Managing Director of National Bank of Commerce (NBC), Mr. Lawrence Mafuru.
KWA HABARI KAMILI BOFYA HAPA GUMZO LA JIJI
Managing Director of National Bank of Commerce (NBC), Mr. Lawrence Mafuru.
KWA HABARI KAMILI BOFYA HAPA GUMZO LA JIJI
Huyu jamaa nimesoma naye shule pale IFM ni one of the best properties katika bongo hii. Hope hajaharibu chochote.
Mbona mnahamaki?...just subiri uchunguzi.......tunakuwa vihelehele mno
kuna mambo yalikuwa yanafukuta ndani ya NBC moja wapo ni la mikopo ya wafanyakazi. marejesho mengi hayakupelekwa kunakohusika watu walikuwa wanalamba pesa juu kwa juu mpaka sasa NBC walishasitisha mikopo kwa wafanyakazi. Let us hope si mmoja wa wahusika wakuu
poleni sana wale wote aliowaeba kama hukujituma aisee utajuuta kuijua nbc..
Tusubirie uchunguzi great thinkers kwani moyoni kwa mtu mbali. Ingawa wengine wanasema ni mwaminifu au na wengine wanatia shaka nadhani la msingi ni kuvuta subira kidogo ili kujua mbivu na mbichi.
Ingekuwa poa sana kama DHAIFU na timu yake yote ya MADHAIFU wangeweza kusimamishwa kazi ili kupisha uchunguzi wa ufisadi mkubwa unaoendelea ndani ya Serikali DHAIFU.
Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action
Whatever exists is already becoming obsolete.
Chairman of the NBC Board of Directors Dr. Mussa J Assad,...
Huyu mzee yupo huku, alikuwa chairman wa NBAA. Mzee kichwa cha accounting udsm. Bado ni head of account department - udsm? Alikuwa akiingi lecture room (kule theater rooms) anashusha materials, ukiwa kichwa maji unatoka kapa. Bonge la lecturer.
kwanini wabadhirifu wote ni watu wa jamii moja? Nina wasiwasi na viongozi wa jamii hii kama wanatimiza wajibu wao.
Kaiba sh ngapi za kuzidi zile za rich mond?
mza mara nyingi hawa vipanga sio wazuri ktk leadership kwani hata ex ceo wa barclays akiwa udsm alikuwa best student kwa kupata first class yenye gpa ya above 4 points lakini pale bank alikuwa mwizi tu na siajabu hata dogo mafuru naye alisahau kuwa cheo ni dhamana na sio vinginevyo.
Dah! Pole kaka.. Mungu atakusaidia na Utarudi mzigoni kama kawa.
Subira yavuta kheri
Tusubiri uchunguzi.
Lakini kwa wazoefu wa jiji la bandari
salama filamu hili limeisha kamilika
kinachoendelea ni CRISIS management.
Kumbukeni kazi ya Public Relations au Corporate affairs ni nini.
Rudi nyuma utazame Makampuni makubwa yanapokumbwa na kashfa huja na
mikakati ya kulinda heshima na jina hili biashara isiharibike.
Kumbukeni
1. BP na lile soo la Gulf of Mexico,
2. Exxon Mobil na lile soo lao la Exxon Valdez ilipotapika tani za mafuta baharini
3. Toyota na lile soo lao la accelerator
4. Goodyear na yale matairi yao waliyofunga magari ya Ford USA yaliyokuwa yakipasuka uendapo kasi
5. Norconsult na kashfa ya mlungula Tanzania.
6. Olympus na soo la mahesabu Japani
7. BARCo na soo la madawa miaka ya 80-90
Wenzetu walijifunza na kuanzisha vitengo vya kuhakikisha
biashara haiharibiki punde kunapotokea madudu ndani ya kampuni.
Angalia ufundi na ustadi wa lugha inayotumiwa kufikisha ujumbe.
Ukimaliza kupitia mikasa hapo juu, utaelewa kwa nini na sema
filamu hili limeishakamilika.
.
Last edited by Liganga; 20th July 2012 at 21:33.
Bora daraja kuliko kivuko.
Follow Us Here