Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Lukuvi amelidanganya bunge

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 48
    1. #1
      nyangasese's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st August 2011
      Posts : 100
      Rep Power : 412
      Likes Received
      17
      Likes Given
      0

      Default Lukuvi amelidanganya bunge

      Ametoa taarifa isiyo sahihi kwa niaba ya serikali kwa kusema kuwa meli iliyozama inaitwa "seagul".Nina wasi wasi wasi na umakini wa serikali juu ya suala hili.

    2. RukaaJuu Final

    3. #21
      Join Date : 18th July 2011
      Posts : 885
      Rep Power : 574
      Likes Received
      130
      Likes Given
      40

      Default Re: Lukuvi amelidanganya bunge

      hebu tuambie wewe hiyo meli iliyozama inaitwaje?

    4. #22
      mchemsho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th June 2011
      Posts : 2,015
      Rep Power : 810
      Likes Received
      269
      Likes Given
      20

      Default Re: Lukuvi amelidanganya bunge

      Jk mwenyewe wala hana habari kuwa meli imezama...

    5. #23
      Ghiti Milimo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Posts : 228
      Rep Power : 442
      Likes Received
      27
      Likes Given
      1

      Default Re: Lukuvi amelidanganya bunge

      Hii ndiyo Tanzania! Hata waliofariki (waliopotea) tunatajiwa idadi tofauti tofauti!

    6. #24
      Kassim Awadh's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Posts : 587
      Rep Power : 480
      Likes Received
      108
      Likes Given
      785

      Default Re: Lukuvi amelidanganya bunge

      Quote By Kengemumaji
      Hata mkimpeleka Drogba hamuezi kumng'oa Lukuvi.
      Ni kweli ila sababu c kwamba yeye Vangimembe ni imara sana hapana! bali wananchi wenyewe wa Isimani bado sana! 2010 Kuna mtu alijjitokeza kutaka kugombea,alichofanya alikuja Dar akamtisha Lukuvi wakati huo RC kuwa atamlipua kwa elimu yake fake alichofanya Lukuvi alim accomodate yule jamaa Seacliff kwa siku kadhaa kisha akamvutia mpunga jamaa akarudi jimboni akafanya usanii kurejesha form basi.

    7. #25
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,480
      Rep Power : 19785
      Likes Received
      4300
      Likes Given
      1248

      Default Re: Lukuvi amelidanganya bunge

      Ata kuwa amehujumiwa na cdm!

    8. Miaka 50

    9. #26
      Rato's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th July 2012
      Posts : 30
      Rep Power : 352
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: Lukuvi amelidanganya bunge

      Hiyo meli inaitwaje?

    10. #27
      Mwiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Posts : 4,593
      Rep Power : 2085
      Likes Received
      223
      Likes Given
      19

      Default Re: Lukuvi amelidanganya bunge

      Alisoma na kupata habari kupitia JF ,!
      Light travels faster than sound. This is why some people appear bright until you hear them speak.

    11. #28
      Bigirita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Under a mango tree
      Posts : 11,263
      Rep Power : 3043
      Likes Received
      3052
      Likes Given
      4137

      Default Re: Lukuvi amelidanganya bunge

      Quote By Mwiba
      Alisoma na kupata habari kupitia JF ,!
      Vilaza wengine bana.....tabu kweli kweli!
      * LOVE COMES NATURALLY; HATE IS TAUGHT.....by nngu007 wa JF

    12. #29
      Mwanajamii's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th March 2008
      Posts : 7,085
      Rep Power : 1810
      Likes Received
      24
      Likes Given
      13

      Default Re: Lukuvi amelidanganya bunge

      Quote By nyangasese
      Ametoa taarifa isiyo sahihi kwa niaba ya serikali kwa kusema kuwa meli iliyozama inaitwa "seagul".Nina wasi wasi wasi na umakini wa serikali juu ya suala hili.
      Kasoma jf labda

    13. #30
      Njowepo's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Location : Santiago
      Posts : 7,624
      Rep Power : 22060
      Likes Received
      999
      Likes Given
      793

      Default Re: Lukuvi amelidanganya bunge

      Sasa Kama serikali haina taarifa rasmi Hii ni Atali
      Apa issue sio Lukuvi but serikali as a whole
      Kwa Ajari Hii Nathani ni wakati muafaka kitengo cha Majanga under PM Kupiga Mihela

    14. #31
      mzee wa busara's Avatar
      Member Array
      Join Date : 13th August 2011
      Posts : 68
      Rep Power : 406
      Likes Received
      9
      Likes Given
      1

      Default Re: Lukuvi amelidanganya bunge

      Hiyo boti ni ya kampuni ya SEAGULL.

    15. #32
      MKALIKENYA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 714
      Rep Power : 502
      Likes Received
      282
      Likes Given
      409

      Default Re: Lukuvi amelidanganya bunge

      Quote By Kengemumaji
      Hata mkimpeleka Drogba hamuezi kumng'oa Lukuvi.
      Wewe ni mdogo wake unaitwa Mossy upo IMMMA advocate kaa ukijua kaka ako siku zake za kuwa kiongozi zinahesabika kama bosi wako MASHA.

    16. #33
      kuberwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Location : owaitu aha Mugongo
      Posts : 513
      Rep Power : 536
      Likes Received
      94
      Likes Given
      355

      Default

      Quote By ruttashobolwa
      Ata kuwa amehujumiwa na cdm!
      hahaha wanshekya... Hawa viongozi ni dhaifu wala si utani

    17. #34
      sirghanam's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th May 2009
      Posts : 248
      Rep Power : 557
      Likes Received
      64
      Likes Given
      133

      Default Re: Lukuvi amelidanganya bunge

      serikali haina cordination

    18. #35
      Ernesto Che's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2011
      Posts : 565
      Rep Power : 537
      Likes Received
      94
      Likes Given
      21

      Default Re: Lukuvi amelidanganya bunge

      Quote By nyangasese
      Ametoa taarifa isiyo sahihi kwa niaba ya serikali kwa kusema kuwa meli iliyozama inaitwa "seagul".Nina wasi wasi wasi na umakini wa serikali juu ya suala hili.
      Anawaza kutoa mwongozo dhidi ya chadema hana jipya huyo. Laana imamwandama
      "If there is no struggle, there is no progress.”

    19. #36
      Kiona's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Posts : 811
      Rep Power : 2801
      Likes Received
      211
      Likes Given
      238

      Default Re: Lukuvi amelidanganya bunge

      Lukuvi ni Jivi tu wale wale
      “True leadership must be for the benefit of the followers, not the enrichment of the leaders"


    20. #37
      Kirode's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th March 2011
      Posts : 1,117
      Rep Power : 636
      Likes Received
      64
      Likes Given
      38

      Default

      Inaitwa liwalo na liwe....aka dhaifu sub marine@ lemutuz....box bongo daresalam..uliza lingine
      Quote By Arvin sloane
      hebu tuambie wewe hiyo meli iliyozama inaitwaje?

    21. #38
      yetabula's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th January 2012
      Posts : 57
      Rep Power : 381
      Likes Received
      9
      Likes Given
      3

      Default Re: Lukuvi amelidanganya bunge

      Kupiga Mihela? Unamaana hizi ajali ni dili za watu?

    22. #39
      kibogo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th April 2012
      Location : MBEYA
      Posts : 1,702
      Rep Power : 697
      Likes Received
      422
      Likes Given
      320

      Default Re: Lukuvi amelidanganya bunge

      Quote By Kengemumaji
      Hata mkimpeleka Drogba hamuezi kumng'oa Lukuvi.
      Mbona unamsemea sana we mkewe nini? lakini kaa ukijua kwenye majimbo ya uchaguzi hakuna kuomba miongozo subiri wakati ukifika ndo utajua M4C inafanya kazi kivipi we na huyo mmeo

    23. #40
      nyabhingi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Posts : 3,238
      Rep Power : 1294
      Likes Received
      1363
      Likes Given
      2668

      Default Re: Lukuvi amelidanganya bunge

      kwa mujibu wa tbccm,meli inaitwa STARGIC
      Every nation in every region now has a decision to make: Either you are with us, or you are with the terrorists.George W. Bush


    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...