Tuache kelele nyingi, kama ungepewa mamlaka ya kumteua kati ya Zitto Zuberi Kabwe ama Wilbroad Peter Slaa kugombea nafasi ya urais mwaka 2015. Ni nani ungemteua? Na Kwa Nini? Toa sababu kuu nne TU.
Zitto Z. Kabwe
Wilbrod P. Slaa
Tuache kelele nyingi, kama ungepewa mamlaka ya kumteua kati ya Zitto Zuberi Kabwe ama Wilbroad Peter Slaa kugombea nafasi ya urais mwaka 2015. Ni nani ungemteua? Na Kwa Nini? Toa sababu kuu nne TU.
Last edited by Kijana Msomali; 27th July 2012 at 11:53.
Dr Slaa kesha set standard za siasa za Tanzania. Ni yeye aliyedhubutu kuibua hoja ambazo awali hazikuweza kujadiliwa. Yafaa tumpe nafasi aweze kuiweka Tanzania kwenye njia itakayo faa lwa watanzania wote. Zitto ameweza kupata sifa kwa kuwa karibu na Slaa. Asijisahau akifikiri anaweza kuchukua nafasi wakati huu. Bado Slaa ni mwiba mchungu/mzito na wenye makali kote.
SLAA NI KIONGOZI SHUPAVU
Alhaj Ommari
....both dont deserve!.... Slaa is too aggresive to be a presd n Zitto has no true colors!
Slaa........ The Chosen One........
" Umeme hauna kiuno lakini Unakatika. "
1.Dr. Slaa keshamaliza ujana.
2.Hataenda kuitumia ikulu kama nafasi ya kujionyesha kuwa ni mwenye mamlaka.
3.He is serious...mpaka sasa hajanunulika(ingawa siwezi jua kwa undani....ila mpaka sasa haijatokea kashafa yeyote inayoweza kuthibitisha hilo) kwa case hii itakuwa ni vigumu kumuonea mtu haya.
4.Kwa kuzingatia uchaguzi wa 2010, jamaa hakushinda kwa sababu nya nguvu za mtu, alishinda kwa nguvu za umma, ni rahisi kuutumikia umma, so hatakuwa mtumwa wa matajiri na watu binafsi pindi aingiapo ikulu.
Ziko million...kunyume za hizo mpe zito.
CONFIDENCE IS WHAT AM LOOKING FOR.... NOT HAPPINESS
dr slaa
Mimi nisingejali ukwasi wake lakini suala la uraisi kwa sasa tuwaachie wanachama wapime uweledi wa wale watakapambanishwa wakati mwafaka.
kwa hiyo hawa wana JF wote wanaomuunga mkono Dr Slaa ni wachagga?
Naungana na wenzangu katika hili: Zitto ni mtoto mdogo sana kisiasa na hata wered ukimlinganisha na slaa, embu angalia uwezo wa kiutendaji wa zitto kama katibu msaidizi na slaa kama katibu mkuu, angalia pia msimamo katika mambo ya msingi yenye maslahi ya chama utamwona zitto yuko nyuma, zitto anafanya siasa za kisasa ambazo kwa Tz bado sana, isitoshe anashindwa kuendana na mikakati ya chama ili kufika malengo
Siku moja kwa mwanasiasa ni kama miaka mitano vile, kwa sasa Zitto Kabwe hana sifa hata ya kuwa balozi wa nyumba kumi, anahusishwa na hujuma za kupokea rushwa na kufanya biashara na Tanesco, Ukimpa urais atauza mpaka Hewa
safi sana, wana CDM tutalumbana sana hapa lakini tukumbuke hata 2010 Dr.SLAA hakuchukua fomu ya kugombea peke yake, walikuwepo na wengine lakini yeye akachaguliwa na tukamuunga mkono, na hili la Zitto na Dr tuliache maana atakayechaguliwa hata kama siyo wao tutaweka tofauti zetu pembeni tumuunge mkono.
TUSIWE KAMA MAGAMBA 'CCM'.
Waliosema Slaa wote wa mrengo ule wa CDU.
System At Work
"nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe
Follow Us Here