Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nape: Marando futa kauli kuwa CCM tuna mashine ya kutunga SMS za kihuni...

    Report Post
    Page 3 of 7 FirstFirst 12345 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 134
    1. #1
      only83's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Dodoma-Mjengoni
      Posts : 4,204
      Rep Power : 1859
      Likes Received
      1445
      Likes Given
      1560

      Default Nape: Marando futa kauli kuwa CCM tuna mashine ya kutunga SMS za kihuni...

      ........Nape amemtaka Marando afute kauli au adhibitishe kauli yake. Nae Mwigulu kaonyesha kimemo alichoandikiwa na kamanda Mbowe na kusema kuwa kilikuwa na lugha kali sana, na amesema kuna siku kamanda Mbowe alienda akampiga biti live akiwa na Chiligati.

      Source : ITV
      bathrum likes this.
      "Problems can not be solved by the same level of thinking that created them"
      "Matatizo hayawezi kutatuliwa na uwezo ule ule mdogo wa watawala wa CCM walioyasababisha"





    2. #41
      Tumaini Makene's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2012
      Posts : 1,151
      Rep Power : 8929
      Likes Received
      2521
      Likes Given
      772

      Default Re: Nape: Marando futa kauli kuwa CCM tuna mashine ya kutunga SMS za kihuni....

      Quote By Mwita Maranya View Post
      Leo kaongea kwa upole sana. Bila shaka ni kwa sababu anatambua umahiri wa Marando.
      Amang'ana gisalekile. Ni kazi ngumu sana kukanusha kitu ambacho roho, mwili, akili vinakubaliana nacho. Lila na Fila havitangamani.
      "Nothing in the world is more dangerous than sincere ignorance and conscientious stupidity." Martin Luther King

    3. #42
      payroll's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st July 2012
      Posts : 21
      Rep Power : 352
      Likes Received
      3
      Likes Given
      13

      Default Re: Nape: Marando futa kauli kuwa CCM tuna mashine ya kutunga SMS za kihuni....

      Quote By Elizabeth Dominic View Post
      wangetumia tu busara ya kunyamaza yaishe maana washalikoroga vya kutosha..............kiwango cha jeuri na rabsha anazoleta Mwigulu sijui uwa anafikiriaga consequences zake au anafanya kwakuwa anaweza.............2015 si mbali ujue.........tic toc.........tic toc
      dada usiwashangae magamba ndio kawaida ya kitu kikiwa karibu ya kufa,,, "kumbikumbi akikaribia kufa huotesha mabawa''

    4. #43
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : Tandhaniya
      Posts : 4,497
      Rep Power : 1291
      Likes Received
      1242
      Likes Given
      1267

      Default Re: Nape: Marando futa kauli kuwa CCM tuna mashine ya kutunga SMS za kihuni....

      naona nape kaingia cha kike... anafikiri huwa huyu jamaa anakurupuka kama wao??

    5. #44
      Seif al Islam's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2011
      Posts : 1,165
      Rep Power : 560
      Likes Received
      271
      Likes Given
      425

      Default Re: Kama CCM hawamiliki mtambo wa message waende mahakamani

      Kwani unafikiri hawamjui marando?

    6. #45
      kibai's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st January 2012
      Posts : 160
      Rep Power : 405
      Likes Received
      34
      Likes Given
      27

      Default Re: Nape: Marando futa kauli kuwa CCM tuna mashine ya kutunga SMS za kihuni....

      Kitu kinacho nisumbua sana sasa hivi ni kwanini hao wenye mtandao wao kimya hadi leo, kwanini wasiseme ukweli kama hiyo sms kweli ilipita kwao baada yaMarando kusema ni mtambo feki umefanya hivyo ili wajenge credibility, maana wabunge ni watu wakubwa sana, na kwa sababu tuliambiwa tusajili ili kuzuia uhalifu kwanini wasiseme sasa, au huyo DCI anashondwa nini kusema ukweli wakati anajua anaweza kusema kamasimu ya Mh. Mnyika ilitumika na vifaa anavyo! mi najua anavyo, cyber... wana kila kitu cha kujua kila aina ya mawasiliano yaliyofanywa kwenye simu, hata ukibadili line!
      Quote By Hofstede View Post
      Nape anataka kuleta Siasa za Bunge la makinda la kikangaroo. Thibitisha au futa ni fimbo yao ya bungeni, hizi ndiyo siasa sasa. Kitakachofuata ni kwamba kwa kuwa Mwigulu alitoa kauli ya kutumiwa ujumbe, maana yake ni kwamba Nape na group lake kama watampeleka Marando Mahakamani asipofuta au thibitisha basi wanatakiwa hizo SMS za kwenye simu ya Mwigulu zisifutwe na zipelekwe mahakamani kama kielelezo. Then wakati kesi inaendelea itahitajika kampuni ya simu ya wabunge waliotuma ujumbe kuja mahakamani kuthibitisha kwa vielelezo SMS hizo kuwa zilipitia kwenye mtambo yao kutoka kwenye simu yenye IMEI ya simu ya mbunge na namba ambazo kwa sasa zimesajiliwa. Mchezo huu wa kitoto wa Nape na Mwigulu uta-backfire kuna vichwa vipo juu sana kwenye IT. Kama Mwigulu ka-delete zile SMS basi hawana ubavu wa kumfikisha Marando mahakamani kama ndiyo nia yao.

      Then kama kampuni ya simu ikishindwa kufanya hivyo na kutoa ushahidi wa maneno tu maana yake wanashirikiana na CCM kwenye hili na hivyo itakuwa ni fair game kwa CDM kuanza kukampeni wanachama na wapenzi wao kutoitumia kampuni hiyo ya simu.

      Kama ikionekana kuwa SMS hizo hazina signal kwenye mitambo ya kampuni ya simu ya mbunge aliyetuma sms hizo, basi Mwigulu aeleze sms hizo ziliingiaje kwenye simu yake bila kupitia kwenye transmitter za kampuni ya simu ya mtu aliyezituma. Katika hili ni kwamba Marando anajua anachofanya na Nape na CCM yake imekula kwao.


    7. #46
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Planet Nibiru
      Posts : 11,595
      Rep Power : 42534
      Likes Received
      5100
      Likes Given
      4370

      Default Re: Kama CCM hawamiliki mtambo wa message waende mahakamani

      Mahakama si zao!,waende tuone

    8. #47
      Gwaje's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 214
      Rep Power : 480
      Likes Received
      34
      Likes Given
      400

      Default Re: Nape: Marando futa kauli kuwa CCM tuna mashine ya kutunga SMS za kihuni....

      Serikali sasa inaumbuka kweupe kabisa

    9. #48
      Hofstede's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2007
      Posts : 3,604
      Rep Power : 21345
      Likes Received
      981
      Likes Given
      988

      Default Re: Nape: Marando futa kauli kuwa CCM tuna mashine ya kutunga SMS za kihuni....

      Quote By kibai View Post
      Kitu kinacho nisumbua sana sasa hivi ni kwanini hao wenye mtandao wao kimya hadi leo, kwanini wasiseme ukweli kama hiyo sms kweli ilipita kwao baada yaMarando kusema ni mtambo feki umefanya hivyo ili wajenge credibility, maana wabunge ni watu wakubwa sana, na kwa sababu tuliambiwa tusajili ili kuzuia uhalifu kwanini wasiseme sasa, au huyo DCI anashondwa nini kusema ukweli wakati anajua anaweza kusema kamasimu ya Mh. Mnyika ilitumika na vifaa anavyo! mi najua anavyo, cyber... wana kila kitu cha kujua kila aina ya mawasiliano yaliyofanywa kwenye simu, hata ukibadili line!
      Kwa nini wajibu wakati wao hawana mitambo feki?, halafu hiyo siyo kazi yao, wao kazi yao ni biashara na pale wanapoitwa mahakamani kutoa ushahidi unaohusiana na biashara yao watasema na kuonesha ushahidi wa kitechnolojia. Mtambo feki unamilikiwa na CCM siyo makampuni ya simu. kinachoanywa na mtambo feki wa CCM ni interception na kutuma feki SMS kitu ambacho makampuni ya simu yatathibitisha mahakamani muda ukifika.

    10. #49
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,798
      Rep Power : 19852
      Likes Received
      4414
      Likes Given
      1744

      Default Re: Nape: Marando futa kauli kuwa CCM tuna mashine ya kutunga SMS za kihuni....

      Yan kama mtu amefatilia alivyo kuwa anaongea mwingul(Burn) na waandishi wa habari bila shaka hatopingana nami kuwa Mwingulu ana laana kubwa!

      Namnukuu
      "Nilitupa budget yao chini"
      yan maneno kama haya haya wezwi kuongewa na mtu ambaye hana laana.
      Kweli mtu mzima una wambia waandishi kuwa ulitupa budget ya upinzani na wananchi wanakusikia,watu walijua ili kuwa hasira lakini ina shangaza kujitamba kwa kitendo cha kitoto!

      Eti mtu mzima una sema niliwambia wana ukabila na wakatuma sms wanasema tuache na ukabila wetu, hivi inaingia akilini cdm wakwambie hivyo?

      Yan kama utapata nafasi ya kuangalia wewe mwenyewe ulivyo kuwa unaongea na ujilinganishe na Nape utaona tofauti yenu yani hata kuongea ujui yan kama mtoto!

      Yan laana ni mbaya sana na usababisha mtu kuropoka. Sikutegemea kama wewe na Nape mtajichanganya namna hiyo!

      Na bora umeonekana na watu wameona laana uliyo nayo!

    11. #50
      Luluka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2011
      Posts : 586
      Rep Power : 571
      Likes Received
      119
      Likes Given
      89

      Default Re: Nape: Marando futa kauli kuwa CCM tuna mashine ya kutunga SMS za kihuni....

      Mwigulu nchemba ni mp.uuzi aliyepitiliza.huwa nikimuona nasikia kichefuchefu.

    12. #51
      sabasita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th October 2009
      Location : HOLLYWOOD
      Posts : 1,013
      Rep Power : 692
      Likes Received
      153
      Likes Given
      137

      Default Re: Nape: Marando futa kauli kuwa CCM tuna mashine ya kutunga SMS za kihuni....

      yaani mpaka raha kwanini bunge lisiwe mwaka mzima bonge la comedy

    13. #52
      Mongoiwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Posts : 478
      Rep Power : 673
      Likes Received
      52
      Likes Given
      23

      Default Re: Nape: Marando futa kauli kuwa CCM tuna mashine ya kutunga SMS za kihuni....

      Hii barua anayodai kuwa ya Mbowe ni hii nimeipata kwenye FaceBook ya Nape, ila wanajisumbua na hizi propaganda zao.Click image for larger version. 

Name:	BF.jpg 
Views:	0 
Size:	24.2 KB 
ID:	59455
      Nchi yangu inaangamia kwa kukosa maarifa ya Viongozi

    14. #53
      Kimbunga's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Kisiwani Juma
      Posts : 7,545
      Rep Power : 6186
      Likes Received
      3112
      Likes Given
      1025

      Default Re: Nape: Marando futa kauli kuwa CCM tuna mashine ya kutunga SMS za kihuni....

      Mtambo wa simu, umesimikwa wapi? Marando kaniangusha angetamka kinagaubaga nani mwenye mtambo. Angemtaja na kumwambia kama unaona si kweli nenda mahakamani ili utendewe haki sasa anasema hamtaji kisha anasema aende mahakamani. Marando anajua sheria vizuri tu bila kutaja mtu na kusema ni mtoto wa kiongozi wa CCM hiwezi pelekwa mahakamani, nani akupeleke mahakamani sasa? Mtoto wa kiongozi wa CCM; kiongozi gani? Watoto wa viongozi wa CCM wapo weeeeengi! Angekuwa specific lakini huu ni usanii tu wa kisiasa.

    15. #54
      Kipimbwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th July 2011
      Posts : 269
      Rep Power : 453
      Likes Received
      29
      Likes Given
      20

      Default Re: Nape: Marando futa kauli kuwa CCM tuna mashine ya kutunga SMS za kihuni....

      Wapi N junior jibu basi bro

    16. #55
      Bartazar's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2011
      Posts : 449
      Rep Power : 479
      Likes Received
      67
      Likes Given
      29

      Default Re: Nape: Marando futa kauli kuwa CCM tuna mashine ya kutunga SMS za kihuni....

      Akili ndogo kuongoza akili kubwa!

    17. #56
      Honey K's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2008
      Posts : 628
      Rep Power : 525
      Likes Received
      67
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Genecius Kaiza View Post
      Atakuwa anamsikia tu, asiombe kukutana naye uso kwa uso kisheria!!!
      Pengine wewe na wenzako ndo hamnijui vizuri. Ntawakumbusha kiduchu, muulize Marando nilimfanya nini kwenye mdahalo wa Tanzania Tuitakayo!

      Marando yupi mnayemtetea hapa? Huyu ambaye akipanda jukwaa la siasa nahubiri watuhumiwa wa pesa za EPA ni mafisadi, halafu akivaa kola ya Uwakili anasimama mahakamani kuwatetea?! ( najua mtasema yeye wakili, kwahiyo atatetea hata muuaji, ndo maana anatetea kampuni haramu ya Mzee Mtei na ataka watanzania waamini ni Chama cha siasa ?!!

      Nauliza Marando huyuhuyu aliyekurupuka nilipomsema Katibu Mkuu wake wa Chama Dr. Slaa kuwa halipii kodi mshahara wake wa 12mii., akadai nilikula pesa za EPA kupitia mteja wake mmoja, alipobanwa na huyo mteja akakurupuka tena KWA MAANDISHI, akaomba radhi na kudai ALOTUMWA NA CHAMA CHAKE KUNICHAFUA KWA KUWA NILIMCHAFUA KATIBU MKUU WAKE.

      SITAKI KUAMINI MARANDO MZEE NINAYEMUHESHIMU SANA NI WAKILI ANAYEWEZA KUTETEA MAMBO ASIYOYAJUA NA KUYAAMINI???! huko naomba nisifike nakaamini hivyo, kwani itakuwa mbaya sana.

    18. #57
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,661
      Rep Power : 4023
      Likes Received
      2944
      Likes Given
      5072

      Default Re: Nape: Marando futa kauli kuwa CCM tuna mashine ya kutunga SMS za kihuni....

      Hizi siasa za maji taka siku si nyingi zitawasambaratisha walioziasisi na wanaoendelea kuzipigia debe. Walianza kwa kumchafua Dr. Salim A. Salim wakati ule wa kumpata mgombea urais mwaka 2005. Naona hawana hata idea mwisho wake zitawarudia walioziasisi. Yangu macho!
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    19. #58
      Konya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th June 2011
      Posts : 831
      Rep Power : 573
      Likes Received
      81
      Likes Given
      1

      Default Re: Nape: Marando futa kauli kuwa CCM tuna mashine ya kutunga SMS za kihuni....

      cha msingi nape angekuwa straight tu kuwa bwana marando athibitishe au aleze uhusika wa ccm,serikali au huyo mtoto wa kigogo kwenye hiyo scandal na pia angetueleza hatua ambazo wamejipanga kuchukua endapo kama marando angeshindwa kuthibitishia umma juu hizo tuhuma vinginevyo issue ya kufuta kauli labda isingekuwepo

    20. #59
      majebere's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 2,348
      Rep Power : 0
      Likes Received
      338
      Likes Given
      120

      Default

      Quote By Sisomeki View Post
      hakuna kauli sisi software engineers tunajua how its be done labda iwe zimetumwa kweli nipo tayari kutuma software link humu ambayo can verify kama was sent via victim cell phone provider au laaaa, can also be used kama ushahidi
      software engineer wa duka la mhindi kariakoo. Haya kalete hiyo link yako ulio ikotea google.

    21. #60
      Sabung'ori's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th July 2011
      Posts : 862
      Rep Power : 573
      Likes Received
      247
      Likes Given
      16

      Default

      Quote By Sisomeki View Post
      the original sms sent must been seen and copied from the cell phone then ilinganishwe na centre number na serial number za sim card job done
      ...mmmh!...safi saaana, ukweli huwa haupote njia hata siku moja...mkuu endelea kuwaonesha njia ya ukweli unapopita...
      Last edited by Sabung'ori; 21st July 2012 at 23:16.

    Page 3 of 7 FirstFirst 12345 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...