Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Sheria Mpya ya Mafao Haiwagusi Wabunge na Viongozi Wengine Wakubwa?

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 43
    1. #1
      wikolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Posts : 454
      Rep Power : 526
      Likes Received
      131
      Likes Given
      60

      Default Sheria Mpya ya Mafao Haiwagusi Wabunge na Viongozi Wengine Wakubwa?

      Wana JF,

      Nimedokezwa kuwa sheria mpya ya mafao ina kifungu cha 43 (6) ambacho kinasomeka kama ifuatavyo:

      ''This act shall apply to a person or employee employed in the formal or informal or self-employed in the mainland Tanzania and shall not apply to a person who has been insured or registered under any other law.''

      Alichonieleza mdokezaji wangu ni kwamba kifungu hiki kinawaondoa wabunge na viongozi wengine wa juu katika ile kadhia ya kusubiri hadi miaka 55 au 60. Kwa maana hiyo, wabunge kwa mfano, wakishamaliza ile miaka 5 watachukua pesa zao kama kawaida.

      Kuna mwenye kujua zaidi juu ya hili?
      Asprin likes this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Lambardi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th February 2008
      Location : KITAANI ZAIDI
      Posts : 4,523
      Rep Power : 1797
      Likes Received
      654
      Likes Given
      0

      Default Re: Sheria Mpya ya Mafao Haiwagusi Wabunge na Viongozi Wengine Wakubwa?

      Mkakati unaandaliwa na wadau wote kuungana na kuanzisha mtandao wa kupiga kura za hasira kwa walio madarakani..wafanyakazi wote na wategemezi wao wote tupate wapiga kuura 6mil tu, wote wanaochezea pesa za jasho letu watatoka kwa aibu na kutuachia nchi yetu na serikali mpya itakayoweza kuboresha maslahi na mafao yetu!

      Wanachezea pesa kwenye miradi yao ya siasa kesho wanazuia pesa zetu milele hadi miaka 55?hawajamshirikisha mdau yeyote,nani amewapa mamlaka hayo?

      Wanasema madai migodi,hivi wafanyakazi ni migodi tu?? Watajuta kukurupuka
      Chimunguru and Msalagambwe like this.

    4. #3
      The last don's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd August 2011
      Location : Tanganyika
      Posts : 350
      Rep Power : 465
      Likes Received
      116
      Likes Given
      31

      Default Re: Sheria Mpya ya Mafao Haiwagusi Wabunge na Viongozi Wengine Wakubwa?

      Quote By wikolo
      Wana JF,

      Nimedokezwa kuwa sheria mpya ya mafao ina kifungu cha 43 (6) ambacho kinasomeka kama ifuatavyo:

      ''This act shall apply to a person or employee employed in the formal or informal or self-employed in the mainland Tanzania and shall not apply to a person who has been insured or registered under any other law.''

      Alichonieleza mdokezaji wangu ni kwamba kifungu hiki kinawaondoa wabunge na viongozi wengine wa juu katika ile kadhia ya kusubiri hadi miaka 55 au 60. Kwa maana hiyo, wabunge kwa mfano, wakishamaliza ile miaka 5 watachukua pesa zao kama kawaida.

      Kuna mwenye kujua zaidi juu ya hili?

      Ebanaa dah hili linawezekana kabisa,ndio maana kwa wepesi kabisa wameamua kupitisha mswaada kandamizi kama huu...

    5. #4
      Consultant's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2008
      Location : N/A
      Posts : 1,348
      Rep Power : 827
      Likes Received
      106
      Likes Given
      69

      Default Re: Sheria Mpya ya Mafao Haiwagusi Wabunge na Viongozi Wengine Wakubwa?

      Kwenye sheria hiyo kuna kifungu chochote kinachoelezea namna gani amount itakavyokokotolewa na kupata kiasi stahiki cha kumlipa mtu wakati amefikisha miaka 55? Kwa mfano - leo hii nina miaka 25 na kazi imeisha wakati nina milioni 3 NSSF. Baada ya miaka 30, pesa yangu itakuwa ''imekua'' kwa kiwango kile kile (in terms of value)?
      LBG likes this.
      It's true that money cannot buy happiness, but I would rather cry in Mercedez than on a Motorcycle

    6. #5
      Ndibalema's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2008
      Location : Mbagala
      Posts : 6,628
      Rep Power : 2006
      Likes Received
      1649
      Likes Given
      1620

      Default Re: Sheria Mpya ya Mafao Haiwagusi Wabunge na Viongozi Wengine Wakubwa?

      Quote By Consultant
      Kwenye sheria hiyo kuna kifungu chochote kinachoelezea namna gani amount itakavyokokotolewa na kupata kiasi stahiki cha kumlipa mtu wakati amefikisha miaka 55? Kwa mfano - leo hii nina miaka 25 na kazi imeisha wakati nina milioni 3 NSSF. Baada ya miaka 30, pesa yangu itakuwa ''imekua'' kwa kiwango kile kile (in terms of value)?
      Mkuu pesa ni ile ile hata kama utafikisha miaka 55 baada ya miaka 40. Tena unapewa pesa yako bila riba ikiwezekana utaipata baada ya kufurumishiwa mabomu ya machozi na virungu vya FFU kama wastaafu wa East African Community.
      "Makalio ya sufuria hayaogopi moto"

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Chimunguru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2009
      Posts : 7,795
      Rep Power : 2149
      Likes Received
      1222
      Likes Given
      545

      Default Re: Sheria Mpya ya Mafao Haiwagusi Wabunge na Viongozi Wengine Wakubwa?

      Quote By Skills4Ever
      Mkakati unaandaliwa na wadau wote kuungana na kuanzisha mtandao wa kupiga kura za hasira kwa walio madarakani..wafanyakazi wote na wategemezi wao wote tupate wapiga kuura 6mil tu ,wote wanaochezea pesa za jasho letu watatoka kwa aibu na kutuachia nchi yetu na serikali mpya itakayoweza kuboresha maslahi na mafao yetu!wanachezea pesa kwenye miradi yao ya siasa kesho wanazuia pesa zetu milele hadi miaka 55?hawajamshirikisha mdau yeyote,nani amewapa mamlaka hayo?wanasema madai migodi,hivi wafanyakazi ni migodi tu??watajuta kukurupuka
      Mdau thanx alot kwa taarifa, kweli wakati umefika wa sisi wafanyakazi kuamka sasa, kwanza jamaa alishasema hahitaji kura zetu.
      mizambwa and LBG like this.

    9. #7
      Scofied's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Location : A-City
      Posts : 1,278
      Rep Power : 606
      Likes Received
      332
      Likes Given
      58

      Default Re: Sheria Mpya ya Mafao Haiwagusi Wabunge na Viongozi Wengine Wakubwa?

      modes naomba mturuhusu tutukane hapa at least tuonyeshe hasira zetu,hawa vilaza magamba wanakera sana...yaani wao wamejiexclude??????
      mizambwa and LBG like this.

    10. #8
      MpendaCHADEMA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd March 2012
      Posts : 52
      Rep Power : 371
      Likes Received
      8
      Likes Given
      2

      Default Re: Sheria Mpya ya Mafao Haiwagusi Wabunge na Viongozi Wengine Wakubwa?

      Quote By Chimunguru
      Mdau thanx alot kwa taarifa, kweli wakati umefika wa sisi wafanyakazi kuamka sasa, kwanza jamaa alishasema hahitaji kura zetu.
      hv itaanza lini hii sheria?
      LBG likes this.

    11. #9
      Mbugi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2011
      Location : BOX 2063 MBEYA
      Posts : 818
      Rep Power : 587
      Likes Received
      83
      Likes Given
      13

      Default Re: Sheria Mpya ya Mafao Haiwagusi Wabunge na Viongozi Wengine Wakubwa?

      kama kuna mwenye marekebisho ya sheria (soft copy) aturushie tuione hapa tafadhali?

    12. #10
      Chimunguru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2009
      Posts : 7,795
      Rep Power : 2149
      Likes Received
      1222
      Likes Given
      545

      Default Re: Sheria Mpya ya Mafao Haiwagusi Wabunge na Viongozi Wengine Wakubwa?

      Quote By MpendaCHADEMA
      hv itaanza lini hii sheria?
      ishaanza toka 1st july, dhaifu kesha sign tayari

    13. #11
      Cathode Rays's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 3rd November 2011
      Location : Singita-Usanda
      Posts : 498
      Rep Power : 485
      Likes Received
      365
      Likes Given
      222

      Default Re: Sheria Mpya ya Mafao Haiwagusi Wabunge na Viongozi Wengine Wakubwa?

      Kama nitashindwa kuandaa maisha yangu nitakapokuwa mzee je fijifedha hivi vitanifaa nini at 55 or 60? Wakati fulani nasema ni hiyo tu ni sheria kukatwa Social Security contributions ila kama sivyo kuna wengine kwa nature ya ofisi zetu tungeweza ku-invest na kufanya kitu.

      Kwa mfano ninakofanya kazi tuna SACCOS ambayo kama fedha inayoenda NSSF ningeweka kama mchango kwenye SACCOS ningekikuta ndani ya miaka miwili nimeweka michango ya kutosha kiasi cha kuweza hata kukopa 15M na kufanya kitu cha maendeleo kuliko fedha hizi kukaa NSSF na kuwanufaisha wao huku nikilanishwa kufikia 55....

      Wakati mwingine nalazimika kuwaza hii mifuko iwepo kwa WALE WAZEMBE AMBAO HAWAWEZI ANDAA UZEE WAO LEO WAWAPO VIJANA WAKINGOJA HADI WAWE WAZEE WAJIPANGE MISTARI NSSF kuomba fedha za kuendeshea uzee wao.... KATI YA YOTE, SAUTI KWA WANACHAMA NI LAZIMA, tusiende kwa kuburuzana, TUPEWE SAUTI YA KUAMUA
      LBG likes this.

    14. #12
      Consultant's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2008
      Location : N/A
      Posts : 1,348
      Rep Power : 827
      Likes Received
      106
      Likes Given
      69

      Default Re: Sheria Mpya ya Mafao Haiwagusi Wabunge na Viongozi Wengine Wakubwa?

      Quote By Ndibalema
      Mkuu pesa ni ile ile hata kama utafikisha miaka 55 baada ya miaka 40. Tena unapewa pesa yako bila riba ikiwezekana utaipata baada ya kufurumishiwa mabomu ya machozi na virungu vya FFU kama wastaafu wa East African Community.
      Sasa huu ni us....nge aisee. Wabunge walikuwa wapi wakati huu upuuzi unapita? au haikusomwa bungeni?
      Ndibalema, mizambwa and LBG like this.
      It's true that money cannot buy happiness, but I would rather cry in Mercedez than on a Motorcycle

    15. #13
      Bebrn's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th March 2008
      Posts : 87
      Rep Power : 587
      Likes Received
      17
      Likes Given
      12

      Default Re: Sheria Mpya ya Mafao Haiwagusi Wabunge na Viongozi Wengine Wakubwa?

      ymani hilo limeshapitishwa sasa tunaomba solution tufanye nn ili tulizuie?

    16. #14
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,533
      Rep Power : 1263
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      28

      Default Re: Sheria Mpya ya Mafao Haiwagusi Wabunge na Viongozi Wengine Wakubwa?

      Quote By The last don
      Ebanaa dah hili linawezekana kabisa,ndio maana kwa wepesi kabisa wameamua kupitisha mswaada kandamizi kama huu...[/FONT]
      walijua wakichanganya na wabunge basi haitapitishwa bungeni...yaani nchi kuna tabaka mbili...serikali na wananchi hizo ni vitu viwili tofauti kabisa coz wao wanaendelea kupeana wakati wanazidi kuchukua hiki kidogo cha kwetu
      mizambwa likes this.
      Every saint has a past, every sinner has a future' ...Oscar Wilde

      One man's good fortune is another man's misfortune


    17. #15
      Scofied's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Location : A-City
      Posts : 1,278
      Rep Power : 606
      Likes Received
      332
      Likes Given
      58

      Default Re: Sheria Mpya ya Mafao Haiwagusi Wabunge na Viongozi Wengine Wakubwa?

      Quote By Consultant
      Sasa huu ni us....nge aisee. Wabunge walikuwa wapi wakati huu upuuzi unapita? au haikusomwa bungeni?
      hata me nashangaa hawa wawakilishi wetu walikuwa wap? na mpaka leo siku ya nne hakuna hata mmoja aliyelitplea ufafanuzi hapa...Hakika wametusaliti na wanastahili adhabu...

    18. #16
      Asa79's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th July 2012
      Posts : 591
      Rep Power : 463
      Likes Received
      162
      Likes Given
      10

      Default Re: Sheria Mpya ya Mafao Haiwagusi Wabunge na Viongozi Wengine Wakubwa?

      Nafikiri inatakiwa tena kwa amri waiondoe haraka sana hiyo sheria ya kihuni kwani hasira tulizo nazo hazipimiki. Ccm na kikwete wasiwafanye watz mazuzu kiasi hicho. Kwa suala hili ni bora serikali iendelee kuuwa watu kwa style ya dr. Ulimboka kuliko kujaribu kuchezea hela zetu kiasi hiko

    19. #17
      commited's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2012
      Posts : 822
      Rep Power : 529
      Likes Received
      276
      Likes Given
      19

      Default Re: Sheria Mpya ya Mafao Haiwagusi Wabunge na Viongozi Wengine Wakubwa?

      wakuu nimechoka na hiyo newz... hawa jamaa hawatutakii mema... niliingia kwa hiari na NSSF sasa inakuwaje wanilazimishe kubaki milele... nikifa kabla sijafikisha hiyo 50-55 maana yake mafao yangu yamekwenda kwa mafisadi bure, jamani jasho la mtu linaliwa hivihivi??? hawa wabunge woote njaa na ubinafsi umewajaaa woote ni wakunyonga tuuu... hawana maana kabisa naskia ilipitishwa katika kikao cha mwezi april 2012....ndugu tuamke,,.... tunaibiwa kila sehemu sasa wengine tupo vikampuni binafsi leo upo kesho haupo unaajiriwa mwaka huu mwaka ujao haupo so hata hicho kidogo nilichokijenga kinachukuliwa tena..... daaah kweli lazima tufanye kitu watanzania... na hiyo sheria haiwagusi mawaziri wala wabunge... hata hao vigogo wengineo wa serikalio... naona jamaa wamejipanga kutukamua mpaka damu.... S....NZIIIII ZAO...... AJIRA ZENYEWE ZAKUUNGA UNGA HALAFU LEO WATULETEA UROFA... HATUNA RAISI WALA WABUNGE WOTE NI WASALITI WAKUBWA....

    20. #18
      Wimana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Posts : 1,047
      Rep Power : 557
      Likes Received
      281
      Likes Given
      180

      Default Re: Sheria Mpya ya Mafao Haiwagusi Wabunge na Viongozi Wengine Wakubwa?

      Wateuliwa wote, RCs, DCs na Wabunge hawaguswagi na sheria za Social Securty, muda wao wa kuwa kazini (kama ni miaka 5) huwa wanachukua kiinua mgongo chao.

    21. #19
      commited's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2012
      Posts : 822
      Rep Power : 529
      Likes Received
      276
      Likes Given
      19

      Default Re: Sheria Mpya ya Mafao Haiwagusi Wabunge na Viongozi Wengine Wakubwa?

      Quote By scofied
      hata me nashangaa hawa wawakilishi wetu walikuwa wap? Na mpaka leo siku ya nne hakuna hata mmoja aliyelitplea ufafanuzi hapa...hakika wametusaliti na wanastahili adhabu...


      hatuna wawakilishi mkuu... Wote ni wezi na wasaliti tuu.. Wako pale kinjaa tu vyama vyote ni mafedhuli tu... Leo lao anzia serikali nikuona mtanzania anakufa maskini miaka 50 ya uhuru watu wanakufa hata kwa kukosa mlo mmoja tu kwa siku leo unapita majukwaani eti maisha bora kwa kila mtanzania... Huku unasaini masheria ya kishetani haya.... Nani mwenye uhakika wa miaka hiyo 50.... Mkataba wangu na mwajili wangu ni wa miaka 50???? Nadhani nchi imelaaniwa hii... Hv uliona wapi duniani jasho la mtu linaliwa hivi//// akhaaaaaraaaaaaaaa mpaka hasira wakuuuu

    22. LBG
      #20
      LBG's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th May 2012
      Location : KIGALI
      Posts : 52
      Rep Power : 365
      Likes Received
      14
      Likes Given
      76

      Default Re: Sheria Mpya ya Mafao Haiwagusi Wabunge na Viongozi Wengine Wakubwa?

      "If you can't convince them, confuse them."-Harry S Truman (American 33rd president of the United States, 1884-1972)

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...