Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kwa hili la leo ni wazi kuwa CCM wamejiua!.

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 48
    1. #1
      Ni Mimi Msiogope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 284
      Rep Power : 408
      Likes Received
      152
      Likes Given
      31

      Default Kwa hili la leo ni wazi kuwa CCM wamejiua!.

      Kama umefuatilia kwa makini kufuatilia kikao cha leo cha Bunge utangundua kuwa ama CCM wamejiua (Wameshakufa kisiasa) au hawakujiandaa vya kutosha kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi...

      Werema na Lukuvi wana wakati mgumu kuukubali ukweli huu..
      Mkuu wa kaya naye ana wakati mgumu kama mwanamke mwenye mimba ya miezi 8 na siku 29...
      Chimunguru likes this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Azimio Jipya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Location : Universal Space Station
      Posts : 3,281
      Rep Power : 5414
      Likes Received
      1006
      Likes Given
      1731

      Default Re: Kwa hili la leo ni wazi kuwa CCM wamejiua!.

      Jibu ni rahisi...

      Pale CCM bado kuna watu wazuri .... Wahame chama haraka ... Waanzisha CCM yenye misingi na itikadi za Kweli Za TANU na ASP ... Wafanye Update kidogo... Iwe ile CCM AZIMIO LA ARUSHA CCM AA the Conservative CCM... SALM AHAMED SALM anaweza kutoa ushauri kwa hili kundi.

      CCM ya Pili hii ya kina Kikwete, Lowasa na wenzake ... CCM AZIMIO LA ZANZIBAR CCM AZ The Liberal CCM.

      Hawa Conservative CCM hawa ndio wanaweza kuokoa nchi kwa kuwatimua hawa liberal wasinii wakubwa wanohatarisha Taifa. Hawa CCM AA ndio wanaweza kuchuana ki ukweli na CHADEMA na kuleta upinzani wa kweli wenye tija na maendeleo.

      ..Ninaamuru hili litokeee!!
      Mkandara, FJM and MSAFIRI KABULWA like this.
      Never Get Angry; Never Make Threat; Reason With People;
      "Napenda the logic of the words because in some ways it says about individual-not to use emotions-when scrutinizing something, whether it involves you or not" ...-by AshaDiii @ Jamiiforums 26th July 2011.


    4. #3
      Songoro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th May 2009
      Posts : 2,220
      Rep Power : 0
      Likes Received
      483
      Likes Given
      21

      Default Re: Kwa hili la leo ni wazi kuwa CCM wamejiua!.

      Mbona una tabia za kibunge bunge ww?

    5. #4
      CHEMPO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2011
      Location : A TOWN
      Posts : 369
      Rep Power : 1932
      Likes Received
      58
      Likes Given
      19

      Default Re: Kwa hili la leo ni wazi kuwa CCM wamejiua!.

      Jk na seekali yake yote waliliongelea swala la ulimboka na kutekwa kwake,,je ccm wako juu ya sheria?

    6. #5
      Ni Mimi Msiogope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 284
      Rep Power : 408
      Likes Received
      152
      Likes Given
      31

      Default

      Quote By Azimio Jipya
      Jibu ni rahisi...

      Pale CCM bado kuna watu wazuri .... Wahame chama haraka ... Waanzisha CCM yenye misingi na itikadi za Kweli Za TANU na ASP ... Wafanye Update kidogo... Iwe ile CCM AZIMIO LA ARUSHA CCM AA the Conservative CCM... SALM AHAMED SALM anaweza kutoa ushauri kwa hili kundi.

      CCM ya Pili hii ya kina Kikwete, Lowasa na wenzake ... CCM AZIMIO LA ZANZIBAR CCM AZ The Liberal CCM.

      Hawa Conservative CCM hawa ndio wanaweza kuokoa nchi kwa kuwatimua hawa liberal wasinii wakubwa wanohatarisha Taifa. Hawa CCM AA ndio wanaweza kuchuana ki ukweli na CHADEMA na kuleta upinzani wa kweli wenye tija na maendeleo.

      ..Ninaamuru hili litokeee!!
      Kwanza kundi la kwanza 'Wasafi' bado lina imani potofu yenye 'ukakasi' machoni kuwa wanaweza kuwabadilisha kina JK na 'Wachafu', Wanadhani kuwa wana uwezo wa kutengeneza 'CCM mpya' soon!

      Aibu! Kinachoonekana sasa wamemezwa na 'Wachafu' kwa kuhongwa na kununuliwa... Pili hao 'Wachafu' wameamua kutoana kafara kwa kupeana 'Kazi maalum' kama kina Nchemba, Wassira, Lucynde na Wille Lukuvi. Naona mbele yao joka kubwa la Nguvu ya Mabadiliko likiwa limetanua mdomo mkubwa sijui kama watanusurika. Watake wasitake wanaweza kupotezana njia wakati wakijaribu kulikwepa Joka hili lenye macho ya kutisha!..

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Hofstede's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2007
      Posts : 3,604
      Rep Power : 21341
      Likes Received
      981
      Likes Given
      988

      Default Re: Kwa hili la leo ni wazi kuwa CCM wamejiua!.

      Quote By Azimio Jipya
      Jibu ni rahisi...

      Pale CCM bado kuna watu wazuri .... Wahame chama haraka ... Waanzisha CCM yenye misingi na itikadi za Kweli Za TANU na ASP ... Wafanye Update kidogo... Iwe ile CCM AZIMIO LA ARUSHA CCM AA the Conservative CCM... SALM AHAMED SALM anaweza kutoa ushauri kwa hili kundi.

      CCM ya Pili hii ya kina Kikwete, Lowasa na wenzake ... CCM AZIMIO LA ZANZIBAR CCM AZ The Liberal CCM.

      Hawa Conservative CCM hawa ndio wanaweza kuokoa nchi kwa kuwatimua hawa liberal wasinii wakubwa wanohatarisha Taifa. Hawa CCM AA ndio wanaweza kuchuana ki ukweli na CHADEMA na kuleta upinzani wa kweli wenye tija na maendeleo.

      ..Ninaamuru hili litokeee!!
      Mkuu hii process yote ni ngumu sana kufanyika katika CCM, watu wanataka ku get rid of the name 'CCM'. Njia rahisi kabisa kwa CCM kubakia na hao conservative ni kwa CCM kuwa out of power for at least 5 years. Ni dhahiri wale waliopachika mirija yao kwenye rasilimali za nchi kwa kutumia tundu la CCM watapukutika baada ya tundu hilo kuziba kwa CCM kuwa out of power.
      Mkandara, Azimio Jipya and Mag3 like this.

    9. #7
      Bob G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : UK Manyasi
      Posts : 1,653
      Rep Power : 715
      Likes Received
      289
      Likes Given
      36

      Default Re: Kwa hili la leo ni wazi kuwa CCM wamejiua!.

      wamebuni njia ya kukwepa na kuzuia aibu kwa kuwatumia polisi kukamata watu then wanawafunga mdomo watu wasijadili eti iko mahakamani, mi naona kama wanajimaliza zaidi

    10. #8
      Ni Mimi Msiogope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 284
      Rep Power : 408
      Likes Received
      152
      Likes Given
      31

      Default

      Quote By CHEMPO
      Jk na seekali yake yote waliliongelea swala la ulimboka na kutekwa kwake,,je ccm wako juu ya sheria?
      Hahaha...
      Leo nimecheka sana "Suala la Ulimboka lipo Mahakamani". Ndo walipokuwa wanakimbilia? Iko hivi: Ukiwa unafukuzwa na hatari kubwa nyuma yako ukiona hata 'Kibanda cha nyasi' unaweza kuamini kuwa afadhali kitakusitiri ukaingia lakini ukasahau kuwa '******' umeacha nje!..

      Sifafanui zaidi.

    11. #9
      Ni Mimi Msiogope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 284
      Rep Power : 408
      Likes Received
      152
      Likes Given
      31

      Default

      Quote By Bob G
      wamebuni njia ya kukwepa na kuzuia aibu kwa kuwatumia polisi kukamata watu then wanawafunga mdomo watu wasijadili eti iko mahakamani, mi naona kama wanajimaliza zaidi
      Hakika leo nimekumbuka mengi sana!
      Hebu jiulize "Ukiwa vitani mkiwa mnanyata ghafla askari wote mlio front line mkagunduana kuwa mmekanyaga mabomu ya kulipuka ikiwa mtanyanyua miguu kupiga hatua (Spring Bomb), kuna jicho flani litawatoka wote ghafla"..

      Hapo ndipo walipofika CCM

    12. #10
      Azimio Jipya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Location : Universal Space Station
      Posts : 3,281
      Rep Power : 5414
      Likes Received
      1006
      Likes Given
      1731

      Default Re: Kwa hili la leo ni wazi kuwa CCM wamejiua!.

      Quote By Ni Mimi Msiogope
      Kwanza kundi la kwanza 'Wasafi' bado lina imani potofu yenye 'ukakasi' machoni kuwa wanaweza kuwabadilisha kina JK na 'Wachafu', Wanadhani kuwa wana uwezo wa kutengeneza 'CCM mpya' soon!


      Aibu! Kinachoonekana sasa wamemezwa na 'Wachafu' kwa kuhongwa na kununuliwa... Pili hao 'Wachafu' wameamua kutoana kafara kwa kupeana 'Kazi maalum' kama kina Nchemba, Wassira, Lucynde na Wille Lukuvi. Naona mbele yao joka kubwa la Nguvu ya Mabadiliko likiwa limetanua mdomo mkubwa sijui kama watanusurika. Watake wasitake wanaweza kupotezana njia wakati wakijaribu kulikwepa Joka hili lenye macho ya kutisha!..
      Nasisitiza Kama Taifa hili Lina punje ya Kunusurika ... LAZIMA CCM AA ... Wajitokeze na kuchukua hatamu tena haraka sana.

      Walipofikia sasa CCM ZA ... Lbereal CCM y a wasinii ... Ni kama Watoto wasio kuwa na Wazazi ...!!

      CCM ZA wanavyokabilina na CHADEMA ... ni kama watoto walio na umri mmoja ..wanhitaji MZAZI wa kuwa simamia ..na kuwapa Muogozo ...

      Vibaya zaid CCM AZ ya wasnii wana MADARAKA ya Vyombo Vya Usalama ... Watajiumiza wao wenyew enavyo ..na watawaumiza wancchi ...

      CCM AA ... NI BABA NI MZAZI MWENYE HEKIMA .... lazima aingilie Kati ... Hawa wana upeo wa Kuabiliana na CHADEMA na kupata upinzani wa kweli.

      HARAKA SANA WAHUSIKA ... FANYENI JAMBO HILI ....!!
      Never Get Angry; Never Make Threat; Reason With People;
      "Napenda the logic of the words because in some ways it says about individual-not to use emotions-when scrutinizing something, whether it involves you or not" ...-by AshaDiii @ Jamiiforums 26th July 2011.


    13. #11
      Ni Mimi Msiogope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 284
      Rep Power : 408
      Likes Received
      152
      Likes Given
      31

      Default

      Quote By Hofstede
      Mkuu hii process yote ni ngumu sana kufanyika katika CCM, watu wanataka ku get rid of the name 'CCM'. Njia rahisi kabisa kwa CCM kubakia na hao conservative ni kwa CCM kuwa out of power for at least 5 years. Ni dhahiri wale waliopachika mirija yao kwenye rasilimali za nchi kwa kutumia tundu la CCM watapukutika baada ya tundu hilo kuziba kwa CCM kuwa out of power.
      Taasisi ya Aibu iliyochokwa na wananchi kama CCM kujirekebisha inahitaji miaka zaidi ya 30 (Kutengeneza kizazi kipya). Hata hivyo bado sijakiona kizazi hicho kwa sababu kizazi cha sasa cha FB,Twitter na Skype chote hakitaki kusikia neno CCM.
      Hofstede likes this.

    14. #12
      delabuta's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 23rd May 2011
      Location : Dar es salaam
      Posts : 179
      Rep Power : 440
      Likes Received
      44
      Likes Given
      0

      Default Re: Kwa hili la leo ni wazi kuwa CCM wamejiua!.

      kumbe ndio mpango wao kuwapeleka watu ambao hawahusiki mahakamani ili watufunge midomo imekuwa kwao vibaya sana ngubu ya umma.

    15. #13
      bemg's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th April 2010
      Posts : 1,613
      Rep Power : 783
      Likes Received
      218
      Likes Given
      344

      Default Re: Kwa hili la leo ni wazi kuwa CCM wamejiua!.

      liwalo na liwe speed ya mkuu wa bunge na mratibu wa sera speed zao kwenye masuala ya ukweli yanayohusu taifa ni 1km/hr so inabidi watanzania tuzoe hii hali ya kwamba serikali hawataki kuambiwa ukweli.siku si nyingi itakuwa historia ya utumishi wao
      Ni jambo zuri na la kupendeza sana ndugu kuishi pamoja kwa umoja

    16. #14
      Ni Mimi Msiogope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 284
      Rep Power : 408
      Likes Received
      152
      Likes Given
      31

      Default

      Quote By Azimio Jipya
      Nasisitiza Kama Taifa hili Lina punje ya Kunusurika ... LAZIMA CCM AA ... Wajitokeze na kuchukua hatamu tena haraka sana.

      Walipofikia sasa CCM ZA ... Lbereal CCM y a wasinii ... Ni kama Watoto wasio kuwa na Wazazi ...!!

      CCM ZA wanavyokabilina na CHADEMA ... ni kama watoto walio na umri mmoja ..wanhitaji MZAZI wa kuwa simamia ..na kuwapa Muogozo ...

      Vibaya zaid CCM AZ ya wasnii wana MADARAKA ya Vyombo Vya Usalama ... Watajiumiza wao wenyew enavyo ..na watawaumiza wancchi ...

      CCM AA ... NI BABA NI MZAZI MWENYE HEKIMA .... lazima aingilie Kati ... Hawa wana upeo wa Kuabiliana na CHADEMA na kupata upinzani wa kweli.

      HARAKA SANA WAHUSIKA ... FANYENI JAMBO HILI ....!!
      Kwanini unaumiza sana kisanduku chako cha kufikiria kwa ajili ya kuwaza 'ccm aa'?
      Amini usiamini sikushikii bakora wala kukuchapa vibao ili ukubaliane nami juu ya hili; Watanzania hawataki kusikia neno CCM iwe A,B,C,D au vyovyote itakavyoitwa!.. By the way hakuna ulazima wa kuwashikia mitutu watu unaosema 'Haraka sana' wakati kuna chama kingine chenye nguvu na Imara kuliko CCM iwe A,B,C,D au vyovyote itakavyoitwa! Maana na dhana halisi ya Watanzania kuishi kwenye mfumo wa vyama vingi ni kuwa "Ikiwa chama kingine kitalegalega kwenye uongozi wa nchi,chama kingine kishike hatamu"..

      Unachosema kitengenezwe 'Kiroboti' wala mimi sjiakielewa bado.
      Azimio Jipya likes this.

    17. #15
      Azimio Jipya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Location : Universal Space Station
      Posts : 3,281
      Rep Power : 5414
      Likes Received
      1006
      Likes Given
      1731

      Default Re: Kwa hili la leo ni wazi kuwa CCM wamejiua!.

      Quote By Hofstede
      Mkuu hii process yote ni ngumu sana kufanyika katika CCM, watu wanataka ku get rid of the name 'CCM'. Njia rahisi kabisa kwa CCM kubakia na hao conservative ni kwa CCM kuwa out of power for at least 5 years. Ni dhahiri wale waliopachika mirija yao kwenye rasilimali za nchi kwa kutumia tundu la CCM watapukutika baada ya tundu hilo kuziba kwa CCM kuwa out of power.
      Mkuu unachosema wewe ndio kigumu na hatari kuliko nilichopendekeza ...!!

      Hawa Liberal CCM wasanii na Wa babaishaji ... Ndio wenye DOLA , VYOMBO VYA USALAMA ...Mkuu watatuchinja watatumaliza ..hawa !! Hawafikiri na kuona katika hali timamu ...!!

      Wanahitajika Watu wenye UTU na EXPIRIENCE KUBWA kuwakabili Hawa Wasanii na kuwanyanganya Zana za usalama wa Taifa kwa Busara ... Kwani sasa ... wamechanganyikiwa na malichoamua? NA LIWALO NA LIWE...Mkuu kuwachia hawa watu hata wiki mbili madarakani ... na Jeshi zima la Nchi likiwa mikononi mwao ...HUONI SYRIA IKINYEMELEA TANZANIA?

      NAKUAPIENI WANAHITAJIKA WAKONGWE KUOKOA TAIFA HILI TOKA MIKONONI MWA " LIWALO NA LIWE" wataitosa Nchi Mtoni ... Hatimaye watasema ...LILE LIWALO LIMESHAKUWA..

      Hima Watanzania wenye UTU, HEKIMA, BUSARA ...GAWANYANENI HIYO CCM MAPANDE MAWILI ...HARAKA SANA!!!!
      Never Get Angry; Never Make Threat; Reason With People;
      "Napenda the logic of the words because in some ways it says about individual-not to use emotions-when scrutinizing something, whether it involves you or not" ...-by AshaDiii @ Jamiiforums 26th July 2011.


    18. #16
      Ni Mimi Msiogope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 284
      Rep Power : 408
      Likes Received
      152
      Likes Given
      31

      Default

      Quote By bemg
      liwalo na liwe speed ya mkuu wa bunge na mratibu wa sera speed zao kwenye masuala ya ukweli yanayohusu taifa ni 1km/hr so inabidi watanzania tuzoe hii hali ya kwamba serikali hawataki kuambiwa ukweli.siku si nyingi itakuwa historia ya utumishi wao
      Kesho nimeomba Appoitment na mkubwa fulani wa mahakama (Asiyefungamana na upande wowote) tukalijadili hili... Kweli mahakama sasa inafanywa kichaka cha CCM kuficha maasi yake. Ifike mahali mahakama zikatae au ziamua kwa haraka kesi zenye malengo hayo mapema ili umma upate nafasi ya kujadili.

    19. #17
      Limbani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2008
      Location : Kisiwani
      Posts : 1,225
      Rep Power : 819
      Likes Received
      254
      Likes Given
      63

      Default

      Quote By Azimio Jipya
      Mkuu unachosema wewe ndio kigumu na hatari kuliko nilichopendekeza ...!!

      Hawa Liberal CCM wasanii na Wa babaishaji ... Ndio wenye DOLA , VYOMBO VYA USALAMA ...Mkuu watatuchinja watatumaliza ..hawa !! Hawafikiri na kuona katika hali timamu ...!!

      Wanahitajika Watu wenye UTU na EXPIRIENCE KUBWA kuwakabili Hawa Wasanii na kuwanyanganya Zana za usalama wa Taifa kwa Busara ... Kwani sasa ... wamechanganyikiwa na malichoamua? NA LIWALO NA LIWE...Mkuu kuwachia hawa watu hata wiki mbili madarakani ... na Jeshi zima la Nchi likiwa mikononi mwao ...HUONI SYRIA IKINYEMELEA TANZANIA?

      NAKUAPIENI WANAHITAJIKA WAKONGWE KUOKOA TAIFA HILI TOKA MIKONONI MWA " LIWALO NA LIWE" wataitosa Nchi Mtoni ... Hatimaye watasema ...LILE LIWALO LIMESHAKUWA..

      Hima Watanzania wenye UTU, HEKIMA, BUSARA ...GAWANYANENI HIYO CCM MAPANDE MAWILI ...HARAKA SANA!!!!
      Nakubaliana na wewe mkuu, kwa spidi hii ya akina Mchemba, Nape, Komba n.k. hawa jamaa wao hata KUUA ili mradi CCM ibaki madarakani si tatizo kwao. CCM is getting out of hands na hawa "wahuni" wana nguvu humo!

    20. #18
      Ni Mimi Msiogope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 284
      Rep Power : 408
      Likes Received
      152
      Likes Given
      31

      Default

      Quote By Limbani
      Nakubaliana na wewe mkuu, kwa spidi hii ya akina Mchemba, Nape, Komba n.k. hawa jamaa wao hata KUUA ili mradi CCM ibaki madarakani si tatizo kwao. CCM is getting out of hands na hawa "wahuni" wana nguvu humo!
      Inawezekana Ndo "Haraka yenyewe"

    21. #19
      Azimio Jipya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Location : Universal Space Station
      Posts : 3,281
      Rep Power : 5414
      Likes Received
      1006
      Likes Given
      1731

      Default Re: Kwa hili la leo ni wazi kuwa CCM wamejiua!.

      Quote By Ni Mimi Msiogope
      Kwanini unaumiza sana kisanduku chako cha kufikiria kwa ajili ya kuwaza 'ccm aa'?
      Amini usiamini sikushikii bakora wala kukuchapa vibao ili ukubaliane nami juu ya hili; Watanzania hawataki kusikia neno CCM iwe A,B,C,D au vyovyote itakavyoitwa!.. By the way hakuna ulazima wa kuwashikia mitutu watu unaosema 'Haraka sana' wakati kuna chama kingine chenye nguvu na Imara kuliko CCM iwe A,B,C,D au vyovyote itakavyoitwa! Maana na dhana halisi ya Watanzania kuishi kwenye mfumo wa vyama vingi ni kuwa "Ikiwa chama kingine kitalegalega kwenye uongozi wa nchi,chama kingine kishike hatamu"..

      Unachosema kitengenezwe 'Kiroboti' wala mimi sjiakielewa bado.
      Mkuu si kwamba WAPINZANI wa Siria hawatachukua Nchi! LAKINI KWA GHARAMA GANI?

      CCM Bila kuvunjika Mapande mawali ..TENA HAKARAKA SANA .... Itabidi CHADEMA wachukue Nchi kupitia Njia ya Wapinzani wa Siria ... Na hili inabidi liwe CHAGUO LA MWISHO ...

      MAPANDE MAWILI YA CCM YATAPELEKEA NCHI KWENDA CHADEMA kwa HEKIMA , HESHIMA NA UTU WA TAIFA BADO UKIWEPO KIKAMILIFU ...

      NA HATA CHADEMA WAKIKAA VIBAYA NCHI INAWEZA KWENDA KWA CCM AA!!!? LAKINI HAPATAKUWA NA UMWAKIKAJI MKUBWA WA DAMU ... KAMA IKIWA ... HIVI INAVYOKWENDA ...!!

      So Natoa wito ... wenyewe uwezo waigawanye CCM mapande mawaili Makubwa ... haraka sana!!
      Mkandara likes this.
      Never Get Angry; Never Make Threat; Reason With People;
      "Napenda the logic of the words because in some ways it says about individual-not to use emotions-when scrutinizing something, whether it involves you or not" ...-by AshaDiii @ Jamiiforums 26th July 2011.


    22. #20
      Ni Mimi Msiogope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 284
      Rep Power : 408
      Likes Received
      152
      Likes Given
      31

      Default

      Quote By Azimio Jipya
      Mkuu si kwamba WAPINZANI wa Siria hawatachukua Nchi! LAKINI KWA GHARAMA GANI?

      CCM Bila kuvunjika Mapande mawali ..TENA HAKARAKA SANA .... Itabidi CHADEMA wachukue Nchi kupitia Njia ya Wapinzani wa Siria ... Na hili inabidi liwe CHAGUO LA MWISHO ...

      MAPANDE MAWILI YA CCM YATAPELEKEA NCHI KWENDA CHADEMA kwa HEKIMA , HESHIMA NA UTU WA TAIFA BADO UKIWEPO KIKAMILIFU ...

      NA HATA CHADEMA WAKIKAA VIBAYA NCHI INAWEZA KWENDA KWA CCM AA!!!? LAKINI HAPATAKUWA NA UMWAKIKAJI MKUBWA WA DAMU ... KAMA IKIWA ... HIVI INAVYOKWENDA ...!!

      So Natoa wito ... wenyewe uwezo waigawanye CCM mapande mawaili Makubwa ... haraka sana!!
      Kwa umbali kidogo naweza kuelewa unachomaanisha japokuwa hilo la 'CCM AA' ni Part II ya Movie ya 'Liwalo na Liwe'

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...