Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mwanasheria atekwa, apigwa, aachwa porini

    Report Post
    Page 4 of 6 FirstFirst ... 23456 LastLast
    Results 61 to 80 of 115
    1. #1
      Babb-Babbjrtz's Avatar
      Member Array
      Join Date : 13th February 2012
      Posts : 48
      Rep Power : 376
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default Mwanasheria atekwa, apigwa, aachwa porini

      SAKATA la ubomoaji majumba ya kifahari yaliyojengwa katika fukwe za Dar es Salaam limechukua sura mpya baada ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Mazingira, Dk Terezya Huvisa kufichua siri ya uhalifu.

      Waziri amesema mbali na yeye kutishwa kuuawa, pia Mwanasheria wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), Heche Manchare ametekwa na watu wasiojulikana wakiwa wameficha nyuso zao kwa vitambaa na kumpiga kisha kumtelekeza eneo ambalo hakulitaja.

    2. Miaka 50

    3. #61
      chitambikwa's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Location : KAISHO
      Posts : 3,166
      Rep Power : 1960
      Likes Received
      573
      Likes Given
      426

      Default Re: Mwanasheria atekwa, apigwa, aachwa porini

      Pole sana
      IT IS TO THOSE WITHOUT TEETH GOD GIVES MEAT

    4. #62
      Ston Merchant's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st August 2011
      Location : Samunge
      Posts : 245
      Rep Power : 444
      Likes Received
      40
      Likes Given
      29

      Default Re: Mwanasheria atekwa, apigwa, aachwa porini

      Mwenye taarifa kamili plz post in detail........!
      " Umeme hauna kiuno lakini Unakatika. "

    5. #63
      Ongeauchoke's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 121
      Rep Power : 457
      Likes Received
      18
      Likes Given
      2

      Default Re: Mwanasheria atekwa, apigwa, aachwa porini

      Hapa kuna kuonesha kuwa nchi hii ina watu wakuteka na kutesa watu.Waliofanya kwa Dr. Ulimboka ndio haohao waliotenda kwa mwanasheria wa NEMC ili kuonesha kuwa kuna kitu cha namna hiyo.Hapa ni kutaka kuficha kweli au watu waweze kuchanganyikiwa na kufuta yale yanayosemwa kuhusiana na watuhumiwa.

    6. #64
      Joyum's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 30th October 2007
      Posts : 152
      Rep Power : 621
      Likes Received
      11
      Likes Given
      6

      Default Re: Mwanasheria atekwa, apigwa, aachwa porini

      Quote By Somoche
      Wito wangu kwa Serikali, ichukue hatua katika masuala ya msingi ya Kitaifa kama haya..hii hali haikubaliki hata kidogo, kundi la watu lina mtisha mpaka waziri sasa tunasemaje kuhusu serikali isiyoweza kuzuia upuuzi kama huu
      Kama waliweza kwa Mwakyembe, mwandosya Mwaulimboka, .....watashindwa kwa mwaterezya!!! Haya tuna amani au utulivu!

    7. #65
      August's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th June 2007
      Posts : 2,744
      Rep Power : 1162
      Likes Received
      251
      Likes Given
      2511

      Default Re: Mwanasheria atekwa, apigwa, aachwa porini

      hii inaweza kuwa ya kupika ili ku-water down suala la Dr , jamaa mpaka wanaweza kumpa pesa ku-stage tukio kama hili. usicheze na propaganda machinery.

    8. FemaTV & Radio

    9. #66
      christine ibrahim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 2,702
      Rep Power : 905
      Likes Received
      432
      Likes Given
      440

      Default

      Quote By cacico
      mi nilishasema kwa jk siku yake ikifika na mi nipo hai, nitakuwa callabash nacheza tukunyema! sitalala wallah!
      Ha ha ha eti utakuwa unacheza 'tukunyema'kweli mkuu umemchoka jk.....

    10. #67
      OBWERE's Avatar
      Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 21
      Rep Power : 427
      Likes Received
      1
      Likes Given
      3

      Default Re: Mwanasheria atekwa, apigwa, aachwa porini

      Quote By Babb-Babbjrtz
      SAKATA la ubomoaji majumba ya kifahari yaliyojengwa katika fukwe za Dar es Salaam limechukua sura mpya baada ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Mazingira, Dk Terezya Huvisa kufichua siri ya uhalifu.

      Waziri amesema mbali na yeye kutishwa kuuawa, pia Mwanasheria wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), Heche Manchare ametekwa na watu wasiojulikana wakiwa wameficha nyuso zao kwa vitambaa na kumpiga kisha kumtelekeza eneo ambalo hakulitaja.
      acha kupotosha uma mkuu,soma vizuri gazeti la mwananchi ukuras awa tatu,hajatekwa ila alikutana na watu wamefunika nyuso zao wakampiga then wakamwamibia hizo nyumba zikibomolewa hataishi.plse rekebisha heading yako

    11. #68
      kibugumo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th June 2011
      Location : arusha
      Posts : 389
      Rep Power : 870
      Likes Received
      43
      Likes Given
      5

      Default Re: Mwanasheria atekwa, apigwa, aachwa porini

      Jeshi la polisi na usalama wa taifa wameenda likizo,tusubiri wakirudi tuone Kova atarudi na picha gani,ya mkenya au msomali.

    12. #69
      Bob G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : UK Manyasi
      Posts : 1,657
      Rep Power : 716
      Likes Received
      291
      Likes Given
      36

      Default Re: Mwanasheria atekwa, apigwa, aachwa porini

      Hi hali ikiachwa iendelee hivi hivi nina hakika hali itakuwa mbaya

    13. #70
      Zogwale's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 10th July 2008
      Posts : 5,979
      Rep Power : 2634
      Likes Received
      1200
      Likes Given
      501

      Default Re: Mwanasheria atekwa, apigwa, aachwa porini

      Quote By Nyakageni
      Sitegemei kuona nilichokiona kwa Nyerere siku rais Mkapa au jK akifa. Labda Mwinyi
      100%!!!! bora kwa Chemkapa!!!
      "Kama unaingia Ikulu kwa njia ya rushwa, je ni biashara gani iko huko ya kuwezesha kulipa fadhila ya rushwa hiyo???"

    14. #71
      Mafuluto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th August 2009
      Posts : 796
      Rep Power : 2973
      Likes Received
      165
      Likes Given
      306

      Default Re: Mwanasheria atekwa, apigwa, aachwa porini

      Kamba tu hizi, hakuna lolote ukiuliza NEMC jamaa wanacheka sana (kapewa imprest aende akatulie mahali) then wanakuja kupika hii version maana Uli anaendelea vizuri na njia za kummaliza zimeshindikana...!! Ingekuwa kweli policcm wangeita press conference wakiwa Addis !!

      Quote By Bubona
      Nahisi kuna agenda ya siri vile! Anataka tuamini kwamba Mwanasheria amepigwa na watu wenye hasira ya kupoteza nyumba zao hivyo na Dr. Ulimboka alitekwa na watu wenye hasira ya kupoteza ndugu zao. Nahisi haya ndo mazingira yanayojengwa!!!

    15. #72
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,159
      Rep Power : 24268
      Likes Received
      4671
      Likes Given
      2295

      Default Re: Mwanasheria atekwa, apigwa, aachwa porini

      Mtekaji lazima atakuwa Joshua Mulindi wa Ikulu

    16. #73
      Zogwale's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 10th July 2008
      Posts : 5,979
      Rep Power : 2634
      Likes Received
      1200
      Likes Given
      501

      Default Re: Mwanasheria atekwa, apigwa, aachwa porini

      Quote By kibugumo
      Jeshi la polisi na usalama wa taifa wameenda likizo,tusubiri wakirudi tuone Kova atarudi na picha gani,ya mkenya au msomali.
      Wanakula bata!!! kama watoto wa vigogo ambao hata hawajaandaliwa kuwa wanausalama wamepelekwa huko ili hali wamesoma Marekani na Ulaya hata Tanzania hawaifahamu ni kwa nini kusiwe DHAIFU. Wamezoea maisha ya raha hawataki kazi ngumu za kupata taarifa!!!! Hivi utawaambia waende vijiweni kupata habari nyeti? Ninaishauri serikali irudi upya katika kutafuta watumishi wa UWT kwa kuanzia kule kwenye mfumo wa shule ze msingi na sekondari tena zile shule za serikali maana kule ndiko kuna wenye uchungu na hii nchi. Hawa wa kwetu wa Academy kazi kwelikweli unless umepata one from a very dedicated family. Take my words my beloved country, I love you and I do not want to looooooose peace and love we took sacrifices to maintain!! So sad!!!!
      "Kama unaingia Ikulu kwa njia ya rushwa, je ni biashara gani iko huko ya kuwezesha kulipa fadhila ya rushwa hiyo???"

    17. #74
      Kichuguu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th October 2006
      Location : Popote Porini
      Posts : 6,836
      Rep Power : 3271
      Likes Received
      1314
      Likes Given
      916

      Default Re: Mwanasheria atekwa, apigwa, aachwa porini

      Hi ni sababu ya kuwa na serikali dhaifu; kila mtu sasa atakuwa na kaserikali ndani ya jamhuri hii.
      Kichuguuu: Nyumba inayohifadhi mchwa na nguchiro kwa pamoja bila mkwaruzo

    18. #75
      Zogwale's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 10th July 2008
      Posts : 5,979
      Rep Power : 2634
      Likes Received
      1200
      Likes Given
      501

      Default Re: Mwanasheria atekwa, apigwa, aachwa porini

      Quote By Mungi
      Mtekaji lazima atakuwa Joshua Mulindi wa Ikulu
      Kajenga huko nini? Maana yale majumba niliona ni ya over 500!!! Nasikia kuna mwenye la over 3 billion!!! Tanzania hii mhhhhhhhhhh.
      "Kama unaingia Ikulu kwa njia ya rushwa, je ni biashara gani iko huko ya kuwezesha kulipa fadhila ya rushwa hiyo???"

    19. #76
      Hofstede's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2007
      Posts : 3,604
      Rep Power : 21341
      Likes Received
      981
      Likes Given
      988

      Default Re: Mwanasheria atekwa, apigwa, aachwa porini

      Quote By STIDE
      Riwaya mpya imeanza!! Polisi "muhusika mkuu" sijui tukimbilie wapi!!
      Hakuna Riwaya mpya wanajaribu kupoteza attention ya issue ya Dr Ulimboka, wameshikwa pabaya.

    20. #77
      Makene's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,185
      Rep Power : 671
      Likes Received
      206
      Likes Given
      155

      Default Re: Mwanasheria atekwa, apigwa, aachwa porini

      je walioagiza bomoabomoa waliungwa mkono na CHADEMA?
      Au kubomoa kulikuwa sio halali
      Je huyo mwanasheria labda alihusika kuunga mkono mgomo wa madaktari?
      Hii staili ya kulimboka inatisha.
      Tulete wajapani tufunzwe kungfu.

    21. #78
      agatony8l's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th October 2010
      Posts : 386
      Rep Power : 512
      Likes Received
      89
      Likes Given
      46

      Default Re: Mwanasheria atekwa, apigwa, aachwa porini

      Quote By Babb-Babbjrtz
      SAKATA la ubomoaji majumba ya kifahari yaliyojengwa katika fukwe za Dar es Salaam limechukua sura mpya baada ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Mazingira, Dk Terezya Huvisa kufichua siri ya uhalifu.

      Waziri amesema mbali na yeye kutishwa kuuawa, pia Mwanasheria wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), Heche Manchare ametekwa na watu wasiojulikana wakiwa wameficha nyuso zao kwa vitambaa na kumpiga kisha kumtelekeza eneo ambalo hakulitaja.
      Amini usiamini hii ni movie ya Dr. Ulimboka yaendelea kutengenezwa watu wapo bize studio wakiongozwa na Kova

    22. #79
      popobawa2012's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th July 2012
      Posts : 86
      Rep Power : 363
      Likes Received
      4
      Likes Given
      16

      Default Re: Mwanasheria atekwa, apigwa, aachwa porini

      Quote By Bobuk
      Kubomowa sawa kama wamejenge sehemu ambazo haziruhusiwi kisheria.

      But wale waliowapatia HATI za UJENZI wamechukuliwa hatua gani?

      Na kama kweli wana hati HALALI ZA UJENZI from the same Govt basi inabidi walipwe fidia kabla ya kubomolewa.

      Serikali isicheze double stds lazima iingie gharama kwa UZEMBE uliofanya na watendaji wake.
      u r very right mkuu! THANKS!

    23. #80
      Jasusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2006
      Posts : 10,618
      Rep Power : 2891
      Likes Received
      3837
      Likes Given
      12222

      Default Re: Mwanasheria atekwa, apigwa, aachwa porini

      Quote By cacico
      mi nilishasema kwa jk siku yake ikifika na mi nipo hai, nitakuwa callabash nacheza tukunyema! sitalala wallah!
      Cacico usinisahau. Sijui Callabash ni wapi. Nipigie na mimi nitaungana na wewe huko.

    Page 4 of 6 FirstFirst ... 23456 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...