Mimi si mwanasheria, lakini hukumu kama hii hata hakimu wa mahakama ya mwanzo hawezi kuitoa. Hapa ndipo mahakama zetu zilipofika
Mimi si mwanasheria, lakini hukumu kama hii hata hakimu wa mahakama ya mwanzo hawezi kuitoa. Hapa ndipo mahakama zetu zilipofika
Nchi ya Giza
Ngona Mama wa Malawi aje atutwange na atawale Tanzania hatimaye.
Wengine wako busy na UDINI......, Ukabila na ..............
Malawi, njooni muinyooshe Tanzania.
Nguruwe pita leo sina Mkuki(By Malila wa JF).
Jamani WaTz tuko pabaya... Fikiria a kwa waliomaliza Kidato cha Nne na hata kufaulu kupata shahada ya pili hawakijui Kiingereza. Kibaya zaidi hata Kiswahili ndiyo HAWAKIJUI kabisa.. tatizo zaidi. Fikiria tunapokuwa na kiongozi mkuu kama Raisi anaongea na watu wakawaidA anachanganya na Kiingereza na Kiswahilii unategemea nini! Akikumbana na Shaka Sali wa VOA naboronga vilevile.
Kumi, hata vilugha vyetu hatuvijui.Tuliaminishwa ya kuwa kama mtu akiongea kilugha ni mkabila ambayo si kweli. Kama ingekuwa hivyo Basi Mwenyezi Mungu ni mkabila No 1kwa vile alioumba lugha za makabila mbalilimbali. Nona aibu mwanasiasa anakwenda mbele ya Bunge kuomba na fasi ya kuwa mb wa AM anaishia kuongea mambao ya ajabu.... Ni MATUNDA YA ELIMU BORA CHINI YA CCM MIAKA 50 YA UHURU
Last edited by KABALE; 4th August 2012 at 12:14.
Hii ni hukumu au memo, hii ni kawaida kiongozi akiwa dhaifu hawezi kuchagua msaidizi ambae anamzidi uwezo, sote tunajua jk akili zake haziwezi kuona zaidi ya umbali wa kope za macho yake, unategemea wasaidizi atakaoteua si ndo watua vipofu wa akili kabisa. Hii ndo maana tunataka katiba mpya ili teuzi hizi ziptie mchujo wa kufa mtu, sio mjinga yeyote ili mradi amechaguliwa kuwa rais kwa mbinu anazojua yeye anakuja kutuchagulia wajinga wenzie wafanye maamuzi magumu yenye kuamua mustakabali wa maisha ya mtu u nchi. Shame on you jk.
Mimi pia si mwanasheria lakini sipendi kabisa hili la wanasiasa kuchakachua "Proffession" za watu kama alivyofanya JK kwa kuteua baadhi ya majaji wenye vigezo hafifu kabisa! Ingefaa tufike mahali wawe wakiwapendekeza potential judges miongoni mwao kwa kuzingatia sifa, weledi na uzoefu kisha kuwasilisha kwa Rais ambaye kabla ya kuwathibitisha atapeleka majina hayo Bungeni yathibitishwe? Mtindo huu wa kuwateua majaji kwa utashi wa mtu mmoja aliyeko Magogoni ndiyo unatujazia lundo la majaji vibaraka na substandard kama ilivyo sasa na kushusha kabisa hadhi ya asasi hii muhimu kama moyo wa Taifa.
Afadhali ukoloni wa Mwingereza kuliko huu utumwa na ugandamizaji wa CCM!
Unajua hata uhakiki wa elimu na vyeti huna tatizo kubwa sana,watu wanapewa kazi kwa sababu wanavyo vyeti na si kwasababu wanajua inafanyika vipi. Pia utaratibu wa kuteua katika baadhi ya taasisi ni tatizo kubwa
kwa uelewa wangu, nadhani mleta mada ameshangaa hukumu kutolewa in favor of defendants kwa sababu tu plaint imeandikwa na kuwasilishwa ktk aina ya karatasi ambayo si yenyewe (isiyokubalika na chief justice). inaelekea kuna karatasi maalum iliyopendekezwa kutumika wakati wa ku file plaint (latin planctus = complaint, madai, malalamiko)
Je, wanasheria ni kweli planctus ya plaintiff inaweza kutupwa kwenye dustbin simply because the type of paper used was of wrong type???!!!!!!!
Tafadhali tufafanulieni hapo.
Halafu hao defendants wote ni wale Mafisadi wa TZ!!
Huyo wa kwanza kama sikosei yupo pia ktk sakata la meremeta na Tangold. Swahiba wake mkubwa BWM.
sitashangaa kama wrong type of paper ikawa sababu ya kuwamaliza hao plaintiffs.
"Tanzania ni ya watanzania, na watanzania wenyewe ndo sisi"
jamani ni jukumu la mahakama kulinda utamaduni,kanuni na sheria. jaji yuko sahihi 100%. Karatasi hazikuwa sahihi,amezikataa ili warudi kwa usahihi ili awasikilize. kesi haikufutwa hapo,yanini makurasa tele ktk ku remind Legal papers? Big up Mh. Alice
Wadau hivi haiwezekani kauli ya mh. Tundu Lissu kuhusu sifa na uteuzi wa majaji sasa ikapelekea kuona haki inatendeka?Kuna jaji atakaekubali kuendelea kutumika na mwishowe akaonekana ni miongoni mwa wale wasio na sifa?
Mimi nafikiri wakati tunafurahia kuona haki inatendeka,yafaa pia kumshukuru mh. Tundu Lissu kwa mchango wake ktk kusimamia heshima na uwajibikaji wa mahakama zetu hasa kupitia majaji.
Tusisahau ukweli unauma.
Last edited by Salary Slip; 22nd December 2012 at 21:03.
Tundu Lisu anawatwanga bungeni lakini pia anawapeleka puta mahakamani. Kwa staili hii sina shaka kwamba heshima ya mahakama hasa majaji wa mahakama kuu na rufaa itarudi mahali pake.
sina wasiwasi na Lissu,bado ana kazi tamu ya kumkalisha kiti moto ZItto.Sijui atachomokea wapi?Na majibu yake ya kijinga.
SIMPLY THE RADICAL: I can`t wait to see the criminalization of CCM,UWT,Bunch of Policemen/women,and all wanafiki na wachumia tumbo.
Mkuu nakuunga mkono.
Mkuu umenena.
Hakunaga kama Tundu Lissu.
''Heri Dr.slaa aingie ikulu kuliko Tundu lisu aingie bungeni'' from JK
Watu wanaweza kumpuuza na kumuona Tundu Lissu kama vile chizi lakini anacho kitetea ni cha msingi sana kwa mustakabali na ustawi wa utawala wa kisheria wa nchi yetu. Nadhani mpaka wale wanaompinga watakapo kuwa wamenyimwa haki au jamaa zao kama ilivyo tokea kwa Mh.Lema na wananchi wa Arusha ndipo wataelewa umuhimu wa jambo hili analolipigania Mh.Lissu. Kesi ya Lema hata mtu anaye soma sheria mwaka wa kwanza Chuo Kikuu angeweza kuiamua kwa sababu kila kitu kilikuwa wazi lakini kwa mshangao madudu aliyoyafanya jaji yule ni fadheha kwa mahakama.
Kati ya mambo yaliyo shangaza sana kabla hata ya hukumu ni kuona viongozi mbali mbali wa CCM tayari wanaijua hukumu hiyo hata kabla haijasomwa. Mmoja wapo ni Mwigulu ambaye alimwambia Lema "Tayari umetiwa dole" Vile vile iliongelewa uhusiano kati ya msemaji wa Ikulu Bwana Salvatory Rweyememu na Judge Rwakibarila(ukizingatia ni kabila moja) na hata kuna thread moja iliyopostiwa hapa jamvini na mtu aliyenasa maongezi ya simu kati yao(Rweyemamu na Rwakibarila wakiongelea kesi hiyo), wengine walisikika wakisema "Jimbo la Arumeru tunawaachia lakini la Arusha mmeliwa" na mengine mengi ikiwemo Jaji kuonekana kutii maelekezo ya mkuu wa mkoa, Jaji kukataa ushahidi wa upande wa CDM akidai kuwa mashahidi ni viongozi wa chama hivyo wana interest na kesi hiyo lakini kwa mshangao akakubali ushahidi wa upende wa CCM ambao mashahidi ni viongozi wa chama ambapo pia wana interest kwenye kesi hiyo..ajabu iliyoje!!!???
Tatizo kubwa hapa ni mfumo mzima wa uteuzi wa hawa mabwana sababu teuzi nyingi zimezingatia ushikaji na kulipana fadhila. Haya yangefanywa kwa vyeo vingine lakini siyo kwa nafasi muhimu kama za viongozi wa mahakama. Bora rushwa ipite sehemu zote lakini mahakama jamani iwe huru. Chombo hiki ndicho umma mzima unakitegemea kupata haki. Kama majaji wangekuwa wanafukuzwa kama ilivyo ajira nyingine basi Jaji Rwakibarila hapaswi kuendelea na nafasi hiyo. Huwezi kukata hukumu ambayo jamii nzima inaguna hata ambao hawakusoma sheria..laana iliyoje..
Kwa muktadha huu nawasihi majaji wanao lalamiliwa na Tundu Lissu ambapo hakuna aliyeweza kuleta ushahidi kukanusha hoja ya bwana Lissu zaidi ya kutuletea majibu mepesi naomba waone aibu na kujiuzuru kabla katiba mpya haijaweka vifungu ambavyo vitawa disqualify, au kuingia utawala mpya 2015 utakao angalia vigezo vya teuzi na mkajikuta mko nje. Msidhani CDM wakishika dola 2015 au chama kingine makini mtaendelea kuwa kwenye nyazifa hizo. Kuweni waungwana kama yule Jaji wa Kenya aliye jiuzulu baada ya kukutwa na kosa la kumtishia mlinzi. Jamani kazi za kufanya ni nyingi siyo lazima ujaji tu, mbona nchi hii watu kujiuzuru ina kuwa issue hata ukikutwa na makosa!
Last edited by Kimbweta; 23rd December 2012 at 05:24.
Agree with you
Follow Us Here