JokaKuu It's Ok,
Nakuomba uvae viatu vya Katibu Mkuu Maswi at least kwa muda!! Unaingia ofisini, unakuta Tanesco wananunua lita moja ya mafuta mazito kwa sh.2000/= toka JokaKuu Petroleum Ltd. Mara, anakujia MD wa NasDaz Petroleum Products anakupa umbeya (ukitaka, unaweza ita hata fitina) kwamba, hao JokaKuu Petroleum Products lazima wawauzie mafuta kwa bei ya juu kwakuwa huwa hawaagizi wenyewe moja kwa moja bali wananunua kwetu kwa sh.1,500/=!! Nawe kama Katibu Mkuu unamuuliza MD wa NasDaz, ni kwanini hamuuzi wenyewe hayo mafuta moja kwa moja kwa TANESCO ili wawe wananunua kwa hiyo bei ya Sh. 1,500/=! MD huyu anakujibu kwamba wanashindwa kuuza kwa TANESCO kwavile wao hawakushinda tenda hiyo!
Tell me SIR, as a Permanent Secretary of Ministry Of Energy; baada ya kusikia hayo utachukua hatua gani?! Will you go on relying on procedures which suck every coin available in the hands of TANESCO au utakiuka procedures provided u're sure it will help TANESCO to minimize operative cost?!
Now let's be back to the common sense!! Kwamba, Puma Energy walitoa bei ya juu sana kiasi kwamba wakakosa hiyo tender. Kama kigezo ni bei, ina maana huyo ambae alishinda tenda yeye alitoa bei ya chini kuliko Puma Energy! Na kwenye zabuni yoyote; it's all about business war among competing companies! So, unachotaka kuniambia mkuu wangu JokaKuu ni kwamba, hiyo kampuni baada ya kushinda tenda na Puma kushindwa; bado Puma wakakata shauri la kuwauzia hao rivals wao mafuta kwa bei ya chini iliyowawezesha kuuza kwa TANESCO kama ambavyo mkataba wao ulivyotaka?! Yaani walikata shauri la kuwauzia mafuta rivals wao kwa bei ya chini ili baadae wakapige majungu kwa katibu mkuu!!! Does it bring any sense! Ungeniambia kwamba Puma walipandisha mafuta yao ili rivals wao wasiweze kununua na hivyo kushindwa ku-fullfil terms walizokubaliana na TANESCO, hapo at least ingeingia akilini na kinyume chake inaonesha ni ama kutapatapa kwa kambi ya Mhando au bado hawajawa wajuvi wa kujitetea kama ambavyo Mhando tayari amethibitiha....si unaona hapa mkuu wangu..." Mhando alikiri kuitambua kampuni hiyo akidai ya kuwa kwa sasa, kampuni hiyo si mali ya familia yake bali mkewe, Eva..." Jibu hilo la Mhando lina maana kubwa sana kuliko unavyoweza kufikiria!! Hapa inaonesha wazi kwamba Mhando amebananishwa kwenye kona! Mtu wa aina hii, huwa hana tena ujasiri; si wa mwili tu, bali hadi akili! Network huwa inakata, tangu kwenye ubongo, hadi joints za mwili! Ni kama mtu aliyefumaniwa na mke wa mtu!! Mzee wa miaka 60 aliyefumaniwa, anaweza kujikuta anatoa shikamoo kwa kijana wa miaka 30, aliyemfumania! Si kwa lengo la kumlainisha, la hasha.....!!!
Follow Us Here