Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Meli ya Kisasa Kuzinduliwa Karibuni na Kampuni ya Azam Marine

    Report Post
    Results 1 to 16 of 16
    1. #1
      abdulahsaf's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st August 2010
      Posts : 860
      Rep Power : 719
      Likes Received
      123
      Likes Given
      1

      Default Meli ya Kisasa Kuzinduliwa Karibuni na Kampuni ya Azam Marine






      Meli ya kisasa karibuni kuzinduliwa inauwezo kubeba magari 200, abiria 1500 na Mizigo tani 500.
      KAMPUNI ya Usafiri wa baharini ya Azam Marine inatarajia kuzindua meli kubwa ya kisasa kwa ajili ya abiria waendao Dar es Salaam, Pemba na Unguja.
      Meneja Mkuu wa kampuni hiyo Hussein Mohamed Said, amesema Julai 15 mwaka huu meli hiyo yenye urefu wa mita 100 itazinduliwa. Mohamedi alisema shida ya usafiri itapungua kwa asilimia kubwa kutokana na meli hiyo kuwa na uwezo wa kubeba abiria 1500, Mizigo tani 500 na magari 200 ambapo abiria atakae jisikia kwenda na gari lake Zanzibar, Pemba au Dar es Salaam ataweza kufanya hivyo.
      Waziri Mwenye dhamana ya Mawasiliano na Miundombinu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Hamadi Masoud, alithibitisha kwamba anataaarifa za ujio wa meli hiyo ambayo alisema kwa kiasi kikubwa itakuwa ni ya kutoa huduma tu na siyakutengeneza faida. Meli hiyo inauwezo wa kwenda kasi ya notkomail 20
      Chanzo: Zanzinews

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Mwiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Posts : 4,594
      Rep Power : 2085
      Likes Received
      223
      Likes Given
      19

      Default Re: Meli ya Kisasa Kuzinduliwa Karibuni na Kampuni ya Azam Marine

      Hii labda itaenda Pemba tu ,huku Tanganyika itakuwa weshafunga mipaka na wamenuna.
      Light travels faster than sound. This is why some people appear bright until you hear them speak.

    4. #3
      Nyetk's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2012
      Posts : 1,029
      Rep Power : 682
      Likes Received
      574
      Likes Given
      593

      Default Re: Meli ya Kisasa Kuzinduliwa Karibuni na Kampuni ya Azam Marine

      Tatizo ni kwamba itakapoanza kufanya kazi itabeba watu 15,000 badala ya 1,500 na tani 5,000 badala ya 500 and nobody will question hadi itakapowazamisha!

    5. #4
      silent lion's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th February 2012
      Posts : 191
      Rep Power : 403
      Likes Received
      28
      Likes Given
      0

      Default Re: Meli ya Kisasa Kuzinduliwa Karibuni na Kampuni ya Azam Marine

      May God bless Azam Marine and Bakhressa. amin

    6. #5
      OLESAIDIMU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2011
      Posts : 1,242
      Rep Power : 733
      Likes Received
      494
      Likes Given
      470

      Default Re: Meli ya Kisasa Kuzinduliwa Karibuni na Kampuni ya Azam Marine

      Sasa hapa ndo swali la kuwa huyu mwenye kampuni ya Azam ana uwezo zaid ya serikali huwa linarudi akilini mwangu kila ninapojitahidi kuweka uwiano wa vitega uchumi vyake na rasilimali za nchi hii...........


      Well let me let it go ...............ntapata wazimu bure !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
      Hegemony is unlikely ever to be complete (A. Gramsci)

    7. Miaka 50

    8. #6
      PrN-kazi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 2,213
      Rep Power : 5359
      Likes Received
      292
      Likes Given
      4

      Default Re: Meli ya Kisasa Kuzinduliwa Karibuni na Kampuni ya Azam Marine

      sisi wa Ziwa Victoria (Bukoba-Mwanza) tunasubiri ahadi ya Mh. JK sijui ni lini itatekelezwa.

    9. #7
      engmtolera's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2010
      Posts : 3,614
      Rep Power : 1332
      Likes Received
      781
      Likes Given
      656

      Default Re: Meli ya Kisasa Kuzinduliwa Karibuni na Kampuni ya Azam Marine

      haya,haija isha matumizi yake huko ilikotoka?
      maana tanzania ni sehemu ya majaribio
      "The person who says it cannot be done should not interrupt the person doing it."

    10. #8
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,739
      Rep Power : 10180
      Likes Received
      5676
      Likes Given
      12666

      Default Re: Meli ya Kisasa Kuzinduliwa Karibuni na Kampuni ya Azam Marine

      Quote By PrN-kazi
      sisi wa Ziwa Victoria (Bukoba-Mwanza) tunasubiri ahadi ya Mh. JK sijui ni lini itatekelezwa.
      labda itatimizwa 2020
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    11. #9
      Bobuk's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 2,069
      Rep Power : 923
      Likes Received
      837
      Likes Given
      0

      Default Re: Meli ya Kisasa Kuzinduliwa Karibuni na Kampuni ya Azam Marine

      Jamani hii ni hatua ya kupongezwa ya Said Bakhressa.

      Mimi ninashauri hiyo Meli ikaguliwe na kusajiliwa na SUMATRA maana hao ZMA wameshaingiliwa DUDUMIZI.

      Lakini pia hii isiwe kichaka cha kutomuwajibisha huyo waziri Hamoud Massoud!

    12. #10
      simplemind's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th April 2009
      Posts : 2,849
      Rep Power : 1156
      Likes Received
      509
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By OLESAIDIMU
      Sasa hapa ndo swali la kuwa huyu mwenye kampuni ya Azam ana uwezo zaid ya serikali huwa linarudi akilini mwangu kila ninapojitahidi kuweka uwiano wa vitega uchumi vyake na rasilimali za nchi hii...........


      Well let me let it go ...............ntapata wazimu bure !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
      kwa vyovyote vile ni kampuni yenye mafanikio makubwa inastahili kuwa case study elimu ya biashara. Nini siri ya mafanikio ya Azam wana MBA?

    13. #11
      Bobuk's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 2,069
      Rep Power : 923
      Likes Received
      837
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By PrN-kazi
      sisi wa Ziwa Victoria (Bukoba-Mwanza) tunasubiri ahadi ya Mh. JK sijui ni lini itatekelezwa.
      Muangukieni Bakhressa! Baniani mbaya kiatu chake dawa.

      Kama wewe una muani JK, the you will believe anything in this world.

      Hata watu wa KIGOMA wanasubiri KIGOMA ifanywe kuwa Dubai ya Tanzania.

    14. #12
      Micro E coli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2011
      Posts : 552
      Rep Power : 492
      Likes Received
      103
      Likes Given
      88

      Default Re: Meli ya Kisasa Kuzinduliwa Karibuni na Kampuni ya Azam Marine

      Sisi wa shinyanga tunasubiri treni ya umeme na kigoma yetu kuwa dubai ya Tanzania.

    15. #13
      Mpita Njia's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd March 2008
      Posts : 6,703
      Rep Power : 3255
      Likes Received
      984
      Likes Given
      757

      Default Re: Meli ya Kisasa Kuzinduliwa Karibuni na Kampuni ya Azam Marine

      Imetengenezwa lini na wapi kabla ya kuletwa nchini?
      I assume full responsibility for my actions, except the ones that are someone else's fault.

    16. #14
      Mlitika's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd March 2012
      Posts : 411
      Rep Power : 519
      Likes Received
      223
      Likes Given
      319

      Default Re: Meli ya Kisasa Kuzinduliwa Karibuni na Kampuni ya Azam Marine

      Quote By abdulahsaf
      Meli ya kisasa karibuni kuzinduliwa inauwezo kubeba magari 200, abiria 1500 na Mizigo tani 500.
      KAMPUNI ya Usafiri wa baharini ya Azam Marine inatarajia kuzindua meli kubwa ya kisasa kwa ajili ya abiria waendao Dar es Salaam, Pemba na Unguja.
      Meneja Mkuu wa kampuni hiyo Hussein Mohamed Said, amesema Julai 15 mwaka huu meli hiyo yenye urefu wa mita 100 itazinduliwa. Mohamedi alisema shida ya usafiri itapungua kwa asilimia kubwa kutokana na meli hiyo kuwa na uwezo wa kubeba abiria 1500, Mizigo tani 500 na magari 200 ambapo abiria atakae jisikia kwenda na gari lake Zanzibar, Pemba au Dar es Salaam ataweza kufanya hivyo.
      Waziri Mwenye dhamana ya Mawasiliano na Miundombinu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Hamadi Masoud, alithibitisha kwamba anataaarifa za ujio wa meli hiyo ambayo alisema kwa kiasi kikubwa itakuwa ni ya kutoa huduma tu na siyakutengeneza faida. Meli hiyo inauwezo wa kwenda kasi ya notkomail 20
      Chanzo: Zanzinews
      Kauli ya waziri inatatanisha na ina harufu ya ufisadi. Kwani yeye ni msemaji wa kampunu ya Azam? Azam watoe huduma bila faida wamekuwa serikali? Kwa kauli kama hii mnategemea serikali itaifanyia ukaguzi meli hiyo kubaini kama inakidhi vigezo vya ubora kabla ya kuruhusu ianze kazi?

      Quote By Mpita Njia
      Imetengenezwa lini na wapi kabla ya kuletwa nchini?
      Watatueleza itakapozama,
      Mpita Njia and Nyetk like this.

    17. #15
      MAMMAMIA's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 25th February 2008
      Location : Near You
      Posts : 3,794
      Rep Power : 3257
      Likes Received
      1496
      Likes Given
      1206

      Default Re: Meli ya Kisasa Kuzinduliwa Karibuni na Kampuni ya Azam Marine

      Quote By abdulahsaf
      Meneja Mkuu wa kampuni hiyo Hussein Mohamed Said, amesema Julai 15 mwaka huu meli hiyo yenye urefu wa mita 100 itazinduliwa.
      Chanzo: Zanzinews
      Kutokana na kichwa cha habari, ama habari imechelewa kutolewa au tarehe imekosewa kwani leo ni tarehe 22 Julai. Kwa mnaojua hili tukio, siku hiyo ya terehe 15 Julai ilizinduliwa?
      Nzi likes this.
      "JF - SAUTI YA WASIO NA SAUTI ............ na wapayukaji"

    18. #16
      MAMMAMIA's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 25th February 2008
      Location : Near You
      Posts : 3,794
      Rep Power : 3257
      Likes Received
      1496
      Likes Given
      1206

      Default Re: Meli ya Kisasa Kuzinduliwa Karibuni na Kampuni ya Azam Marine

      Quote By Bobuk
      Lakini pia hii isiwe kichaka cha kutomuwajibisha huyo waziri Hamoud Massoud!
      Huyu awe Hamuod, Humud au Mahmoud, Hamadi, Hamad, Muhamadi.....Nilianza kumchukia baada ya ajali ya mwaka jana na ninmezidi kumchukia baada ya ajali ya mwaka huu.
      "JF - SAUTI YA WASIO NA SAUTI ............ na wapayukaji"

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...