Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: WATU Sita Wamepandishwa Kizimbani Mjini Singida, Kujibu Shitaka La Mauaji

    Report Post
    Results 1 to 7 of 7
    1. #1
      Gumzo's Avatar
      Guest Array
      Join Date : 2nd January 2012
      Posts : 211
      Rep Power : 0
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default WATU Sita Wamepandishwa Kizimbani Mjini Singida, Kujibu Shitaka La Mauaji



      Mwita Waita (wa kwanza kushoto), akifurahi na wafuasi wa CHADEMA mahakamani mjini Singida, baada ya kupata dhamana ktk kesi ya mauaji.
      Na: Elisante John.


      Julai 16,2012.
      WATU sita wamepandishwa kizimbani Mjini Singida, kujibu shitaka la mauaji ya Mwenyekiti UV-CCM Kata ya Ndago Wilaya Iramba,Yohana Mpinga, katika vurugu zilizohusisha wafuasi wa CHADEMA na CCM.
      Wamesomewa shitaka hilo na mwanasheria mwandamizi wa Serikali, Neema Mwanda mbele ya hakimu mfawidhi mahakama ya Mkoa Singida, RuthMassam.
      Walioshitakiwa ni Manase Daudi (40), Williamu Elia (33), Frank Stanley (20), Charles Leonard (36), Tito Nintwa na Fillipo Edward (30), wakazi wa Ndago, Wilaya Iramba.

      Wamedaiwa kufanya kosa hilo Julai 14, 2012 saa kumi alasiri, katika kijiji cha Nguvumali, kwa kutumia mawe na fimbo.

      Hawakutakiwa kujibu lolote, kwa kuwa mahakama hiyo haina mamlaka kusikiliza kesi hiyo na itatajwa tena Julai 30, 2012.

      Pia kesi nyingine iliyosomwa na mwanasheria wa Serikali Seif Ahmad, imemhusisha afisa sera na utafiti wa CHADEMA makao makuu Waitara Mwita (37) mkazi wa jijini Dar-es-salaam, akidaiwa kutoa lugha ya matusi mkutanoni.

      KWA HABARI KAMILI BOFYA HAPA http://moses-ayoub.blogspot.com/2012...-mjini_16.html


    2. #2
      Buchanan's Avatar
      Super Moderator Array
      Join Date : 19th May 2009
      Location : Somewhere!
      Posts : 9,398
      Rep Power : 9005
      Likes Received
      852
      Likes Given
      340

      Default re: WATU Sita Wamepandishwa Kizimbani Mjini Singida, Kujibu Shitaka La Mauaji

      Makosa ya mauaji kumbe yana dhamana siku hizi?

    3. #3
      Fang's Avatar
      Super Moderator Array
      Join Date : 5th November 2008
      Location : Limited
      Posts : 484
      Rep Power : 10088
      Likes Received
      273
      Likes Given
      1281

      Default re: WATU Sita Wamepandishwa Kizimbani Mjini Singida, Kujibu Shitaka La Mauaji

      They have the audacity to smile?
      ...To Defeat your Enemy, become your own Enemy...

    4. #4
      MARCKO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th June 2011
      Posts : 1,583
      Rep Power : 722
      Likes Received
      182
      Likes Given
      0

      Default re: WATU Sita Wamepandishwa Kizimbani Mjini Singida, Kujibu Shitaka La Mauaji

      Lema anasemaga 'msiogope, msiogope!'

    5. #5
      Mwanaweja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 3,520
      Rep Power : 1128
      Likes Received
      480
      Likes Given
      1065

      Default Re: WATU Sita Wamepandishwa Kizimbani Mjini Singida, Kujibu Shitaka La Mauaji

      haya mkuu tunashukuru kwa taarifa


    6. #6
      Kichuguu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th October 2006
      Location : Popote Porini
      Posts : 6,857
      Rep Power : 3280
      Likes Received
      1342
      Likes Given
      930

      Default Re: WATU Sita Wamepandishwa Kizimbani Mjini Singida, Kujibu Shitaka La Mauaji

      Mambo haya yasingekuwa yanatokea iwapo watu wote tungekuwa na ustaarabu wa kuheshimu mikutano ya wenzetu. Tunapojenga utamaduni wa kufanya fujo katika mikutano ya wenzetu ndipo tunatengeza mazingira ya kudhuriana, na hilo ni jambo baya sana kwa amani tunayojidai kuwa nayo. Waliofanya fujo kwenye mkutano halali wa chama cha wapinzania wao nao wanatakiwa wahojiwe, na huenda pia washitakiwa kwa kuhatarisha maisha yao wenywe na maisha ya marehemu. yaani kesi hii iwahusishe pande zote mbili za ugomvi.
      Kinyamana likes this.
      Kichuguuu: Nyumba inayohifadhi mchwa na nguchiro kwa pamoja bila mkwaruzo

    7. #7
      Kigogo's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 14th December 2007
      Location : Calabash
      Posts : 8,484
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1302
      Likes Given
      318

      Default

      Si nilisoma jana hapa wanasema mnyika na dr mkumbo wangepandishwa nao kizimbani...hahaaa wajaribu waone kama ingekiwa rahisi...jk iliambiwa nchi haitatawalika ndo hivi sasa..pole mwanakwetu miaka mitatu iliyobaki ni kama karne hivi....

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...