Re: WATU Sita Wamepandishwa Kizimbani Mjini Singida, Kujibu Shitaka La Mauaji
Mambo haya yasingekuwa yanatokea iwapo watu wote tungekuwa na ustaarabu wa kuheshimu mikutano ya wenzetu. Tunapojenga utamaduni wa kufanya fujo katika mikutano ya wenzetu ndipo tunatengeza mazingira ya kudhuriana, na hilo ni jambo baya sana kwa amani tunayojidai kuwa nayo. Waliofanya fujo kwenye mkutano halali wa chama cha wapinzania wao nao wanatakiwa wahojiwe, na huenda pia washitakiwa kwa kuhatarisha maisha yao wenywe na maisha ya marehemu. yaani kesi hii iwahusishe pande zote mbili za ugomvi.
Kichuguuu: Nyumba inayohifadhi mchwa na nguchiro kwa pamoja bila mkwaruzo
Follow Us Here