Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Meneja wa meli iliyozama Zanzibar akamatwa

    Report Post
    Results 1 to 17 of 17
    1. #1
      Young Master's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 22nd December 2008
      Location : Arusha, Tanzania.
      Posts : 6,127
      Rep Power : 7422
      Likes Received
      2095
      Likes Given
      1489

      Default Meneja wa meli iliyozama Zanzibar akamatwa

      JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Omari Hassan Mnkhon ambaye ni Meneja wa boti ya Mv Skagit, kwa ajili ya mahojiano baada ya kubainika kwamba kumekuwa na kasoro za kumbukumbu katika taarifa za hiyo meli. Wakati Jeshi hilo likimshikilia meneja huyo, hadi jana jioni saa 10:30, vikosi vya uokoaji vilifanikiwa kupata maiti 63, huku 29 kati yao ikiwa imetambuliwa majina namba za tiketi na sehemu wanakotoka marehemu.

      Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova alisema jana jijini Dar es Salaam kuwa meneja wa boti Mkoa wa Dar es Salaam, anashikiliwa ili kuweza kusaidia jeshi la polisi kupata taarifa za kina kuhusu za meli hiyo.

      Kova alisema tukio hilo linagusa maeneo mengi ikiwa ni pamoja na Mkoa wa Dar es Salaam ambako safari za meli hiyo huanzia na kuongeza kwamba, wanamshikilia meneja huyo baada ya kukosekana taarifa muhimu juu ya safari za boti hiyo.

      “Tunamshikilia meneja wa meneja hiyo ili atusaidie kutupa taarifa za kina, kwani tukio hilo sio dogo na uchunguzi wa kina unatakiwa kufanywa,” alisema Kova na kuongeza;

      “Jeshi la polisi litafanya uchunguzi wa kina kwa kushirikiana na vyombo na mamlaka zinazohusika, ili kujua chanzo cha ajali pamoja na kupata taarifa za kina za boti hiyo tangu ilipoanza safari yake,” alisema.
      SALOK likes this.
      Advertise your products, business & services with us 100% free |www.globaladverts.biz

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      mito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th June 2011
      Posts : 1,047
      Rep Power : 610
      Likes Received
      442
      Likes Given
      1349

      Default Re: Meneja wa meli iliyozama Zanzibar akamatwa

      Walioisajiri ikiwa na viwango duni nao wamekamatwa?

      Wale wa hali ya hewa (sijui ndo TMA) nao wamekamatwa?

      Wahusika wa bandarini walioiruhusu iondoke huku ime-overload nao vipi?
      Mkandara, SALOK and Young Master like this.
      Haki ya mtu haipotei, inacheleweshwa tu!

    4. #3
      Ndibalema's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2008
      Location : Mbagala
      Posts : 6,629
      Rep Power : 2006
      Likes Received
      1650
      Likes Given
      1621

      Default Re: Meneja wa meli iliyozama Zanzibar akamatwa

      Kila siku tutaishia kusolve matokea ya majanga badala ya ku'concetrate kwenye kuzuia majanga.
      Nadhani watu weusi tuna matatizo katika vichwa vyetu sio bure.
      Jasusi likes this.
      "Makalio ya sufuria hayaogopi moto"

    5. #4
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,086
      Rep Power : 12252
      Likes Received
      6015
      Likes Given
      6851

      Default Re: Meneja wa meli iliyozama Zanzibar akamatwa

      MAIGIZO TU HAYA.... yako wapi ya ile meli ya kwanza??
      SALOK likes this.
      .....Ana sifa zote, nzuri na mbaya!!!

    6. #5
      dudus's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 2,302
      Rep Power : 1007
      Likes Received
      1291
      Likes Given
      522

      Default Re: Meneja wa meli iliyozama Zanzibar akamatwa

      Lengo ni kumuwahisha mahakamani fasta halafu mjadala utakuwa umefungwa! Kama kawaida, jibu rahisi litakuwa "kesi iko mahakamani ...". Tega sikio.
      SALOK likes this.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Consultant's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2008
      Location : N/A
      Posts : 1,348
      Rep Power : 827
      Likes Received
      106
      Likes Given
      69

      Default Re: Meneja wa meli iliyozama Zanzibar akamatwa

      Kwa nini wasianze kwanza kumkamata OCD wa kile kituo cha polisi waliokiri kupata taarifa mapema kabisa kwamba kuna meli inazama ila hawakufika eneo la tukio kwa kuwa ''hawakuwa na mafuta''?. Huenda pia hawana simu ya mezani
      It's true that money cannot buy happiness, but I would rather cry in Mercedez than on a Motorcycle

    9. #7
      Globu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th January 2011
      Location : Giningi
      Posts : 4,890
      Rep Power : 3313
      Likes Received
      544
      Likes Given
      32

      Default Re: Meneja wa meli iliyozama Zanzibar akamatwa

      Hii ndio TZ, usanii mtupu.

    10. #8
      kichwat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th March 2010
      Posts : 1,044
      Rep Power : 692
      Likes Received
      215
      Likes Given
      24

      Default Re: Meneja wa meli iliyozama Zanzibar akamatwa

      ... Ni nchi ya watu walopewa vichwa ili kufugia nywele, kuweka wave, rasta, curl, etc.

    11. #9
      Collins's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th July 2012
      Posts : 145
      Rep Power : 374
      Likes Received
      45
      Likes Given
      37

      Default Re: Meneja wa meli iliyozama Zanzibar akamatwa

      kila siku wanaongelea uchunguzi hawafanyi chochote kuzuia ajali
      I'm sorry for you son!

    12. #10
      Young Master's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 22nd December 2008
      Location : Arusha, Tanzania.
      Posts : 6,127
      Rep Power : 7422
      Likes Received
      2095
      Likes Given
      1489

      Default Re: Meneja wa meli iliyozama Zanzibar akamatwa

      Quote By kichwat
      ... Ni nchi ya watu walopewa vichwa ili kufugia nywele, kuweka wave, rasta, curl, etc.
      Lakini sio nchi yatu waliopewa vichwa ili vitumike katika kufikiri na kujenga nchi badala ya kubomoa.
      Advertise your products, business & services with us 100% free |www.globaladverts.biz

    13. FJM
      #11
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,175
      Rep Power : 2569
      Likes Received
      5327
      Likes Given
      4587

      Default Re: Meneja wa meli iliyozama Zanzibar akamatwa

      Kabla ya kumkamata manager wa meli, nilitegemea Waziri wa uchukuzi Zanzibar na mkuu wa mamlaka ya usafiri majini Zanzibar wawe rumande. Manager wa meli ni mtu wa mbali sana kwenye huu mkasa. Wale walioruhusu meli 'chakavu' kusajiliwa na kupewa kibali cha kubeba watu huku wakijua ni haifai ndio wanatakiwa wawe wa kwanza kuingia mikononi mwa vyombo vya sheria.
      Jasusi likes this.

    14. #12
      Jackbauer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Location : CTU
      Posts : 4,873
      Rep Power : 1691
      Likes Received
      1348
      Likes Given
      277

      Default Re: Meneja wa meli iliyozama Zanzibar akamatwa

      meneja sio lazima awe mmiliki wa meli.waweza kuta mmiliki ni kigogo wa SMZ
      Jasusi likes this.

    15. #13
      Young Master's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 22nd December 2008
      Location : Arusha, Tanzania.
      Posts : 6,127
      Rep Power : 7422
      Likes Received
      2095
      Likes Given
      1489

      Default Re: Meneja wa meli iliyozama Zanzibar akamatwa

      Quote By FJM
      Kabla ya kumkamata manager wa meli, nilitegemea Waziri wa uchukuzi Zanzibar na mkuu wa mamlaka ya usafiri majini Zanzibar wawe rumande. Manager wa meli ni mtu wa mbali sana kwenye huu mkasa. Wale walioruhusu meli 'chakavu' kusajiliwa na kupewa kibali cha kubeba watu huku wakijua ni haifai ndio wanatakiwa wawe wa kwanza kuingia mikononi mwa vyombo vya sheria.
      Mkuu ukisikia changa la macho ndio hili...Hili sakata litazimwa kimya kimya kama la mwanzo.
      Advertise your products, business & services with us 100% free |www.globaladverts.biz

    16. #14
      BULOLE BUKOMBE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th April 2011
      Posts : 361
      Rep Power : 484
      Likes Received
      60
      Likes Given
      287

      Default Re: Meneja wa meli iliyozama Zanzibar akamatwa

      Quote By Young_Master
      JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Omari Hassan Mnkhon ambaye ni Meneja wa boti ya Mv Skagit, kwa ajili ya mahojiano baada ya kubainika kwamba kumekuwa na kasoro za kumbukumbu katika taarifa za hiyo meli. Wakati Jeshi hilo likimshikilia meneja huyo, hadi jana jioni saa 10:30, vikosi vya uokoaji vilifanikiwa kupata maiti 63, huku 29 kati yao ikiwa imetambuliwa majina namba za tiketi na sehemu wanakotoka marehemu.

      Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova alisema jana jijini Dar es Salaam kuwa meneja wa boti Mkoa wa Dar es Salaam, anashikiliwa ili kuweza kusaidia jeshi la polisi kupata taarifa za kina kuhusu za meli hiyo.

      Kova alisema tukio hilo linagusa maeneo mengi ikiwa ni pamoja na Mkoa wa Dar es Salaam ambako safari za meli hiyo huanzia na kuongeza kwamba, wanamshikilia meneja huyo baada ya kukosekana taarifa muhimu juu ya safari za boti hiyo.

      “Tunamshikilia meneja wa meneja hiyo ili atusaidie kutupa taarifa za kina, kwani tukio hilo sio dogo na uchunguzi wa kina unatakiwa kufanywa,” alisema Kova na kuongeza;

      “Jeshi la polisi litafanya uchunguzi wa kina kwa kushirikiana na vyombo na mamlaka zinazohusika, ili kujua chanzo cha ajali pamoja na kupata taarifa za kina za boti hiyo tangu ilipoanza safari yake,” alisema.
      Hata marehemu Jumanne Mwiru nahodha wa Mv Bukoba alikamatwa vile vile na mahakama ikamuona hana hatia kwa sababu kosa halikuwa kwa nahodha bali kwa serikali kutumia meli mbovu wakati ikiwa na taarifa ya kasor hizo toka kwa walioitengeneza (Ubelgiji), na katika hili serikali haikwepi lawama, ningeona jambo la maana kama ukamataji ungeanzia SUMATRA, TBS na WAZIRI Mwenye dhamana ya uchukuzi angekuwa mshitakiwa namba moja , tumeambiwa meli ni mbovu toka inanunuliwa kama ni kweli iliingiaje TZA kuja kutafuna maisha ya watz? Halafu movie za Kova nimekianai kuziangalia wala kuzisikiliza zote hazina actor/actress wazuri
      Young Master likes this.

    17. #15
      Mkandara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2006
      Location : T dot
      Posts : 13,770
      Rep Power : 7663
      Likes Received
      4929
      Likes Given
      4509

      Default Re: Meneja wa meli iliyozama Zanzibar akamatwa

      Quote By mito
      Walioisajiri ikiwa na viwango duni nao wamekamatwa?

      Wale wa hali ya hewa (sijui ndo TMA) nao wamekamatwa?

      Wahusika wa bandarini walioiruhusu iondoke huku ime-overload nao vipi?
      Huyu ni bangusilo tu maana kama una gari lako limesajiliwa kihalali, limepita safety na lina liseni zote za kazi ikitokea ajali sidhani kama mwenye mali atakuwa na makosa..Hizo records mnazitaka leo baada ya maafa?..mnatafuta ushahidi ulokwisha potezwa ndio iwe sababu.
      Wanaotakiwa kukamatwa ni hawa walioiruhusu meli hiyo ifanye kazi..
      Last edited by Mkandara; 21st July 2012 at 01:05.
      mito likes this.
      Exploration of reality

    18. #16
      Seif al Islam's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2011
      Posts : 1,082
      Rep Power : 539
      Likes Received
      262
      Likes Given
      393

      Default Re: Meneja wa meli iliyozama Zanzibar akamatwa

      Wajiandae kumkamata hata rais muda utakapofika.

    19. #17
      Young Master's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 22nd December 2008
      Location : Arusha, Tanzania.
      Posts : 6,127
      Rep Power : 7422
      Likes Received
      2095
      Likes Given
      1489

      Default Re: Meneja wa meli iliyozama Zanzibar akamatwa

      Quote By Seif al Islam
      Wajiandae kumkamata hata rais muda utakapofika.
      Unadhani kuna atakaye thubutu kujaribu kumkamata rais?
      Advertise your products, business & services with us 100% free |www.globaladverts.biz

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...