Tuache kelele nyingi, kama ungepewa mamlaka ya kumteua kati ya Zitto Zuberi Kabwe ama Wilbroad Peter Slaa kugombea nafasi ya urais mwaka 2015. Ni nani ungemteua? Na Kwa Nini? Toa sababu kuu nne TU.
Zitto Z. Kabwe
Wilbrod P. Slaa
Tuache kelele nyingi, kama ungepewa mamlaka ya kumteua kati ya Zitto Zuberi Kabwe ama Wilbroad Peter Slaa kugombea nafasi ya urais mwaka 2015. Ni nani ungemteua? Na Kwa Nini? Toa sababu kuu nne TU.
Last edited by Kijana Msomali; 27th July 2012 at 11:53.
Mpaka sasa hakuna mtu mwenye uwezo wa kugombea uraisi kama DR SLAA KUTOKA CHADEMA
Nadhani yapaswa kutofautisha kati ya uwezo wa kujenga hoja na uwezo wa kuongoza. Dr slaa anavyo vyote, zito ni mjenga hoja na sio kiongozi na tena ana uchu na madaraka kama ndugu yake kafulila.lakini tungependa tuone anatoka salama kwenye kashfa ya rushwa na kama atapatikana basi tutajua kumbe naye ni pandikizi la mafisadi
DR slaa hakunaga chadema is a powerfull man in Tz
Kutoka fursa kwa wapiga kura ungeongeza C: Wote hawafai hivyo Mimi nachagua C
Yaelekea wengi humu si watu wa busara, mtoa mada kauliza swali.na.kaomba sababu basi kama wewe unaona Zitto anafaa au The Dr. anafaa zaidi toa sababu ulizoombwa.. ni vyema ukawa unatoa hoja na si kuponda bila hoja.
Hata kama maada siipendi nimepiga kura yangu!
Dr. Slaa.
Ana msimamo thabithi, mjenga hoja, kiongozi bora na asiyependa ufisadi.
Dr.slaa 4rever.............!
Ni mjenga hoja, jasiri mithili ya God lema, hana bei, Mpiganaji kama mitili ya martin luther King Jr.
Zitto ashindanishwe na Shibuda, ndo viwango vyake na ndo mtu wa aina yake. Mwizi huyu kijana hafai kulinganishwa na wenywe busara na akili kama Dr. Slaa au Mnyika.
Padri huwa hastaafu Slaa ni padri muasi ! Ameshindwa ya mungu ataweza ya Kaisari?
Dr slaa ni kiongozi mzuri,mwenye msimamo na mwenye kusimamia kile anachokifahamu,hana ubia na viongozi uchwara,ni mtu mwenye kuguswa na maisha ya mtanzania,moja ya wazalendo waliobakia ndani ya nchi hii,zitto siyo kwamba hawezi lakini bado analo jukumu la kuthibitisha uhalisia wa yale anayoyasema kwa watanzania ili kuondoa mashaka juu yake hivyo kwa miaka mitatu hii sidhani kama ataweza,dr slaa anaexperience sana na uchaguzi mkuu hususan nafasi ya rais hivyo anajua wapi pa kupeleka mashambulizi na anajua mapungufu ya uchaguzi uliopita,mwisho Dr slaa bado ni tumaini jipya kwa watanzania.
Follow Us Here