Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Madaktari waliofukuzwa waula Namibia, Botswana, Rwanda na A.Kusini

    Report Post
    Page 7 of 18 FirstFirst ... 5678917 ... LastLast
    Results 121 to 140 of 346
    1. MKL
      #1
      MKL's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd March 2012
      Posts : 96
      Rep Power : 541
      Likes Received
      62
      Likes Given
      6

      Default Madaktari waliofukuzwa waula Namibia, Botswana, Rwanda na A.Kusini

      Balozi za nchi hizo tajwa zimetoa ofa nono kwa madoctor woote waliofutiwa lesseni na wizara ya afya na TZ kwa ngazi zoote kuanzia seniors hadi intern, Intern wataandikishwa kama intern pindi wakifika kwenye nchi husika chini ya uangalizi wa Senior Doctors huku wakipewa mishahara na marupurupu yakuwatosha na wakimaliza shule wanapewa vyeti na lesseni za udoctor wa nchi walipo.

      Wale masenior ambao wamenyangánywa lesseni wao wakifika wanaandikishwa kwenye chama cha madoctors wa nchi husika na kupewa lesseni mara moja na kupangiwa kazi ikiambatana na haki zoote wanazostahili.

      Balozi za nchi hizi zinawaomba madocta woote wajiandikishe tayari kuajiriwa kwenye nchi watakazo kati ya hizo tajwa.
      haya sasa kwa mara ingine tena TZ inaelekea kupoteza Brain zake kwa kile kinachoitwa mgomo ili hali walipa kodi wanateseka kwa kukosa watabibu.

      Masini nchi yangu itatuchukua muda gani kuwapata madoctor kama hawa tena kama kweli wakiitikia mwito wa nchi hizi na wakaondoka.....?

      Source: Raia Mwema Leo 18/07/2012 page 3

    2. FemaTV & Radio

    3. #121
      Guyton's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 219
      Rep Power : 470
      Likes Received
      53
      Likes Given
      43

      Default

      Quote By Mkirua
      Ni humu humu jukwaani tumekataa kuwa hawajasomeshwa na serekali wamejilipia ada ndio maana hata bodi ya mikopo inawadai....leo hii Kusomeshwa kote huku....
      tofautisha boom na gharama za kumsomesha dactari.
      Vifaa vya kufundishia dactari pamoja na mishahara ya wakufunzi pale MUHAS vinagharamiwa na serikali, na hii ni kwa vyuo vyote vya umma zikiwemo shule zote za serikali kijana. Hope umeelewa.
      IzeGREAT and Henge like this.

    4. #122
      Africa_Spring's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th June 2012
      Posts : 421
      Rep Power : 402
      Likes Received
      106
      Likes Given
      64

      Default re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa

      Quote By Maundumula
      Bora waende wakafie mbele sasa kama walikuwa na hiyo option kwanini walikuwa wanagoma? si wangeacha kazi kimya kimya wakaenda huko kwenye mafano manono?
      Fikira finyu na mawazo kama haya ndio chanzo cha sekta ya afya nchini kuendelea kua duni. WHO inajitahidi kuzisaidia nchi hizi masikini kuepukana na wimbi la wataalamu wa afya kuzikimbia nchi zao kanakutafuta maisha mazuri nchi zilizo endelea..... There are currently more than 250 Malawian doctors in Manchester, which means that there are more Malawian doctors in Manchester than in the entire country of Malawi.

      halafu mnataka ku-achieve MDG. Kwa njia hii hatuwezi kuyabadilisha haya yafuatayo.....

      About half million maternal deaths are recorded worldwide. More than half of these deaths occur in Sub Saharan Africa, a region that accounts for only 17% of the world population and 12% of births worldwide. The risk of maternal death in African region is 1:16 compared to 1:3,500 in North America, 1:2400 in Europe, 1:160 in Latin America and the Caribbean and 1:100 in Asia (WHO/AFRO2004).

      TANZANIA..It is estimated that 1 out of 11 women dies from pregnant and childbirth related complication. According to Tanzania Demographic and Health Survey of 2010 (TDHS) true maternal mortality ratio ranges from 353 to 556 deaths per 100,000 live births.

      Changia mawazo abayo yatajenga nchi yetu na sio ushabiki either wa past history za kimasomo au personal issues.
      IzeGREAT and Manyanza like this.

    5. #123
      Guyton's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 219
      Rep Power : 470
      Likes Received
      53
      Likes Given
      43

      Default

      Quote By Abdulhalim
      Mbona wengi tu walishasepa kabla hata ya mgomo na hamkuandika? nyie semeni tu kwa vinywa vipana kuwa mna malengo yenu ya kisiasa na hawa madr bila kujijua walitumika kama chambo. Now i even question their intelligence.
      kwani uki-question inteligence yao ndo inakuaje??
      IzeGREAT likes this.

    6. #124
      Mkirua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 3,387
      Rep Power : 1028
      Likes Received
      1160
      Likes Given
      596

      Default re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa

      Quote By Guyton
      tofautisha boom na gharama za kumsomesha dactari.
      Vifaa vya kufundishia dactari pamoja na mishahara ya wakufunzi pale MUHAS vinagharamiwa na serikali, na hii ni kwa vyuo vyote vya umma zikiwemo shule zote za serikali kijana. Hope umeelewa.
      Naelewa kuliko unavyofikiri...nimewauliza waliowahi kunijibu kuwa madaktari wanajisomesha kwa gharama zao wenyewe.....
      The world suffers a lot. Not because of the violence of bad people, but because of the silence of good people!

    7. #125
      Malaria Sugu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 2nd August 2009
      Posts : 1,783
      Rep Power : 0
      Likes Received
      246
      Likes Given
      18

      Default re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Ni kiburi tu cha wanasiasa; wanafikiria udaktari ni "kama fani nyingine" tu. Gharama ya madaktari wetu kuondoka ni kurudisha huduma ya afya kwa miaka kadhaa nyuma. Lakini kwa vile tatizo lenyewe halijashughulikiwa bado kutakuwa na mgongano wa madaktari na serikali in the future. Hii yote ni matokeo ya sera zilizoshindwa za CCM.
      kwa kuwa wewe unatibiwa huko uliko ughaibuni kwa raha lazima uwe mchochezi wa hili na lazima uwe na chuki binafsi na serikali iliyopo madarakani kwa sababu wewe ni kibaraka wa utumwa.

    8. Miaka 50

    9. #126
      Ninaweza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2010
      Location : bukonda moyo
      Posts : 2,156
      Rep Power : 867
      Likes Received
      314
      Likes Given
      718

      Default

      Quote By hippocratessocrates
      hayo ndiyo mawazo mgando kwamba, wanarudi kusalimia familia!! Doctors wanaondok na familia zao na ndio maana uhamisho wa kwenda nje unachukua muda kwabi yakubidi kwenda kuprocess kwa familia nzima na si wewe kama daktari pekee.Fanya uchunguzi na collaboration with ur higher center mkuu.
      ukimwambia higher centre ataenda ikuru huyo

    10. #127
      Malaria Sugu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 2nd August 2009
      Posts : 1,783
      Rep Power : 0
      Likes Received
      246
      Likes Given
      18

      Default re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa

      Quote By Mkirua
      Naelewa kuliko unavyofikiri...nimewauliza waliowahi kunijibu kuwa madaktari wanajisomesha kwa gharama zao wenyewe.....
      hakuna daktari anayejisomesha hapa tanzania,gharama zake ni kubwa sana,kawadanganye wajinga wenzako wasiohoji na kujiuliza.ukiwadanganya wanakuitikia tu.

    11. #128
      meningitis's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Location : sewahaji
      Posts : 2,916
      Rep Power : 3206
      Likes Received
      1011
      Likes Given
      149

      Default re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa

      king faisal ndani ya kigali!!

    12. #129
      Malaria Sugu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 2nd August 2009
      Posts : 1,783
      Rep Power : 0
      Likes Received
      246
      Likes Given
      18

      Default re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa

      Nasikitika sana kwa watanzania ambao ni maskini kushabikia usaliti katika sekta ya afya.huu ni ulimbukeni na ni ubinafsi mkubwa.
      NasDaz likes this.

    13. #130
      Guyton's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 219
      Rep Power : 470
      Likes Received
      53
      Likes Given
      43

      Default

      Quote By Mkirua
      Naelewa kuliko unavyofikiri...nimewauliza waliowahi kunijibu kuwa madaktari wanajisomesha kwa gharama zao wenyewe.....
      kilichopingwa humu ni ile dhana kuwa drs wanasomeshwa bure ukilinganisha na kada nyingine, kitu ambacho sio kweli kwani wao pia wanakupeshwa bumu kama wanafunzi wengine.
      Kwahiyo hoja iliyokua ikibishaniwa ni kama madrs wanapewa loan au grant??
      IzeGREAT likes this.

    14. #131
      Malaria Sugu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 2nd August 2009
      Posts : 1,783
      Rep Power : 0
      Likes Received
      246
      Likes Given
      18

      Default re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa

      Quote By Precise pangolin
      Mkuu walikuwa hawahitaji Mafano na wala hawajawahi kudai kitu kama hicho
      dai kubwa lilikuwa ni kupewa mshahara wa milioni tatu na nusu (3,500,000/=).

    15. #132
      Wimana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Posts : 1,041
      Rep Power : 555
      Likes Received
      280
      Likes Given
      180

      Default

      Quote By Maundumula
      Bora waende wakafie mbele sasa kama walikuwa na hiyo option kwanini walikuwa wanagoma? si wangeacha kazi kimya kimya wakaenda huko kwenye mafano manono?
      Shughuli ni pale ambapo itabidi muwabembeleze ili warudi tena kwa mazingira bora kama waliyotaka.
      Au mmeshaagiza Dks kutoka India kwa mishahara kama ya waliotimuliwa na mazingira kama ya mliowatimua?
      Cha mlevi siku zote huliwa na Mgema.
      IzeGREAT likes this.

    16. #133
      Malaria Sugu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 2nd August 2009
      Posts : 1,783
      Rep Power : 0
      Likes Received
      246
      Likes Given
      18

      Default re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa

      Quote By Guyton
      kilichopingwa humu ni ile dhana kuwa drs wanasomeshwa bure ukilinganisha na kada nyingine, kitu ambacho sio kweli kwani wao pia wanakupeshwa bumu kama wanafunzi wengine.
      Kwahiyo hoja iliyokua ikibishaniwa ni kama madrs wanapewa loan au grant??
      huna hoja hapo,ni heri ufungue thred nyingine.

    17. #134
      dalunda's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th July 2012
      Posts : 14
      Rep Power : 346
      Likes Received
      6
      Likes Given
      1

      Default re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa

      Quote By MKL
      Balozi za nchi hizo tajwa zimetoa ofa nono kwa madoctor woote waliofutiwa lesseni na wizara ya afya na TZ kwa ngazi zoote kuanzia seniors hadi intern, Intern wataandikishwa kama intern pindi wakifika kwenye nchi husika chini ya uangalizi wa Senior Doctors huku wakipewa mishahara na marupurupu yakuwatosha na wakimaliza shule wanapewa vyeti na lesseni za udoctor wa nchi walipo.

      Wale masenior ambao wamenyangánywa lesseni wao wakifika wanaandikishwa kwenye chama cha madoctors wa nchi husika na kupewa lesseni mara moja na kupangiwa kazi ikiambatana na haki zoote wanazostahili.

      Balozi za nchi hizi zinawaomba madocta woote wajiandikishe tayari kuajiriwa kwenye nchi watakazo kati ya hizo tajwa.
      haya sasa kwa mara ingine tena TZ inaelekea kupoteza Brain zake kwa kile kinachoitwa mgomo ili hali walipa kodi wanateseka kwa kukosa watabibu.

      Masini nchi yangu itatuchukua muda gani kuwapata madoctor kama hawa tena kama kweli wakiitikia mwito wa nchi hizi na wakaondoka.....?

      Source: Raia Mwema Leo 18/07/2012 page 3

      duh sasa itakuwa ni issue maana hatutapata madaktari wa ku-replace nafasi za walioondolewa, Unafahamu kama Serikali ilifikiri kupata madaktari kutoka nje ni kama kununua karanga, kwa habari kutoka interfax zinasema kama
      Serikali yetu iliwasiliana na Cuba ili waweze kupata madaktari, jibu walilolipata kutoka Cuba kwanza, mshahara kwa wa chini ni USD 10,000.00, na hiyo ni take home bila kukatwa kodi. Pili wanata wapewe nyumba na ulinzi, tatu wanataka wapewe allowances vilevile walipwe na usafiri vilevile. nne wanataka wawe wanakwenda nchini kwao at least mara 3 kwa mwaka,,,,,,,,,,, wanataka kuja kutinga kama ma expert wanaofanya kazi migodini,
      vilevile wanasema kama watahitaji vifaaa, sasa hii Serikali yetu mbona ina kiburi sana??? kwa nini haijaribu kuona kukaa na hawa wetu na kuwekana sawa kwenye mahitaji kazi iendelee?? au wanaona aibu kwa kuwa watashindwa??? sasa hebu angalia sasa haoo wanakwenda zao nchi za nje kutinga, na kule watakula pesa ya uhakika, inatupasa tuthamini kazi za hawa mabwana maana si fani ya kuichezea
      mbinde

    18. #135
      Maundumula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 4,896
      Rep Power : 3090
      Likes Received
      1329
      Likes Given
      5608

      Default re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa

      Soon ma intern wengine wataingia sokoni kutoka HKMU, MUHAS, KCMC na Bugando . Halafu hapo hapo kuna mpango kamambe wa kuweka MUHAS kama chuo cha kujitegemea hapo Luguruni tunasubiri fidia kwa wananchi ikamilike.Hii move itaongeza wahitimu wa chuo cha Muhimbili. Sijataja bado ule mpango wa kuweka Medical School pale UDOM ambayo inaweza kutupa madaktari angalau 300 kwa mwaka.

      Nenda daktari unaturushia stimu sisi njaa kali wewe unataka 3.5M.

    19. #136
      Guyton's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 219
      Rep Power : 470
      Likes Received
      53
      Likes Given
      43

      Default

      Quote By tamuchungu
      Nasikitika sana kwa watanzania ambao ni maskini kushabikia usaliti katika sekta ya afya.huu ni ulimbukeni na ni ubinafsi mkubwa.
      nchi imepoteza dira so kila mtu anatafuta atoke vipi, swala la ku-value nchi yetu ni tatizo pana na suluhu yake ni kubadili mfumo na mind set, mfano wewe unamdharau unashabikia dr kwenda nje kufanya kazi lakini wewe mwenyewe unanunua vifaa vyako vyote ambavyo vinatengenezwa nje ata kama vitu hivyo vinatengenezwa bongo pia.

    20. #137
      IzeGREAT's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th January 2009
      Location : ABROAD.
      Posts : 58
      Rep Power : 538
      Likes Received
      16
      Likes Given
      204

      Default re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa

      Quote By Maundumula
      Bora waende wakafie mbele sasa kama walikuwa na hiyo option kwanini walikuwa wanagoma? si wangeacha kazi kimya kimya wakaenda huko kwenye mafano manono?
      ...and I think it will be TOO SHAMEFUL for U kubaki while ''KISSING POLITICIANS ASSES'' na kujikuta ''UNAFIA NYUMA'' badala ya ''MBELE...!!'',kwasababu tu hukutaka kushirikisha kichwa chako kufikiria kwa undani!

    21. #138
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      [QUOTE=Henge;4261247]Kwanini daa tuwafutie ubalozi woote watakaowaiba madr wetu![/QUOTE]

      dah,,,,umenchekesha

    22. #139
      Henge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2009
      Posts : 5,440
      Rep Power : 1674
      Likes Received
      918
      Likes Given
      1673

      Default re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa

      Quote By fredmlay
      Kosa lao nini mpaka tuwafutie balozi zao?? Hivi wewe tukiwa tumesimama wote na wewe una dhahabu mkononi kisha ukaamua kuitupa nikiokota mbele yako ni kosa?? Lazima ifike mahali watanzania tuwawajibishe wanasiasa sio wao kuwa miungu kwa kuifaidi keki ya taifa lakini linapokuja swala la wataalamu ni ukandamizaji usio na kifani.
      mkuu kwanini wasubiri sisi tuwasomeshe na wao waokote tuu??
      waturudishie madr wetu bwana sisi ni bajeti tuu ndo imekwama ila tunawaitaji sana!
      HAWATAKI KURUDISHA TUNAFUNGA BALOZI ZAO!
      TUKIWAKAMATA MAFISADI NCHI ITAYUMBA by PINDA

    23. #140
      Henge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2009
      Posts : 5,440
      Rep Power : 1674
      Likes Received
      918
      Likes Given
      1673

      Default re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa

      [QUOTE=Bajabiri;4262935]
      Quote By Henge
      Kwanini daa tuwafutie ubalozi woote watakaowaiba madr wetu![/QUOTE]

      dah,,,,umenchekesha
      NI KWELI MKUU TUMETUMIA PESA NYINGI KUWASOMESHA MADR, BADO HAWAJARUDISHA FADHILA KWENYE NCHI HIII!
      TUKIWAKAMATA MAFISADI NCHI ITAYUMBA by PINDA

    Page 7 of 18 FirstFirst ... 5678917 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...