Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Waghushi waraka kuhusisha CHADEMA na migomo

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 25
    1. #1
      Dingswayo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2009
      Location : Tanzania/Europe
      Posts : 2,651
      Rep Power : 5723
      Likes Received
      1095
      Likes Given
      2536

      Default Waghushi waraka kuhusisha CHADEMA na migomo

      Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilbrod Slaa, ameeleza kuwa wapinzani wa kisiasa wa chama hicho wameghushi waraka wenye sahihi yake ambao unakihusisha chama hicho na migomo inayoendelea nchini.

      Akizungumza na NIPASHE jana kwa njia ya simu, Dk. Slaa alisema inashangaza watu kughushi waraka wa namna hiyo wakati ambao nchi inakabiliwa na changamoto nyingi hususani za kuwakwamua wananchi na lindi la umaskini.

      Alisema chama hicho kitaendelea kutekeleza wajibu na majukumu yake kama chama cha siasa ikiwemo kuuelimisha umma juu ya haki za msingi pamoja na umuhimu wa kushiriki kwenye shughuli za maendeleo ya nchi.

      Hata hivyo, Mwenyekiti wa shirikisho la Chama Cha Mapinduzi katika Vyuo Vikuu vya Mkoa wa Dar es Salaam, Asenga Abubakar, alisambaza waraka unaodaiwa kutolewa na Dk. Slaa kwa viongozi wa Chadema kuwataka washinikize migomo nchini hususani wa walimu.

      Akizungumza na NIPASHE jana, Asenga alisema waraka huo umesambazwa kwenye mitandano ya kijamii na kwamba yeye (Asenga), alitoa nakala na kuzisambaza kwa vyombo vya habari kwa nia njema ya kukemea maelekezo hayo.
      Semper fi!

    2. Miaka 50

    3. GIB
      #2
      GIB's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2012
      Posts : 301
      Rep Power : 425
      Likes Received
      81
      Likes Given
      123

      Default re: Waghushi waraka kuhusisha CHADEMA na migomo

      Kweli ccm wameshikwa pabaya. hiyo kwa wale wapenda mpira tunaiita total football , yaani mpaka kipa anaenda kushambulia. mashambulizi kila kona. kwanini wasichanganyikiwe hawa magamba.
      Jamani tukaze buti hawa wagamba watatoka tu 2015
      Excellent, MAPE2012 and kelvito like this.
      Muswada unaendeleza kivuli kirefu cha Urais wa Kifalme katika mchakato wa upatikanaji wa Katiba Mpya. Tundu Antiphas Mughwai Lissu (MB) 2012


    4. #3
      cheichei2010's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th September 2010
      Posts : 544
      Rep Power : 548
      Likes Received
      182
      Likes Given
      42

      Default re: Waghushi waraka kuhusisha CHADEMA na migomo

      Atuambie ni mitandao gani uliwekwa huo waraka?Na kwanini haukupatikana humu JF?Hao si ndio wale walioandamana kupinga mgomo wa madr?wanaacha kusoma wanakubali kutumiwa na wakina Nape.Nimeanza kuelewa kwa nini CCM walianzisha hii mitandao mavyuoni.

    5. #4
      slufay's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 399
      Rep Power : 439
      Likes Received
      37
      Likes Given
      1

      Default re: Waghushi waraka kuhusisha CHADEMA na migomo

      siasa za Mwigulu hizo ndiyo iko kwenye chat kwa sasa " Hat cuf ilikutana na mtihani huu! Kumbukeni makontena ya mapanga na na igp. Mahita; cuf ikasambaratishwa sasa imefunga ndoa na ccm" nafikiri cdm ndiyo wako uchumba siku wakilegea tu mahari italipwa.na.mwiglu

    6. #5
      Twigwe's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th April 2012
      Posts : 67
      Rep Power : 372
      Likes Received
      16
      Likes Given
      6

      Default re: Waghushi waraka kuhusisha CHADEMA na migomo

      Na huyo mtoto kachoka kusoma anatumiwa tu!! atadisco

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      slufay's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 399
      Rep Power : 439
      Likes Received
      37
      Likes Given
      1

      Default re: Waghushi waraka kuhusisha CHADEMA na migomo

      Siku hizi ajira hakuna" atakuwa mkuu wa wilaya asiyekuwa na wilY maalum
      bi kilembwe likes this.

    9. #7
      slufay's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 399
      Rep Power : 439
      Likes Received
      37
      Likes Given
      1

      Default re: Waghushi waraka kuhusisha CHADEMA na migomo

      Mnazi wa ccm hawezi disko Maana hata w.akuu wa vyuo ni wateuliwa rais

    10. #8
      Chimunguru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2009
      Posts : 7,800
      Rep Power : 2150
      Likes Received
      1225
      Likes Given
      547

      Default re: Waghushi waraka kuhusisha CHADEMA na migomo

      CCM wanadhani watatuhadaa km walivyowapoteza Cuf enzi za ngunguri aka mahita walipoleta contena la majambia wakawabambikia ngangari aka CUF kuwa wameleta ili wawachinje wa bongo wakati wa uchaguzi. Sisi na chadema ni km inzi na kidonda, tutafia Chadema!! Peoples power!

    11. #9
      Bornvilla's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th February 2011
      Posts : 634
      Rep Power : 0
      Likes Received
      141
      Likes Given
      0

      Default re: Waghushi waraka kuhusisha CHADEMA na migomo

      Waraka huo si umo humu? Lakini kama mnapinga kuwa hakuna waraka huo mbona nyaraka za Serikali mnazikubali hata kama mmeghushi wenyewe? cdm bwana! Limewaganda kooni hilo,halimezeki wala halitemeki! Mnaloo!

    12. #10
      KISAKA MORIS's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Posts : 367
      Rep Power : 430
      Likes Received
      30
      Likes Given
      42

      Default re: Waghushi waraka kuhusisha CHADEMA na migomo

      Tutaona na kusikia mengi kipindi hiki 'CDM' hakuna kusikiliza hawa jamaa dhaifu kabisa tena hafifu sana. Wanashindwa kujenga hoja wanaleta viroja hapa.

    13. #11
      Simplicity.'s Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th August 2011
      Posts : 497
      Rep Power : 492
      Likes Received
      70
      Likes Given
      68

      Default re: Waghushi waraka kuhusisha CHADEMA na migomo

      Pumbavu zao, wamekosa hoja.

    14. #12
      tara's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Posts : 188
      Rep Power : 388
      Likes Received
      61
      Likes Given
      97

      Default re: Waghushi waraka kuhusisha CHADEMA na migomo

      Quote By Twigwe
      Na huyo mtoto kachoka kusoma anatumiwa tu!! atadisco
      atakuwa amehaidiwa GPA kubwa huyu........sio bure

    15. #13
      Karatadume's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 9th February 2012
      Posts : 2
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default re: Waghushi waraka kuhusisha CHADEMA na migomo

      Kwa sasa kuwa mwanachama wa magamba utalazimika uvute bangi ili akili yako iwe fyatu

    16. BAK
      #14
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,640
      Rep Power : 44973
      Likes Received
      8386
      Likes Given
      8363

      Default re: Waghushi waraka kuhusisha CHADEMA na migomo

      Kutapatapa kwa magamba kunazidi kuongezeka kwa kasi ya kutisha na tutaona na kusikia mengi kati ya sasa na 2015. Nchi inazidi kuporomoka kutokana na udhaifu wa DHAIFU.
      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    17. #15
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,518
      Rep Power : 19792
      Likes Received
      4314
      Likes Given
      1294

      Default re: Waghushi waraka kuhusisha CHADEMA na migomo

      Neno dhaifu lina watesa sana!

    18. #16
      chitambikwa's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Location : KAISHO
      Posts : 3,169
      Rep Power : 1960
      Likes Received
      573
      Likes Given
      426

      Default re: Waghushi waraka kuhusisha CHADEMA na migomo

      Yote yatapita siye tuendelee mbele
      IT IS TO THOSE WITHOUT TEETH GOD GIVES MEAT

    19. #17
      Amiliki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2011
      Posts : 1,473
      Rep Power : 765
      Likes Received
      721
      Likes Given
      33

      Default re: Waghushi waraka kuhusisha CHADEMA na migomo

      Kama wameanza kuwatumia mpaka Vichaa wa Mungu, na kuwavika kesi ya kumtekanyara Dr. Ulimboka, kweli Chama cha Mabwepande kinaelekea ukingoni.

    20. #18
      KIJOME's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2012
      Posts : 1,328
      Rep Power : 616
      Likes Received
      244
      Likes Given
      220

      Default re: Waghushi waraka kuhusisha CHADEMA na migomo

      haka kajamaa ni kapuuzi sana huwa nakaona itv kwenye kipimajoto kanavaa matambara shingoni kama mgulu yule mzinzi.

    21. #19
      tusichoke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2011
      Posts : 662
      Rep Power : 545
      Likes Received
      78
      Likes Given
      8

      Default

      Quote By Dingswayo
      Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilbrod Slaa, ameeleza kuwa wapinzani wa kisiasa wa chama hicho wameghushi waraka wenye sahihi yake ambao unakihusisha chama hicho na migomo inayoendelea nchini.

      Akizungumza na NIPASHE jana kwa njia ya simu, Dk. Slaa alisema inashangaza watu kughushi waraka wa namna hiyo wakati ambao nchi inakabiliwa na changamoto nyingi hususani za kuwakwamua wananchi na lindi la umaskini.

      Alisema chama hicho kitaendelea kutekeleza wajibu na majukumu yake kama chama cha siasa ikiwemo kuuelimisha umma juu ya haki za msingi pamoja na umuhimu wa kushiriki kwenye shughuli za maendeleo ya nchi.

      Hata hivyo, Mwenyekiti wa shirikisho la Chama Cha Mapinduzi katika Vyuo Vikuu vya Mkoa wa Dar es Salaam, Asenga Abubakar, alisambaza waraka unaodaiwa kutolewa na Dk. Slaa kwa viongozi wa Chadema kuwataka washinikize migomo nchini hususani wa walimu.

      Akizungumza na NIPASHE jana, Asenga alisema waraka huo umesambazwa kwenye mitandano ya kijamii na kwamba yeye (Asenga), alitoa nakala na kuzisambaza kwa vyombo vya habari kwa nia njema ya kukemea maelekezo hayo.
      hivi hawa watu wa ccm wamelogwa? Serikali yao yenyewe imekiri kuwa kuna mgogoro kati ya serikali na walimu na upo kwa msuluhishi alfu wanaojiita ccm vyuo vikuu wanaleta matamshi ya kijinga,tena walimu wanaasira kila wakidai haki wanapuuzwa nawaambia ccm walimu wengi hivi sasa ni wa level ya diploma na degree na jinsi usoteaji wa elimu ya tanzania ulivyo ccm wasidhani km wanaweza kuzuia mgomo kwa mbinu za kipuuzi km hizo,dhaifu

    22. #20
      SIR JAPHET's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Posts : 30
      Rep Power : 420
      Likes Received
      6
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By cheichei2010
      Atuambie ni mitandao gani uliwekwa huo waraka?Na kwanini haukupatikana humu JF?Hao si ndio wale walioandamana kupinga mgomo wa madr?wanaacha kusoma wanakubali kutumiwa na wakina Nape.Nimeanza kuelewa kwa nini CCM walianzisha hii mitandao mavyuoni.
      huyu dogo asenga alidai kasimamishwa masomo chuon mwl. nyerere kwa kudai refund ya fi za matibabu.kumbe hata yeye anasimamishwa

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...