Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Msikilizeni huyu Meneja Mawasiliano wa SUMATRA David Mziray....Is he SIRIAZ...????

    Report Post
    Results 1 to 16 of 16
    1. #1
      mzee wa njaa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th June 2011
      Posts : 1,340
      Rep Power : 673
      Likes Received
      194
      Likes Given
      107

      Default Msikilizeni huyu Meneja Mawasiliano wa SUMATRA David Mziray....Is he SIRIAZ...????


      Click image for larger version. 

Name:	David-Mziray.jpg 
Views:	0 
Size:	20.0 KB 
ID:	59466

      “Mv Skagit ilikuwa na uwezo wa kubeba abiria 300 pamoja na mizigo tani 26, hivyo kulingana na idadi ya abiria 288 walioondoka katika chombo hicho isingeweza kuleta madhara kama hayo, ila tunawasiwasi waliongeza abiria njiani au mawasiliano ya hali ya hewa” Kwa mujibu wa Meneja Mawasiliano David Mziray.



      Kauli hii inaufanya umma wa watu ambao sasa ni waelewa kwa asilimia kubwa kuamini kuwa baadhi ya taasisi za serikali watendaji wake wanafanyakazi pasipo kujua wanafanya kazi gani.


      Haiwezekani leo hii useme kuwa Boti ile inawezekana iliongeza abiria njiani...sasa wapi kuna gati huko baharini na hao abiria wanatokea wapi? ilhali safari ya boti kutoka Dar es Salaam kwenda Zanzibar (Unguja) hakuna kituo hapo njiani.


      Lakini labda SUMATRA wana gati mpya Bagamoyo au Mbezi Beach huko. Ila hakika huu ni mtokoto wa mwaka 2012 na ni dharau kwa roho za watu na mali zao kwa mamlaka yenye dhamana ya kusimamiusafiri nchini.


    2. #2
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,553
      Rep Power : 5114
      Likes Received
      2603
      Likes Given
      2287

      Default Re: Msikilizeni huyu Meneja Mawasiliano wa SUMATRA David Mziray....Is he SIRIAZ...????

      Boti huwa zinaweza kupandisha abiria maeneo ya Kunduchi.
      "To greed, all nature is insufficient"

    3. #3
      Anheuser's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd March 2011
      Posts : 1,317
      Rep Power : 680
      Likes Received
      338
      Likes Given
      138

      Default Re: Msikilizeni huyu Meneja Mawasiliano wa SUMATRA David Mziray....Is he SIRIAZ...????

      Quote By mzee wa njaa View Post
      “Mv Skagit ilikuwa na uwezo wa kubeba abiria 300 pamoja na mizigo tani 26, hivyo kulingana na idadi ya abiria 288 walioondoka katika chombo hicho isingeweza kuleta madhara kama hayo
      Mbona huwa hawasemi ilikuwa imebeba mizigo tani ngapi?

    4. #4
      simplemind's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th April 2009
      Posts : 2,950
      Rep Power : 1180
      Likes Received
      531
      Likes Given
      0

      Default Re: Msikilizeni huyu Meneja Mawasiliano wa SUMATRA David Mziray....Is he SIRIAZ...????

      Masharti ya ununuzi hayakuzingatiwa.

      -Abiria wasizidi 148
      -meli isibebe mizigo

      Siyo sahihi hata kidogo eti meli iliruhusiwa kubeba abiria 300 na mizigo tani 26.

    5. #5
      timbilimu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2010
      Location : DSM
      Posts : 2,718
      Rep Power : 989
      Likes Received
      598
      Likes Given
      10

      Default

      Quote By simplemind View Post
      Masharti ya ununuzi hayakuzingatiwa.

      -Abiria wasizidi 148
      -meli isibebe mizigo

      Siyo sahihi hata kidogo eti meli iliruhusiwa kubeba abiria 300 na mizigo tani 26.
      watawala wetu bado wanafanya kazi kwa mazoea/kizamani sana,hawajui kama kuna mjadala unaendelea huko Marekani kuhusu hiyo feri iliyopinduka na kuzama!


    6. #6
      Ndibalema's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2008
      Location : Mbagala
      Posts : 6,729
      Rep Power : 2030
      Likes Received
      1697
      Likes Given
      1697

      Default Re: Msikilizeni huyu Meneja Mawasiliano wa SUMATRA David Mziray....Is he SIRIAZ...????

      Mwisho tutaambiwa hata ATCL nayo inapakiza abiria njiani.
      "Makalio ya sufuria hayaogopi moto"

    7. #7
      Mama Mdogo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st November 2007
      Posts : 1,382
      Rep Power : 867
      Likes Received
      719
      Likes Given
      75

      Default Re: Msikilizeni huyu Meneja Mawasiliano wa SUMATRA David Mziray....Is he SIRIAZ...????

      The m.v. SKAGIT was designed to carry a maximum of 230 passengers. The passenger-only ferry and a sister, the KALAMA were constructed in 1989 at Halter Marine in New Orleans, Louisiana. The original design of the boats was based on vessels that serviced off-shore oil rigs in the Gulf Of Mexico. An extra deck of superstructure was added to accommodate additional passengers. The boxy design of the cabin decks and the low twin funnels on either side gave the ferries a rather ungainly appearance. The SKAGIT went by the official number: D949140, call sign: WAA6309 and had a length of 112 feet, beam of 25 feet and a draft of 8 feet. The pair were ordered for service on Puget Sound but were laid up on arrival when there were no funds available to operate them. With the Loma Prieta earthquake in the San Francisco Bay area, the twins were loaned to that city to ferry passengers while the Bay Bridge was temporarily closed. After returning north, the 25 knot ferries entered service but met with complaints regarding erosion caused by their large wakes and their propensity to roll in the waves. They ultimately met with success when the route was transferred between Vashon Island and downtown Seattle. Washington State Ferries decided to discontinue their passenger-only service after the summer of 2009 with the SKAGIT and KALAMA being declared surplus. In an interesting move, the state tried unsuccessfully to sell them on eBay. They were finally sold in 2011 and taken to Tanzania where they operated for the Seagull Company between the mainland and Zanzibar.

      Source:

      MV SKAGIT, Former U.S. Ferry Capsizes Off Tanzanian Coast | MaritimeMatters

      Maajabu toka SUMATRA, meli yenye designed maximum capacity ya passenger 230 inatetewa kuwa uwezo wa kubeba abiria 300 pamoja na mizigo tani 26. Meli iliyokuwa na ugonjwa wa kuyumba ikipigwa na mawimbi hapa kwetu inaonekana inafaa!!! Kweli Tanzania kichwa cha mwenda wazimu,
      Anyone who has never made a mistake has never tried anything new - Albert Einstein
      No problem can be solved from the same level of consciousness that created it
      - Albert Einstein


    8. #8
      ELFU-ONEIR's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 27th June 2012
      Posts : 183
      Rep Power : 462
      Likes Received
      63
      Likes Given
      41

      Default Re: Msikilizeni huyu Meneja Mawasiliano wa SUMATRA David Mziray....Is he SIRIAZ...????

      Hii melim ilipelekwa mombasa ambapo kuna"gereji" ya kuzirekebisha na ikaongezewa urefu hivyo ingekua na uwezo wa kuchukua abiria zaidi kuliko ilivyotengenezwa (japokua sii salama)

    9. #9
      Mokerema's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th November 2011
      Posts : 236
      Rep Power : 431
      Likes Received
      117
      Likes Given
      84

      Default

      Quote By Mama Mdogo View Post
      The m.v. SKAGIT was designed to carry a maximum of 230 passengers. The passenger-only ferry and a sister, the KALAMA were constructed in 1989 at Halter Marine in New Orleans, Louisiana. The original design of the boats was based on vessels that serviced off-shore oil rigs in the Gulf Of Mexico. An extra deck of superstructure was added to accommodate additional passengers. The boxy design of the cabin decks and the low twin funnels on either side gave the ferries a rather ungainly appearance. The SKAGIT went by the official number: D949140, call sign: WAA6309 and had a length of 112 feet, beam of 25 feet and a draft of 8 feet. The pair were ordered for service on Puget Sound but were laid up on arrival when there were no funds available to operate them. With the Loma Prieta earthquake in the San Francisco Bay area, the twins were loaned to that city to ferry passengers while the Bay Bridge was temporarily closed. After returning north, the 25 knot ferries entered service but met with complaints regarding erosion caused by their large wakes and their propensity to roll in the waves. They ultimately met with success when the route was transferred between Vashon Island and downtown Seattle. Washington State Ferries decided to discontinue their passenger-only service after the summer of 2009 with the SKAGIT and KALAMA being declared surplus. In an interesting move, the state tried unsuccessfully to sell them on eBay. They were finally sold in 2011 and taken to Tanzania where they operated for the Seagull Company between the mainland and Zanzibar.

      Source:

      MV SKAGIT, Former U.S. Ferry Capsizes Off Tanzanian Coast | MaritimeMatters

      Maajabu toka SUMATRA, meli yenye designed maximum capacity ya passenger 230 inatetewa kuwa uwezo wa kubeba abiria 300 pamoja na mizigo tani 26. Meli iliyokuwa na ugonjwa wa kuyumba ikipigwa na mawimbi hapa kwetu inaonekana inafaa!!! Kweli Tanzania kichwa cha mwenda wazimu,
      Uko sahihi kabisa, this can only happen in Tanzania . Utanikumbusha jinsi Omari Nundu alivyokuwa anashupalia tununue vitu vichakavu including Ndege na injini za gari moshi . Hii Tabia ya wafanyakazi wa serikali na wanasiasa kutokufanya biashara.

      Vituko ni vingi mno CCM walianza kurushusu mitumba ya nguo soksi na chupi, wakaendelea na Magari madogo ya watu binafsi wakaendelea hadi wakaruhusu kutumia chai maharage kubeba abiria .
      Hadithi inaendelea wakaruhusu hiace kubeba abiria Leo hii wameruhusu pikipiki kubeba abiria na Kikwete ameamua kuruhusu Bajaji ziwe ambulance . Sitashangaa kesho baiskeli zikaruhusiwa kubeba abiria ili kupunguza foleni Dar.
      Kama tusipoiondoa ccm madarakani hata kwa kutumia staili ya Libya we are to see a lot of funny undertakings by ccm how do you exempt tax over 1.2 Trillion shillings and bow to EU wakupatie Euro milioni 136 kwa mbwembe na huku fedha zikielekezwa kwenye mambo ya kipuuzi yasiyo endelevu??

    10. #10
      Samkyjr's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Posts : 324
      Rep Power : 482
      Likes Received
      40
      Likes Given
      21

      Default Re: Msikilizeni huyu Meneja Mawasiliano wa SUMATRA David Mziray....Is he SIRIAZ...????

      Hawa sumatra sijawahi kusikia au kuona mafanikio yao.

    11. #11
      Kassim Awadh's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Posts : 600
      Rep Power : 487
      Likes Received
      108
      Likes Given
      816

      Default Re: Msikilizeni huyu Meneja Mawasiliano wa SUMATRA David Mziray....Is he SIRIAZ...????

      Quote By Samkyjr View Post
      Hawa sumatra sijawahi kusikia au kuona mafanikio yao.
      Sasa hivi wamekomaa wanasema hawasajili gari for daladala yenye zaidi ya mwaka 2004 tokea kutengenezwa labda ndo mafanikio

    12. #12
      Katavi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 31st August 2009
      Location : Lyamba Lya Mfipa
      Posts : 19,929
      Rep Power : 16838
      Likes Received
      2640
      Likes Given
      2033

      Default Re: Msikilizeni huyu Meneja Mawasiliano wa SUMATRA David Mziray....Is he SIRIAZ...????

      Hii kali kuwa huenda ilipakia abiria njiani.....!

    13. #13
      Kirokolo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 22nd December 2008
      Posts : 87
      Rep Power : 552
      Likes Received
      16
      Likes Given
      1

      Default Re: Msikilizeni huyu Meneja Mawasiliano wa SUMATRA David Mziray....Is he SIRIAZ...????

      Mziray could better zip his XL mouth.

    14. #14
      Njaa Mbaya's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th July 2012
      Posts : 155
      Rep Power : 381
      Likes Received
      26
      Likes Given
      88

      Default Re: Msikilizeni huyu Meneja Mawasiliano wa SUMATRA David Mziray....Is he SIRIAZ...????

      Hii yote ni kwa sababu wanajua watanzania wengi huwa wanashau mapema mambo ya msingi na hata kwenye kuchagua viongozi watanzania hawako serious ndiyo maana jamaa wanachezea tu maisha yetu wanajua hakuna wa kuwahadhibu maana mwenye kura yake (mtanzania) hayuko seriuous sasa kwa nini jamaa asitoe majibu ya kipuuzi. Ninavyojua meli kabla ya kuondoka lazima ofisa wa SUMATRA apite sehemu wanazokaa abiria akague kuhakikisha kila abiria amekaa kwenye seat na hakuna abiria aliyezidi na ndipo anaruhusu meli kuondoka lakini hapa hawafanyi. Hivi sasa ni hatari kupanda ndege,basi na hata meli maana hakuna taasisi zinazotuhakikishia usalama wa hivyo vyombo ni hatari kubwa unapokuwa huna taasisi inayomuhakikishia mwananchi usalama wake anapokuwa anasafiri itafikia watu wataanza kuogopa kusafiri na ndiyo mwanzo wa kuanguka kwa uchumi

    15. #15
      MAMMAMIA's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 25th February 2008
      Location : Near You
      Posts : 3,794
      Rep Power : 3261
      Likes Received
      1496
      Likes Given
      1206

      Default Re: Msikilizeni huyu Meneja Mawasiliano wa SUMATRA David Mziray....Is he SIRIAZ...????

      Quote By ELFU-ONEIR View Post
      Hii melim ilipelekwa mombasa ambapo kuna"gereji" ya kuzirekebisha na ikaongezewa urefu hivyo ingekua na uwezo wa kuchukua abiria zaidi kuliko ilivyotengenezwa (japokua sii salama)
      Wewe nawe! Punda ana uwezo wa kubeba watu wawili, huwezi kumfunga kiti nyuma ili abebe zaidi.
      Back to the topic: Usishangae kuwa huyo meneja wa SUMATRA hawahi hata kuiona bahari ndio maana akasema hivyo. Njia ya Bahari DAR-ZNZ si barabara ya Posta-Mwenge.
      Last edited by MAMMAMIA; 22nd July 2012 at 14:02.
      "JF - SAUTI YA WASIO NA SAUTI ............ na wapayukaji"

    16. #16
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,384
      Rep Power : 2663
      Likes Received
      3053
      Likes Given
      13989

      Default

      Punda afe, mzigo wa bwana ufike.

      Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...