Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wananchi Wakiwa katika Viwanja vya Maisara Kutambua Miili ya Jamaa Zao.

    Report Post
    Results 1 to 12 of 12
    1. #1
      Kakke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th December 2010
      Posts : 735
      Rep Power : 580
      Likes Received
      138
      Likes Given
      0

      Default Wananchi Wakiwa katika Viwanja vya Maisara Kutambua Miili ya Jamaa Zao.
























































      Jamaa wa mmoja wa marehemu wa ajali ya Boti akiwa na simazi ya kuondokewa na jamaa yake katika tukio la ajali hiyo, baada ya kuitambua maiti ya jamaa yake iliopelekwa katika viwanja vya maisara.

      Baadhi ya Wanandugu wakiwa katika foleni kusubiri kutambua miili ya Ndugu zao waliopata ajali ya kuzama kwa boti ya Kampuni ya SeaGull.jana katika bahari ya Zanzibar.

      Wananchi wakiwa katika viwanja vya mpira Mairasa kusubiri kutambua miili ya jamaa zao.


      Imewekwa na MAPARA at 2:56 PM
      alsaidy and Kidogo chetu like this.


    2. #2
      Lu-ma-ga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 1,922
      Rep Power : 832
      Likes Received
      541
      Likes Given
      8

      Default Re: Wananchi Wakiwa katika Viwanja vya Maisara Kutambua Miili ya Jamaa Zao.

      Viongozi wenu wamemuasi mungu wanaona FREEMASON NDIYO DILI mtakufa hadi muishe na ccm kutoka madarakani ng'o hata kwa mapanga.CCM ni kama ALSAAD kule Syria

    3. #3
      Ndebile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2011
      Posts : 1,274
      Rep Power : 682
      Likes Received
      261
      Likes Given
      63

      Default

      Quote By Lu-ma-ga View Post
      Viongozi wenu wamemuasi mungu wanaona FREEMASON NDIYO DILI mtakufa hadi muishe na ccm kutoka madarakani ng'o hata kwa mapanga.CCM ni kama ALSAAD kule Syria
      Unataka kusema nini hapo? Freemason ina uhusiano gani na ajali hii?

    4. #4
      Bobuk's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 2,181
      Rep Power : 949
      Likes Received
      889
      Likes Given
      1

      Default Re: Wananchi Wakiwa katika Viwanja vya Maisara Kutambua Miili ya Jamaa Zao.

      Masikini nimepata SIMANZI kubwa baada ya kuona hizi Picha. Inatia uchungu sana.

    5. #5
      sem2708's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 751
      Rep Power : 587
      Likes Received
      139
      Likes Given
      181

      Default Re: Wananchi Wakiwa katika Viwanja vya Maisara Kutambua Miili ya Jamaa Zao.

      Hizi habari za msiba na hili tukio kwa ujumla linasikitisha sana...Nawapa pole sana wafiwa na waathirika wakuu wa mkasa huu,Mungu Mtakatifu awape faraja yake timilifu....


    6. #6
      BHULULU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Posts : 3,167
      Rep Power : 8414
      Likes Received
      902
      Likes Given
      740

      Default Re: Wananchi Wakiwa katika Viwanja vya Maisara Kutambua Miili ya Jamaa Zao.

      Inasikitisha sana,poleni sana wafiwa na wapumzike kwa amani waliotangulia mble ya haki

    7. #7
      annalolo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 186
      Rep Power : 401
      Likes Received
      14
      Likes Given
      41

      Default Re: Wananchi Wakiwa katika Viwanja vya Maisara Kutambua Miili ya Jamaa Zao.

      Ni huzuni kubwa Mungu awarehemu wote waliotangulia mbele ya haki. Jambo la ajabu kila ajali ya majini inapotokea wanakuwa hawajui idadi kamili ya watu walokuwemo. serikali yetu hawataki kujifunza na kuwawajibisha watu wanaohusika. basi hili nalo tutatajiwa idadi ndogo kumbe watu kibao wamefariki dunia.

    8. #8
      EH_Mzalendo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 30th January 2012
      Posts : 166
      Rep Power : 406
      Likes Received
      24
      Likes Given
      87

      Default Re: Wananchi Wakiwa katika Viwanja vya Maisara Kutambua Miili ya Jamaa Zao.

      Hili tukio linatia Simanzi Sana.Kwa takwimu za hadi sasa, tumepoteza watanzania wenzetu wangapi?

    9. #9
      james chapacha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 508
      Rep Power : 465
      Likes Received
      104
      Likes Given
      25

      Default Re: Wananchi Wakiwa katika Viwanja vya Maisara Kutambua Miili ya Jamaa Zao.

      kuna umuhimu wakuweka kikomo cha umli wa meli kubeba abiria,haiingii akilini watanzania wanapoteza maisha kwa uzembe wa watu wachache,vinginevyo tuwe nasheri kari kama CHINA,ingekuwa china jmosi wausika kwisha kazi.

    10. #10
      Tenths's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd March 2010
      Posts : 62
      Rep Power : 485
      Likes Received
      11
      Likes Given
      4

      Default Re: Wananchi Wakiwa katika Viwanja vya Maisara Kutambua Miili ya Jamaa Zao.

      Poleni sana ndugu zetu tuko pamoja katika wakati huu mgumu.
      MANDONGO likes this.

    11. #11
      Haika's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd March 2008
      Posts : 1,716
      Rep Power : 924
      Likes Received
      249
      Likes Given
      367

      Default Re: Wananchi Wakiwa katika Viwanja vya Maisara Kutambua Miili ya Jamaa Zao.

      poleni wafiwa, jipeni moyo mnaosubiri majibu au miili ya ndugu zenu wapendwa.
      mungu awajaze nguvu ili muweze kupokea na hili.
      Ni gumu sana!!
      Nchi yetu hii????
      Ni ajabu sana (only in Tanzania)
      Tutakufa hadi lini?
      Hivi nani alitolewa kafara ile meli ingine ilioua ndugu zetu? Nimesahau, hivi kesi iliisha!!

    12. #12
      Kidogo chetu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2009
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 478
      Rep Power : 581
      Likes Received
      53
      Likes Given
      130

      Default Re: Wananchi Wakiwa katika Viwanja vya Maisara Kutambua Miili ya Jamaa Zao.

      Eeeh! Mwenyezi mungu mwingi wa rehema uponyae machungu na huzuni zote mioyoni mwa wanadamu, ebu keti katikati ya ndugu zetu wa zanzibar na uwatie nguvu kwenye wakati huu mgumu kwao.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...