Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: MTEGO wa DR.ULIMBOKA uko tayari...

    Report Post
    Page 3 of 5 FirstFirst 12345 LastLast
    Results 41 to 60 of 89
    1. #1
      VUTA-NKUVUTE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Posts : 1,704
      Rep Power : 723
      Likes Received
      885
      Likes Given
      125

      Default MTEGO wa DR.ULIMBOKA uko tayari...

      Serikali imeshakamilisha mtego wa kumzima kabisa Dr.Ulimboka. Mtego huo umeratibiwa na Usalama wa Taifa na Polisi kupitia kwa Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Eliezer Feleshi. Mtego huo ni upi? Ni hivi:kuna 'Jambazi' la kikenya lililofikishwa Mahakamani kwa tuhuma za kumteka na kumtesa Dr.Ulimboka. Kesi iko Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

      Sasa,kuna taarifa kuwa Dr.Ulimboka anaendelea kupata nafuu na ameshaanza kufanya mazoezi mepesi. Ni habari ya kutia moyo. Lakini,Dr.Ulimboka atakaporudi nchini,atatamani akutane na Waandishi wa Habari na kuzungumzia sakata lake. Hilo hatafanikiwa kulifanya.Na akilifanya atashtakiwa kwa kuidharau Mahakama. Kivipi?

      Serikali kupitia Jeshi la Polisi litamuwahi kwa kumwambia kuwa suala analotaka kulizungumzia liko Mahakamani. Dalili za kusimamia mtego huo zimeshaanza kuonekana Bungeni.Ni juzi tu Bajeti ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni ya Mambo ya Ndani ilizuiwa(baadhi ya kurasa zake) kwa kisingizio hichohicho. Swali litakalobaki ni je,mambo hayo ndio yataishia kwa 'Jambazi' la Kikenya?
      Last edited by VUTA-NKUVUTE; 19th July 2012 at 12:20.
      Uongo huonekana na kuaminiwa haraka.Ukweli ndio mwisho wa yote!

    2. Miaka 50

    3. #41
      mark x's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th June 2012
      Posts : 11
      Rep Power : 349
      Likes Received
      0
      Likes Given
      7

      Default Re: MTEGO wa DR.ULIMBOKA uko tayari...

      yote maisha..

    4. #42
      Tuko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2010
      Posts : 4,591
      Rep Power : 13829
      Likes Received
      2226
      Likes Given
      2158

      Default Re: MTEGO wa DR.ULIMBOKA uko tayari...

      Quote By VUTA-NKUVUTE
      Serikali imeshakamilisha mtego wa kumzima kabisa Dr.Ulimboka. Mtego huo umeratibiwa na Usalama wa Taifa na Polisi kupitia kwa Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Eliezer Feleshi. Mtego huo ni upi? Ni hivi:kuna 'Jambazi' la kikenya lililofikishwa Mahakamani kwa tuhuma za kumteka na kumtesa Dr.Ulimboka. Kesi iko Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

      Sasa,kuna taarifa kuwa Dr.Ulimboka anaendelea kupata nafuu na ameshaanza kufanya mazoezi mepesi. Ni habari ya kutia moyo. Lakini,Dr.Ulimboka atakaporudi nchini,atatamani akutane na Waandishi wa Habari na kuzungumzia sakata lake. Hilo hatafanikiwa kulifanya.Na akilifanya atashtakiwa kwa kuidharau Mahakama. Kivipi?

      Serikali kupitia Jeshi la Polisi litamuwahi kwa kumwambia kuwa suala analotaka kulizungumzia liko Mahakamani. Dalili za kusimamia mtego huo zimeshaanza kuonekana Bungeni.Ni juzi tu Bajeti ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni ya Mambo ya Ndani ilizuiwa(baadhi ya kurasa zake) kwa kisingizio hichohicho. Swali litakalobaki ni je,mambo hayo ndio yataishia kwa 'Jambazi' la Kikenya?
      hakuna mtego hapa ndugu yangu. Kwenye hii kesi, Uli ndiye atakuwa shahidi namba moja. Akiitwa mahakamani atakana kumjua huyu mkenya, na hapo hapo atawaanika waliomteka, na kuitaka mahakama iwalete mahakamani. Kwishney...

      Labda wazuie vyombo vya habari kuripoti kesi...

    5. #43
      Wakuti's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th January 2011
      Posts : 164
      Rep Power : 455
      Likes Received
      13
      Likes Given
      29

      Default Re: MTEGO wa DR.ULIMBOKA uko tayari...

      Aliyeleta huu uzi atakuwa katoka usingizini hivyo hapa anaelezea ndoto zake alizoota kazi kweli kweli

    6. #44
      Mkomamanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th December 2011
      Posts : 361
      Rep Power : 448
      Likes Received
      58
      Likes Given
      0

      Default Re: MTEGO wa DR.ULIMBOKA uko tayari...

      Quote By Omulangi
      hakuna haja ya kungoja kuja Tz. Azungumze huko huko na vyombo vya hapa kwetu vinukuu tu yale yaliyosemwa. Video clip iwekwe katika mtandao kazi ya kuisambaza itakuwa imekamilika.
      Kwa kuwa jambazi linatokea Kenya na linashtakiwa Tz namshauri akaongee na waandishi wa habari wa TZ akiwa Kenya kama Mwananchi lilivyoenda kumhoji Joyce Banda akiwa Malawi na kumfanyia 'coverage' ya kutosha.

    7. #45
      WA-UKENYENGE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2011
      Location : Inside a Smart Grid
      Posts : 2,413
      Rep Power : 5037
      Likes Received
      780
      Likes Given
      1782

      Default Re: MTEGO wa DR.ULIMBOKA uko tayari...

      Quote By Rohombaya
      Jamani hivi kamanda Uli ni mwanachama/mshabiki wa chama gani?
      Si mwanachama wa chama chochote, isipokuwa kipindi cha nyuma kila mtu alikuwa CCM, labda kama aliukana huo uanachana. Mi bado sijaukana ila sitaki tena kuwa mwanachama.
      Rohombaya likes this.
      "The usual conclusion is that you can't put a price on a human life. But you can if you must".

    8. FemaTV & Radio

    9. #46
      Chenge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Posts : 485
      Rep Power : 482
      Likes Received
      183
      Likes Given
      47

      Default Re: MTEGO wa DR.ULIMBOKA uko tayari...






      Some people are simply alive because it's illegal to kill them


    10. #47
      Ndukidi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Posts : 372
      Rep Power : 575
      Likes Received
      141
      Likes Given
      327

      Default Re: MTEGO wa DR.ULIMBOKA uko tayari...

      Quote By VUTA-NKUVUTE
      Serikali imeshakamilisha mtego wa kumzima kabisa Dr.Ulimboka. Mtego huo umeratibiwa na Usalama wa Taifa na Polisi kupitia kwa Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Eliezer Feleshi. Mtego huo ni upi? Ni hivi:kuna 'Jambazi' la kikenya lililofikishwa Mahakamani kwa tuhuma za kumteka na kumtesa Dr.Ulimboka. Kesi iko Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

      Sasa,kuna taarifa kuwa Dr.Ulimboka anaendelea kupata nafuu na ameshaanza kufanya mazoezi mepesi. Ni habari ya kutia moyo. Lakini,Dr.Ulimboka atakaporudi nchini,atatamani akutane na Waandishi wa Habari na kuzungumzia sakata lake. Hilo hatafanikiwa kulifanya.Na akilifanya atashtakiwa kwa kuidharau Mahakama. Kivipi?

      Serikali kupitia Jeshi la Polisi litamuwahi kwa kumwambia kuwa suala analotaka kulizungumzia liko Mahakamani. Dalili za kusimamia mtego huo zimeshaanza kuonekana Bungeni.Ni juzi tu Bajeti ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni ya Mambo ya Ndani ilizuiwa(baadhi ya kurasa zake) kwa kisingizio hichohicho. Swali litakalobaki ni je,mambo hayo ndio yataishia kwa 'Jambazi' la Kikenya?
      Kwakuwa Ulimboka ni mgonjwa na tufanye hatujui alipopelekwa, basi yeye huko huko aliko atoe taarifa yote ya yaliyotokea.... naamini sheria za huko aliko hazimzuii kufanya hivyo aongee irekodiwe.. iandikwe kwenye mitandao yote na magazeti yatachapisha, hakuna haja ya kuita waandishi hapa Tanzania.

    11. #48
      Zogwale's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 10th July 2008
      Posts : 5,974
      Rep Power : 2633
      Likes Received
      1195
      Likes Given
      499

      Default Re: MTEGO wa DR.ULIMBOKA uko tayari...

      Quote By kibali
      Dr Uli atazuiwa kama nani? yeye ni muhimili gani katika hii mihimili mitatu? Mbona kesi ya Kombe magazeti na watu walikua wanizungumzia na wakati ipo mahakamani?
      Hata ile ya Zombe ya kuwaua wale innocent miners na dereva teksi ilizungumziwa sana hadi nakumbuka siku Zombe akiwa ndani ya karandinga aliropokea waandishi eti kwa nini mnaniandika sana na blaaa blaaaa nyingi. Acheni utani na roho na damu za watu. Zitawaumiza watoto na vizazi vyenu hadi kizazi cha nne. Hayo ni maandiko yanasema kuwa kila kibaya unachomtendea mwenzako siku moja kitakurudia, na kama hakitakurudia basi hesabu kizazi chako cha kwanza hadi cha nne ni lazima kitakubebea adhabu hiyo. Watch out my fellows out there!!! Tusishangae yanayowapata watoto wetu!!! Kuna kisa hiki kuwa kuna mwanaume mmoja alikuwa anazaa na wanawake na kuwaacha, ikatokea kuwa amezaa na binti wa watu akamwacha na akalaanika!!!! Hadi leo watoto wake hadi wajukuu wa kike wanazalia nyumbani hakuna aliyeolewa, na yule aliyeolewa (ni wawili) walikufa!!! Hadi leo kila mjukuu anazaa tena na waume za watu!!!!
      "Kama unaingia Ikulu kwa njia ya rushwa, je ni biashara gani iko huko ya kuwezesha kulipa fadhila ya rushwa hiyo???"

    12. #49
      OPTIMUS TZ's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th January 2012
      Posts : 390
      Rep Power : 446
      Likes Received
      60
      Likes Given
      1

      Default Re: MTEGO wa DR.ULIMBOKA uko tayari...

      Anaweza akaitupia story yote humu jamvini au aka malizia mchezo huko aliko wao wakaendelea na kesi yao ;hata akija anaweza akenda mahakamani kama shahidi akaeleza yote huko.........ndani kwa ndani ..........kwa hili TISS,GAMBA NA POLISI HAWATOKI

    13. #50
      OPTIMUS TZ's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th January 2012
      Posts : 390
      Rep Power : 446
      Likes Received
      60
      Likes Given
      1

      Default Re: MTEGO wa DR.ULIMBOKA uko tayari...

      Hii serikali imesomea ujinga wapi...anaweza akaongelea huko huko akawaacha na kesi yao,anaweza aka toa uzi hata humu jamvini au akaja kumwaga radhi ndani ya mahakama kama shahidi................this time hawatoki

    14. #51
      Young zee's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 279
      Rep Power : 415
      Likes Received
      67
      Likes Given
      30

      Default Re: MTEGO wa DR.ULIMBOKA uko tayari...

      Quote By Wakuti
      Aliyeleta huu uzi atakuwa katoka usingizini hivyo hapa anaelezea ndoto zake alizoota kazi kweli kweli

      Mkuu, mbona hii picha iko peupe mno, ni nini unachoshindwa kuelewa ??
      Unashindwa kuelewa kuwa "Mkenya feki yupo mahakamani" ??? au
      Unashindwa kuelewa kuwa serikali ina mkono wake kwa Dr. Ulimboka ??
      au Unashindwa kuelewa kuwa Dr. ulimboka kama mtu aliyetaka kuthuriwa atakuwa shahidi muhimu katika kesi hii ya kichina????

      Swali la msingi; Serikali kupitia kwa Polisi na Tiss ndio watuhumiwa wa kwanza, Je ndo watakoahusika pia kumhoji Dr. Ulimboka????
      Mtumishi Wetu likes this.

    15. #52
      iishmmael's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 22nd April 2012
      Posts : 205
      Rep Power : 398
      Likes Received
      31
      Likes Given
      19

      Default Re: MTEGO wa DR.ULIMBOKA uko tayari...

      Hivi ile tamthilia ya nani aliyempa sumu mwakyembe imeishia wapi?

    16. #53
      OPTIMUS TZ's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th January 2012
      Posts : 390
      Rep Power : 446
      Likes Received
      60
      Likes Given
      1

      Default Re: MTEGO wa DR.ULIMBOKA uko tayari...

      Hii serikali imesomea ujinga wapi...anaweza akaongelea huko huko akawaacha na kesi yao,anaweza aka toa uzi hata humu jamvini au akaja kumwaga radhi ndani ya mahakama kama shahidi................this time hawatoki

    17. #54
      Mtumishi Wetu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Location : Arusha
      Posts : 2,837
      Rep Power : 3543
      Likes Received
      536
      Likes Given
      5136

      Default Re: MTEGO wa DR.ULIMBOKA uko tayari...

      Quote By Mwiba
      Waandishi wa habari wamfuate huko huko ,kama wale waandishi wa Kimataifa wanaweza kuifanya kazi hiyo ,au hata madaktari wanaweza kumfanyia mazungumzo na kuhusisha masuali mazito kwake ,kama anawafahamu waliomteka ,kuwataja majina kiasi ya kuelezea kisa kizima kwa yale anayoyakumbuka na kuwa yenye usaili wa kideo sio audio.
      Mkuu Mwiba NAKUUNGA MKONO MIA KWA MIA huyo Dr afutwe hukohuko kwani hakuna waandishi wa habari huko aliko?? Let the Drs organize a press conference wherever he might be and be joined by our local reporters and every thing bang!!!! out of the secrecy of the Dar Zonal Commander Kova and team!!!


    18. #55
      Mtumishi Wetu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Location : Arusha
      Posts : 2,837
      Rep Power : 3543
      Likes Received
      536
      Likes Given
      5136

      Default Re: MTEGO wa DR.ULIMBOKA uko tayari...

      Quote By Riwa
      We nani kakuambia Ulimboka ana mpango wa kurudi Tanzania kwa sasa kabla usalama wake haujahakikishwa?! Ulimboka ni mkimbizi kwa sasa mpaka hali iatakaporuhusu kurudi nchini...meaning 'mtandao' wa serikali hii utakapotoka madarakani!
      Dr Uli anaweza kwenda Canada kama mkimbizi sababu alizonazo za kukimbia ni genuine kabisa ili wasije wakammalima!!! Kurudi kwake angojee 2015 lakini hiyo haizuii kutoa taarifa za wazi kwa vyombo vya habari ninani walioshiriki kutaka kumuuwa????


    19. #56
      Mtumishi Wetu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Location : Arusha
      Posts : 2,837
      Rep Power : 3543
      Likes Received
      536
      Likes Given
      5136

      Default Re: MTEGO wa DR.ULIMBOKA uko tayari...

      Quote By mizambwa
      Usalama wa Taifa ni maajenti wa kupanga Dili zote za kuangamiza Wananchi wa Tanzania hasa wale wanaodai haki na kusema ukweli kuhusiana na Serikali Dhurumati inayoongoza Tanzania.

      Hivyo kwa kuwa ni maajenti lazima kwa taarifa kuwa Ulimboka anaendelea vizuri wanakuna vichwa namna ya kummaliza kwa njia yoyote endapo atarudi salama ili asiweke mambo hadharani.



      MIZAMBWA
      NABII MTARAJIWA!!!
      Hakuna kurudi TZ hadi CCM na maajenti wake wamengoka madarakani period!!!!


    20. #57
      MNYISANZU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,305
      Rep Power : 2018
      Likes Received
      591
      Likes Given
      76

      Default Re: MTEGO wa DR.ULIMBOKA uko tayari...

      Usalama wa Nyinyiem ni sawa na sikio la kufa, halisikii dawa.

    21. #58
      MchunguZI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th June 2008
      Posts : 1,306
      Rep Power : 819
      Likes Received
      208
      Likes Given
      76

      Default Re: MTEGO wa DR.ULIMBOKA uko tayari...

      Sioni ajabu mbinu kama hizo maana usalama walipewa jina la intelligence kwa kuamini wanatumia akili. Lakini hawa wa kwetu hakuna kitu. Akili ndogo. wengi waliingia baada ya kufeli mitihani. Wanachofundishwa ni kubinya watu sehemu za siri, kulawiti, kung'oa meno hivyo, nk.

      Hata hiyo mbinu wanayopanga sasa siyo ajabu. Ni hiyo filamu ya Kova ambayo Mbunge Sugu alimuomba arudi studio kujipanga upya.

      Muhimu Ulimboka akisharudi mara moja afungue mashitaka maana ndo mtendewa kosa. Wao waendelee na mkenya wao maana hatujui aliyefungua faili polisi ni nani na sasa huko Mahakamani sijui ni nani anashitaki maana muhusika yuko hai, ni Ulimboka.
      The educated differ from the uneducated as much as the living from the dead --Aristotle

    22. #59
      Mohamedi Mtoi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th December 2010
      Location : Lushoto - Kwemakame.
      Posts : 2,048
      Rep Power : 24548
      Likes Received
      3125
      Likes Given
      354

      Default Re: MTEGO wa DR.ULIMBOKA uko tayari...

      Kama kuna madaktari ambao ni wanachama humu jf na wana acess na Dr ulimboka naomba wamfikishie maneno haya.

      1. Dr Ully anatakiwa kuwa shujua wa kubadili taswira ya haki kwa nchi yetu hususani vyombo vya usalama kwa kuieleza dunia kilicho mtokea.
      Anatakiwa kuanika ubaya wote aliotendewa bila kuficha au kumuogopa mtu yoyote maana tayari walio mtendea ubaya huo hawakutaka aishi bali rehma za mwenyezi Mungu ndio zimemuokoa. Hapa anatakiwa kuwa na ile dhana ya "akuanzae mmalize bila kumbakisha"

      2. Anatakiwa kuhakikisha ulimwengu unajua kuwa amani na utulivu ulioko Tanzania huwa una vitendo vya kukiuka haki za binadamu tena vinavyo fanywa na vyombo vya kulinda usalama wa raia.

      3. Aitishe mkutano na vyombo vya kimataifa kuanika njama alizofanyiwa za kutekwa na kuteswa akiwa nje ya nchi kabla ya kutua hapa Tanzania kuepusha ile dhana ya kuingilia uhuru wa mahakama.

      4. Akirudi aende kanisani kwake afanye ibada maalumu na akabidhi rasmi maisha yake kwa Mungu wake.

      Tamati.

    23. #60
      LINCOLINMTZA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th March 2011
      Location : Opposite The JF Web Page
      Posts : 1,357
      Rep Power : 694
      Likes Received
      349
      Likes Given
      216

      Default Re: MTEGO wa DR.ULIMBOKA uko tayari...

      Quote By VUTA-NKUVUTE
      Serikali imeshakamilisha mtego wa kumzima kabisa Dr.Ulimboka. Mtego huo umeratibiwa na Usalama wa Taifa na Polisi kupitia kwa Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Eliezer Feleshi. Mtego huo ni upi? Ni hivi:kuna 'Jambazi' la kikenya lililofikishwa Mahakamani kwa tuhuma za kumteka na kumtesa Dr.Ulimboka. Kesi iko Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

      Sasa,kuna taarifa kuwa Dr.Ulimboka anaendelea kupata nafuu na ameshaanza kufanya mazoezi mepesi. Ni habari ya kutia moyo. Lakini,Dr.Ulimboka atakaporudi nchini,atatamani akutane na Waandishi wa Habari na kuzungumzia sakata lake. Hilo hatafanikiwa kulifanya.Na akilifanya atashtakiwa kwa kuidharau Mahakama. Kivipi?

      Serikali kupitia Jeshi la Polisi litamuwahi kwa kumwambia kuwa suala analotaka kulizungumzia liko Mahakamani. Dalili za kusimamia mtego huo zimeshaanza kuonekana Bungeni.Ni juzi tu Bajeti ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni ya Mambo ya Ndani ilizuiwa(baadhi ya kurasa zake) kwa kisingizio hichohicho. Swali litakalobaki ni je,mambo hayo ndio yataishia kwa 'Jambazi' la Kikenya?
      Yeye amwage hapa jamvini tu.
      Love everybody, trust no body. If you can not convince them, confuse them. If you can not teach them, cheat them.

    Page 3 of 5 FirstFirst 12345 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...