Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Muundo Bora wa Muungano: Wabara tudai "serikali moja, nchi moja, taifa moja"!

    Report Post
    Page 2 of 10 FirstFirst 1234 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 196
    1. #1
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,518
      Rep Power : 46714
      Likes Received
      16434
      Likes Given
      8469

      Default Muundo Bora wa Muungano: Wabara tudai "serikali moja, nchi moja, taifa moja"!

      Tusikubali kwenda serikali tatu. Kwa vile tumekatazwa kutaka kuvunja Muungano - japo waliotukataza hawana uwezo huo - na kwamba tunaweza kujadili "muundo" bora wa Muungano. Ninawasihi watu wa bara kudai "Serikali moja, taifa moja, na nchi moja". Haya mambo ya serikali mbili nchi mbili au serikali tatu nchi mbili hayaingii kichwani na ni jitihada za kujaribu kuibeba Zanzibar. Wakati umefika tudai uwepo wa serikali moja tu ya kitafa kwenye nchi moja.

      Ninafahamu kabisa matokeo ya watu wa bara kutaka hili. Jambo pekee ambalo tusikubali kuuziwa (CCM na upiinzani wanataka hili) ni serikali tatu. Serikali tatu ni mzigo ambao hatuwezi kuubeba na wala hatupaswi kuubeba. Nawasihi wenzangu tukate kuongezewa mizigo. Tuwe na serikali moja, taifa moja na nchi moja. Sasa kama hili lina maana Zanzibar iwe "serikali moja, taifa moja na nchi moja" na bara iwe "serikali moja, taifa moja na nchi moja" basi na iwe.

      Tuwasaidie Zanzibar watoke kwenye Muungano kama hawataki serikali moja kwani mbili hawataki na tatu tutajipa mzigo zaidi!

      SAY NO TO SERIKALI TATU!!

      Iambie tume ya Warioba - hatutaki serikali tatu!!
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    2. Miaka 50

    3. #21
      Opaque's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th October 2008
      Posts : 953
      Rep Power : 730
      Likes Received
      227
      Likes Given
      84

      Default Re: Muundo Bora wa Muungano: Wabara tudai "serikali moja, nchi moja, taifa moja"!

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      .... Serikali tatu ni mzigo ambao hatuwezi kuubeba ...
      Yeah, hata Lukuvi alitamka hivyo bungeni. I prefer a single country, single govt



    4. #22
      MkamaP's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2007
      Posts : 4,675
      Rep Power : 1569
      Likes Received
      310
      Likes Given
      93

      Default Re: Muundo Bora wa Muungano: Wabara tudai "serikali moja, nchi moja, taifa moja"!

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Tusikubali kwenda serikali tatu. Kwa vile tumekatazwa kutaka kuvunja Muungano - japo waliotukataza hawana uwezo huo - na kwamba tunaweza kujadili "muundo" bora wa Muungano. Ninawasihi watu wa bara kudai "Serikali moja, taifa moja, na nchi moja". Haya mambo ya serikali mbili nchi mbili au serikali tatu nchi mbili hayaingii kichwani na ni jitihada za kujaribu kuibeba Zanzibar. Wakati umefika tudai uwepo wa serikali moja tu ya kitafa kwenye nchi moja.

      Ninafahamu kabisa matokeo ya watu wa bara kutaka hili. Jambo pekee ambalo tusikubali kuuziwa (CCM na upiinzani wanataka hili) ni serikali tatu. Serikali tatu ni mzigo ambao hatuwezi kuubeba na wala hatupaswi kuubeba. Nawasihi wenzangu tukate kuongezewa mizigo. Tuwe na serikali moja, taifa moja na nchi moja. Sasa kama hili lina maana Zanzibar iwe "serikali moja, taifa moja na nchi moja" na bara iwe "serikali moja, taifa moja na nchi moja" basi na iwe.

      Tuwasaidie Zanzibar watoke kwenye Muungano kama hawataki serikali moja kwani mbili hawataki na tatu tutajipa mzigo zaidi!

      SAY NO TO SERIKALI TATU!!

      Iambie tume ya Warioba - hatutaki serikali tatu!!
      KWanini serikali moja wakati 2015 mnacukua nchi? Mie na uhakika wa kwamba CHADEMA wakichukua nchi muungano hatutadumu hata miaka 2. Wasiotaka serikali mbili waipigie kura chadema.

    5. #23
      Jumaane's Avatar
      Member Array
      Join Date : 7th July 2012
      Posts : 23
      Rep Power : 350
      Likes Received
      1
      Likes Given
      1

      Default Re: Muundo Bora wa Muungano: Wabara tudai "serikali moja, nchi moja, taifa moja"!

      Quote By Mtanzania1
      Mkuu Mzee Mwanakijiji hoja yako ni ya msingi sana lakini itakuwa ngumu sana kuietekeleza. nasema hivyo kwa sababu tumeshuhudia siku za karibuni watu wakiacha kazi za ujuzi na taaluma wakijiingiza kwenye siasa na hii yote si kwa sababu kwamba ni wazalendo sana bali walifanya hivyo kwa ajili ya matumbo yao (ni kazi inayoongoza kwa maslahi makubwa sasa nchini). Tumeshuhudia pia kuongezwa kwa mikoa na wilaya ambayo na hii yote imekuwa ni kutaka kuongeza wigo wa nafasi za kisiasa bila kujali hali za wananchi. Kwa sababu nchi hii maamuzi yote yanafanywa na wanasiasa kwa manufaa yao (kama kujiongezea posho wao na kuwanyima madaktari) utekelezaji wa jambo hili utakuwa mgumu sana kwa sababu unagusa maslahi ya watoa maamuzi (wanasiasa) na hawatakubaliana na hilo bila kujali itikadi zao za vyama.......wao watapendelea mfumo wa huu uliopo sasa au serikali tatu au kuuvuja muungano kwa sababu nafasi zao hazitaathirika sana ............. Hivyo kuendelea na hoja ya serikali moja kutaka kuuvunja muungano haraka sana.............na kama kwa miujiza ikiwezekana basi tutapiga hatua sana....matumizi ya uendeshaji yatapungua......wanasiasa wengi kama wahadhiri, waganga wa jadi, madaktari, wasanii, wahandisi nk watarudi kwenye kazi zao za ujuzi na taaluma kwani nadhani nazo zitaanza kulipa pia kwani keki ya taifa nayo itaanza kugawiwa kwa usawa
      Kinachoonekana hapa ni kwamba mwanakijiji anacampaign na kuadvocate for compete colonization of zanzibar by tanganyika. Anajifanya kasahau/haelewi kuwa MUUngano huu ni makubaliano baina ya nchi mbili kwa hayo mambo ya muungano na mabadiliko ya muundo wa muungano lazima yapate ridhaa ya zanzibar kama mdau wa muungano. Tanganyika can not forcefully impose muungano wanaoutaka wao kwa zanzibar. Huo ni ukoloni, na wala zanzibar haikumpindua mkoloni na sultani wa kiarabu ili itawaliwe na mkoloni mweusi mtanganyika. kwa hilo sahauni, sio leo tena.

    6. #24
      Kamundu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2006
      Posts : 1,372
      Rep Power : 914
      Likes Received
      296
      Likes Given
      9

      Default Re: Muundo Bora wa Muungano: Wabara tudai "serikali moja, nchi moja, taifa moja"!

      Mwanakijiji uko sawa maana malalamiko hayatamalizwa na serikali tatu. Tukianza kipata pesa za mafuta na Gas watataka asilimia fulani lakini wakipata mafuta na Gas watasema haiko kwenye muungano wakati gharama za umeme, shule, hospitali, jeshi, polisi na ujenzi zipo kwenye muungano. Wanataka tugawane sawa ubalozi n.k. Sasa mimi naona imefikia wakati wa serikali moja maana hata viongozi wengi wa Zanzibar hawaishi Zanzibar na ni vigumu kujua mtu katokea wapi siku hizi. Serikali iwe mmoja na kama wanataka wawe na serikali yao basi sawa lakini Tanzania haitakuwa na usalama kwenye serikali tatu itakuwa kama sasa hivi tu tofauti itakuwa gharama zaidi. Sasa tuna wabunge wa bara, wa zanzibar na wawakilishi. Makamu wa raisi watatu, raisi wawili, jaji wakuu n.k. Kama tunafikiria tutawafurahisha Zanzibar kwa serikali tatu tunajidanganya.

    7. #25
      Alhabaad's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 72
      Rep Power : 374
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default Re: Muundo Bora wa Muungano: Wabara tudai "serikali moja, nchi moja, taifa moja"!

      Endelea kuota mchana Mzee!km unataka hoja ya ipate nguvu ungemuomba Mzee wa Upako akamfufua Baba yako wa Taifa akusaidie kupigia debe serikali moja!
      Hamna ujanja mtaimbo umeganda!

    8. RukaaJuu Final

    9. #26
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,518
      Rep Power : 46714
      Likes Received
      16434
      Likes Given
      8469

      Default Re: Muundo Bora wa Muungano: Wabara tudai "serikali moja, nchi moja, taifa moja"!

      Hatutaki serikali Tanganyika ni mzigo kwa Tanganyika.

    10. #27
      Kobello's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th February 2011
      Posts : 2,955
      Rep Power : 1661
      Likes Received
      1119
      Likes Given
      193

      Default Re: Muundo Bora wa Muungano: Wabara tudai "serikali moja, nchi moja, taifa moja"!

      Serikali moja, na ni sisi watanganyika ndiyo tunavyotaka. Kama wazanzibari hawataki serikali moja, basi waishie hukohuko. Sijui kwa nini hii mizee yetu inawabembeleza hawa wazanzibari, wana nini? Get'em out of our way, wanatujazia miinzi tu na misamaki yao.
      Nguruvi3 likes this.
      Keeping quiet is a war crime.

    11. #28
      Democracy999's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2012
      Posts : 629
      Rep Power : 477
      Likes Received
      111
      Likes Given
      30

      Default Re: Muundo Bora wa Muungano: Wabara tudai "serikali moja, nchi moja, taifa moja"!

      100% ok nchi 1 na Serikali 1

    12. #29
      timbilimu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2010
      Location : DSM
      Posts : 2,672
      Rep Power : 977
      Likes Received
      584
      Likes Given
      10

      Default

      Quote By Tume ya Katiba
      Hakuna suluhisho zaidi ya kuvunja muungano.
      muhimu ni ushirikiano utakao tuwezeshe kuishi kwa amani.

    13. #30
      Nguruvi3's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2010
      Location : Kidabashi-Dongobeshi
      Posts : 3,437
      Rep Power : 2887
      Likes Received
      4802
      Likes Given
      2863

      Default Re: Muundo Bora wa Muungano: Wabara tudai "serikali moja, nchi moja, taifa moja"!

      Hakuna serikali 3, hakuna mkataba, hakuna mahusiano.

      BLW, hakuna hata mmoja anayesema vunja muungano, wao wanasema ondoA mafuta katika masuala ya muungano.
      Hawasemi ondoa elimu ya juu, ondoa mishahara!

      Inajulikana sasa kuwa ZNZ wameJitoa SUMATRA lakini bili ya SUMATRA kule IMO(Intern maritime org) inalipwa na Tanganyika kama walivyo na ZESCO lakini bili ya umeme inalipwa na Mtanganyika

      Serikali 3 ni kuendelea kubeba zigo la misumari, sisi tunasema waende wao wamegomea serikali 3 why?

      Kwa vile hawawezi kusema Dodoma bungeni au ZNZ ndani ya BLW kwa Woga lakini wepesi wa kubeba viberiti sasa tuwasaidie.

      SERIKALI MOJA! AU LET ZNZ GO ASAP!
      Mzee Mwanakijiji likes this.

    14. #31
      mambomengi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th May 2009
      Posts : 451
      Rep Power : 601
      Likes Received
      97
      Likes Given
      13

      Default Re: Muundo Bora wa Muungano: Wabara tudai "serikali moja, nchi moja, taifa moja"!

      Nchi moja, serikali moja, taifa moja = Tanganyika ili liungane na Unguja na pemba kwenye serikali ya shirikisho la Afrika Mashariki na kati.

    15. #32
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,263
      Rep Power : 36770
      Likes Received
      9630
      Likes Given
      686

      Default Re: Muundo Bora wa Muungano: Wabara tudai "serikali moja, nchi moja, taifa moja"!

      Mimi sitaki Tanganyika iungane na Zanzibar. Hao watu wameshanichosha nami nimeshawachoka.

      Waende zao huko na kanchi kao na sisi tubaki na nchi yetu.

      Sitaki muungano wa aina yoyote ile na Zanzibar. Nimesema sitaki.
      Mzee Mwanakijiji likes this.
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    16. #33
      Nonda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th November 2010
      Location : Gongo La Mboto
      Posts : 5,829
      Rep Power : 1865
      Likes Received
      939
      Likes Given
      367

      Default Re: Muundo Bora wa Muungano: Wabara tudai "serikali moja, nchi moja, taifa moja"!

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Tusikubali kwenda serikali tatu. Kwa vile tumekatazwa kutaka kuvunja Muungano - japo waliotukataza hawana uwezo huo - na kwamba tunaweza kujadili "muundo" bora wa Muungano. Ninawasihi watu wa bara kudai "Serikali moja, taifa moja, na nchi moja". Haya mambo ya serikali mbili nchi mbili au serikali tatu nchi mbili hayaingii kichwani na ni jitihada za kujaribu kuibeba Zanzibar. Wakati umefika tudai uwepo wa serikali moja tu ya kitaifa kwenye nchi moja.

      Ninafahamu kabisa matokeo ya watu wa bara kutaka hili. Jambo pekee ambalo tusikubali kuuziwa (CCM na upiinzani wanataka hili) ni serikali tatu. Serikali tatu ni mzigo ambao hatuwezi kuubeba na wala hatupaswi kuubeba. Nawasihi wenzangu ...... Tuwe na serikali moja, taifa moja na nchi moja. Sasa kama hili lina maana Zanzibar iwe "serikali moja, taifa moja na nchi moja" na bara iwe "serikali moja, taifa moja na nchi moja" basi na iwe.

      Tuwasaidie Zanzibar watoke kwenye Muungano kama hawataki serikali moja kwani mbili hawataki na tatu tutajipa mzigo zaidi!

      Iambie tume ya Warioba - hatutaki serikali tatu!!
      Quote By JokaKuu
      Mwanakijiji,

      ..mimi nataka serikali moja, serikali ya Tanganyika.
      Quote By Crucifix
      Sisi sio wa bara; ni WATANGANYIKA!
      Quote By Opaque
      Yeah, hata Lukuvi alitamka hivyo bungeni. I prefer a single country, single govt
      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Hatutaki serikali Tanganyika ni mzigo kwa Tanganyika.
      Quote By Kobello
      Serikali moja, na ni sisi watanganyika ndiyo tunavyotaka.
      Mzee Mwanakijiji

      Unatushauri watanzania(wabara aka watanganyika) sote tujiunge na CCM?

      Sera ya CCM kutoka serikali mbili kuelekea moja imebadilika lini?
      Lini CCM walibadilisha hii kutoka mbili kuelekea moja? Umesema CCM wanataka serikali tatu?

      Hata hivyo wazo lako ni zuri tu, sasa uwashawishi CHADEMA na wanaCHADEMA waunge mkono wazo lako.
      CHADEMA wana sera ya serikali tatu.Halafu pia uwashawishi CUF na wanachama wake wabadili sera yao ya muungano, serikali tatu.

      Lissu ametonesha kidonda bungeni kwa kusema Tanganyika na serikali ya Tanganyika irudi.

      Na mwazilishi wa Muungano, Mwalimu alisema ikifufuliwa EAC basi ni vyema Tanzania iwe na serikali mbili, ya Tanganyika na ya Zanzibar. Bofya hapa lissu

      Muungano wa Tanganyika na Zanzibar(Tanzania) kwa miaka 48 umekosa kuvutia nchi nyengine kujiunga nasi,zimekuwepo kelele na mayowe ya wazanzibari kutaka waachiwe wapumue kwa miongo kadhaa sasa. Kweli mkuu unategemea kupata serikali moja, nchi moja na Taifa moja?

      Kwa maneno mengine, unasema kuwa tuimeze Zanzibar? Au ndio kampeni ya "Tuwasaidie Zanzibar watoke kwenye muungano"?

      Unasema,
      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Hatutaki serikali Tanganyika ni mzigo kwa Tanganyika.
      Tukishawasaidia Zanzibar kutoka katika Muungano, tutabaki na serikali ipi?

      Serikali ya Tanganyika huitaki, je unaitaka Tanganyika? Unataka Tanganyika isiyo na serikali?

      Ni imani yangu kuwa wengi tutamuunga mkono Lissu katika kupeleka hoja ya kufufuliwa kwa Tanganyika na serikali yake, ili tukutane na Zanzibar huko EAC na kwenye shirikisho la EAC(muungano wa nchi nyingi).Huu wetu ambao umeshindwa kutatua kero za muungano na kuvutia wanachama wepya uachwe ufe bila kuleta vifo vya ziada na vilema wa ziada, na mihanga mengine katika kuulinda/ kulazimisha uwepo.
      Mzee Mwanakijiji likes this.

    17. #34
      Kamundu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2006
      Posts : 1,372
      Rep Power : 914
      Likes Received
      296
      Likes Given
      9

      Default Re: Muundo Bora wa Muungano: Wabara tudai "serikali moja, nchi moja, taifa moja"!

      Hakuna haja ya kubadilisha jina la nchi ni kuongeza gharama na usumbufu wa bure. Kama Zanzibar wanataka kujitoa wajitoe lakini hakuna serikali tatu ni upuuzi
      Mzee Mwanakijiji likes this.

    18. #35
      WaMzizima's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 25th June 2009
      Posts : 154
      Rep Power : 535
      Likes Received
      40
      Likes Given
      29

      Default Re: Muundo Bora wa Muungano: Wabara tudai "serikali moja, nchi moja, taifa moja"!

      Ni wazi bora serikali moja kuliko hizi mbili za sasa, na zaidi hakuna mtu makini anayeona practicality ya serikali tatu. Tatizo la serikali moja ni kuwa waZnz wanaogopa kumezwa moja kwa moja na Bara. Na hofu yao hiyo mi naikubali kihistoria ni kweli nchi yao ilikuwepo na ni ndogo kulinganisha na Bara, hivi sasa kuna watu wengi zaidi wilaya ya Kinondoni kuliko Znz yote! Sasa suala la muungano lipo kwa waznz wenyewe kuamua.

      Pamoja na kelele za uamsho za kutaka Jamhuri ya Znz irudi, ukweli ni kuwa bado kuna watu wengi Znz wanataka muungano, na zaidi wapemba hawataki uvunjike kwa kuwa wanaogopa waunguja watawameza na wao (wapemba) wamewekeza na kushahabiana sana na watu wa Bara kuliko waunguja.

      Tusubiri tuone walete hio kura ya maoni utaona watu wa visiwani watakataa kuuvunja muungano ila mabadiliko ya hapa na pale yatafanyika kwa muundo huu huu wa sasa, yaani serikali mbili.

      Mwisho wa yote ni matokeo mawili tu kwa maoni yangu ama muungano utavunjika au utabaki kwa mfumo wa serikali mbili kama sasa yumkini na mabadiliko ya hapa na pale. Serikali moja au serikali tatu hizo zote mbili haziwezekani maana Bara (Tanganyika) ni kubwa mno kulinganisha na Znz.

      Mi binafsi napenda muungano uwepo na ushamiri maana Watgnk na waznz ni ndugu wa damu na historia yetu ni moja, na siku zote muungano ni nguvu na utengano ni udhaifu, uchumi wetu ni mdogo sana kuanza kuvurugana bila mpango. Ni vyema tuangalia mbele kwa kushirikiana zaidi katika EAC kuimarisha uchumi wa eneo letu kuliko hii ya kuanza kuangalia jinsi ya kutengana.

    19. #36
      Mkirua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 3,421
      Rep Power : 1036
      Likes Received
      1173
      Likes Given
      599

      Default Re: Muundo Bora wa Muungano: Wabara tudai "serikali moja, nchi moja, taifa moja"!

      Quote By mlanguzi
      sioni mantikia ya hoja hii. Wabara karibu watapigana vita vya wenyewe kwa wenyewe. Washaanza chadema vs ccm.zanzibar hali shwari tusitake kuwaingiza zanzibar matatizo
      Nineshangaa kama hata wewe ungaliweza kuona mantiki ya hoja hii...Kuona kunahitaji macho.....
      The world suffers a lot. Not because of the violence of bad people, but because of the silence of good people!

    20. #37
      Mtu wa Pwani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th December 2006
      Posts : 4,250
      Rep Power : 1491
      Likes Received
      159
      Likes Given
      147

      Default Re: Muundo Bora wa Muungano: Wabara tudai "serikali moja, nchi moja, taifa moja"!

      MKJJ nnapenda nikupe angalizo juu ya suali lako la kuwa na serikali moja ya Muungano

      wazanzibari wa leo wameamka sana tena sana, wao wanachodai muungano wa haki na wanataka ifahamike wazi kuwa zanzibar ni nchi sawa na nchi nyengine. kwa hio wanapoungana nchi mbili zinaungana zikiwa nchi mbili zenye mamlaka sawa.

      kwa maana hio tukiunda serikali moja lazima tusimame kwenye usawa huo, idadi ya mawaziri iwe sawa, watendaji wa serikali hio pia tuwe sawa. kitu ambacho naaamini watanganyika watakimbia na hawatakubali. na kwa vile miaka 50 makao makuu ya serikali yalikuwa tanganyika sasa makao makuu ya serikali yawe zanzibar.

      kwa kweli wazanzibari kwa njia moja au nyengine safari hii wamejipanga kuhakikisha haki yao haipotei. na nnakuhakikishia wataouvunja muungano safari hii ni watanganyika na si wazanzibari na utanambia
      Mzee Mwanakijiji likes this.
      Our job is not to make up anybody's mind, but to open minds and to make the agony of the decision-making so intense you can escape only by thinking. ~Author Unknown

    21. #38
      WA-UKENYENGE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2011
      Location : Inside a Smart Grid
      Posts : 2,421
      Rep Power : 5039
      Likes Received
      785
      Likes Given
      1800

      Default Re: Muundo Bora wa Muungano: Wabara tudai "serikali moja, nchi moja, taifa moja"!

      Mawazo yangu:
      SURA YA NNE YA KATIBA YA MUUNGANO WA TANZANIA
      Badala ya sehemu pekee ya serikali ya mapinduzi ya Zanzibar, ziwepo sehemu mbili yaani serikali ya Zanzibar na serikali ya Tanganyika zitakazokuwa chini ya waziri mkuu ambaye ndiye atakuwa mtendaji mkuu wa shughuli zote za serikali yaani waziri mkuu zanzibar na waziri mkuu tanganyika. Nafasi ya rais iwe katika Jamhuri ya muungano wa Tanzania na makamu wake mmoja.
      Kwa maana hiyo basi, mawaziri wakuu wote (ambao lazima wawe wa kuchaguliwa) watakuwa "responsible" kwa pande zao tuna mabaraza yao ya mawaziri yataundwa kwa kushauriana na raisi pamoja na makamu wake wa jamhuri ya muungano wa tanzania.
      "The usual conclusion is that you can't put a price on a human life. But you can if you must".

    22. #39
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,518
      Rep Power : 46714
      Likes Received
      16434
      Likes Given
      8469

      Default Re: Muundo Bora wa Muungano: Wabara tudai "serikali moja, nchi moja, taifa moja"!

      Quote By Mtu wa Pwani
      MKJJ nnapenda nikupe angalizo juu ya suali lako la kuwa na serikali moja ya Muungano

      wazanzibari wa leo wameamka sana tena sana, wao wanachodai muungano wa haki na wanataka ifahamike wazi kuwa zanzibar ni nchi sawa na nchi nyengine. kwa hio wanapoungana nchi mbili zinaungana zikiwa nchi mbili zenye mamlaka sawa.

      kwa maana hio tukiunda serikali moja lazima tusimame kwenye usawa huo, idadi ya mawaziri iwe sawa, watendaji wa serikali hio pia tuwe sawa. kitu ambacho naaamini watanganyika watakimbia na hawatakubali. na kwa vile miaka 50 makao makuu ya serikali yalikuwa tanganyika sasa makao makuu ya serikali yawe zanzibar.

      kwa kweli wazanzibari kwa njia moja au nyengine safari hii wamejipanga kuhakikisha haki yao haipotei. na nnakuhakikishia wataouvunja muungano safari hii ni watanganyika na si wazanzibari na utanambia

      sawa' ma Wazanzibari hao wanaotaka usawa huo wa fifty fifty wako tayari kuchangia kwenye hiyo serikali nyingine fifty fifty katika kuiendesha. Wakiwa tayari hilo linawezekana.
      JokaKuu likes this.
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    23. #40
      Mwiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Posts : 4,594
      Rep Power : 2085
      Likes Received
      223
      Likes Given
      19

      Default Re: Muundo Bora wa Muungano: Wabara tudai "serikali moja, nchi moja, taifa moja"!

      Hakuna anaetaka Muungano ufe ndani ya mikono yake ,ni lazima mulielewe hilo ,kwani ni kuandikwa kwenye historia milele.Ni bora uandikwe kwa kuirudisha Tanganyika na sivinginevyo baadae muungano utakufa wenyewe kama uyoga mwitu.
      JokaKuu likes this.
      Light travels faster than sound. This is why some people appear bright until you hear them speak.

    Page 2 of 10 FirstFirst 1234 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...