Madaktari waliofukuzwa waula Namibia, Botswana, Rwanda na A.Kusini
Balozi za nchi hizo tajwa zimetoa ofa nono kwa madoctor woote waliofutiwa lesseni na wizara ya afya na TZ kwa ngazi zoote kuanzia seniors hadi intern, Intern wataandikishwa kama intern pindi wakifika kwenye nchi husika chini ya uangalizi wa Senior Doctors huku wakipewa mishahara na marupurupu yakuwatosha na wakimaliza shule wanapewa vyeti na lesseni za udoctor wa nchi walipo.
Wale masenior ambao wamenyangánywa lesseni wao wakifika wanaandikishwa kwenye chama cha madoctors wa nchi husika na kupewa lesseni mara moja na kupangiwa kazi ikiambatana na haki zoote wanazostahili.
Balozi za nchi hizi zinawaomba madocta woote wajiandikishe tayari kuajiriwa kwenye nchi watakazo kati ya hizo tajwa.
haya sasa kwa mara ingine tena TZ inaelekea kupoteza Brain zake kwa kile kinachoitwa mgomo ili hali walipa kodi wanateseka kwa kukosa watabibu.
Masini nchi yangu itatuchukua muda gani kuwapata madoctor kama hawa tena kama kweli wakiitikia mwito wa nchi hizi na wakaondoka.....?
re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa
By Ndahani
One day we will be matured enough to make decisions wisely. Kwasababu wengi hatukujua extent ya ubaya wa maamuzi tunayoyafanya pengine tulidharau uwezo na umuhimu wa madaktari.
Mkuu uamuzi ulifanywa na walijua haya yatayokea but they have nothing to loose those who are making decisions,we the laymen we are the ones to suffer!
re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa
By Maundumula
Bora waende wakafie mbele sasa kama walikuwa na hiyo option kwanini walikuwa wanagoma? si wangeacha kazi kimya kimya wakaenda huko kwenye mafano manono?
Tena hawakuwa na sababu ya kupiga kelele, wangejiendea huko kimya kimya tu.
re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa
By MKL
Balozi za nchi hizo tajwa zimetoa ofa nono kwa madoctor woote waliofutiwa lesseni na wizara ya afya na TZ kwa ngazi zoote kuanzia seniors hadi intern, Intern wataandikishwa kama intern pindi wakifika kwenye nchi husika chini ya uangalizi wa Senior Doctors huku wakipewa mishahara na marupurupu yakuwatosha na wakimaliza shule wanapewa vyeti na lesseni za udoctor wa nchi walipo.
Wale masenior ambao wamenyangánywa lesseni wao wakifika wanaandikishwa kwenye chama cha madoctors wa nchi husika na kupewa lesseni mara moja na kupangiwa kazi ikiambatana na haki zoote wanazostahili.
Balozi za nchi hizi zinawaomba madocta woote wajiandikishe tayari kuajiriwa kwenye nchi watakazo kati ya hizo tajwa.
haya sasa kwa mara ingine tena TZ inaelekea kupoteza Brain zake kwa kile kinachoitwa mgomo ili hali walipa kodi wanateseka kwa kukosa watabibu.
Masini nchi yangu itatuchukua muda gani kuwapata madoctor kama hawa tena kama kweli wakiitikia mwito wa nchi hizi na wakaondoka.....?
Source: Raia Mwema Leo 18/07/2012 page 3
Hapakuwa na sababu ya kugoma wala kupigizana kelele, ilikuwa the best option ya kufanya. Waende hukohuko!
Wanataka mshahara mkubwa wa Milioni 7.7 kwa mwezi kwa mwaka ni Milioni 848,400,000 na muajiri wao serikali hana uwezo...
Umelishwa upepo ukakushibisa, sasa unataka na sisi tushibe hewa!
Sikumbuki kama hilo dai ndilo la msingi kuliko mengine. Bandika hapa na hayo madai mengine pia.
re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa
By Henge
mkuu kwanini wasubiri sisi tuwasomeshe na wao waokote tuu??
waturudishie madr wetu bwana sisi ni bajeti tuu ndo imekwama ila tunawaitaji sana!
HAWATAKI KURUDISHA TUNAFUNGA BALOZI ZAO!
Si unajua tunawasomesha kwa mkopo?? Sasa kama wamesoma tunataka wafanye kazi kwa ujira pungufu? Kwani wanasiasa wao wanahaki gani mpaka ujira wao uwe wa kufuru? Ni kweli tunawahitaji ila kwakuwa wanasiasa wetu ni jeuri acha wakimbie ndio itasaidia hii nchi kuzinduka toka usingizini.
A wise man will make more opportunities than he finds:
re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa
Ha ha ha!, tamuchungu unanichekesha, eti hakuna Daktari anayejisomesha hapa Tanzania kwa pesa yake binafsi, kwa kuwa gharama za kusomea Udaktari ni kubwa sana, nakuonea huruma, sijui unaishi au umetokea maeneo gani ya Tanzania, wapo Madaktari wengi tu wanaojisomesha kwa pesa zao binafsi na za wazazi au walezi wao bila kutegemea Serikali wala Wafadhili, toka food, stationaries, fees, usafiri n.k, na wanaishi maisha mazuri ndani ya Chuo sio ya kubangaiza na kujinyima kwa kupiga dash mchana au asubuhi, watu tumetofautiana Mheshimiwa, usiseme "twafa" sema "nafwa", watu wamejiandaa vema kutunza familia zao though wengine wanatumia fedha za utapeli, wizi, madawa ya kulevya n.k but wapo wanautumia fedha waliyoipata kihalali pia, kuna watu wana hela Bongo hii kama ulikuwa hujui!, Mi kuna mtu namfahamu, Baba yake kamsomesha Urubani Marekani kwa fedha yake mwenyewe ya mfukoni, Baba yake ni Mfanyabiashara, na wala si mtu maarufu, kamgharamia mwanae kila kitu kwenye masomo na maisha yake, kuanzia nauli za kwenda na kurudi, chakula, mavazi, vifaa vya shule, malazi, fedha za matumizi, fedha za matibabu n.k na alikuwa anaishi maisha mazuri tu Marekani ila mwenyewe aliamua kutafuta tu kajob ka kizushi, ili asimkamue sana Mzee wake ili aweze kuhangaika na ndugu zake wengine home bila hofu ya kuhisi mwanaye atakuwa na shida ndogo ndogo, so kuna watu wana hela ndugu yangu, na ukiwaona wengine wako simple tu
re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa
By Mwiyuzi
NATAMANI MADAKTARI HAO WAZUILIWE KUTOKA NJE YA NCHI, kuna Watanzania wengi wanaokufa kwa sababu ya kukosa matibabu...madaktari ni WAJEURI na wana UKATILI sana. They are too selfish and greedy...
unatamani nini wewe? wakati raisi wako aliwaruhusu waondoke na wakatafute kazi sehemu ambazo wataweza kulipwa kwa kima cha mshahara wanaotaka
Insanity is doing the same thing over and over again and expecting different results.
re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa
By Henge
mkuu kwanini wasubiri sisi tuwasomeshe na wao waokote tuu??
waturudishie madr wetu bwana sisi ni bajeti tuu ndo imekwama ila tunawaitaji sana!
HAWATAKI KURUDISHA TUNAFUNGA BALOZI ZAO!
Umesahau tuliwapa wenyewe ruhusa ya kutafuta green pastures elsewhere? Refer to hotuba ya Rais.
re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa
By fredmlay
si unajua tunawasomesha kwa mkopo?? Sasa kama wamesoma tunataka wafanye kazi kwa ujira pungufu? Kwani wanasiasa wao wanahaki gani mpaka ujira wao uwe wa kufuru? Ni kweli tunawahitaji ila kwakuwa wanasiasa wetu ni jeuri acha wakimbie ndio itasaidia hii nchi kuzinduka toka usingizini.
mkuu unajua siasa si professional yeyote anaruhusiwa kuingia!?
Halafu kukopeshwa mkuu ni sawa but ghalama za kumsomeshea dr mmoja ni sawa na ghalama za kusomeshea ma accountants 10, gharama hizo ni lazima serikali ichangie, nadhani hili hata serikali yenyewe haijui! Ni kodi inayofanywa yoote haya sasa kwanini umuue aliyekusomesha!???
re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa
By MKL
Balozi za nchi hizo tajwa zimetoa ofa nono kwa madoctor woote waliofutiwa lesseni na wizara ya afya na TZ kwa ngazi zoote kuanzia seniors hadi intern, Intern wataandikishwa kama intern pindi wakifika kwenye nchi husika chini ya uangalizi wa Senior Doctors huku wakipewa mishahara na marupurupu yakuwatosha na wakimaliza shule wanapewa vyeti na lesseni za udoctor wa nchi walipo.
Wale masenior ambao wamenyangánywa lesseni wao wakifika wanaandikishwa kwenye chama cha madoctors wa nchi husika na kupewa lesseni mara moja na kupangiwa kazi ikiambatana na haki zoote wanazostahili.
Balozi za nchi hizi zinawaomba madocta woote wajiandikishe tayari kuajiriwa kwenye nchi watakazo kati ya hizo tajwa.
haya sasa kwa mara ingine tena TZ inaelekea kupoteza Brain zake kwa kile kinachoitwa mgomo ili hali walipa kodi wanateseka kwa kukosa watabibu.
Masini nchi yangu itatuchukua muda gani kuwapata madoctor kama hawa tena kama kweli wakiitikia mwito wa nchi hizi na wakaondoka.....?
Source: Raia Mwema Leo 18/07/2012 page 3
Lazima washangilie sana kuvuna wasichopanda!Kulipia mafunzo kwa madaktari zaidi ya 300 sio kazi ndogo kwa hiyo atakayepata bahati ya kuwapata hawa madaktari ni faida kubwa sana kwake!hata kama ataamua kuwalipa vizuri sana bado haitafikia gharama za kuwasomesha. So, in short we are loosers.
"YouR MoST UNhaPPy CuSToMers ArE YoUr GREateST SOurCE Of LEarNInG"- BiLL GaTEs
We mawazo mgando! kwa akili yako na viongozi wako hilo ndilo dai MUHIMU!! halafu kwa akili yako hata kama ndilo lingekuwa dai pekee nani kakwambia mshahara haupangwi?! kama ni vyepesi kama inavyofikiri kurupuka na kumwambia msaidizi wa kazi za ndani(housegirl) kuwa utamlipa 5000/=Tshs kwa mwezi!! MSHAHARA siku zote wanasikilizana pande mbili..na lile lilikuwa PENDEKEZO na hivyo upande wa pili ulipaswa kupendekeza wanaweza kulipa kiasi gani na sio kusema tu HAIWEZEKANI!
walikuwa wanalazimisha negotiation kama machinga? kitu cha 500/= machinga ataanzia 15,000/=
Mi huwa nawafukuza tu manake hamna haja ya ku-negotiate kwani ni kujipotezea muda
re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa
By Maundumula
Bora waende wakafie mbele sasa kama walikuwa na hiyo option kwanini walikuwa wanagoma? si wangeacha kazi kimya kimya wakaenda huko kwenye mafano manono?
Kuna siku kiongozi ataugua (siombei mabaya) na atarushwa na ndege hadi south africa, na bahati mbaya/nzuri daktari atakayemtibu atakuwa Mtanzania. Sijui atajisikiaje atakapopona! Ila nadhani ndo itakapokuwa fundisho kwa vitendo.
"The usual conclusion is that you can't put a price on a human life. But you can if you must".
re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa
By atufigwege mwandule
kama hivyo ndivyo unavyofikiri kaishauri arsenal ifute mechi na man city kwa kumshawishi van persie kwenda kusaka mataji mbele ya safari
nooo siyo kufuta mechi mkuu nikuifunga mancity mpaka atamani kurudi arsenal tena!
Hawa mabalozi wafutiwe sababu wanasubili matatizo yatokee kwetu tunajitahidi kuyamaliza wao wanawapa ajila kwanini???
Tunafanya mchakato mkuu hizi ni changamoto katika uongozi!
re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa
By hippocratessocrates
muh2 itakuwa na wahitimu 150 wa udaktari na ndicho chuo chenye wahitimu wengi, IMTU,KCMC,WBUCHS, HKMU kinatoa chini ya wahitimu 60 mwaka huu, kati ya wahitimu wote kuna foreigners zaidi ya 40 wanaorudi makwao, wanaobaki some wanaenda katika NGO!! some wanafanya internship ktk hospitali binafsi na wanaobaki ndio ktk serikali yetu sikivu...ikumbukwe kuwa si lazima kufanya internship, ila ukitaka kufanya kazi hospitali ndipo utafanya(hivyo unaweza kufanya mwaka wowote).. sasa ni nani atakayekwenda huko serikalini wakati wakiwa wahitimu tayari wanaweza kufanya kazi nje ya nchi? na pili nani aliyekudanganya hawajui mazingira ya hospitali ilihali mwaka wa nne na wa tano wa masomo hayo ndiyo madarasa yao na wagonjwa wakiwa vitabu?..
walikuwa wanalazimisha negotiation kama machinga? kitu cha 500/= machinga ataanzia 15,000/=
Mi huwa nawafukuza tu manake hamna haja ya ku-nevotiate kwani ni kujipotezea muda
kwa kufukuza kwako unaonekana mbabe, grandiosity!! lakini kumbuka huyo house girl anapokubali kufanya kazi shingo upande yuko radhi kuteketeza familia yako na kutokomea ajuako..mwisho wa siku jambo lililoweza kukugharimu pesa kidogo lina ondoa uhai wako na wa familia yako kwa kutumia sumu ya panya au mende!! halafu majirani ndio wenye kuona mbabe nani! TAFAKARI MKUU.
Follow Us Here