Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: MTEGO wa DR.ULIMBOKA uko tayari...

    Report Post
    Page 1 of 5 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 89
    1. #1
      VUTA-NKUVUTE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Posts : 1,711
      Rep Power : 726
      Likes Received
      901
      Likes Given
      132

      Default MTEGO wa DR.ULIMBOKA uko tayari...

      Serikali imeshakamilisha mtego wa kumzima kabisa Dr.Ulimboka. Mtego huo umeratibiwa na Usalama wa Taifa na Polisi kupitia kwa Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Eliezer Feleshi. Mtego huo ni upi? Ni hivi:kuna 'Jambazi' la kikenya lililofikishwa Mahakamani kwa tuhuma za kumteka na kumtesa Dr.Ulimboka. Kesi iko Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

      Sasa,kuna taarifa kuwa Dr.Ulimboka anaendelea kupata nafuu na ameshaanza kufanya mazoezi mepesi. Ni habari ya kutia moyo. Lakini,Dr.Ulimboka atakaporudi nchini,atatamani akutane na Waandishi wa Habari na kuzungumzia sakata lake. Hilo hatafanikiwa kulifanya.Na akilifanya atashtakiwa kwa kuidharau Mahakama. Kivipi?

      Serikali kupitia Jeshi la Polisi litamuwahi kwa kumwambia kuwa suala analotaka kulizungumzia liko Mahakamani. Dalili za kusimamia mtego huo zimeshaanza kuonekana Bungeni.Ni juzi tu Bajeti ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni ya Mambo ya Ndani ilizuiwa(baadhi ya kurasa zake) kwa kisingizio hichohicho. Swali litakalobaki ni je,mambo hayo ndio yataishia kwa 'Jambazi' la Kikenya?
      Last edited by VUTA-NKUVUTE; 19th July 2012 at 12:20.
      Uongo huonekana na kuaminiwa haraka.Ukweli ndio mwisho wa yote!

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      harakat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2011
      Posts : 1,253
      Rep Power : 784
      Likes Received
      251
      Likes Given
      2

      Default Re: MTEGO wa DR.ULIMBOKA uko tayari...

      kweli hii ni kazi ngumu
      haiwezekani kutumia mahakama kam kichaka cha kuficha maovu

    4. #3
      buyegiboseba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Posts : 535
      Rep Power : 511
      Likes Received
      139
      Likes Given
      39

      Default Re: MTEGO wa DR.ULIMBOKA uko tayari...

      Vyovyote vile haki lazima itasimama tu,haijalishi mitego ni mikubwa kama ya kumnasa tembo.God is just
      cerengeti likes this.

    5. #4
      Mwanajamii's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th March 2008
      Posts : 7,085
      Rep Power : 1810
      Likes Received
      24
      Likes Given
      13

      Default Re: MTEGO wa DR.ULIMBOKA uko tayari...

      VUTA-NKUVUTE Hebu tufafanulie kidogo mkuu, hapo Usalama wa Taifa wanahusika vipi?
      Anselm and cerengeti like this.

    6. #5
      kibali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd October 2011
      Posts : 265
      Rep Power : 439
      Likes Received
      101
      Likes Given
      55

      Default Re: MTEGO wa DR.ULIMBOKA uko tayari...

      Dr Uli atazuiwa kama nani? yeye ni muhimili gani katika hii mihimili mitatu? Mbona kesi ya Kombe magazeti na watu walikua wanizungumzia na wakati ipo mahakamani?

    7. Miaka 50

    8. #6
      kingxvi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2011
      Posts : 881
      Rep Power : 596
      Likes Received
      134
      Likes Given
      1

      Default Re: MTEGO wa DR.ULIMBOKA uko tayari...

      bado mnamuwaza tu huyu mtu?

    9. #7
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,647
      Rep Power : 4016
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: MTEGO wa DR.ULIMBOKA uko tayari...

      Ushaona wapi mtu anayefanya mambo kihuni huni akafika anakotaka kwenda?
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    10. #8
      Njowepo's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Location : Santiago
      Posts : 7,634
      Rep Power : 22062
      Likes Received
      1009
      Likes Given
      803

      Default

      Huu sasa ni uhuni mbona JK aliliongelea Suala la Uli kwa speech yake while ilo Suala likiwa kwa Mahakama
      Naona Mahakama sasa inatumika Kama Kichaka cha kuficha mambo
      Mtumishi Wetu and cerengeti like this.

    11. #9
      Asa'rile's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th June 2012
      Posts : 140
      Rep Power : 376
      Likes Received
      19
      Likes Given
      2

      Default Re: MTEGO wa DR.ULIMBOKA uko tayari...

      Quote By VUTA-NKUVUTE
      Serikali imeshakamilisha mtego wa kumzima kabisa Dr.Ulimboka. Mtego huo umeratibiwa na Usalama wa Taifa na Polisi kupitia kwa Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Eliezer Feleshi. Mtego huo ni upi? Ni hivi:kuna 'Jambazi' la kikenya liliofikishwa Mahakamani kwa tuhuma za kumteka na kumtesa Dr.Ulimboka. Kesi iko Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
      Sasa,kuna taarifa kuwa Dr.Ulimboka anaendelea kupata nafuu na ameshaanza kufanya mazoezi mepesi. Ni habari ya kutia moyo. Lakini,Dr.Ulimboka atakaporudi nchini,atatamani akutane na Waandishi wa Habari na kuzungumzia sakata lake. Hilo hatafanikiwa kulifanya.Na akilifanya atashtakiwa kwa kuidharau Mahakama. Kivipi?

      Serikali kupitia Jeshi la Polisi litamuwahi kwa kumwambia kuwa suala analotaka kulizungumzia liko Mahakamani. Dalili za kusimamia mtego huo zimeshaanza kuonekana Bungeni.Ni juzi tu Bajeti ya Kambi Rasmi ya Upinzanzi Bungeni ya Mambo ya Ndani ilizuiwa(baadhi ya kurasa zake) kwa kisingizio hichohicho. Swali litakalobaki ni je,mambo hayo ndio yataishia kwa 'Jambazi' la Kikenya?
      Kweli huyu jamaa according to experience, ni bingwa wa hii kitu.
      Lakini moto huu wa petrol, hakuna ataeweza uzima....hadi kieleweke baba..

    12. #10
      Mwiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Posts : 4,594
      Rep Power : 2085
      Likes Received
      223
      Likes Given
      19

      Default Re: MTEGO wa DR.ULIMBOKA uko tayari...

      Waandishi wa habari wamfuate huko huko ,kama wale waandishi wa Kimataifa wanaweza kuifanya kazi hiyo ,au hata madaktari wanaweza kumfanyia mazungumzo na kuhusisha masuali mazito kwake ,kama anawafahamu waliomteka ,kuwataja majina kiasi ya kuelezea kisa kizima kwa yale anayoyakumbuka na kuwa yenye usaili wa kideo sio audio.
      Mtumishi Wetu likes this.
      Light travels faster than sound. This is why some people appear bright until you hear them speak.

    13. #11
      unknown animal's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2012
      Location : iringa
      Posts : 317
      Rep Power : 408
      Likes Received
      46
      Likes Given
      137

      Default Re: MTEGO wa DR.ULIMBOKA uko tayari...

      uko sahihi mkuu

    14. #12
      Micro E coli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2011
      Posts : 552
      Rep Power : 492
      Likes Received
      103
      Likes Given
      88

      Default Re: MTEGO wa DR.ULIMBOKA uko tayari...

      Nimerudi kutoka kwenye burn,serikali haina namna ya kumzuia mpiganaji Uli kwakuwa yeye sio muhimili na vyombo vya habari si muhimili.

    15. #13
      VUTA-NKUVUTE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Posts : 1,711
      Rep Power : 726
      Likes Received
      901
      Likes Given
      132

      Default Re: MTEGO wa DR.ULIMBOKA uko tayari...

      Quote By Kengemumaji
      Hebu tufafanulie kidogo mkuu, hapo Usalama wa Taifa wanahusika vipi?
      Usalama wa Taifa ni watuhumiwa nambari moja wa sakata la Dr.Ulli.Lazima walihusika kupeleleza na kulikamata 'Jambazi la kikenya'...
      kubenafrank likes this.
      Uongo huonekana na kuaminiwa haraka.Ukweli ndio mwisho wa yote!

    16. #14
      mzee wa njaa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th June 2011
      Posts : 1,340
      Rep Power : 670
      Likes Received
      194
      Likes Given
      107

      Default Re: MTEGO wa DR.ULIMBOKA uko tayari...

      Sioni hoja ya msingi hapo. Thread yako si ya kufikirika.

    17. #15
      VUTA-NKUVUTE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Posts : 1,711
      Rep Power : 726
      Likes Received
      901
      Likes Given
      132

      Default Re: MTEGO wa DR.ULIMBOKA uko tayari...

      Quote By mzee wa njaa
      Sioni hoja ya msingi hapo. Thread yako si ya kufikirika.
      Endelea na zako. Ntakuja kukuuliza hapo unapofanyia kazi baadaye...
      Uongo huonekana na kuaminiwa haraka.Ukweli ndio mwisho wa yote!

    18. #16
      Mwanaharakatihuru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2012
      Posts : 474
      Rep Power : 0
      Likes Received
      114
      Likes Given
      14

      Default Re: MTEGO wa DR.ULIMBOKA uko tayari...

      Pambavu si mnasema serikali dhaifu! Udhaifu kwa vitendo oh haki za binadamu

    19. #17
      Omulangi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2008
      Posts : 726
      Rep Power : 721
      Likes Received
      132
      Likes Given
      8

      Default Re: MTEGO wa DR.ULIMBOKA uko tayari...

      Quote By Mwiba
      Waandishi wa habari wamfuate huko huko ,kama wale waandishi wa Kimataifa wanaweza kuifanya kazi hiyo ,au hata madaktari wanaweza kumfanyia mazungumzo na kuhusisha masuali mazito kwake ,kama anawafahamu waliomteka ,kuwataja majina kiasi ya kuelezea kisa kizima kwa yale anayoyakumbuka na kuwa yenye usaili wa kideo sio audio.
      hakuna haja ya kungoja kuja Tz. Azungumze huko huko na vyombo vya hapa kwetu vinukuu tu yale yaliyosemwa. Video clip iwekwe katika mtandao kazi ya kuisambaza itakuwa imekamilika.
      Mtumishi Wetu likes this.

    20. #18
      Riwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th October 2007
      Location : Dar es salaam
      Posts : 1,569
      Rep Power : 8231
      Likes Received
      1604
      Likes Given
      809

      Default Re: MTEGO wa DR.ULIMBOKA uko tayari...

      Quote By VUTA-NKUVUTE
      Sasa,kuna taarifa kuwa Dr.Ulimboka anaendelea kupata nafuu na ameshaanza kufanya mazoezi mepesi. Ni habari ya kutia moyo. Lakini,Dr.Ulimboka atakaporudi nchini,atatamani akutane na Waandishi wa Habari na kuzungumzia sakata lake. Hilo hatafanikiwa kulifanya.Na akilifanya atashtakiwa kwa kuidharau Mahakama. Kivipi?
      We nani kakuambia Ulimboka ana mpango wa kurudi Tanzania kwa sasa kabla usalama wake haujahakikishwa?! Ulimboka ni mkimbizi kwa sasa mpaka hali iatakaporuhusu kurudi nchini...meaning 'mtandao' wa serikali hii utakapotoka madarakani!
      SG8 and Mtumishi Wetu like this.
      All things are DIFFICULT before they are EASY - Thomas Fuller

    21. #19
      mtendaji wa kijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd July 2012
      Posts : 382
      Rep Power : 423
      Likes Received
      68
      Likes Given
      18

      Default Re: MTEGO wa DR.ULIMBOKA uko tayari...

      Usalama dhaifu

    22. #20
      mizambwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2008
      Posts : 1,439
      Rep Power : 975
      Likes Received
      368
      Likes Given
      1811

      Default Re: MTEGO wa DR.ULIMBOKA uko tayari...

      Quote By Kengemumaji
      Hebu tufafanulie kidogo mkuu, hapo Usalama wa Taifa wanahusika vipi?
      Usalama wa Taifa ni maajenti wa kupanga Dili zote za kuangamiza Wananchi wa Tanzania hasa wale wanaodai haki na kusema ukweli kuhusiana na Serikali Dhurumati inayoongoza Tanzania.

      Hivyo kwa kuwa ni maajenti lazima kwa taarifa kuwa Ulimboka anaendelea vizuri wanakuna vichwa namna ya kummaliza kwa njia yoyote endapo atarudi salama ili asiweke mambo hadharani.



      MIZAMBWA
      NABII MTARAJIWA!!!
      SASA NIMEAMINI KUWA TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA!!!!, TUANDAE KABURI LA KUIZIKA MWAKA 2015

    Page 1 of 5 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...