Re: Muundo Bora wa Muungano: Wabara tudai "serikali moja, nchi moja, taifa moja"!
Serikali tatu mantiki yake ni nini hasa? Mgogoro utarudi tena juu ya nyadhifa katika serikali ya Muungano tena kwa kasi na muungano ndio unajifukia kaburini. Mi nadhani tuendelee na serikali mbili ila marekebisho makubwa katika mambo ya yautengenezao huu muungano.
Kuna kero, ila kumbukeni hakuna serikali ya Tanganyika. Iundwe kwanza ili kuivunja serikali ya muungano kwani kwa sasa muungano upande wa Tanganyika ilibidi kuua serikali ya Zanzibar na kua na serikali moja tu kama Nchi moja. Hii haiingii akilini kua kuna SMZ na Muungano, huu muungano ni wa chi zipi? Currently ni SMS Vz Jamhuri? Did jamhuri exist befor muungano? SMZ existed and it exits, now where is Tanganyika?
Kuwe na serikali MOJA tu ja MUUNGANO na si vinginevyo, au la Tanganyika kwanza.....
"Happiness is what you think, what you say, and what you do are in harmony"
Follow Us Here