinda alisimama kidete kutetea kuwa joja hii ikijadiliwa bungeni serikali na chama chao cha CCM vitaanguka!
      Aidha taarifa zinazidi kusambaa kuwa JK ametoa maagizo kwa viongozi wa wizara ya nishati na madini tangu wakati wa Ngeleja kuwa hakuna kutumia gesi kwa ajili ya kuzalisha umeme badala yake majenereta yatumie mafuta mazito ambayo asilimia kubwa yatatoka GAPCO ambako yeye anahisa tangu akiwa waziri.Swali la msingi; Kama gesi imetoka all the way from mtwara to ubungo, mafuta ya nini?
      Aidha Tanesco hulazimishwa kutengeneza mgao feki ili bwana mkubwa achote chake. Isitoshe maajabu mengine ni kwamba Tanesco wameingia mkataba na kampuni ya Ridhiwani ya kuleta nguzo za umeme toka Afrika Kusini na si Iringa tena. Yapo mambo mengine mengi tangu Richmond, DOWANS, Symbion na haya ma-IPTL, Agreko n.k ambayo JK anayajua vema lakini ameendelea na roho ngumu ya kuwanyonya watanganyika.

      Ombi langu kwa Mungu, Avuruge nchi hii ili tuanze upya.
      Wana bodi mnasemaje?
      Hapo kwenye nyekundu ndo muafaka wa Tanzania asiwadanganye mtu.Hakuna njia ya mkato

    21. #79
      kidadari's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th July 2012
      Posts : 87
      Rep Power : 361
      Likes Received
      23
      Likes Given
      84

      Default Re: Mgogoro wa Eng. Muhando na mabosi wake: Siri yafichuka, anaeimaliza TANESCO NI JK

      Laana uwe juu ya CCM na mkuu wake

    22. #80
      zumbemkuu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 11th September 2010
      Location : street dweller
      Posts : 5,345
      Rep Power : 2005
      Likes Received
      2124
      Likes Given
      7829

      Default Re: Mgogoro wa Eng. Muhando na mabosi wake: Siri yafichuka, anaeimaliza TANESCO NI JK

      mwacheni handsome wa watu amalizie msosi wake.
      "watakaotubeza na kututukana wasameheni wanahitaji ukombozi wa fikra" Mh.G.Lema

    Page 4 of 6 FirstFirst ... 23456 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...