Re: Mwigulu nchemba;mbowe aliponitaka niache upuuzi wangu,nikarudia tena baada ya siku chache

By
Determine
Jana ktk hali isiyotarajiwa Mwingulu Nchemba alikiri kutoa matamko ya kuudhi kwa CDM,alisema alipotupa budget ya upinzani,Mh Mbowe alimtaka aache tabia za ajabu km hiyo,lakini yeye NCHEMBA akasema aliponiambia hvyo nikarudia tena kwa kusema sijui nini ...CDM na sebule. n.k
mytake.. CCM wampeleke Haraka Milembe huyu mtu,na ikiwezekana asiruhusiwe kuhutubia kabla ya hotuba zake kuhaririwa,lasivyo anashiriki kwa kiwango cha juu sana kuiua CCM DHAIFU
Hajui analolifanya,anatumika tu huyo,ni suala la muda tu!
We can not Reverse the past,but we can learn from it!
Follow Us Here