Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

    View Poll Results: Ni nani ungependa agombee urais mwaka 2015 kwa tiketi ya CHADEMA?

    Voters
    1183. You may not vote on this poll
    • Zitto Z. Kabwe

      181 15.30%
    • Wilbrod P. Slaa

      1,002 84.70%
    Report Post
    Page 25 of 46 FirstFirst ... 15232425262735 ... LastLast
    Results 481 to 500 of 909
    1. #1
      Kijana Msomali's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th May 2012
      Posts : 92
      Rep Power : 1361
      Likes Received
      68
      Likes Given
      42

      Default Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

      Tuache kelele nyingi, kama ungepewa mamlaka ya kumteua kati ya Zitto Zuberi Kabwe ama Wilbroad Peter Slaa kugombea nafasi ya urais mwaka 2015. Ni nani ungemteua? Na Kwa Nini? Toa sababu kuu nne TU.
      Last edited by Kijana Msomali; 27th July 2012 at 11:53.

    2. Miaka 50

    3. #481
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,439
      Rep Power : 10877
      Likes Received
      3814
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By Matola
      Ni kumkosea Adabu na heshima Dr Slaa kumlinganisha na Zitto, ningewaelewa kidogo kama Zitto angeshindanishwa na mtu wa level yake kama Mnyika. Dr Slaa ni habari nyingine kabisa.
      Ni kweli mkuu lakini itasaidia kukata kilimilimi cha wafuasi wa Magamba hapa jamvini.Na ndiyo maana vibaraka nguli wa Magamba hapa JF wanachungulia tu hii thread na kukimbia.

    4. #482
      Agao Kichore's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th September 2007
      Location : DSM
      Posts : 86
      Rep Power : 613
      Likes Received
      3
      Likes Given
      1

      Default Re: Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

      Wote wanafaa hasa kwa kumridhi JK lakini Dr. Slaa anafaa zaidi kwa sababu ya exposure aliyonayo, si kijana kifikra lakini anatambua mahitaji ya makundi yote ndani ya jamii lakini Dr. Slaa ni mtu anayetambua namna ya kutunza image yake ndani ya jamii kuliko Zitto ambaye amekubali kuacha maswali mengi kwa watanzania huku akijiaminisha kuwa wabaya wake hawamwezi. Kujiamini huku kwa Zitto kupita kiasi ndiyo doa lake kubwa.
      'Most of our leaders were programmed they never change that's why we are poor nation'

    5. #483
      Sipendi Ubepari's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th January 2012
      Posts : 219
      Rep Power : 415
      Likes Received
      26
      Likes Given
      9

      Default Je! Ungependa nani awe waziri mkuu wa tanzania kupitia chadema 2015-2020?.

      Kura ya maoni kati ya ZITTO KABWE na WILIBROD SLAA inayoendelea hapa JF imeashiria jinsi matokeo ya mwisho yatakavyokuwa. Sasa je! Nani anafaa awe Waziri Mkuu wa Tanzania?.
      Pendekezo lako litamrahisishia rais kufanya uteuzi sahihi hapo 2015. Taja jina moja kisha toa sababu zaidi ya moja ambazo zitatumika kama kigezo cha kumpata Waziri mkuu bora wa nchi hii.

    6. #484
      OSOKONI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th October 2011
      Posts : 3,632
      Rep Power : 1110
      Likes Received
      1001
      Likes Given
      756

      Default Re: Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

      Jamani wanachama wapenzi wa chadema na wapenda mabadiliko watanzania wenzangu, tusijidanganye kuwa 2015 CDM itaingia madarakani kirahisi muda huu badala ya kuanza kupiga ramli ya urais au waziri mkuu tuanze kuangalia mianya yote ambayo ccm wanatumia kuiba kura na kushinda tuizibe kunako mapema, pia tuanze kufikiria mambo ambayo tutaingiza kwenye ilani yetu ya 2015 ili kuvutia wapiga kura na kubwa zaidi tuelekeze elimu ya uraia vijijini tuunge mkono kwa vitendo m4c CCM sio rahisi kiasi hicho lazima kujiandaa kila mtu anajua kilichotokea 2010 sasa kuanza kujiaminiha ushindi 2015 ni kujiweka hatarini ccm ipo kama nyoka ukitaka kumuua lazima ukate kichwa kabisa!!
      Sipendi Ubepari likes this.
      Narrow minded people discuss people,common minded people discuss events great minded people discuss ideas!!!

    7. #485
      Thesi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th August 2010
      Posts : 730
      Rep Power : 4677
      Likes Received
      187
      Likes Given
      323

      Default Re: Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

      Quote By Asa79
      Mimi siwezi kutoa maoni.....kumuweka dr.slaa na zitto kishoka nadhani ni dharau sana......zitto hajafika hata robo ya dr.slaa kwa hiyo kura ya maoni ni dharau kwa kiongozi mwenye heshima km dr.slaa.....sijui labda zitto umshindanishe na shibuda ingefaa kwani hata kwa mnyika au lema haingii

      tuacheni dharau kwa rais wetu
      Nakunaliana nawewe kuwa Zito hajafikia wala pengine hatafika kushindana na Dr. Slaa ila sikubaliani na wewe katika ulinganifu wa pili. Zito kwa tabia na hulka zake anaangukia kwenye kundi la kina Lema. Lema ni size yale zito kabisaaaa!!!!. Mnyika yuko dunia nyingine ya mtu anayeonekana kuwa na sifa hasa za kiongozi.
      Tutofautishe vitu viwili. Kuna wapiganaji lakini pia kuna viongozi. Zito, Lema, Wenje, Kafulila, Vincent Nyerere, Silinde, Mkosamali, Mbatia, sugu na wengine wanaolekea kwenye hulka zao wako kwenye kundi la wapiganaji. Dr. Slaa, Prof. Lipumba, John Mnyika, Maalim Seif na Tundu Lisu wako kwenye kundi la viongozi. Mnaweza kuwaongeza wengine au kuwapunguza kwenye makundi haya mawili.
      Kitu kimoja tu tujue tunahitaji haya makundi yote mawiliakatika mustakabali wa nchi yetu. Tutakuwa na heri pale tukimpata mtu mwenye sifa ya kiongozi kuwa kiongozi wetu. Tukimpata mpiganaji inategemea hali ya siasa ikoje lakini ikiwa kuna mvutano wa kisiasa wapiganaji wanaweza kuyumbisha nchi na mara nyingi hawana busara za kutosha kutuliza hali inayovurugika kisiasa.

    8. RukaaJuu Final

    9. #486
      ipy1985's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 24th May 2011
      Posts : 8
      Rep Power : 406
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

      Hivi na ninyi mnahangaikia kufikiria nani mkali kati ya zitto na slaa? Mbona jibu liko wazi hapo? au mnaangalia anayejitangazia kuwa lazima agombee? Kwanza mimi naona mtu kung'ang'ania kugombea kwa sasa sio kabisa, suala ni kusema atachukuwa fomu ya kumtafuta mgombea wa urais na sio kusema lazima nigombee, unless otherwise waruhusiwe wagombea binafsi!

    10. #487
      mchaichai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2011
      Posts : 381
      Rep Power : 457
      Likes Received
      33
      Likes Given
      25

      Default Re: Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

      acha mamabo ya udini wewe kuwa na busara usiwe mzambeki kama zito...fisadi wa TANESCO

    11. #488
      fredmlay's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2008
      Posts : 1,516
      Rep Power : 868
      Likes Received
      265
      Likes Given
      934

      Default Re: Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

      Kweli hili jamvi lina mambo.. nimejaribu kupitia posts za wachangiaji wengi. Mhh inavyoonekana wasiokubaliana na Zitto wanakosa hata uvumilivu wa kumpa credit anazostahili.. hakika kuna credit nyingi anazostahili kupewa.

      Zitto ni kati ya vijana wachache wasomi, wenye uwezo wa kujenga hoja, kufanya tafiti na kusimamia anachokiamini, na kupitia sifa hizo amejikuta baadhi ya makundi ya vijana hayamuamini na na pia haya mkubali, ila vijana hao wanasahau kwamba penye mvutano wa kifikra kama mawazo huru yanazingatiwa husaidia kutufikisha kwenye mafanikio.

      Ni ajabu wengi humu hudiriki kusema Zitto hastahili kulinganishwa na Mnyika, Lema nk, lakini ukiichambua cdm utagundua kwamba Zitto anahistoria ndefu yaliyokiletea chama mafanikio.. yawezekana kabisa asilingane na hao anaolinganishwa nao. Tuweke ushabiki pembeni tujadili hoja, kisiasa kuna mengi ya kupitia na yeye kwa sasa kuna mambo kadhaa yanamgharimu (kama la kutangaza kuwania urais 2015) lakini historia ya mema aliyoyafanya haifutiki na si kigezo cha kumshusha hadhi kiasi cha kumlinganisha na Shibuda. Lema namfahamu naye ananifahamu.. ukweli ana safari ndefu ya kisiasa lakini anaonekana anaanza kuimudu. Mnyika ni komavu kwenye siasa za upinzani na bado anazidi kujijengea umaarufu kama wengine, hivyo kuna kila sababu ya kujali mchango wa kila mmoja kwa nafasi yake.
      A wise man will make more opportunities than he finds:

    12. #489
      Sipendi Ubepari's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th January 2012
      Posts : 219
      Rep Power : 415
      Likes Received
      26
      Likes Given
      9

      Default

      Ila umesahau kuwa kinachomgharimu ZZK 2010-2015 ni kujiweka mbali na chama na kujitazama yeye binafsi tofauti na yule ZZK wa 2005-2010. Kama anapitia hapa jf, basi achukue mambo haya kama changamoto na autathmini upya mwenendo wake kichama.
      Quote By fredmlay
      Kweli hili jamvi lina mambo.. nimejaribu kupitia posts za wachangiaji wengi. Mhh inavyoonekana wasiokubaliana na Zitto wanakosa hata uvumilivu wa kumpa credit anazostahili.. hakika kuna credit nyingi anazostahili kupewa.

      Zitto ni kati ya vijana wachache wasomi, wenye uwezo wa kujenga hoja, kufanya tafiti na kusimamia anachokiamini, na kupitia sifa hizo amejikuta baadhi ya makundi ya vijana hayamuamini na na pia haya mkubali, ila vijana hao wanasahau kwamba penye mvutano wa kifikra kama mawazo huru yanazingatiwa husaidia kutufikisha kwenye mafanikio.

      Ni ajabu wengi humu hudiriki kusema Zitto hastahili kulinganishwa na Mnyika, Lema nk, lakini ukiichambua cdm utagundua kwamba Zitto anahistoria ndefu yaliyokiletea chama mafanikio.. yawezekana kabisa asilingane na hao anaolinganishwa nao. Tuweke ushabiki pembeni tujadili hoja, kisiasa kuna mengi ya kupitia na yeye kwa sasa kuna mambo kadhaa yanamgharimu (kama la kutangaza kuwania urais 2015) lakini historia ya mema aliyoyafanya haifutiki na si kigezo cha kumshusha hadhi kiasi cha kumlinganisha na Shibuda. Lema namfahamu naye ananifahamu.. ukweli ana safari ndefu ya kisiasa lakini anaonekana anaanza kuimudu. Mnyika ni komavu kwenye siasa za upinzani na bado anazidi kujijengea umaarufu kama wengine, hivyo kuna kila sababu ya kujali mchango wa kila mmoja kwa nafasi yake.
      fredmlay likes this.

    13. #490
      Kima Mchanga's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 3rd October 2011
      Location : Dynamic
      Posts : 4,501
      Rep Power : 11226
      Likes Received
      608
      Likes Given
      446

      Default Re: Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

      Zittn yu kigeu geu na mara kadhaa tumesikia akifanya alliance na Rostam Aziz pamoja na Jk hvyo hafai.
      Dr Slaa ni chaguo sahihi kwa uraisi wa Tanzania.

    14. #491
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,909
      Rep Power : 6889
      Likes Received
      2734
      Likes Given
      34

      Default Re: Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

      Yaani mnamlinganisha Zitto na Dr Slaa,mnamatatizo nyie!Slaa ni habari nyingine!

    15. #492
      OPORO's Avatar
      Member Array
      Join Date : 22nd April 2012
      Posts : 59
      Rep Power : 368
      Likes Received
      14
      Likes Given
      5

      Default Re: Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

      Quote By Molemo
      Hii nidharau kubwa.Huwezi kupambanisha Barcelona FC na Lipuli ya Iringa.
      Zitto kugombea urais wa nchi au rais wa kuomba na kupokea rushwa

    16. #493
      zumbemkuu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 11th September 2010
      Location : street dweller
      Posts : 5,334
      Rep Power : 2001
      Likes Received
      2119
      Likes Given
      7819

      Default Re: Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

      Quote By Molemo
      Ni kweli mkuu lakini itasaidia kukata kilimilimi cha wafuasi wa Magamba hapa jamvini.Na ndiyo maana vibaraka nguli wa Magamba hapa JF wanachungulia tu hii thread na kukimbia.
      ndo waliofungua ID nyingi nyingi mpya ili wampigie kibaraka mwenzao kura lakinibado naona hazitoshi, nimeshangazwa kupata 15% badala ya 0.001%
      "watakaotubeza na kututukana wasameheni wanahitaji ukombozi wa fikra" Mh.G.Lema

    17. #494
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,250
      Rep Power : 1542
      Likes Received
      769
      Likes Given
      52

      Default Re: Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

      add my vote for dr. Slaa

    18. #495
      muhosni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2011
      Location : Right here
      Posts : 1,101
      Rep Power : 648
      Likes Received
      133
      Likes Given
      80

      Default Re: Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

      Weka kura yangu kwa daktari, Mfumo wenu unakataa kunipa fursa ya kupiga kura

    19. #496
      Sipendi Ubepari's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th January 2012
      Posts : 219
      Rep Power : 415
      Likes Received
      26
      Likes Given
      9

      Default

      Haiwezekani kupiga kura kwa kutumia simu ya mkononi, Ukitumia Computer inawezekana.
      Quote By muhosni
      Weka kura yangu kwa daktari, Mfumo wenu unakataa kunipa fursa ya kupiga kura

    20. #497
      Laurence's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th June 2011
      Location : ULIMWENGUNI
      Posts : 2,043
      Rep Power : 1394
      Likes Received
      175
      Likes Given
      41

      Default Re: Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

      Niwekee kura yangu kwa Dr Slaa maana huyu kwangu ndio kila kitu,hakuna cha Zitto wala nn maana amekua kibaraka cha wezi

    21. #498
      Sipendi Ubepari's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th January 2012
      Posts : 219
      Rep Power : 415
      Likes Received
      26
      Likes Given
      9

      Default

      Quote By Molemo
      Ni kweli mkuu lakini itasaidia kukata kilimilimi cha wafuasi wa Magamba hapa jamvini.Na ndiyo maana vibaraka nguli wa Magamba hapa JF wanachungulia tu hii thread na kukimbia.
      Kumbe kelele nyingi sana za vyura ni 15.78% tu?. Hizi kweli hazitamzuia tembo(84.22%) kunywa maji. Pro ccms wanajilaumu sana kwenye kura hii ya maoni.

    22. #499
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,439
      Rep Power : 10877
      Likes Received
      3814
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By Sipendi Ubepari
      Kumbe kelele nyingi sana za vyura ni 15.78% tu?. Hizi kweli hazitamzuia tembo(84.22%) kunywa maji. Pro ccms wanajilaumu sana kwenye kura hii ya maoni.
      Na tena hizi ni baada ya juhudi kubwa za Magamba kusajili ID mpya mpya kibao ili waondoe aibu.Laiti ingekuwa ni wanachama wa CDM tu wanashiriki hili zoezi basi matokeo yangekuwa ni 99% Vs 1%

    23. #500
      Hassbaby's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th June 2011
      Posts : 24
      Rep Power : 405
      Likes Received
      1
      Likes Given
      4

    Page 25 of 46 FirstFirst ... 15232425262735 ... LastLast

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...