Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Invitation to all JF members: Debate!

    Report Post
    Page 1 of 15 12311 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 289
    1. #1
      Roulette's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 15th December 2010
      Posts : 5,473
      Rep Power : 35629
      Likes Received
      5027
      Likes Given
      5752

      Exclamation Invitation to all JF members: Debate!

      This serves to invite all JF members to a debate. herewith the proceedings:

      1. Hii thread inawaalika JF members wote jukwaa la siasa tarehe 24, saa saba East African Time kwenye debate kati ya zomba na Matola (July 24, 2012, at 13:00 EAT);

      2. Debate itahusu utawala wa Rais Kikwete toka mwaka 2005 hadi 2012;

      3. Debate itaongozwa na Mwali katika lugha mbili: Kiswahili na Kiingereza;

      4. Mwali ataanda na kupost masuali kumi (10) yatakao jadiliwa na waalikwa kwenye thread hiyo, suali la kumi na moja na la kumi na mbili (11 na 12) zikiwa masuali toka kwa waalikwa wenyewe, la kumi na tatu, kumi na nne na kumi na tano (13, 14 na 15) ni suali toka kwa members;

      5. Siku ya debate Mwali atauliza suali moja mmoja na kuwapa waalika, each at his own time , nafasi ya kujibu suali hilo. Waalikwa watapewa not more than 20 min kujibu masuali;

      6. Baada ya waalikwa kujibu suali toka kwa Mwali (au baada ya muda wa dakika 20 kupita), waalikwa wataruhusiwa kuulizana suali la ufafanuzi wa majibu (suali moja kila upande);

      7. Baada ya jibu la ufafanuzi Mwali ataleta suali lenye kufata, na kuendelea na debate. waalikwa pekee ndio watakao jibu masuali, majibu mengine yote yatafutwa;

      8. Masuali yote 15 yakisha jibiwa, debate itafungwa ila members wengine wataalikwa kuchambua na kuwahoji waalikwa ambao watakua huru kujibu au kutojibu masuali;

      9. thread itakua stuck kwa muda wa mwezi mmoja ili members mbali mbali watoe majibu yako kwa masuali ya debate;

      10. Masharti ya JF kuzingatiwa kila wakati.


      Kama kuna maoni yoyote naomba myafikishe kwa kupitia thread hii, kabla ya saa sita mchana tarehe 23 July 2012.

      Asanteni wote na karibuni.


      Update:
      Quote By zomba
      Swaafi sana, nigeomba saa saba isogezwe kidogo iwe saa 8, kwani kama InshaAllah hiyo itakuwa ni wakati wa swalaat dhuhr na sisi Waislaam tutakuwa katika mwezi wa kufunga na kuomba maghfira.

      Unaweza anzisha mjadala wakati huo lakini tukiwa hai na majaaliwa sitoweza kuwepo on line kabla ya saa saba na nusu, nna uhakika saa 8 kamili itakuwa muafaka kwa wote.
      Debate itaanza saa nane kamili (14:00, EAT) as per Zomba's request (post #5)

      Quote By Matola
      Roulette this is acknowledgement receipt of conformation that i will participate the debate.
      Link ya mjadala:http://www.jamiiforums.com/great-thinkers/297111-mjadala-tathmini-ya-utawala-wa-rais-kikwete-2005-2012

      Link ya members wengine kuchangia: http://www.jamiiforums.com/great-thi...ml#post4302632


      Information is not knowledge

      Albert Einstein

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Biohazard's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,366
      Rep Power : 991
      Likes Received
      308
      Likes Given
      210

      Default re: Invitation to all JF members: Debate!

      Nashukuru kwa hilo nadhani kila mmoja atatoa dukuduku lake haswaaaaaaaaaaaaaaaaa.>....!
      zomba, Roulette and Mwali like this.

    4. #3
      kadoda11's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : planet earth
      Posts : 1,385
      Rep Power : 701
      Likes Received
      354
      Likes Given
      183

      Default re: Invitation to all JF members: Debate!

      asante roulette nimekupata vizuri.i'll be there on time.
      zomba, Roulette and Mwali like this.
      "The only true wisdom is in knowing you know nothing"

    5. #4
      Meezy's Avatar
      Super Moderator Array
      Join Date : 11th March 2010
      Location : Searching...
      Posts : 928
      Rep Power : 4466
      Likes Received
      252
      Likes Given
      500

      Default re: Invitation to all JF members: Debate!

      Quote By Biohazard
      Nashukuru kwa hilo nadhani kila mmoja atatoa dukuduku lake haswaaaaaaaaaaaaaaaaa.>....!
      Thanks Madam Roulette for the info. Ila pia ningependa kuwashauri members wote watakaopartcipate katika debate hiyo wachangie kwa amani na kwa kufuata sheria za JF.
      Richard, zomba, Mgalatia and 8 others like this.

    6. #5
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default re: Invitation to all JF members: Debate!

      Swaafi sana, nigeomba saa saba isogezwe kidogo iwe saa 8, kwani kama InshaAllah hiyo itakuwa ni wakati wa swalaat dhuhr na sisi Waislaam tutakuwa katika mwezi wa kufunga na kuomba maghfira.

      Unaweza anzisha mjadala wakati huo lakini tukiwa hai na majaaliwa sitoweza kuwepo on line kabla ya saa saba na nusu, nna uhakika saa 8 kamili itakuwa muafaka kwa wote.
      Richard, NasDaz, Averos and 5 others like this.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    7. Miaka 50

    8. #6
      Biohazard's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,366
      Rep Power : 991
      Likes Received
      308
      Likes Given
      210

      Default re: Invitation to all JF members: Debate!

      Quote By Meezy
      Thanks Madam Roulette for the info. Ila pia ningependa kuwashauri members wote watakaopartcipate katika debate hiyo wachangie kwa amani na kwa kufuata sheria za JF.
      Much RESPECT.....! hahahaha

    9. #7
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,264
      Rep Power : 12577
      Likes Received
      5812
      Likes Given
      768

      Default re: Invitation to all JF members: Debate!

      Nadhani mungu akijalia nikiwa mzima takuwepo tunashukuru kwa invitation.
      zomba, Roulette and Mwali like this.

    10. #8
      M'Jr's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th July 2011
      Location : Still cracking....................
      Posts : 2,843
      Rep Power : 3151
      Likes Received
      807
      Likes Given
      653

      Default re: Invitation to all JF members: Debate!

      Thanx Mwali and Roulette for the info will surely participate full. Roulette i know swahili seems tough to you but just for a note, its Swali and not Suali
      zomba, Questt, Roulette and 3 others like this.
      A hen is only an egg's way of making another egg

    11. #9
      Roulette's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 15th December 2010
      Posts : 5,473
      Rep Power : 35629
      Likes Received
      5027
      Likes Given
      5752

      Default re: Invitation to all JF members: Debate!

      Quote By M'Jr
      Thanx Mwali and Roulette for the info will surely participate full. Roulette i know swahili seems tough to you but just for a note, its Swali and not Suali
      Asante sana. Kiswahili wala hakinipi shida. Nadhani kuna two schools of thoughts. Kuna ambao wanaamini Suali ni sahihi na wengine wanasisitiza kua Swali ndio sahihi. Kwa sasa nadhani zote mbili zinaruhusiwa (Dixit Kiranga)
      zomba, The Boss, kajima and 5 others like this.
      Information is not knowledge

      Albert Einstein

    12. #10
      MTAZAMO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 4,229
      Rep Power : 2202
      Likes Received
      1812
      Likes Given
      2427

      Default re: Invitation to all JF members: Debate!

      Zomba ataanza kukusanya madesa kwa Nape kuanzia leo!
      zomba, NasDaz, Remmy and 1 others like this.

    13. #11
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,699
      Rep Power : 27094
      Likes Received
      10070
      Likes Given
      13974

      Default re: Invitation to all JF members: Debate!

      thanks Roulette and infect i was about to post such a request but on different forum. so let me participate on this before coming into my forum
      zomba, Meezy, Roulette and 1 others like this.
      "thought takes man out of servitude into freedom"
      'daima tudumu katika upendo'

    14. #12
      Kapo Jr's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 374
      Rep Power : 495
      Likes Received
      37
      Likes Given
      0

      Default re: Invitation to all JF members: Debate!

      Wazo ni zuri,ila itakua bora zaidi matokeo ya mjadala na solutions yake apewe nakala mhusika(presda)
      zomba, NasDaz, Meezy and 3 others like this.

    15. #13
      MTAZAMO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 4,229
      Rep Power : 2202
      Likes Received
      1812
      Likes Given
      2427

      Default re: Invitation to all JF members: Debate!

      Quote By gfsonwin
      thanks Roulette and infect i was about to post such a request but on different forum. so let me participate on this before coming into my forum
      okay! pamoja mkuu,huu mpambano kuna hatari ya mtu kuweka mpira kwapani akinyimwa madesa pale Lumumba!
      zomba, NasDaz, gfsonwin and 1 others like this.

    16. #14
      Adharusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd January 2012
      Location : Mtwara
      Posts : 501
      Rep Power : 470
      Likes Received
      65
      Likes Given
      295

      Default re: Invitation to all JF members: Debate!

      Nitazungukia
      "Vox populi,Vox dei"
      zomba and Mwali like this.

    17. #15
      Mwanaharakatihuru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2012
      Posts : 474
      Rep Power : 0
      Likes Received
      114
      Likes Given
      14

      Default re: Invitation to all JF members: Debate!

      Pia iwapo na ya slaa kupora mke wa mtu na hatima ya tanzania
      zomba likes this.

    18. #16
      Roulette's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 15th December 2010
      Posts : 5,473
      Rep Power : 35629
      Likes Received
      5027
      Likes Given
      5752

      Default re: Invitation to all JF members: Debate!

      Quote By gfsonwin
      thanks Roulette and in fact i was about to post such a request but on different forum. so let me participate on this before coming into my forum
      Thank you gfsonwin. I think this type of initiative should be encouraged, particularly between members who have different views and opinions but who have so much to share with us. I hope this is just the first of a long series. Let me know when ready so we can facilitate an effective moderation na kutoa post zote za kupoteza mwelekeo wa thread. Pamoja sana
      zomba, NasDaz, The Boss and 5 others like this.
      Information is not knowledge

      Albert Einstein

    19. #17
      kibali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd October 2011
      Posts : 265
      Rep Power : 439
      Likes Received
      101
      Likes Given
      55

      Default re: Invitation to all JF members: Debate!

      Nauliza kwenye hiyo dabate hakutakua na uwezo wa wasomaji kuchakachua kabla ya walengwa kumaliza kujieleza?
      zomba and Mwali like this.

    20. #18
      Roulette's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 15th December 2010
      Posts : 5,473
      Rep Power : 35629
      Likes Received
      5027
      Likes Given
      5752

      Default re: Invitation to all JF members: Debate!

      Quote By kibali
      Nauliza kwenye hiyo dabate hakutakua na uwezo wa wasomaji kuchakachua kabla ya walengwa kumaliza kujieleza?
      Ndio. So long as hamtoi majibu, na kama post zinahusu mada inayo jadiliwa, hakuna ubaya. wakati debate inaendelea tutapokea masuali mbali mbali toka kwa members, na mwisho kabisa suali tatu zitachaguliwa kua suali 13, 14 na 15.
      Erickb52, kibali and Mwali like this.
      Information is not knowledge

      Albert Einstein

    21. #19
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,699
      Rep Power : 27094
      Likes Received
      10070
      Likes Given
      13974

      Default re: Invitation to all JF members: Debate!

      Quote By Roulette
      Thank you gfsonwin. I think this type of initiative should be encouraged, particularly between members who have different views and opinions but who have so much to share with us. I hope this is just the first of a long series. Let me know when ready so we can facilitate an effective moderation na kutoa post zote za kupoteza mwelekeo wa thread. Pamoja sana
      i will keep in-touch with you when am ready ma dearest. we are here to build our intellectual abilities.
      Roulette, Mwali and Young Master like this.
      "thought takes man out of servitude into freedom"
      'daima tudumu katika upendo'

    22. #20
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,699
      Rep Power : 27094
      Likes Received
      10070
      Likes Given
      13974

      Default re: Invitation to all JF members: Debate!

      dah! MTAZAMO umenichungulia kimtindo??? nimekumulika tu
      "thought takes man out of servitude into freedom"
      'daima tudumu katika upendo'

    Page 1 of 15 12311 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...