Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tuyavumilie mabalaa na mateso yote haya kwa kuwa tulimwasi Mungu

    Report Post
    Results 1 to 6 of 6
    1. #1
      mangifera's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th October 2011
      Posts : 47
      Rep Power : 393
      Likes Received
      34
      Likes Given
      1

      Default Tuyavumilie mabalaa na mateso yote haya kwa kuwa tulimwasi Mungu

      Wandugu, katika utawala wa CCM awamu ya nne, Mungu alituinulia watu miongoni mwetu akatuonyesha jinsi serikali ya CCM inavyotenda maovu, akatuonyesha ufisadi mkubwa kama wa EPA, Meremeta radar nk. Katika ufisadi ule hakuna aliyekana kuhusika ikwemo serikali yenyewe.
      Cha kushangaza wezi walewale wakaja kutuomba watuongoze(kipindi hiki cha pili), wakaja na khanga, wali, tshirt na kofia. Mwisho wa siku tukaamua kuwachagua wezi watuongoze. Kitendo hiki kilimkasirisha sana Mungu wetu, aliyekuwa ametuwekea kila kitu tuamue. Baada ya hapo akaamua kuondoka maana hatukumtii. Wezi tuliochagua ni wa shetani, wala si wa Mungu.
      Na hizi ndizo ishara za kuachwa na Mungu: Mabalaa mengi kama ajali za majini, angani na nchi kavu, njaa, kukosa huduma muhimu kama mahospitalini, umeme, maji na nyingine nyingi. Hata wana wa Israeli kipimo chao cha kumkosea Mungu ni adhabu na mabalaa makubwa, hadi walipotubu na kumwangukia tena.
      Kwa Mawazo yangu ni kuwa Mungu ameondoka ameenda Rwanda. Hili ndilo taifa lililotubu baada ya mabalaa makubwa. Na sasa ameifanya Rwanda kuwa taifa la mfano ulimwenguni.
      Kwa hiyo tuyavumilie,tuliyataka wenyewe, tunahitaji toba ya kweli, ikiwemo kuwaondoa viongozi na chama hiki dhaifu na kumtii Mungu kwa kuchagua viongozi waadilifu.
      Vinginevyo taifa litaangamia.
      kubenafrank and wade kibadu like this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Sabry001's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2011
      Location : everywhere
      Posts : 968
      Rep Power : 609
      Likes Received
      288
      Likes Given
      199

      Default Re: Tuyavumilie mabalaa na mateso yote haya kwa kuwa tulimwasi Mungu

      Umenena ukweli sana ndugu ila we subiri wale watumwa wa kuzimu waje uone watakavokuwa wanakubeza hapa! Tanzania tuko mbali sana na uwepo wa Mungu, wale wa rohoni wanaelewa what imean

    4. #3
      Lu-ma-ga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 1,842
      Rep Power : 812
      Likes Received
      525
      Likes Given
      8

      Default Re: Tuyavumilie mabalaa na mateso yote haya kwa kuwa tulimwasi Mungu

      Uko sahihi kabisa, mimi jana nilishangaa kusikia eti ndege ya ATC imevunjika kioo cha dirisha ikiwa angani halafu mchana nasikia meli imezama, halafu jioni nasikia spika kakataa kuahirisha bunge halafu leo nikasikia eti mwenye meli hana ofisi alikuwa anatumia mawakala.Ama kweli tumemuasi mungu cha moto tutakiona hadi tuikatae CCM

    5. #4
      Mwiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Posts : 4,593
      Rep Power : 2085
      Likes Received
      223
      Likes Given
      19

      Default Re: Tuyavumilie mabalaa na mateso yote haya kwa kuwa tulimwasi Mungu

      Hakuna aliewachagua CCM ! Kwani WaTz wote wakiikataa kwa kupitia kisanduku cha kura ,bado CCMwanaibuka washindi na wanawapiga watu changa la macho kwa kuwapa ubunge wawatakao tumeona.
      Light travels faster than sound. This is why some people appear bright until you hear them speak.

    6. #5
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,172
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      776
      Likes Given
      721

      Default Re: Tuyavumilie mabalaa na mateso yote haya kwa kuwa tulimwasi Mungu

      Ninaamini kuwa ni Watanzania wapuuzi wachache walioshiriki kugeuza matokeo ya kweli kuwa ya uongo na uongo huo ukawapa ushindi wa kidhaifu viongozi wezi wa CCM.Kosa letu tunalolikosea mbele za Mungu ni kuomba Haki badala ya Kudai haki,kwani hata vitabu vya dini vimeleza wazi kuwa Haki HUDAIWA,Haki HAIOMBWI,na unapodai haki unakua tayari kwa lolote.Watanzania tumeka mazuzu ktk kudai haki hata kama tunajua hii ni haki yetu bado tunakua waoga kudai haki.Kama tungekua hatutaki utani,leo hii spika makinda angetakiwa kuwa amejiuzuru,leo hii viongoz wote wezi wangekua wamefirisiwa.Lakini bado najipa matumaini kuwa MATESO YAKIZIDI UJUE SAA YA WOKOVU IMEKALIBIA,Mungu ibariki Tanzania,poleni wahanganga wote wa ajali ya meli

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Jomy's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th April 2012
      Posts : 112
      Rep Power : 382
      Likes Received
      17
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Lu-ma-ga
      Uko sahihi kabisa, mimi jana nilishangaa kusikia eti ndege ya ATC imevunjika kioo cha dirisha ikiwa angani halafu mchana nasikia meli imezama, halafu jioni nasikia spika kakataa kuahirisha bunge halafu leo nikasikia eti mwenye meli hana ofisi alikuwa anatumia mawakala.Ama kweli tumemuasi mungu cha moto tutakiona hadi tuikatae CCM
      imekaa pouwa sana hii, 100% tru

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...