Re: Kumbe CDM hamna Wasomi

By
TOWNSEND
inasaidia nini kilo ya sukari sh 3000 kwa wasomi wako wezi wa ccm
Hivi matumaini yako CDM itaweza kushusha bei ya vyakula ? iwe sukari 1kg sh 500/ ,1kgsembe 250/,1kgwali 600/ ,watu wanaelekea kwenye soko huria .
Hapo ndipo mnapopotezwa na ahadi hewa ,kwani hamuelewi mpo katika mazingira ya aina gani ,nahitajia hio safu ambayo itaweza kumuwekea Mtz maisha nafuu ,watu wanasema maisha ya leo afadhali ya jana. sasa hayo ya kesho ya CDM sijui itakuwaje kama 1kg sukari 6000/ au zaidi.
Light travels faster than sound. This is why some people appear bright until you hear them speak.
Follow Us Here