Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kumbe hata ajali ya meli zanzibar imesababishwa na chadema

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 54
    1. #1
      Joblube's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th March 2011
      Posts : 270
      Rep Power : 474
      Likes Received
      98
      Likes Given
      0

      Default Kumbe hata ajali ya meli zanzibar imesababishwa na chadema

      Kataa ukubali lakini ajali ya Meli Zanziba imesababishwa na CHADEMA.

      Kwa umahiri wao wa kupeleka hoja zenye maslahi kwa nchi kumekifanya chama hiki kipendwe sana na wananchi na kuifanya CCM kuwa na wakati mgumu kwa wananchi na sasa kazi ni moja tu kwa CCM kuingamiza CHADEMA badala ya kutatua kero za wananchi kwa kuwa hawako radhi kuachia nchi.

      Nahili ni tatizo la kudumu kwa kuwa sasa hivi akili ndogo inaongoza akili kubwa. Nani anabisha kuwa ajali ya Zanzibar haijasababishwa na CHADEMA?

      Ukitaka uhakika muulize Mhe Stella Manyanya.


    2. PPM is online now
      PPM
      #2
      PPM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 406
      Rep Power : 479
      Likes Received
      65
      Likes Given
      39

      Default Re: Kumbe hata ajali ya meli zanzibar imesababishwa na chadema

      Quote By Joblube View Post
      Kataa ukubali lakini ajali ya Meli Zanziba imesababishwa na CHADEMA. Kwa umahiri wao wa kupeleka hoja zenye maslahi kwa nchi kumekifanya chama hiki kipendwe sana na wananchi na kuifanya CCM kuwa na wakati mgumu kwa wananchi na sasa kazi ni moja tu kwa CCM kuingamiza CHADEMA badala ya kutatua kero za wananchi kwa kuwa hawako radhi kuachia nchi. Nahili ni tatizo la kudumu kwa kuwa sasa hivi akili ndogo inaongoza akili kubwa. Nani anabisha kuwa ajali ya Zanzibar haijasababishwa na CHADEMA.


      Ukitaka uhakika muulize Mhe Stella Manyanya.
      Mbona mimba ya mama yako imesababishwa na CCM
      G.T.L likes this.

    3. #3
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 19,205
      Rep Power : 12770
      Likes Received
      6435
      Likes Given
      998

      Default Re: Kumbe hata ajali ya meli zanzibar imesababishwa na chadema

      Mods JF imevamiwa na utoto.

    4. #4
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,672
      Rep Power : 1275
      Likes Received
      1314
      Likes Given
      1709

      Default Re: Kumbe hata ajali ya meli zanzibar imesababishwa na chadema

      Quote By Ritz View Post
      Mods JF imevamiwa na utoto.
      Sio utoto. Ni kweli CHADEMA inahusika,

    5. #5
      Gwalihenzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 2,491
      Rep Power : 909
      Likes Received
      648
      Likes Given
      413

      Default Re: Kumbe hata ajali ya meli zanzibar imesababishwa na chadema

      Quote By PPM View Post
      Mbona mimba ya mama yako imesababishwa na CCM
      unawaonea CCM, watakuwa chadema tu wenyekuleta vurugu na ndio maana wamezamisha meli! CCM chama dume bwana au vipi?


    6. #6
      Globu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th January 2011
      Location : Giningi
      Posts : 5,102
      Rep Power : 3359
      Likes Received
      570
      Likes Given
      36

      Default Re: Kumbe hata ajali ya meli zanzibar imesababishwa na chadema

      Bichwa kubwa Ubongo wa Mende.

    7. #7
      kelvito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Posts : 388
      Rep Power : 526
      Likes Received
      97
      Likes Given
      74

      Default Re: Kumbe hata ajali ya meli zanzibar imesababishwa na chadema

      Quote By Globu View Post
      Bichwa kubwa Ubongo wa Mende.
      hata huo ubichwa wako mkubwa umesababishwa na chadema!
      Freedom consists not in doing what we like, but in having the right to do what we ought. by John Paul II

    8. #8
      Biohazard's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,374
      Rep Power : 996
      Likes Received
      311
      Likes Given
      211

      Default Re: Kumbe hata ajali ya meli zanzibar imesababishwa na chadema

      Quote By Sangarara View Post
      Sio utoto. Ni kweli CHADEMA inahusika,
      Kweli CHADEMA inahusika sababu hata Bahari jana ilikua imevaa Gwanda.

    9. #9
      TUKUTUKU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2010
      Location : KIPALAPALA TU
      Posts : 8,684
      Rep Power : 2181
      Likes Received
      1931
      Likes Given
      752

      Default Re: Kumbe hata ajali ya meli zanzibar imesababishwa na chadema

      Quote By Biohazard View Post
      Kweli CHADEMA inahusika sababu hata Bahari jana ilikua imevaa Gwanda.
      Duh!kwa hiyo CHADEMA imetapakaa mbaka baharini?
      "A friend in need,is a friend indeed"

    10. #10
      FUNGO jr's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2011
      Posts : 252
      Rep Power : 436
      Likes Received
      22
      Likes Given
      1

      Default

      [QUOTE=Joblube;4270254]Kataa ukubali lakini ajali ya Meli Zanziba imesababishwa na CHADEMA. Kwa umahiri wao wa kupeleka hoja zenye maslahi kwa nchi kumekifanya chama hiki kipendwe sana na wananchi na kuifanya CCM kuwa na wakati mgumu kwa wananchi na sasa kazi ni moja tu kwa CCM kuingamiza CHADEMA badala ya kutatua kero za wananchi kwa kuwa hawako radhi kuachia nchi. Nahili ni tatizo la kudumu kwa kuwa sasa hivi akili ndogo inaongoza akili kubwa. Nani anabisha kuwa ajali ya Z madrasa bwana teh teh teh teheeeee

    11. #11
      FUNGO jr's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2011
      Posts : 252
      Rep Power : 436
      Likes Received
      22
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By kelvito View Post
      hata huo ubichwa wako mkubwa umesababishwa na chadema!
      bora ukafanye kazi ya kutoa mbwa kaz kwa mzungu kuliko kuleta hoja kama hii

    12. #12
      Mwanajamii's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th March 2008
      Posts : 7,085
      Rep Power : 1814
      Likes Received
      24
      Likes Given
      13

      Default Re: Kumbe hata ajali ya meli zanzibar imesababishwa na chadema

      Quote By Joblube View Post
      Kataa ukubali lakini ajali ya Meli Zanziba imesababishwa na CHADEMA. Kwa umahiri wao wa kupeleka hoja zenye maslahi kwa nchi kumekifanya chama hiki kipendwe sana na wananchi na kuifanya CCM kuwa na wakati mgumu kwa wananchi na sasa kazi ni moja tu kwa CCM kuingamiza CHADEMA badala ya kutatua kero za wananchi kwa kuwa hawako radhi kuachia nchi. Nahili ni tatizo la kudumu kwa kuwa sasa hivi akili ndogo inaongoza akili kubwa. Nani anabisha kuwa ajali ya Zanzibar haijasababishwa na CHADEMA.


      Ukitaka uhakika muulize Mhe Stella Manyanya.
      Layman arguments

    13. #13
      Biohazard's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,374
      Rep Power : 996
      Likes Received
      311
      Likes Given
      211

      Default Re: Kumbe hata ajali ya meli zanzibar imesababishwa na chadema

      Quote By TUKUTUKU View Post
      Duh!kwa hiyo CHADEMA imetapakaa mbaka baharini?
      Yani nakwambia.... kila kitu CDM kila kitu CDM. Kweli CDM ina make Headlines

    14. #14
      Mwanajamii's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th March 2008
      Posts : 7,085
      Rep Power : 1814
      Likes Received
      24
      Likes Given
      13

      Default Re: Kumbe hata ajali ya meli zanzibar imesababishwa na chadema

      Quote By Globu View Post
      Bichwa kubwa Ubongo wa Mende.
      Huyu jambazi vipi? watu tuna msiba wa kitaifa yeye anarusha threads zenye utoto humu Jf halafu tunasema CDM kina watu makini wakati tafsiri ya ueledi wao ni mawazo ya wafuasi wao. Hivi kweli huyu unaweza kumtofautisha na ropoka ropoka za akina Sugu, Mnyika, Lema na Vicent Nyenyere?

    15. #15
      Mwanajamii's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th March 2008
      Posts : 7,085
      Rep Power : 1814
      Likes Received
      24
      Likes Given
      13

      Default Re: Kumbe hata ajali ya meli zanzibar imesababishwa na chadema

      Quote By TUKUTUKU View Post
      Duh!kwa hiyo CHADEMA imetapakaa mbaka baharini?
      Uzoefu unaonesha matukio wanayohusika CDM, wanakuwa wa kwanza kujibu mapigo na kuilaumu Serikali, hili vipi Mnyika katoa tamko gani? Nakumbuka sana migomo ya Madaktari, Kifo cha Chacha Wangwe, Vifo vya wafuasi wa CDM na CCM kule Igunga na Singida walidakia mapema sana kujisafisha. Watu wameshalishtukia hili.

    16. #16
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,526
      Rep Power : 37789
      Likes Received
      4975
      Likes Given
      2343

      Default Re: Kumbe hata ajali ya meli zanzibar imesababishwa na chadema

      Quote By Joblube View Post
      Kataa ukubali lakini ajali ya Meli Zanziba imesababishwa na CHADEMA. Kwa umahiri wao wa kupeleka hoja zenye maslahi kwa nchi kumekifanya chama hiki kipendwe sana na wananchi na kuifanya CCM kuwa na wakati mgumu kwa wananchi na sasa kazi ni moja tu kwa CCM kuingamiza CHADEMA badala ya kutatua kero za wananchi kwa kuwa hawako radhi kuachia nchi. Nahili ni tatizo la kudumu kwa kuwa sasa hivi akili ndogo inaongoza akili kubwa. Nani anabisha kuwa ajali ya Zanzibar haijasababishwa na CHADEMA.


      Ukitaka uhakika muulize Mhe Stella Manyanya.
      Mkuu inamaana dereva wa meli alikuwa amevaa magwanda?
      "Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."

    17. #17
      Mwanajamii's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th March 2008
      Posts : 7,085
      Rep Power : 1814
      Likes Received
      24
      Likes Given
      13

      Default Re: Kumbe hata ajali ya meli zanzibar imesababishwa na chadema

      Quote By Joblube View Post
      Kataa ukubali lakini ajali ya Meli Zanziba imesababishwa na CHADEMA. Kwa umahiri wao wa kupeleka hoja zenye maslahi kwa nchi kumekifanya chama hiki kipendwe sana na wananchi na kuifanya CCM kuwa na wakati mgumu kwa wananchi na sasa kazi ni moja tu kwa CCM kuingamiza CHADEMA badala ya kutatua kero za wananchi kwa kuwa hawako radhi kuachia nchi. Nahili ni tatizo la kudumu kwa kuwa sasa hivi akili ndogo inaongoza akili kubwa. Nani anabisha kuwa ajali ya Zanzibar haijasababishwa na CHADEMA.


      Ukitaka uhakika muulize Mhe Stella Manyanya.
      Tunasubiri tamko la CDM Serikali ilivyohusika katika ajali hii, kwa sababu ndo mtaji wao wa kujiiimarisha kisiasa na kusahau ilani ya sera za chama chao katika kuwaletea maendeleo wananchi.

    18. #18
      kelvito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Posts : 388
      Rep Power : 526
      Likes Received
      97
      Likes Given
      74

      Default Re: Kumbe hata ajali ya meli zanzibar imesababishwa na chadema

      Quote By fungo jr View Post
      bora ukafanye kazi ya kutoa mbwa kaz kwa mzungu kuliko kuleta hoja kama hii
      sijui mkinga wawapi wewe mwenye matusi ya kijinga kwanza unaonekana hata umri wako ni mdogo sana, mimi si saizi yako ndugu!
      Freedom consists not in doing what we like, but in having the right to do what we ought. by John Paul II

    19. #19
      TUKUTUKU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2010
      Location : KIPALAPALA TU
      Posts : 8,684
      Rep Power : 2181
      Likes Received
      1931
      Likes Given
      752

      Default Re: Kumbe hata ajali ya meli zanzibar imesababishwa na chadema

      Quote By Biohazard View Post
      Yani nakwambia.... kila kitu CDM kila kitu CDM. Kweli CDM ina make Headlines
      Hii ni kuipa umaarufu CDM bila kujua!unakumbuka yule virus aliyetengenezwa kule kwenya kabla ya uchaguzi mkuu uliyopita na kuitwa Raila?kwa kiasi kikubwa ilimsaidia Raila kutangaza jina lake!
      "A friend in need,is a friend indeed"

    20. #20
      Anselm's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Location : Dar-es-salaam
      Posts : 1,476
      Rep Power : 731
      Likes Received
      183
      Likes Given
      138

      Default Re: Kumbe hata ajali ya meli zanzibar imesababishwa na chadema

      Quote By Kengemumaji View Post
      Huyu jambazi vipi? watu tuna msiba wa kitaifa yeye anarusha threads zenye utoto humu Jf halafu tunasema CDM kina watu makini wakati tafsiri ya ueledi wao ni mawazo ya wafuasi wao. Hivi kweli huyu unaweza kumtofautisha na ropoka ropoka za akina Sugu, Mnyika, Lema na Vicent Nyenyere?
      + Nasari na Wenje......kwa mawazo haya mimi nakwambia ni afadhali kuwapa dola Sauti ya Uma kuliko hawa Chadema

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...