Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wafuatao wasirudi bungeni 2016...hawa ni hatari na janga kwa Taifa

    Report Post
    Page 4 of 7 FirstFirst ... 23456 ... LastLast
    Results 61 to 80 of 132
    1. #1
      mshikachuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2010
      Posts : 2,358
      Rep Power : 904
      Likes Received
      435
      Likes Given
      2288

      Default Wafuatao wasirudi bungeni 2016...hawa ni hatari na janga kwa Taifa

      Hivi wabunge hawa wafuatao walichaguliwa na nani? walijichagua wenyewe au walichaguliwa na wananchi?

      MWIGURU
      ,LUSINDE,WASIRA, E.S MANYANYA na JOHN SHIBUDA....hakika hawa si wabunge wala si wawakilishi wa wananchi, Hawa ni watu hatari sana kwa mustakabali wa Taifa letu....yaani hawa watu ni zaidi ya mashabiki wa CCM waliokunywa maji ya bendera ya chama...yaani wako teyari nchi iingie kwenye machafuko ilimradi ccm itawale milele...hawa watu ni zaidi ya propaganda.

      Ombi langu nalielekeza kwa wananchi wa majimbo husika walikotokea wabunge hawa chonde chonde hakikisheni uchaguzi wa mwaka 2015 hawa watu hamuwachagui tena.

      Pia nawaombeni viongozi wa CDM hakikisheni munapata watu bora na makini ambao mtawasimamisha kupambana na hawa watu (SUMU) kwenye majimbo husika....vinginevyo nchi itaingia kwenye machafuko ya hatari sana.

      Nawasilisha kwa hoja pana.
      Chimunguru, Mboko, Gwaje and 2 others like this.
      Signature yangu nimeihifadhi kwa mda...usiitumie



    2. #61
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,578
      Rep Power : 1611
      Likes Received
      816
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By tamuchungu View Post
      Mnyika,tobo lissu,halima mdee aka kisauti,kichaa msigwa aende mirembe,
      una 1kB brain

    3. #62
      mshikachuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2010
      Posts : 2,358
      Rep Power : 904
      Likes Received
      435
      Likes Given
      2288

      Default Re: Wafuatao wasirudi bungeni 2016...hawa ni hatari na janga kwa Taifa

      Quote By bdo View Post
      wote watang'oka ila huyo Manyanya ni Viti Maalum strategy iweje? anyway Majimbo mengi yakichukuliwa naamini na yeye atakuwa hayumo, umesahau Prof.Maji Marefu
      Huyu Manyanya 2015 lazima atagombea jimbo fulani. So hata yeye atakutana na nguvu ya Umma
      Signature yangu nimeihifadhi kwa mda...usiitumie


    4. #63
      MTENDAHAKI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd March 2011
      Posts : 512
      Rep Power : 522
      Likes Received
      62
      Likes Given
      68

      Default Re: Wafuatao wasirudi bungeni 2016...hawa ni hatari na janga kwa Taifa

      Mmetumia kanuni gani kuwasilisha hoja!mtu hatari mmoja mmemsahau ''job ndugai''

    5. #64
      mopaozi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Posts : 2,564
      Rep Power : 785
      Likes Received
      274
      Likes Given
      51

      Default Re: Wafuatao wasirudi bungeni 2016...hawa ni hatari na janga kwa Taifa

      Wenje-ubishoo tu hamna jipya naye asirudi,Mnyika analewa sana hana jipya,Lema anavuta sana, Mbowe anatanua sana asirudi,Sugu anavaa kata k tuu hamna kitu asirudi akaimbe tu hiphop uhuni, kifupi wabunge wote wa CDM wasirudi

    6. #65
      vkitina's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st January 2008
      Posts : 32
      Rep Power : 589
      Likes Received
      2
      Likes Given
      21

      Default Re: Wafuatao wasirudi bungeni 2016...hawa ni hatari na janga kwa Taifa

      Ndugai, Mabumba na Komba


    7. #66
      nanchi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th January 2012
      Posts : 55
      Rep Power : 384
      Likes Received
      6
      Likes Given
      0

      Default Re: Wafuatao wasirudi bungeni 2016...hawa ni hatari na janga kwa Taifa

      Yani huyu wasira ndo namchukia kupita wote,huyu werema nae uwezo wa kupembua mambo ni mdogo,vle vle hajitambui.

    8. #67
      Ston Merchant's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2011
      Location : Samunge
      Posts : 255
      Rep Power : 450
      Likes Received
      41
      Likes Given
      29

      Default Re: Wafuatao wasirudi bungeni 2016...hawa ni hatari na janga kwa Taifa

      Quote By mshikachuma View Post
      Hivi wabunge hawa wafuatao walichaguliwa na nani? walijichagua wenyewe au walichaguliwa na wananchi?

      MWIGURU
      ,LUSINDE,WASIRA, E.S MANYANYA na JOHN SHIBUDA....hakika hawa si wabunge wala si wawakilishi wa wananchi, Hawa ni watu hatari sana kwa mustakabali wa Taifa letu....yaani hawa watu ni zaidi ya mashabiki wa CCM waliokunywa maji ya bendera ya chama...yaani wako teyari nchi iingie kwenye machafuko ilimradi ccm itawale milele...hawa watu ni zaidi ya propaganda.

      Ombi langu nalielekeza kwa wananchi wa majimbo husika walikotokea wabunge hawa chonde chonde hakikisheni uchaguzi wa mwaka 2015 hawa watu hamuwachagui tena.

      Pia nawaombeni viongozi wa CDM hakikisheni munapata watu bora na makini ambao mtawasimamisha kupambana na hawa watu (SUMU) kwenye majimbo husika....vinginevyo nchi itaingia kwenye machafuko ya hatari sana.

      Nawasilisha kwa hoja pana.
      Umenisikitisha sana kumsahau JOB NDUGAI kwenye hii list yko...........!!!! Ni technical error au haraka ya ku post?
      " Umeme hauna kiuno lakini Unakatika. "

    9. #68
      only83's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Dodoma-Mjengoni
      Posts : 4,204
      Rep Power : 1859
      Likes Received
      1445
      Likes Given
      1560

      Default Re: Wafuatao wasirudi bungeni 2016...hawa ni hatari na janga kwa Taifa

      Quote By mshikachuma View Post
      Hivi wabunge hawa wafuatao walichaguliwa na nani? walijichagua wenyewe au walichaguliwa na wananchi?

      MWIGURU
      ,LUSINDE,WASIRA, E.S MANYANYA na JOHN SHIBUDA....hakika hawa si wabunge wala si wawakilishi wa wananchi, Hawa ni watu hatari sana kwa mustakabali wa Taifa letu....yaani hawa watu ni zaidi ya mashabiki wa CCM waliokunywa maji ya bendera ya chama...yaani wako teyari nchi iingie kwenye machafuko ilimradi ccm itawale milele...hawa watu ni zaidi ya propaganda.

      Ombi langu nalielekeza kwa wananchi wa majimbo husika walikotokea wabunge hawa chonde chonde hakikisheni uchaguzi wa mwaka 2015 hawa watu hamuwachagui tena.

      Pia nawaombeni viongozi wa CDM hakikisheni munapata watu bora na makini ambao mtawasimamisha kupambana na hawa watu (SUMU) kwenye majimbo husika....vinginevyo nchi itaingia kwenye machafuko ya hatari sana.

      Nawasilisha kwa hoja pana.
      Lukuvi
      Job Ndugai
      Stella Manyanya
      Said Mkumba
      Mrema
      Cheyo
      Gwaje likes this.
      "Problems can not be solved by the same level of thinking that created them"
      "Matatizo hayawezi kutatuliwa na uwezo ule ule mdogo wa watawala wa CCM walioyasababisha"




    10. #69
      Njaa Mbaya's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th July 2012
      Posts : 155
      Rep Power : 382
      Likes Received
      26
      Likes Given
      88

      Default Re: Wafuatao wasirudi bungeni 2016...hawa ni hatari na janga kwa Taifa

      Naunga mkono hoja hao ni mabalaa hapa TZ

    11. #70
      Bob G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : UK Manyasi
      Posts : 1,732
      Rep Power : 736
      Likes Received
      301
      Likes Given
      36

      Default Re: Wafuatao wasirudi bungeni 2016...hawa ni hatari na janga kwa Taifa

      Mi natamani wabunge wote wa ccm wangepigwa chini? maana kazi yao ni kuharibu tu kwa kupitisha bajetizisizo na tija kwa umma

    12. #71
      Eddie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2008
      Posts : 405
      Rep Power : 619
      Likes Received
      70
      Likes Given
      4

      Default Re: Wafuatao wasirudi bungeni 2016...hawa ni hatari na janga kwa Taifa

      .....Mbowe

    13. #72
      TUMBIRI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2011
      Posts : 1,876
      Rep Power : 3641
      Likes Received
      1151
      Likes Given
      288

      Default Re: Wafuatao wasirudi bungeni 2016...hawa ni hatari na janga kwa Taifa

      Quote By Father of All View Post
      Basil Mramba-Ufisadi
      Edward Lowassa-Ufisadi
      John Chenge-Ufisadi
      Anna Makinda-Ukihiyo na kuburuza bunge
      Mohamed Dewji-Ufisadi kununua ule uwanja wa Mkullo
      Mustafa Mkullo-Ufisadi
      Anna Abdallah-Ufisadi
      Mudhihir Mudhihir- Ufisadi
      Sofia Simba-Ufisadi
      Gosbert Blandess-Ufisadi
      Shukuru Kawambwa-Uzembe
      Jumanne Maghembe-Uzembe
      George Mkuchika-Ufisadi
      Adam Malima-Ufisadi na uhuni
      Mathias Chikawe-Uzembe
      John Komba-Ufisadi na Uzembe
      Mary Nagu-Kughushi
      Emanuel Nchimbi-Kughushi
      endelea.....
      Adam Malima - Ufuska,
      Mwigulu LM Nchemba - Ufuska,
      George Simbachawene - Ufuska
      Hadha Min Fadhil Rhabi - Hizi ni Rehema za Mwenyezi Mungu

    14. #73
      Chimunguru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2009
      Posts : 7,887
      Rep Power : 2171
      Likes Received
      1258
      Likes Given
      561

      Default Re: Wafuatao wasirudi bungeni 2016...hawa ni hatari na janga kwa Taifa

      Aisee Pinda na LUKUVI hawa wawe wa kwanza kabsaaaa

    15. bdo is offline
      bdo
      #74
      bdo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2006
      Posts : 913
      Rep Power : 894
      Likes Received
      143
      Likes Given
      73

      Default Re: Wafuatao wasirudi bungeni 2016...hawa ni hatari na janga kwa Taifa

      Quote By mshikachuma View Post
      Huyu Manyanya 2015 lazima atagombea jimbo fulani. So hata yeye atakutana na nguvu ya Umma
      Kwa mkoa wa Ruvuma (anakotoka) na kwa CCM anayotoka, hawezi kushindana au kumtoa Nchimbi, Komba, Kawawa, na wale jamaa wa Tunduru labda jimbo la Mbiga mashariki (kwa kayombo), nafasi aliyonayo labda agombee huko huko mkoa wa Rukwa.

    16. #75
      SANING'O LOSHILU's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th May 2012
      Posts : 144
      Rep Power : 385
      Likes Received
      11
      Likes Given
      5

      Default Re: Wafuatao wasirudi bungeni 2016...hawa ni hatari na janga kwa Taifa

      kweli kabisa hata sijui waliowachagua kama watarudia hasa kibajaji na mwigulu

    17. #76
      popobawa2012's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th July 2012
      Posts : 86
      Rep Power : 367
      Likes Received
      4
      Likes Given
      16

      Default Re: Wafuatao wasirudi bungeni 2016...hawa ni hatari na janga kwa Taifa

      Quote By mshikachuma View Post
      Lukuvi nimeshamuongeza kwenye hiyo list kutoka wa4 hadi wa5....tena huyu ndiyo hatari zaidi kama Mwigulu
      hakika!

    18. #77
      payroll's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st July 2012
      Posts : 21
      Rep Power : 352
      Likes Received
      3
      Likes Given
      13

      Default Re: Wafuatao wasirudi bungeni 2016...hawa ni hatari na janga kwa Taifa

      Quote By mshikachuma View Post
      Hivi wabunge hawa wafuatao walichaguliwa na nani? walijichagua wenyewe au walichaguliwa na wananchi?

      MWIGURU
      ,LUSINDE,WASIRA, E.S MANYANYA na JOHN SHIBUDA....hakika hawa si wabunge wala si wawakilishi wa wananchi, Hawa ni watu hatari sana kwa mustakabali wa Taifa letu....yaani hawa watu ni zaidi ya mashabiki wa CCM waliokunywa maji ya bendera ya chama...yaani wako teyari nchi iingie kwenye machafuko ilimradi ccm itawale milele...hawa watu ni zaidi ya propaganda.

      Ombi langu nalielekeza kwa wananchi wa majimbo husika walikotokea wabunge hawa chonde chonde hakikisheni uchaguzi wa mwaka 2015 hawa watu hamuwachagui tena.

      Pia nawaombeni viongozi wa CDM hakikisheni munapata watu bora na makini ambao mtawasimamisha kupambana na hawa watu (SUMU) kwenye majimbo husika....vinginevyo nchi itaingia kwenye machafuko ya hatari sana.

      Nawasilisha kwa hoja pana.
      ni kweli mkuu ila hapo red ni mwigulu

    19. #78
      Chikwakara's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th April 2012
      Posts : 100
      Rep Power : 384
      Likes Received
      19
      Likes Given
      0

      Default Re: Wafuatao wasirudi bungeni 2016...hawa ni hatari na janga kwa Taifa

      Quote By tamuchungu View Post
      wabunge wote wa chadema ni wauwaji,juzi apa wameuwa kule iramba,wengine jana hukumu imetoka waliuwa huko igunga,mwingine ambae ndio kinara wao leo anafanya sherehe kufuatia kuzama kwa meli na kuua watu huko zanzibar.watanzania endeleeni kuwapuuza hawa watu wabaya sana.

      dhaifu tu hata hujui usemalo

    20. #79
      bigambo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 30th July 2007
      Posts : 107
      Rep Power : 629
      Likes Received
      9
      Likes Given
      2

      Default Re: Wafuatao wasirudi bungeni 2016...hawa ni hatari na janga kwa Taifa

      Napita wadau

    21. #80
      Gosbertgoodluck's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd March 2008
      Posts : 2,863
      Rep Power : 1153
      Likes Received
      334
      Likes Given
      4

      Default Re: Wafuatao wasirudi bungeni 2016...hawa ni hatari na janga kwa Taifa

      Mbona Joab Ndugai mmemsahau!2

    Page 4 of 7 FirstFirst ... 23456 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...