Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Madaktari waliofukuzwa waula Namibia, Botswana, Rwanda na A.Kusini

    Report Post
    1. MKL
      #1
      MKL's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd March 2012
      Posts : 96
      Rep Power : 541
      Likes Received
      62
      Likes Given
      6

      Default Madaktari waliofukuzwa waula Namibia, Botswana, Rwanda na A.Kusini

      Balozi za nchi hizo tajwa zimetoa ofa nono kwa madoctor woote waliofutiwa lesseni na wizara ya afya na TZ kwa ngazi zoote kuanzia seniors hadi intern, Intern wataandikishwa kama intern pindi wakifika kwenye nchi husika chini ya uangalizi wa Senior Doctors huku wakipewa mishahara na marupurupu yakuwatosha na wakimaliza shule wanapewa vyeti na lesseni za udoctor wa nchi walipo.

      Wale masenior ambao wamenyangánywa lesseni wao wakifika wanaandikishwa kwenye chama cha madoctors wa nchi husika na kupewa lesseni mara moja na kupangiwa kazi ikiambatana na haki zoote wanazostahili.

      Balozi za nchi hizi zinawaomba madocta woote wajiandikishe tayari kuajiriwa kwenye nchi watakazo kati ya hizo tajwa.
      haya sasa kwa mara ingine tena TZ inaelekea kupoteza Brain zake kwa kile kinachoitwa mgomo ili hali walipa kodi wanateseka kwa kukosa watabibu.

      Masini nchi yangu itatuchukua muda gani kuwapata madoctor kama hawa tena kama kweli wakiitikia mwito wa nchi hizi na wakaondoka.....?

      Source: Raia Mwema Leo 18/07/2012 page 3

    2. Miaka 50

    3. #181
      Ozzie's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 9th October 2007
      Location : Jo'burg
      Posts : 1,008
      Rep Power : 795
      Likes Received
      271
      Likes Given
      74

      Default re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa

      Quote By Maundumula
      Bora waende wakafie mbele sasa kama walikuwa na hiyo option kwanini walikuwa wanagoma? si wangeacha kazi kimya kimya wakaenda huko kwenye mafano manono?
      Kaka Maundumula unamwaibisha mwenye hiyo picha, hana akili pimbi kama wewe.
      Maundumula likes this.
      "It's not the votes that count. It's who counts the votes" - Josef Stalin

    4. #182
      Maundumula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 4,920
      Rep Power : 3095
      Likes Received
      1340
      Likes Given
      5654

      Default re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa

      Quote By kichomiz
      Kinachoangaliwa ni maslahi pamoja na mazingira ya kazi mazuri baaasi.
      The moment walipoamua kuwa madaktari waliyafahamu yote hayo kuhusu mazingira magumu na malipo sasa inakuwaje ghafla wanakurupuka namna hiyo na madai ya 3.5?

    5. #183
      ambagae's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2009
      Posts : 545
      Rep Power : 630
      Likes Received
      37
      Likes Given
      72

      Default re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa

      Quote By maundumula
      bora waende wakafie mbele sasa kama walikuwa na hiyo option kwanini walikuwa wanagoma? Si wangeacha kazi kimya kimya wakaenda huko kwenye mafano manono?
      na huko pia watagoma si ndo zao jasiri haachi asili. Watagoma hata wakienda kwa god hao

    6. #184
      Henge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2009
      Posts : 5,440
      Rep Power : 1674
      Likes Received
      918
      Likes Given
      1673

      Default re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa

      Quote By doreen22
      ha ha ha!, tamuchungu unanichekesha, eti hakuna daktari anayejisomesha hapa tanzania kwa pesa yake binafsi, kwa kuwa gharama za kusomea udaktari ni kubwa sana, nakuonea huruma, sijui unaishi au umetokea maeneo gani ya tanzania, wapo madaktari wengi tu wanaojisomesha kwa pesa zao binafsi na za wazazi au walezi wao bila kutegemea serikali wala wafadhili, toka food, stationaries, fees, usafiri n.k, na wanaishi maisha mazuri ndani ya chuo sio ya kubangaiza na kujinyima kwa kupiga dash mchana au asubuhi, watu tumetofautiana mheshimiwa, usiseme "twafa" sema "nafwa", watu wamejiandaa vema kutunza familia zao though wengine wanatumia fedha za utapeli, wizi, madawa ya kulevya n.k but wapo wanautumia fedha waliyoipata kihalali pia, kuna watu wana hela bongo hii kama ulikuwa hujui!, mi kuna mtu namfahamu, baba yake kamsomesha urubani marekani kwa fedha yake mwenyewe ya mfukoni, baba yake ni mfanyabiashara, na wala si mtu maarufu, kamgharamia mwanae kila kitu kwenye masomo na maisha yake, kuanzia nauli za kwenda na kurudi, chakula, mavazi, vifaa vya shule, malazi, fedha za matumizi, fedha za matibabu n.k na alikuwa anaishi maisha mazuri tu marekani ila mwenyewe aliamua kutafuta tu kajob ka kizushi, ili asimkamue sana mzee wake ili aweze kuhangaika na ndugu zake wengine home bila hofu ya kuhisi mwanaye atakuwa na shida ndogo ndogo, so kuna watu wana hela ndugu yangu, na ukiwaona wengine wako simple tu
      mkuu wenyepesa hizo wako wangapi????
      Watu wengine mnafikilia padogo kweli!
      Maundumula likes this.
      TUKIWAKAMATA MAFISADI NCHI ITAYUMBA by PINDA

    7. #185
      Ozzie's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 9th October 2007
      Location : Jo'burg
      Posts : 1,008
      Rep Power : 795
      Likes Received
      271
      Likes Given
      74

      Default re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa

      Quote By dandabo
      Porojo hizi sasa zinakera. Ndugu wengine tunafanyakazi kwenye mojawapo ya balozi ulizotaja. Acha uongo, si tabia nzuri!
      dandabo unajua maana ya porojo? Au unadhani daktari hawezi akapata kazi huko? Na huyo ndugu yako ni mpiga deki au mlinzi?
      "It's not the votes that count. It's who counts the votes" - Josef Stalin

    8. FemaTV & Radio

    9. #186
      ambagae's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2009
      Posts : 545
      Rep Power : 630
      Likes Received
      37
      Likes Given
      72

      Default re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa

      Quote By Biohazard
      Dar Hongereni madaktari japokua tunapata pigo kubwa ila acha serikali ipate displine
      Wakifika waendako huko pia WATAGOMA Kwani JASIRI haaachi asili na hao watagoma hata watakapofika kwa God maana wamezoea kugoma

    10. #187
      mvua's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 20
      Rep Power : 364
      Likes Received
      2
      Likes Given
      22

      Default re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa

      Quote By FELIPE
      Sio wafanyakazi wote wa ubarozin wanaweza jua kinachoendelea, nyinyi wafagiaji na walinzi hamuwez jua kila kitu.
      Hili nalo neno!

    11. #188
      Ozzie's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 9th October 2007
      Location : Jo'burg
      Posts : 1,008
      Rep Power : 795
      Likes Received
      271
      Likes Given
      74

      Default re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa

      Quote By Mwiyuzi
      NATAMANI MADAKTARI HAO WAZUILIWE KUTOKA NJE YA NCHI, kuna Watanzania wengi wanaokufa kwa sababu ya kukosa matibabu...madaktari ni WAJEURI na wana UKATILI sana. They are too selfish and greedy...
      Kaka Mwiyuzi acha upuuzi, huwezi ukasema daktari wa Tanzania anayefanya kazi kwa mshahara wa dola 400 kwa mwezi yuko selfish na greedy, labda hujui maana ya hayo maneno. Wanaolipwa million 10 unawaitaje?
      "It's not the votes that count. It's who counts the votes" - Josef Stalin

    12. #189
      Biohazard's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,366
      Rep Power : 991
      Likes Received
      308
      Likes Given
      210

      Default re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa

      Quote By ambagae
      Wakifika waendako huko pia WATAGOMA Kwani JASIRI haaachi asili na hao watagoma hata watakapofika kwa God maana wamezoea kugoma
      Hapana mkuu hawa jamaa wanagoma kwa kitu ya msingi mkuu.

    13. #190
      Ozzie's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 9th October 2007
      Location : Jo'burg
      Posts : 1,008
      Rep Power : 795
      Likes Received
      271
      Likes Given
      74

      Default re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa

      Quote By Mkirua
      Kwa hili natofautiana na wewe Mkuu .....ingekuwa hivyo (kwenye RED)wangelikuwa na mshahara mara mbili (plus) ya hizo fani nyingine?? Penye ukweli tuuseme....
      Mkirua Hata walipwe mara tatu sio shida. Tena kote huko duniani daktari huwa analipwa mara mbili au zaidi ya watumishi wengine. Wewe usome degree ya kwanza kwa miaka 3 upate senti kumi kwa mwezi, mwenzako asome miaka 6 pia apate senti hizo hizo; Pia degree ya pili unasoma max miezi 12, mwenzako anasoma miezi 36 na zaidi na bado unataka mlipwe sawa; mbona haitowezekana, unadhani nani kesho ataenda kusomea udaktari kama hawatalipwa zaidi ya wewe?
      "It's not the votes that count. It's who counts the votes" - Josef Stalin

    14. #191
      UmkhontoweSizwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th December 2008
      Posts : 2,018
      Rep Power : 934
      Likes Received
      555
      Likes Given
      319

      Default re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa

      Haya ni matokeo ya kiburi cha wanasiasa. Kupewa uongozi wanajifanya wamebinafsishiwa nchi na kuifanya yao. Chama dhaifu, rais dhaifu, serikali legelege.
      Bila kuiondoa ccm madarakani hii nchi itaangamia.

    15. #192
      Ozzie's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 9th October 2007
      Location : Jo'burg
      Posts : 1,008
      Rep Power : 795
      Likes Received
      271
      Likes Given
      74

      Default re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa

      Quote By Tume ya Katiba
      uzushi wa hali ya juu. Madaktar ni sawa na mfa maji haishi kutapatapa, mgomo umeisha huku wao wakiwa wamepoteza, wameaibika, wamedhalilika. Tuliwashauri wasitumiwe kisiasa hawakusikia.
      Kweli Tume ya Katiba unaongea kwa masaburi. Hivi utasemaje mgomo umeisha, baada ya kumfukuza aliyegoma?
      "It's not the votes that count. It's who counts the votes" - Josef Stalin

    16. #193
      Mahesabu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2008
      Location : manzese
      Posts : 3,034
      Rep Power : 1318
      Likes Received
      218
      Likes Given
      677

      Default re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa

      mi nafukuza machinga ambaye peni ya 500 yeye anaanzia 15,000..!
      hakuna haja ya kujadiliana naye.....ni kupoteza muda...! kweli biashara ni kwa faida ila sio kama watakavyo wao...super super super profit! badala ya profit au super profit

    17. #194
      Babylon's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2009
      Posts : 1,172
      Rep Power : 758
      Likes Received
      42
      Likes Given
      1

      Default re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Ni kiburi tu cha wanasiasa; wanafikiria udaktari ni "kama fani nyingine" tu. Gharama ya madaktari wetu kuondoka ni kurudisha huduma ya afya kwa miaka kadhaa nyuma. Lakini kwa vile tatizo lenyewe halijashughulikiwa bado kutakuwa na mgongano wa madaktari na serikali in the future. Hii yote ni matokeo ya sera zilizoshindwa za CCM.
      Tumsubiri yule Swahibu yako Kibunango (CCM damu) atueleze kama kweli ni sera ya CCM

    18. #195
      Kyaiyembe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st December 2011
      Location : Kisukuru
      Posts : 1,138
      Rep Power : 604
      Likes Received
      345
      Likes Given
      303

      Default re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa

      Quote By Henge
      mkuu unajua siasa si professional yeyote anaruhusiwa kuingia!?
      Halafu kukopeshwa mkuu ni sawa but ghalama za kumsomeshea dr mmoja ni sawa na ghalama za kusomeshea ma accountants 10, gharama hizo ni lazima serikali ichangie, nadhani hili hata serikali yenyewe haijui! Ni kodi inayofanywa yoote haya sasa kwanini umuue aliyekusomesha!???
      Kwani tuliowasomesha ni Dr's pekee yao mbona tunakufa kutokana na mambo mengi tu ambayo yangetatuliwa na watu wa Professional nyingine tofauti na Dr's.
      Mfano ameishawahi kujiuliza ni kwanini watu wanabomolewa nyumba zao?, Tena walizojenga bila ya msaada wowote toka serikalini.
      Je hiyo wizara ya ardhi nyumba na makazi haina wasomi waliosomeshwa na pesa za waliovujiwa nyumba zao?. Kama wapo wanafanya nini mpaka watu wanavujiwa nyumba zao?.
      "Ikulu ni mahala PATAKATIFU,
      mimi sikuchaguliwa kuja kupageuza kuwa pango la wala RUSHWA."
      By J.K. NYERERE.

    19. #196
      Henge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2009
      Posts : 5,440
      Rep Power : 1674
      Likes Received
      918
      Likes Given
      1673

      Default re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa

      Quote By kyaiyembe
      kwani tuliowasomesha ni dr's pekee yao mbona tunakufa kutokana na mambo mengi tu ambayo yangetatuliwa na watu wa professional nyingine tofauti na dr's.
      Mfano ameishawahi kujiuliza ni kwanini watu wanabomolewa nyumba zao?, tena walizojenga bila ya msaada wowote toka serikalini.
      Je hiyo wizara ya ardhi nyumba na makazi haina wasomi waliosomeshwa na pesa za waliovujiwa nyumba zao?. Kama wapo wanafanya nini mpaka watu wanavujiwa nyumba zao?.
      rushwa mkuu hakuana sehemu kwenye rushwa kama ardhi,
      kumbuka ardhi ililaaniwa na mungu. Rushwa ndo inasababisha kuvunjiwa majumba na kujenga majumba pasipo na mpango!
      TUKIWAKAMATA MAFISADI NCHI ITAYUMBA by PINDA

    20. #197
      sterling's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th August 2011
      Posts : 146
      Rep Power : 520
      Likes Received
      27
      Likes Given
      27

      Default re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa

      watamuua baba yetu kikwete kwa presha.......

    21. #198
      NATA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2007
      Posts : 4,255
      Rep Power : 8416
      Likes Received
      1133
      Likes Given
      390

      Default re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa

      Quote By Maundumula
      Bora waende wakafie mbele sasa kama walikuwa na hiyo option kwanini walikuwa wanagoma? si wangeacha kazi kimya kimya wakaenda huko kwenye mafano manono?
      Binam hawa walitaka sana kuwatumikia wa TZ lkn serikali ya TZ kwa kuwa haiwapendi watu wake imewatimua bila kuangalia madhara kwa raia wao.

      Utaitetea sana serikali yako lkn ukweli utasimama.
      Siku njema binamu wasalim wanangu.

    22. #199
      Andre02150's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd February 2010
      Posts : 100
      Rep Power : 493
      Likes Received
      26
      Likes Given
      57

      Default re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa

      jaribu kuushughulisha ubongo wako ili upate taarifa sahihi...sio kumsikiliza kibonde akibwabwaja clouds kisha ukasadiki. tatizo letu watz ni wazembe hata wa kufikiri...nchi hii kuna watu wengi tu kwa njia moja au nyingine, ukimweleza 'leo sijala' moja kwa moja akili yake itampelekea kwenye chakula regardless dhima nzima ya mazungumzo yenu imeegemea wapi. ss mkulu alipokuja kuhutubia taifa juu ya mgomo wa madr na kukwepa kuongelea hoja ya msingi nawe ukaingia kichwa kichwa kama 'mkulima'. anyway, nafikiri ni ngumu sana kukuelewesha..pengine kama kuna madaktari jamvini wanaweza kukusaidia ili uelewe zaidi.

    23. #200
      Mwiyuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2011
      Posts : 297
      Rep Power : 462
      Likes Received
      79
      Likes Given
      119

      Default re: Madaktari waliofukuzwa waulamba Namibia, Botswana, Rwanda na S' Africa

      Quote By Ozzie
      Kaka Mwiyuzi acha upuuzi, huwezi ukasema daktari wa Tanzania anayefanya kazi kwa mshahara wa dola 400 kwa mwezi yuko selfish na greedy, labda hujui maana ya hayo maneno. Wanaolipwa million 10 unawaitaje?
      Sitakuita mpuuzi kama wewe ulivyoniita coz nimejifunza kuheshimu mawazo ya mtu...coz ukiita mtu mpuuzi huwezi kubadilisha mtazamo wake in anyway. Kama hujakubaliana na mtu unaargue na kumconvince kwa hoja.

      Ninaposema ni selfish namaanisha "they are self seeking" na ninaposema ni greedy namaanisha kwamba "wanatamaa ya kupata mshahara more than the actual situation ya TZ...utakumbuka kuwa kuna magraduate wanaolipwa chini ya hizo dola 400...na si kwamba wanaridhika na hiyo mishahara..oh no"

      Nakubali kuwa the current system inakatisha tamaa na inatisha na ni ya kinyama but this doesnt justify madai ya kupandishwa kwa mishahara yao kama wanavyodai.

      "system kuwa ya kifisadi haijustify madai ya mishahara ya juu kwa kiasi hicho!"

    Page 10 of 18 FirstFirst ... 89101112 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...