Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Spika akalia kuti kavu

    Report Post
    Page 1 of 8 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 141
    1. #1
      Sabung'ori's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th July 2011
      Posts : 862
      Rep Power : 573
      Likes Received
      247
      Likes Given
      16

      Default Spika akalia kuti kavu

      Spika kung’olewa?

      Baadhi ya wabunge wameanza kuwahamasisha wenzao kupiga kura ya kutokuwa na imani na Spika wa Bunge.
      Wabunge hao walifikia hatua hiyo kwenye kikao cha dharura walichokifanya jana katika Ukumbi wa Pius Msekwa kwa lengo la kufanya maandalizi ya kwenda Zanzibar kuhudhuria msiba wa wenzao waliozama katika ajali meli ya Skagit.

      Mbunge wa Mji Mkongwe, Muhammad Ibrahimu Sanya (CUF), alisema Spika Makinda hana utu ndiyo maana aligoma kuahirisha shughuli za Bunge ili kutoa nafasi ya watu kushiriki kwenye jambo hilo.

      “Huyu Spika hatufai, yaani vifo vikitokea kwa watu wa Bara yeye ndiyo ataona kuna uzito…hapa alikufa Amina Chifupa tukaahirisha Bunge, sasa iweje wenzetu wamekufa kule Zanzibar yeye akatae kuahirisha shughuli za Bunge? Jamani tujipange kupiga kura za kutokuwa na imani naye, ameonyesha kushindwa kulihimili Bunge,” alisema.

      Mbunge mwingine kutoka Zanzibar alisema hawaoni sababu ya kuendelea na mjadala wa bajeti ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwa sababu wapiga kura wao ndio waliofariki dunia.

      “Tuna raha gani ya kuendelea kujadili hotuba ya bajeti, huyu Spika tumedhihirisha hana uwezo wa kutuongoza, hatufai, waliokufa kule ni binadamu si paka wala wanyama,” alisema.

      Chanzo:Tanzania daima


    2. #2
      Mkirua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 3,560
      Rep Power : 1068
      Likes Received
      1288
      Likes Given
      622

      Default Re: Spika akalia kuti kavu

      Quote By Sabung'ori View Post
      Spika kung’olewa?

      “Huyu Spika hatufai, yaani vifo
      vikitokea kwa watu wa Bara yeye
      ndiyo ataona kuna uzito
      …hapa.....
      Alichoharibu ni hapo kwenye RED...subiri watakuja kumjibu hapa.....
      The world suffers a lot. Not because of the violence of bad people, but because of the silence of good people!

    3. #3
      Fredrick Sanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2011
      Location : Kijitonyama
      Posts : 2,988
      Rep Power : 2595
      Likes Received
      641
      Likes Given
      777

      Default Re: Spika akalia kuti kavu

      Afadhali huyu mama, je huyo Ngungu.
      We shall overcome, righteousness shall always prevail.

    4. #4
      decruca's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th June 2012
      Posts : 166
      Rep Power : 386
      Likes Received
      34
      Likes Given
      14

      Default Re: Spika akalia kuti kavu

      Mh, hata mi nilimuona jana anavyowaka mara oh bado nafanya mawasiliano, labada hakuwa amepata habari za kuaminika au hakuna kifungu kinachomruhusu kuahirisha bunge kwa matukio kama hayo? manake pia nilimuona waziri Nchimbi ndiye aliyekuja kutoa hoja ya kuahirishwa kwa bunge.

    5. #5
      MVENGEVENGE's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th September 2011
      Posts : 113
      Rep Power : 414
      Likes Received
      25
      Likes Given
      9

      Default Re: Spika akalia kuti kavu

      Huyu mama kwa sababu hana utashi wa kutosha alisahau alipoahirisha bunge wakati wa msiba wa chifupa pale aliset precedence inabidi iwe hivyo siku zote................... katika hili spika makinda ameboronga, awataka radhi wabunge na watanzania wote.


    6. #6
      POMPO's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 12th March 2011
      Posts : 3,055
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1129
      Likes Given
      652

      Default Re: Spika akalia kuti kavu

      naunga mkono hoja, apigwe chini

    7. #7
      fikirikwanza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2012
      Posts : 717
      Rep Power : 517
      Likes Received
      156
      Likes Given
      18

      Default Re: Spika akalia kuti kavu

      CCM kila mtu sasa ni afadhali kidogo hakuna aliyebomba kabisa. Ni afadhali ya huyu kuliko yule lakini wote ni hovyo tu.

    8. #8
      Lu-ma-ga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 1,939
      Rep Power : 835
      Likes Received
      549
      Likes Given
      8

      Default Re: Spika akalia kuti kavu

      Quote By MVENGEVENGE View Post
      Huyu mama kwa sababu hana utashi wa kutosha alisahau alipoahirisha bunge wakati wa msiba wa chifupa pale aliset precedence inabidi iwe hivyo siku zote................... katika hili spika makinda ameboronga, awataka radhi wabunge na watanzania wote.
      Amesahau kuwa aliahirisha siku ya msiba wa KANUMBA??????????????????? WACHAWI HAWA CCM

    9. #9
      Sikonge City's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th July 2012
      Posts : 52
      Rep Power : 359
      Likes Received
      9
      Likes Given
      1

      Default Re: Spika akalia kuti kavu

      Eti mnasema? rudia

    10. #10
      MD24's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2011
      Posts : 568
      Rep Power : 539
      Likes Received
      150
      Likes Given
      38

      Default Re: Spika akalia kuti kavu

      Mnataka awe na uchungu kwani ameshawai kujifungua au kuwa na mtoto?

      Kwa kauli yake ya jana inaonyesha jinsi alivyokuwa na roho mbaya, roho iliyokosa utu.

      Pia, hata akalie ncha ya hilo 'kuti kavu', kwa mfumo wa kimagamba huyu Spika hawawezi kumng'oa uspika, tuhesaba tumeshalamba garasa, tusubiri 2015...

    11. #11
      Sept-11's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th March 2012
      Posts : 29
      Rep Power : 371
      Likes Received
      2
      Likes Given
      1

      Default Re: Spika akalia kuti kavu

      mpaka 2015 tutakua tumeona mengi, tumewapa janjawid nchi ndo mana hawana uruma nasi

    12. #12
      shegaboy's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 187
      Rep Power : 452
      Likes Received
      27
      Likes Given
      14

      Default Re: Spika akalia kuti kavu

      hapo sasa wao naowameona kuwa afai ehh hata kwa kanumba aliahirisha, sasa hawa ni wanyama sio watu hatufai yeye na wote walio chini yake hawafai

    13. #13
      Fredrick Sanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2011
      Location : Kijitonyama
      Posts : 2,988
      Rep Power : 2595
      Likes Received
      641
      Likes Given
      777

      Default Re: Spika akalia kuti kavu

      Hii sasa ndio mbaya. Kunyanyapaa watu sio vizuri.
      Quote By MD24 View Post
      Mnataka awe na uchungu kwani ameshawai kujifungua au kuwa na mtoto? Kwa kauli yake ya jana inaonyesha jinsi alivyokuwa na roho mbaya, roho iliyokosa utu. Pia, hata akalie ncha ya hilo 'kuti kavu', kwa mfumo wa kimagamba huyu bibi koroboto hawawezi kumng'oa uspika, tuhesaba tumeshalamba garasa, tusubiri 2015...
      We shall overcome, righteousness shall always prevail.

    14. #14
      watu8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2010
      Location : Juu ya Tukutuku
      Posts : 16,672
      Rep Power : 31611
      Likes Received
      8460
      Likes Given
      8819

      Default Re: Spika akalia kuti kavu

      Quote By Mkirua View Post
      Alichoharibu ni hapo kwenye RED...subiri watakuja kumjibu hapa.....
      Mmmh sidhani kama huyo mbunge alikosea sana...maana Spika alidai kwamba kama ajali ingekuwa imetokea karibu na Bunge(which justifies kuwa alikua anaongelea Bara) ndio kungekuwa na mantiki ya kuhairisha kikao cha bunge.
      Ngekewa and Kassim Awadh like this.
      "Ingawa tunatumia AVATARS na USERNAMES ambazo ni FAKE, bado haibadilishi uhalisia wa MIOYO YETU"



    15. FJM is offline
      FJM
      #15
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,213
      Rep Power : 2580
      Likes Received
      5344
      Likes Given
      4607

      Default Re: Spika akalia kuti kavu

      Yule Mabumba wa Zanzibar naye alitoka nje? maana naye akikaa kwenye hicho kiti huwa haambilki, pengine sasa ameonja machungu ya uongozi wao wa kibabe.

    16. #16
      Njaare's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2010
      Posts : 585
      Rep Power : 668
      Likes Received
      96
      Likes Given
      176

      Default Re: Spika akalia kuti kavu

      Bajeti ya wizara ya mambo ya ndani na wizara ya Ulinzi zisipite mpaka mawaziri wao waeleze ni kwanini walishindwa kuizuia hiyo boat isizame.

    17. #17
      Mkirua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 3,560
      Rep Power : 1068
      Likes Received
      1288
      Likes Given
      622

      Default Re: Spika akalia kuti kavu

      Quote By decruca View Post
      Mh, hata mi nilimuona jana anavyowaka mara oh bado nafanya mawasiliano, labada hakuwa amepata habari za kuaminika au hakuna kifungu kinachomruhusu kuahirisha bunge kwa matukio kama hayo? manake pia nilimuona waziri Nchimbi ndiye aliyekuja kutoa hoja ya kuahirishwa kwa bunge.
      Correction..... decruca, Waziri hawezi kufanya hivyo alichokifanya nchimbi ni kuondoa hoja ya serekali bungeni....
      Kassim Awadh likes this.
      The world suffers a lot. Not because of the violence of bad people, but because of the silence of good people!

    18. #18
      Duble Chris's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2011
      Posts : 2,382
      Rep Power : 884
      Likes Received
      389
      Likes Given
      310

      Default Re: Spika akalia kuti kavu

      Spika alikuwa Samwel Sitta tuache ubishi hawa wengine wanaigiza tu
      Jeni, Lorah, Ngongo and 1 others like this.
      frustration is given by expectationdivide by
      outcome
      ie
      frustration = expectation/outcome


    19. #19
      Gaspery Lasway's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2011
      Posts : 1,178
      Rep Power : 630
      Likes Received
      246
      Likes Given
      22

      Default Re: Spika akalia kuti kavu

      Kwa mara ya kwanza jana niliona alivozungukwa na aibu mwili mzima baada ya udikteta ulioambatana na unafiki,alitamani atoweke
      August likes this.

    20. #20
      Njowepo's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Location : Santiago
      Posts : 7,786
      Rep Power : 22097
      Likes Received
      1045
      Likes Given
      863

      Default

      Huyu mama kwa Kweli Hii kazi iko juu ya uwezo wake nazani ata Waliomuweka wanajuta
      Poleni wazenji msameheni kwa Maana hajui atendalo
      August likes this.

    Page 1 of 8 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...