Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kumbe CDM hamna Wasomi

    Report Post
    Page 3 of 9 FirstFirst 12345 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 164
    1. #1
      Mwiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Posts : 4,594
      Rep Power : 2089
      Likes Received
      223
      Likes Given
      19

      Default Kumbe CDM hamna Wasomi

      Nawashangaa sana CDM ,wanataka kuongoza Nchi hii ,ukiangalia pale ndani utaona hamna kitu ,hivi wanafikiria wanataka kuongoza kijiji ? Ndio maana unawasikia wataunda serikali ndogo iliyo na mawaziri wachache sana,nikakumbuka pale walipoweka mgombea mwenza jamaa aliehitimi darasa la saba ,na kwa Zanzibar hakuna darasa saba ,inamaana alikimbia shule. eti watategemea washauri ,unategemea washauri wakati nao wanahitaji elimu ya juu.

      Hebu tupangieni hapa safu yenu ,tuiite proposed safu ya uongozi ,ukianza na Raisi labda tuseme wizara kumi mpaka kumina tano ,tuone ! na kuwajadili au kuijadili hio safu !
      Light travels faster than sound. This is why some people appear bright until you hear them speak.


    2. #41
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,358
      Rep Power : 1848
      Likes Received
      1412
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Mwiba View Post
      Aloo mimi nimesoma kiasi tu,nikianzia kisosora tanga(RC) nikapitia Jumuia pale mkabala na standya mabasi nikaelekea duga shule ya tapa palikuwa na mbuyu barabarani(umeanguka) kutoka hapo nikasoma Murutunguru kule Nansio Ukerewe ,nikamalizia chuo cha ufundi civil eng somewhere undislosed location.Sina taarifa za ukoo nimezaliwa peke yangu wazazi wangu wawili walifariki katika ajali ya basi sekenke.
      unamwambia nani? Utajiju

    3. #42
      Adharusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd January 2012
      Location : Mtwara
      Posts : 652
      Rep Power : 504
      Likes Received
      82
      Likes Given
      298

      Default Re: Kumbe CDM hamna Wasomi

      Umesahu Rais ananafasi kumi za kuteua wabunge,anaweza kuteua

    4. #43
      TOWNSEND's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th May 2011
      Location : kwa ngulelo
      Posts : 1,160
      Rep Power : 643
      Likes Received
      201
      Likes Given
      31

      Default Re: Kumbe CDM hamna Wasomi

      inasaidia nini kilo ya sukari sh 3000 kwa wasomi wako wezi wa ccm
      For tommorow belonging to those people who prepared fo it

    5. #44
      chama's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 6th August 2010
      Posts : 5,251
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1265
      Likes Given
      954

      Default Re: Kumbe CDM hamna Wasomi

      Quote By Jasusi View Post
      Kama unaona kichefuchefu nakushauri ukatapike katika choo cha magamba.
      Jasusi;
      Choo chetu kimeanza kuwa kisafi; mshauri akatapikie TLP, NCCR au CUF

      Chama
      Gongo la mboto DSM
      Jasusi likes this.

    6. #45
      Mwiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Posts : 4,594
      Rep Power : 2089
      Likes Received
      223
      Likes Given
      19

      Default Re: Kumbe CDM hamna Wasomi

      Quote By TOWNSEND View Post
      inasaidia nini kilo ya sukari sh 3000 kwa wasomi wako wezi wa ccm
      Hivi matumaini yako CDM itaweza kushusha bei ya vyakula ? iwe sukari 1kg sh 500/ ,1kgsembe 250/,1kgwali 600/ ,watu wanaelekea kwenye soko huria .

      Hapo ndipo mnapopotezwa na ahadi hewa ,kwani hamuelewi mpo katika mazingira ya aina gani ,nahitajia hio safu ambayo itaweza kumuwekea Mtz maisha nafuu ,watu wanasema maisha ya leo afadhali ya jana. sasa hayo ya kesho ya CDM sijui itakuwaje kama 1kg sukari 6000/ au zaidi.
      Light travels faster than sound. This is why some people appear bright until you hear them speak.


    7. #46
      Ozzie's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 9th October 2007
      Location : Jo'burg
      Posts : 1,026
      Rep Power : 803
      Likes Received
      274
      Likes Given
      75

      Default Re: Kumbe CDM hamna Wasomi

      Quote By Mwiba View Post
      Nawashangaa sana CDM ,wanataka kuongoza Nchi hii ,ukiangalia pale ndani utaona hamna kitu ,hivi wanafikiria wanataka kuongoza kijiji ? Ndio maana unawasikia wataunda serikali ndogo iliyo na mawaziri wachache sana,nikakumbuka pale walipoweka mgombea mwenza jamaa aliehitimi darasa la saba ,na kwa Zanzibar hakuna darasa saba ,inamaana alikimbia shule. eti watategemea washauri ,unategemea washauri wakati nao wanahitaji elimu ya juu.

      Hebu tupangieni hapa safu yenu ,tuiite proposed safu ya uongozi ,ukianza na Raisi labda tuseme wizara kumi mpaka kumina tano ,tuone ! na kuwajadili au kuijadili hio safu !
      Unataka kusema hatuendelei kwa sababu CCM haina wasomi?
      "It's not the votes that count. It's who counts the votes" - Josef Stalin

    8. #47
      Mwiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Posts : 4,594
      Rep Power : 2089
      Likes Received
      223
      Likes Given
      19

      Default Re: Kumbe CDM hamna Wasomi

      Quote By Ozzie View Post
      Unataka kusema hatuendelei kwa sababu CCM haina wasomi?
      hakuna uongozi
      Light travels faster than sound. This is why some people appear bright until you hear them speak.

    9. #48
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,388
      Rep Power : 7781
      Likes Received
      1560
      Likes Given
      1826

      Default Re: Kumbe CDM hamna Wasomi

      Kweli wewe ni mwiba kwa chadema.

    10. Dik is offline
      Dik
      #49
      Dik's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Posts : 501
      Rep Power : 484
      Likes Received
      208
      Likes Given
      0

      Default Chdm haina wasomi!Wasomi hawa wa ccm wameisaidia vp tz?

      Kuna topic inajadiliwa humu ya kuwa chdema haina wasomi wa kuunda serikali ikiwa itapewa ridhaa ya kuongoza nchi.swali langu rahisi ni kwamba hawa wanaojiita wasomi wa ccm wameisaidia vp nchi hii?je kuna haja ya kuwa na wasomi ktk siasa?
      1.dr Kikwete 2.E.Lowasa
      3.A.chenge 4.M.Nchemba 5.D.Balali
      6.B.Mramba
      7.D.Yona
      8.O.Nundu
      9.E.Maige et al

    11. WFM is offline
      WFM
      #50
      WFM's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd January 2011
      Posts : 56
      Rep Power : 440
      Likes Received
      14
      Likes Given
      30

      Default Re: Kumbe CDM hamna Wasomi

      [QUOTE=chama;4253733]Jasusi;
      Choo chetu kimeanza kuwa kisafi; mshauri akatapikie TLP, NCCR au CUF

      Nani amekisafisha choo chenu..? Na huko TLP, NCCR & CUF nani amepachafua.

    12. WFM is offline
      WFM
      #51
      WFM's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd January 2011
      Posts : 56
      Rep Power : 440
      Likes Received
      14
      Likes Given
      30

      Default Re: Kumbe CDM hamna Wasomi

      Quote By Mwiba View Post
      hakuna uongozi
      CCM kuna wasomi lkn hakuna uongozi..? Unataka kusema hakuna uhusiano kati ya usomi na uongozi?

    13. #52
      hans79's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2011
      Posts : 1,667
      Rep Power : 804
      Likes Received
      163
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Mwiba View Post
      Nawashangaa sana CDM ,wanataka kuongoza Nchi hii ,ukiangalia pale ndani utaona hamna kitu ,hivi wanafikiria wanataka kuongoza kijiji ? Ndio maana unawasikia wataunda serikali ndogo iliyo na mawaziri wachache sana,nikakumbuka pale walipoweka mgombea mwenza jamaa aliehitimi darasa la saba ,na kwa Zanzibar hakuna darasa saba ,inamaana alikimbia shule. eti watategemea washauri ,unategemea washauri wakati nao wanahitaji elimu ya juu.

      Hebu tupangieni hapa safu yenu ,tuiite proposed safu ya uongozi ,ukianza na Raisi labda tuseme wizara kumi mpaka kumina tano ,tuone ! na kuwajadili au kuijadili hio safu !
      Nyie mlokuwa na wasomi mmefanya nini? Radar-chenge,richmund-jk, uda-ridhiwani jk ,ticts-jk + karamage,tanapa-jk na washirika wake (twiga kwa suti) nk , je ni upi hana elimu?hata walodai uhuru walikuwa na kiwango gani cha elimu ukimwondoa Julius?jkama hoja ni elimu,mikataba yote mibovu ni upi aliyesaini?akili za nyegere mbaya sana hasa kwenye wivu ,kwani hata jani likimgusa mke wake linaliwa kisa kugusa matamanio yake. Acheni nyimbo zenu za kitoto , hakuna wa kuizuia CHADEMA mnajikondesha bure kwani moto wake hauzimiki..

    14. #53
      hans79's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2011
      Posts : 1,667
      Rep Power : 804
      Likes Received
      163
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Remmy View Post
      Kweli wewe ni mwiba kwa chadema.
      Acha ushabiki soma alichoandika kabla yako huyo mwiba-fisadi.Huku elimu huku haina viongozi,lipi ni lipi?

    15. #54
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,388
      Rep Power : 7781
      Likes Received
      1560
      Likes Given
      1826

      Default Re: Kumbe CDM hamna Wasomi

      Quote By hans79 View Post
      Acha ushabiki soma alichoandika kabla yako huyo mwiba-fisadi.Huku elimu huku haina viongozi,lipi ni lipi?
      Utajiju.
      Hivi elimu ni kila kitu eee?
      Elimu yenyewe ya bongo ya kuklemisha....
      Khaaaaa.......
      Niamini sijaona wasomi wetu wamefanya nini jema kwa nchi yetu. Hatuna mfano kuwa huyu ndie msomi wetu katufanyia hiki.

    16. #55
      MTENGETI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2012
      Posts : 540
      Rep Power : 528
      Likes Received
      199
      Likes Given
      40

      Default Re: Chdm haina wasomi!Wasomi hawa wa ccm wameisaidia vp tz?

      Quote By Dik View Post
      Kuna topic inajadiliwa humu ya kuwa chdema haina wasomi wa kuunda serikali ikiwa itapewa ridhaa ya kuongoza nchi.swali langu rahisi ni kwamba hawa wanaojiita wasomi wa ccm wameisaidia vp nchi hii?je kuna haja ya kuwa na wasomi ktk siasa?
      1.dr Kikwete 2.E.Lowasa
      3.A.chenge 4.M.Nchemba 5.D.Balali
      6.B.Mramba
      7.D.Yona
      8.O.Nundu
      9.E.Maige et al
      huyu (kwenye RED) si msomi ni Muuaji, Mzinzi na ni type ya watu watakaoipeleka Tanzania kwenye machafuko ikifikapo mnamo 2012. Wekeni maneno yangu watu wa type ya Mwinchemba ni wengi sana kwenye hii nchi.

      Pia ongeza msomi mwingine kutoka Chama cha Mabwepande Eng. Stela Manyanya - MB then Mkuu wa Mkoa Rukwa
      CCM. - CHAMA CHA MACHUMA ULETE

    17. #56
      manucho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th April 2012
      Posts : 562
      Rep Power : 473
      Likes Received
      79
      Likes Given
      0

      Default Re: Kumbe CDM hamna Wasomi

      Usomi unaosema siuelewi ni upi. Kusomea Ubunge, uwaziri, ukuu wa mkoa/wilaya au Urais. Au ni usomi ktk fani fulani ya udaktari, uhasibu, injinia, mawasiliano au Uganga wa kienyeji? Uongozi unataka elimu ipi tuwekee vizuri boss

    18. #57
      JamboJema's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 14th June 2011
      Location : Mwanza
      Posts : 784
      Rep Power : 562
      Likes Received
      86
      Likes Given
      217

      Default Re: Kumbe CDM hamna Wasomi

      Quote By Mwiba View Post
      Nawashangaa sana CDM ,wanataka kuongoza Nchi hii ,ukiangalia pale ndani utaona hamna kitu ,hivi wanafikiria wanataka kuongoza kijiji ? Ndio maana unawasikia wataunda serikali ndogo iliyo na mawaziri wachache sana,nikakumbuka pale walipoweka mgombea mwenza jamaa aliehitimi darasa la saba ,na kwa Zanzibar hakuna darasa saba ,inamaana alikimbia shule. eti watategemea washauri ,unategemea washauri wakati nao wanahitaji elimu ya juu.

      Hebu tupangieni hapa safu yenu ,tuiite proposed safu ya uongozi ,ukianza na Raisi labda tuseme wizara kumi mpaka kumina tano ,tuone ! na kuwajadili au kuijadili hio safu !
      Naamini wakichukua nchi ndo utajua walivyo na wasomi wengi ambao kwa sasa wanaoperati chini ya kapeti. Wapeni nchi muone. Yangu macho.
      Uchakavu wa Mahakama si nafuu ya hukumu!

    19. #58
      MTENGETI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2012
      Posts : 540
      Rep Power : 528
      Likes Received
      199
      Likes Given
      40

      Default Re: Chdm haina wasomi!Wasomi hawa wa ccm wameisaidia vp tz?

      Quote By Dik View Post
      Kuna topic inajadiliwa humu ya kuwa chdema haina wasomi wa kuunda serikali ikiwa itapewa ridhaa ya kuongoza nchi.swali langu rahisi ni kwamba hawa wanaojiita wasomi wa ccm wameisaidia vp nchi hii?je kuna haja ya kuwa na wasomi ktk siasa?
      1.dr Kikwete 2.E.Lowasa
      3.A.chenge 4.M.Nchemba 5.D.Balali
      6.B.Mramba
      7.D.Yona
      8.O.Nundu
      9.E.Maige et al
      huyu (kwenye RED) si msomi ni Muuaji, Mzinzi na ni type ya watu watakaoipeleka Tanzania kwenye machafuko ikifikapo mnamo 2015. Wekeni maneno yangu watu wa type ya Mwinchemba ni wengi sana kwenye hii nchi.

      Pia ongeza msomi mwingine kutoka Chama cha Mabwepande Eng. Stela Manyanya - MB then Mkuu wa Mkoa Rukwa
      CCM. - CHAMA CHA MACHUMA ULETE

    20. #59
      ralphjn's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Posts : 126
      Rep Power : 380
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default Re: Kumbe CDM hamna Wasomi

      Quote By Mwiba View Post
      Nawashangaa sana CDM ,wanataka kuongoza Nchi hii ,ukiangalia pale ndani utaona hamna kitu ,hivi wanafikiria wanataka kuongoza kijiji ? Ndio maana unawasikia wataunda serikali ndogo iliyo na mawaziri wachache sana,nikakumbuka pale walipoweka mgombea mwenza jamaa aliehitimi darasa la saba ,na kwa Zanzibar hakuna darasa saba ,inamaana alikimbia shule. eti watategemea washauri ,unategemea washauri wakati nao wanahitaji elimu ya juu.

      Hebu tupangieni hapa safu yenu ,tuiite proposed safu ya uongozi ,ukianza na Raisi labda tuseme wizara kumi mpaka kumina tano ,tuone ! na kuwajadili au kuijadili hio safu !
      Uko nchi gani wewe?wasomi wote maofisini,kwenye mashirika na taasisi za serikali na zisizo za kiserikali wako CDM.hakuna mtu mwenye akili timamu sasa hivi anaweza kuipenda SISIEM.Jaribu kufanya simple analysis kabla ya kutoa post.Ni wachache sana mliobaki huko.Unahitaji akili ya ukichaa kuitetea SISIEM mbele ya watu wenye akili zao na wanaojitambua.

    21. #60
      mharakati's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 934
      Rep Power : 576
      Likes Received
      258
      Likes Given
      245

      Default Re: Kumbe CDM hamna Wasomi

      Quote By Jasusi View Post
      Hakuna cha kuogopa. Msukumo wetu kwa sasa si nani atakayeshika nafasi gani. Msukumo wetu ni vipi tunaweza kuikomboa Tanzania kutoka hili limbwi la ufisadi, uuzaji kiholela wa maliasili zetu na kuwarejeshea Watanzania matumaini katika nchi yao wenyewe. Hapo ndipo tunapoelekeza nguvu zetu.
      Mbona hamtangazi kama mali zilizoibiwa pamoja na wezi wenyewe mtawafanya nini? au na nyie mnataka kuja kuiba kwa zamu?...mageuzi na mapinduzi haya ya kisiasa kabisa hapa Tanganyika yanabidi yaje na kusafisha mfumo na wanamfumo waliopita (rudisha hela toka nje, taifisha mali zisizo halali hapa ndani, rudisha zile nyumba za serikali, funga hawa wezi) So far Zitto, SLaa, Mbowe et el wamekua kimya, kimya kikionyesha hawana moyo wa mageuzi ya kweli bali wanataka zamu yao ya kula...hata ****** aliingia na kesi zake za watumiaji wabaya wa ofisi za umma (ili kuondokana na upumbavu wa mr Clean)

    Page 3 of 9 FirstFirst 12345 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...