Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Malawi Wameonyesha Njia - Je Tanzania Tutaweza?

    Report Post
    Results 1 to 6 of 6
    1. #1
      Kakalende's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st December 2006
      Posts : 2,911
      Rep Power : 1228
      Likes Received
      381
      Likes Given
      371

      Default Malawi Wameonyesha Njia - Je Tanzania Tutaweza?

      Wakati Dr. Bingu wa Mutharika alipoamua kupambana na mafisadi nchini mwake, wengi hawakuamini kama atafanikiwa. Mambo yalikuwa magumu hadi akalazimika kukiacha CHAMA kilichomweka madarakani.

      Mafisadi nao wakatangaza vita dhidi ya raisi huyo na ikapita mizengwe mingi sana bungeni wakijaribu kuifanya serikali yake ishindwe kufanya kazi na wakati fulani wabunge ambao wengi wao ni mafisadi walijaribu kukwamisha miswada ya serikali ikiwemo bajeti.

      Sasa katika uchaguzi huu wananchi wa Malawi wamesema kwa kauli nzito kwamba wako nyuma ya kiongozi wao katika mapambano haya kwa kumchagua kwa karibia 70%

      SWALI hapa ni kama hata sisi tunaweza? JK yuko tayari kuiacha CCM tukamuunga mkono? Wadau Tujadili!



      Malawi president wins re-election

      Malawi's President Bingu wa Mutharika has won a second five-year term in office, according to the country's electoral commission. The commission said that he had won 2.7 million votes, with his nearest rival John Tembo winning 1.2 million.
      Mr Tembo has alleged that there was election fraud.
      The new president is due to be inaugurated on Friday, and several regional leaders are already in Malawi to attend the swearing-in ceremony.
      "I declare Bingu wa Mutharika, president of the DPP (Democratic Progressive Party), winner of 2009 presidential elections," said commission head Anastacia Msosa.
      The result was declared after 93% of polling stations had submitted their figures.
      Mr Mutharika, a 75-year-old former World Bank official, saw his DPP taking a clear lead in parliamentary elections as well.

      BBC News

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      PakaJimmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2009
      Posts : 14,680
      Rep Power : 22519
      Likes Received
      6330
      Likes Given
      2831

      Default Re: Malawi Wameonyesha Njia - Je Tanzania Tutaweza?

      Quote By Kakalende
      Wakati Dr. Bingu wa Mutharika alipoamua kupambana na mafisadi nchini mwake, wengi hawakuamini kama atafanikiwa. Mambo yalikuwa magumu hadi akalazimika kukiacha CHAMA kilichomweka madarakani.

      Mafisadi nao wakatangaza vita dhidi ya raisi huyo na ikapita mizengwe mingi sana bungeni wakijaribu kuifanya serikali yake ishindwe kufanya kazi na wakati fulani wabunge ambao wengi wao ni mafisadi walijaribu kukwamisha miswada ya serikali ikiwemo bajeti.

      Sasa katika uchaguzi huu wananchi wa Malawi wamesema kwa kauli nzito kwamba wako nyuma ya kiongozi wao katika mapambano haya kwa kumchagua kwa karibia 70%

      SWALI hapa ni kama hata sisi tunaweza? JK yuko tayari kuiacha CCM tukamuunga mkono? Wadau Tujadili!

      YES-WE CAN!

      Hiyo Mjomba tunaiweza- just the matter of deciding na

      kuweka hasira zetu kwenye ballot box.

      Ila JK mmmhhh!!, si rahisi akabadilika, coz anaogopa

      kuhukumiwa na historia ya chama!

      Labda akina Kingunge et al wawe wamesafiri!

    4. #3
      MzalendoHalisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2007
      Posts : 3,942
      Rep Power : 1396
      Likes Received
      72
      Likes Given
      120

      Default Re: Malawi Wameonyesha Njia - Je Tanzania Tutaweza?

      JK je anaweza kuwa na huo ujasiri??

      Hana huo ujasiri!
      Uadilifu Kiwe Kigezo Muhimu Zaidi Kuwa Kiongozi Tanzania Kwa Sasa!

    5. #4
      Rwabugiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th July 2007
      Posts : 2,731
      Rep Power : 1156
      Likes Received
      66
      Likes Given
      31

      Default Re: Malawi Wameonyesha Njia - Je Tanzania Tutaweza?

      Quote By Mzalendohalisi
      JK je anaweza kuwa na huo ujasiri??

      Hana huo ujasiri!

      Mhhh.. JK has failed us big time.. we need a stonger person than him!

    6. #5
      Kakalende's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st December 2006
      Posts : 2,911
      Rep Power : 1228
      Likes Received
      381
      Likes Given
      371

      Default Re: Malawi Wameonyesha Njia - Je Tanzania Tutaweza?

      Tuangalie mazoea yetu katika uchaguzi;

      Je, watanzania wako tayari kumchagua mtu bila kupewa zawadi za kanga na fulana?

      Itawezekana mtu makini kuteuliwa kugombea nafasi ya kisiasa bila kupitisha bahasha za RUSHWA kwa wajumbe wa kamati za vyama? (HILI NI WOTE SISIEMU NA WAPINZANI)

      Iwapo tuliwapigia kura viongozi kwa kuhongwa vijizawadi na bakhshishi; tunawashangaa nini wanapoingia ofisini na kuanza kujilimbikizia mali?

      Wakati tunapiga kelele kumkimbiza mwizi/fisadi, hakika hayuko peke yake, ana kundi kubwa la watanzania nyuma yake wanaotegemea kufanikisha maisha kwa njia za mkato. Tuliona jinsi wenzetu walivyokimbilia kupanda 'mbegu' kule DECI huku wakijua hakuna biashara yoyote inayozaa faida kiasi hicho.

      TUNAHITAJI MAPINDUZI YA UTAMADUNI!

    7. Miaka 50

    8. #6
      MzalendoHalisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2007
      Posts : 3,942
      Rep Power : 1396
      Likes Received
      72
      Likes Given
      120

      Default Re: Malawi Wameonyesha Njia - Je Tanzania Tutaweza?

      Hivi JK akijitoa CCM na kuanzisha chama kingine-katiba yetu inasemaje- bado atakuwa raisi??
      Uadilifu Kiwe Kigezo Muhimu Zaidi Kuwa Kiongozi Tanzania Kwa Sasa!

    9. Study Abroad

    Similar Topics

    1. Somalia,DRC & Malawi are poorer than Tanzania, Viva CCM
      By Mvaa Tai in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 14
      Last Post: 4th March 2011, 20:44
    2. E-voting without fraud - Tanzania tutaweza?
      By epigenetics in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 3
      Last Post: 19th November 2010, 23:41
    3. JK na CCM wameonyesha sura zao halisi
      By Kalunguine in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 1
      Last Post: 31st October 2010, 19:51
    4. Tanzania, Malawi: Solve border case
      By BabuK in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 0
      Last Post: 15th September 2010, 06:10

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...