Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Serikali ilipokosea katika madai ya madaktari.

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 50
    1. #1
      hippocratessocrates's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2012
      Posts : 1,491
      Rep Power : 2122
      Likes Received
      572
      Likes Given
      163

      Default MGOMO WA MADAKTARI TZ- Wana JF tuna maoni gani?

      Nianze kusema kuwa mimi ni daktari, na ningependa kwa pamoja tusio madaktari na madaktari tujadiliane katika uzi huu, si kwa kuonyesha hisia (hasira,matusi,kejeli n.k), kupoteza muda, kupotosha madai na taarifa na bali kwa kuona mapungufu ya chanzo cha mgomo kabla ya kujadili madhara yake, ili wote kama watanzania(na wasio watanzania pia) kuliweka sawa hili na kulisaidia Taifa.

      MADAI NA UFAFANUZI:
      -Uwajibishwaji wa watendaji wakuu wa W/Afya
      Ufafanuzi: Kutokana na ubadhirifu uliothibitika, hatua za kinidhamu zilipaswa kufuatwa.

      -Uboreshwaji wa Huduma za Afya katika hospitali.
      Ufafanuzi: Upatikanaji wa vifaa kazi, madawa na mazingira ya Hospitali ili kutoa huduma stahiki wa wagonjwa. Yaani
      Upatikananji wa vitendea kazimachine za upimaji moyo, kifua, sukari, uzito, urefu n.k), Mashine za Oxygen, vifaa vya kuongezea maji na damu mwilini n.k .
      Upatikanaji wa nyenzo(Machine kama vile CT Scan, MRI, Mashine za mionzi yaani X-ray, mashine za matibabu yaani mionzi ya kutibu saratani)
      Mazingira-Kuongeza vitanda, mashuka, huduma za chakula kwa wagonjwa wasio na ndugu n.k

      -Posho ya kufanya kazi katika mazingira hatarishi (Risk allowance) 30% au Chanjo
      Ufafanuzi: Katika mazingira ya sasa ambapo unaweza kuambukizwa Kifua kikuu(TB), Homa ya Ini (Hepatitis), UKIMWI (HIV/AIDS) tunapaswa kujikinga dhidi ya magonjwa haya tunapokuwa tukitibu wagonjwa na hivyo ni vyema serikali kutoa chanjo au isipowezekana kutoa chanjo na itoe posho tajwa kujikinga, mfano chanjo ya Homa ya ini pekee kwa mwaka ni mara 3 na inagharimu 45,000 (30USD) kwa kila chanjo.

      -Posho ya kuitwa kazini(On call allowance)-5%
      Ufafanuzi: Kisheria(Sina uhakika na kifungu), Muda wa kuitwa kazini au katika kada/sekta nyingine huitwa “Overtime” ni asilimia tano(5%) ya mshahara na hivyo, sheria ifuatwe katika hili.

      -Posho ya kufanya kazi katika mazingira magumu(Hardship allowance)-40%
      Ufafanuzi: Si madaktari wote(yaani madaktari 1500) wafanyao kazi katika hospitali za serikali wanafanya kazi katika mazingira magumu bali, wachache hasa walio vijijini na hivyo, ili kuwapa motisha na kuonyesha njia ya motisha ili madaktari wasibaki mijini tu na hivyo kuwafanya waende vijijini ili kuepuka usumbufu wa wagonjwa kusafiri toka mkoahadi mkoa kwa matibabu, posho ya mazingira magumu itolewe kwa madaktari hawa walio vijijini na si wote.

      -Posho ya Usafiri(10%) au mkopo wa magari.
      Ufafanuzi: Kwa madaktari wale kukaa mbali na hospitali, wapatiwe posho hii au mkopo wa gari(NA PESA HII IKATWE KATIKA MSHAHARA). Hii ikiwa na maana daktari aliye zamu na anayeishi(mfano) bunju na kufanya kazi Muhimbili, au anayeishi Vikindu na kufanya kazi Amana, anayeishi kimara mwisho na kufanya kazi Temeke nk katika mikoa mingine anayetakiwa kufika usiku saa nane na hakuna usafiri anaweza kufika kwa wakati.

      -Posho ya makazi (30%) au kupatiwa nyumba.
      Ufafanuzi: Kisheria (“Doctor is equal to high government officer and is entitled to a house”).Nitapokuwa na vifungu vya sheria nitathibitisha hili. Na kwa kuwa jambo hili lipo kisheria basi na sheria ifuatwe(na ndio Seriakali ilisema inajenga nyumba 700 za madaktari), lakini isipowezekana kwa daktari kupatiwa nyumba(kwa ambao hawana) basi posho ya asilimia 30% itumike kama mbadala.

      -Wafanyakazi wote wa Sekta ya Afya wapewe kadi za kijani za bima ya Afya.
      Ufafanuzi: Kwa wafanyakazi wa sekta ya Afya yaani madaktari, wauguzi, wafamasia, watu wa maabara, nk. Wapewe bima za Afya wakipata huduma sawa na ile wanayotoa.

      -Pendekezo la mshahara kuwa mil. 3.5/=kwa mwezi.
      Ufafanuzi: Kama vile mishahara katika Serikali inavyotegemea
      *Muda wa masomo wa fani.
      *Kiwango cha elimu.
      *Ugumu wa masomo wa fani husika.
      *Ugumu wa kazi.
      *Muda unaotumika kazini.
      Hivyo kwa kuzingatia haya, pendekezo la mshahara tajwa utolewe kwa madaktari lakini kama ikishindikana basi Mwajiri(Seerikali) na itoe pendekezo lake.

      MAKOSA:
      Jumla ya madaktari wote katika hospitali zaSerikali ni 1500, hii ikiwa ni takwimu ya Wizara ya Afya yam waka 2011 na ikijumuisha zaidi ya madaktari 300 waliofukuzwa na 150 waliokwenda nje tayari hadi leo trh 17.07.2012. Hivyo tafsiri iliyotumika ni ;
      -Daktari hayuko entitled kupata nyumba kama high government official kama ilivyoainishwa kisheria
      -Daktari hatakiwi kulipwa overtime (call allowance)mara baada ya muda wa kazi kwa aslimia tano ya mshahara
      -Tafsiri ya kuwa madaktari wote huwa wanakuwa zamu za usiku (overtime) na hivyo kuwekakiasi cha posho tajwa juu kuwa ya madaktari wote na kila siku!
      -Tafsiri ya pesa ya mazingira magumu kwa madaktari wote(KWANI SI MADAKTARI WOTE WAKO MAZINGIRA MAGUMU YA VIJIJINI)
      -Tafsiri ya kutaka posho ya mazingira hatarishi pekee badala nyenzo za kujikinga na chanjo
      -Tafsiri kuwa wafanyakazi wengine wa sekta ya afya hawakujumuishwa katika madai.
      -Tafsiri ya pendekezo la mshahara tajwa kuwa ni SHURUTI ya kurudi kazini.
      -Tafsiri ya kuwa PENDEKEZO la mshahara haliwezi kupungua!
      Last edited by hippocratessocrates; 18th July 2012 at 14:51.

    2. Miaka 50

    3. #21
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Serikali ilipokosea katika madai ya madaktari.

      Quote By TIMING
      dogo.... i am sure kuna wakati you read what you write or listen to your inner self and realize that you are sitting on a glass sofa

      jah bless your intelligence as time goes by....

      brotherly advice
      I may be older than your Dad.

      My simple questions prompt you to provoke me? you are the greatest tinker of them all.

      By zomba

      Hii mijadala bado inaendelea?

      Vipi hali ya Ulimboka? hajambo?
      TIMING likes this.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    4. #22
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Serikali ilipokosea katika madai ya madaktari.

      Quote By bdo
      unaumia sana maana hadi sasa hujasikia habari mbaya ya afya yake
      Kipi kilichokupelekea kuona hivyo? nimeuliza hali yake tu na kushangaa kuwa hii mijadala ya ulimboka bado inaendelea, kwani hata mgomo umeshakuwa historia.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    5. #23
      hippocratessocrates's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2012
      Posts : 1,491
      Rep Power : 2122
      Likes Received
      572
      Likes Given
      163

      Default Re: Serikali ilipokosea katika madai ya madaktari.

      Sometimes i wonder washauri wa Wizara husika hufanya kazi gani!!

    6. #24
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,084
      Rep Power : 12251
      Likes Received
      6014
      Likes Given
      6851

      Default Re: Serikali ilipokosea katika madai ya madaktari.

      Quote By zomba
      I may be older than your Dad.
      in your dreams

      Quote By zomba
      My simple questions prompt you to provoke me? you are the greatest tinker of them all.
      Never have and never will..... cant even think of it
      .....Ana sifa zote, nzuri na mbaya!!!

    7. #25
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Serikali ilipokosea katika madai ya madaktari.

      Quote By TIMING
      in your dreams

      Never have and never will..... cant even think of it
      Is it because he never touched a laptop in his life?
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    8. FemaTV & Radio

    9. #26
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,084
      Rep Power : 12251
      Likes Received
      6014
      Likes Given
      6851

      Default Re: Serikali ilipokosea katika madai ya madaktari.

      Quote By zomba
      Is it because he never touched a laptop in his life?
      recalculating................. .
      bdo likes this.
      .....Ana sifa zote, nzuri na mbaya!!!

    10. bdo
      #27
      bdo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2006
      Posts : 892
      Rep Power : 886
      Likes Received
      140
      Likes Given
      73

      Default Re: Serikali ilipokosea katika madai ya madaktari.

      Quote By zomba
      Kipi kilichokupelekea kuona hivyo? nimeuliza hali yake tu na kushangaa kuwa hii mijadala ya ulimboka bado inaendelea, kwani hata mgomo umeshakuwa historia.
      rudia maneno yako uliyosema awali, ila kama unaona mgomo umekuwa historia basi jaribu kuugua uone

    11. #28
      Nduka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2008
      Posts : 5,580
      Rep Power : 1634
      Likes Received
      381
      Likes Given
      553

      Default Re: Serikali ilipokosea katika madai ya madaktari.

      Wamebakia kuandika ma thread humu kila kukicha baada ya kufukuzwa wanyama wale wakafie mbele huko.

    12. #29
      hippocratessocrates's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2012
      Posts : 1,491
      Rep Power : 2122
      Likes Received
      572
      Likes Given
      163

      Default Re: Serikali ilipokosea katika madai ya madaktari.

      Quote By Burn Karudi
      Wamebakia kuandika ma thread humu kila kukicha baada ya kufukuzwa wanyama wale wakafie mbele huko.
      Gluteal thinking.

    13. #30
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Serikali ilipokosea katika madai ya madaktari.

      Quote By bdo
      rudia maneno yako uliyosema awali, ila kama unaona mgomo umekuwa historia basi jaribu kuugua uone
      Haya hapa, kwa faida yako:

      By zomba

      Hii mijadala bado inaendelea?

      Vipi hali ya Ulimboka? hajambo?
      Kuna kipi kibaya hapo?
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    14. #31
      Andrew nerei's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th June 2012
      Posts : 55
      Rep Power : 358
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Serikali ilipokosea katika madai ya madaktari.

      Jaman 2elewe hii nchi sio ya madaktari wenyewe na sio wao 2 ndio wenye madai/malalamiko

    15. #32
      Andrew nerei's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th June 2012
      Posts : 55
      Rep Power : 358
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Serikali ilipokosea katika madai ya madaktari.

      Jaman 2elewe hii nchi sio ya madaktar wenyewe madai/malalamiko ni mengi sio ya kwao 2 kuna walimu hapo wana mpaka wanatia huruma au hamuwaoni wao wangegoma mngekuwa hapo sahv mnaisumbua serikal?

    16. CAY
      #33
      CAY's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2011
      Posts : 462
      Rep Power : 514
      Likes Received
      84
      Likes Given
      26

      Default Re: Serikali ilipokosea katika madai ya madaktari.

      Quote By Makene
      imesemwa kila mara kwa madai ya madaktari wao si wafanyakazi pekee.
      Hii ina maana tu iwapo serikari itathibitisha ya kwamba polisi wanalazimika kulinda maandamano kwa fimbo na si silaha za moto, walimu wanaweza kufundisha bila chalk,na kupima matokeo ya kazi yao bila mitihani kwa wanafunzi wao, hata wakulima wa jembe la mkono ndio wenye hali njema kiuchumi na wanaweza kulima bila mbolea na mbegu bora.
      Serikari haina uwezo wa kufilisika, kwa maana ya kuacha ufahari na kuweka matabaka.
      Serikari inatimiza andiko, mwenye hana hata kidogo alichonacho atanyanganywa.
      Inaumaa

    17. #34
      Zanta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th April 2011
      Posts : 1,300
      Rep Power : 748
      Likes Received
      430
      Likes Given
      362

      Default Re: MGOMO WA MADAKTARI TZ- Wana JF tuna maoni gani?

      Quote By hippocratessocrates

      MAKOSA:
      Jumla ya madaktari wote katika hospitali zaSerikali ni 1500, hii ikiwa ni takwimu ya Wizara ya Afya yam waka 2011 na
      -Tafsiri ya pesa ya mazingira magumu kwa madaktari wote(KWANI SI MADAKTARI WOTE WAKO MAZINGIRA MAGUMU YA VIJIJINI)
      !
      Hebu ntajie wapi daktari (MD)umemuona anafanya kazi kijijini? au Wilayani kwako ni kijijni
      Better to have a Good Dictatorship than Bad Democracy !!!!

    18. #35
      hippocratessocrates's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2012
      Posts : 1,491
      Rep Power : 2122
      Likes Received
      572
      Likes Given
      163

      Default Re: Serikali ilipokosea katika madai ya madaktari.

      haya sasa yale ya kuleee Geita ya mama kujinyonga kwa mtoto kukosa huduma ya Afya.

    19. #36
      hippocratessocrates's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2012
      Posts : 1,491
      Rep Power : 2122
      Likes Received
      572
      Likes Given
      163

      Default Re: Serikali ilipokosea katika madai ya madaktari.

      well said.

    20. #37
      Nyakageni's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,248
      Rep Power : 0
      Likes Received
      769
      Likes Given
      52

      Default Re: Serikali ilipokosea katika madai ya madaktari.

      mi nitawasapoti madaktari!

    21. #38
      hippocratessocrates's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2012
      Posts : 1,491
      Rep Power : 2122
      Likes Received
      572
      Likes Given
      163

      Default Re: Serikali ilipokosea katika madai ya madaktari.

      Tanzania bila migomo haiwezekani.

    22. #39
      hippocratessocrates's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2012
      Posts : 1,491
      Rep Power : 2122
      Likes Received
      572
      Likes Given
      163

      Default Re: Serikali ilipokosea katika madai ya madaktari.

      Tanzania bila migomo ya wafanyakazi haiwezekani!!Wafanya kazi kutumikishwa kama punda bila kujali ugumu wakazi zao, muda wa kazi n.k..viongozi walioko madarakani wanasahau nani aliyewaweka, na wanadhani watakaa madarakani milele na kwamba hawatarudi huku mitaani!!

    23. #40
      Chiya Chibi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th July 2011
      Location : Penye Oxygen
      Posts : 441
      Rep Power : 487
      Likes Received
      102
      Likes Given
      12

      Default Re: Serikali ilipokosea katika madai ya madaktari.

      NAKUBALIANA NA WEE. Pamoja na madai ya kimaslahi, madaktar wametetea afya za watanzania kadr wawezavyo lakin sis wenye nchi ndo tumewaungusha kwa kushindwa kujitetea, hasa tunapokosa huduma muhim mahospitalin mwetu.

      Serikali yetu inaendeshwa kisiasa hata kwa mambo ya msingi, UTETEZ wa madaktar ulilenga afya ya WATZ kwa miaka mingi ijayo na sio leo/kesho, lakin kwasababu watawala wamebakiza miaka 3 tu, wameona watumie nguvu na kusingizia serikali HAINA UWEZO, Kama haina uwezo mbona wao hawakos posho zao na wala mishahara yao haichelewi?? Mbona Mashangingi yapo kila ofis nyet nchi hii.? JIBU ni kwamba Serikal inaendeshwa kichwa chini miguu juu.

      Na huo ndo ubaya wa kuweka darasa la saba na vit vya upendeleo pale mjengon, kamwe hawawezi kuisimamia serikali. Nchi ipo ipo tu sasa hiv, Boss hamwamin mwajiliwa na mwajiliwa kumwamin boss ndo haiwezekan kabisa, mtu akitumwa kaz lazima aulize mara mbili mbili. Tusifanye makosa 2015 hata kama chama hicho hicho lakin wawe viongoz sio wanasiasa wa siasa tupu, ili madaktar, walimu na watumish wengine tufanye kaz bila kugeuka geuka nyuma.

    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...