Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hatimaye afande Kova ajibu shutuma juu yake

    Report Post
    Page 4 of 7 FirstFirst ... 23456 ... LastLast
    Results 61 to 80 of 131
    1. #1
      motema yapembe's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 17
      Rep Power : 367
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Hatimaye afande Kova ajibu shutuma juu yake

      Leo kamanda. wa police wa Dar es salaam Amevieleza vyombo vya habari kuwa alie mkamata ndie mtuhumiwa na alikuwa Kwenye ibada ya three 13/07 2012. hivyo sijui mchungaji kasema nn!, amesha pelekwa mahakamani hivyo hairuhusiwi kuhoji jambo lolote lililo mahakamani!
      his ndo bongo bana!

      source, channel 5


    2. #61
      Ta Muganyizi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Location : Kashasha
      Posts : 2,792
      Rep Power : 998
      Likes Received
      971
      Likes Given
      1471

      Default Re: Serikali imewafunga wananchi/wanahabari mdomo kwa kupeleka mwehu/kichaa mahakamani!!!

      Si mbaya haki za binadamu waingilie kati kwa serikali kumuweka rumande mwehu/kichaa
      "Wajumbe kifungu hiki kinaafikiwa........Ndiyooooooo ooooooooooooooooooooo, "Wabunge wa Tanzania!!! !hasa wa CCM

    3. #62
      SALOK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th September 2011
      Location : Some where!!
      Posts : 1,176
      Rep Power : 627
      Likes Received
      223
      Likes Given
      207

      Default Re: dcp suleman kova atoa ufafanuzi kuhusu mch. gwajima

      Funguka zaidi basi!

    4. #63
      SonGod emo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th April 2012
      Posts : 14
      Rep Power : 365
      Likes Received
      12
      Likes Given
      1

      Default Kwa nini tunapigwa changa la macho juu ya Dr ulimboka!!!!

      Ni vigumu kuamin ama kukubali kwa haya aliofanyiwa mwenzetu! Ni mateso yasio na kifani kwa wale wenzetu wakristo nafikiri haya mateso ya Dr Ulimboka wanaweza kuyafananisha na yale ya Yesu kwa sababu kumng'oa binabamu mwenzio viungo vyake kwa kutumia koleo ni unyama usio na kifani ! Najiuliza na kila nikifikiria nashindwa kupata jibu la hayo maumivu na isitoshe inasemekana japo sina uhakika na haya ya kwamba pia walimhasi na wakajua ya kwamba wameshaua ila naimani na ninaamin mungu anasababu nae na ndo maana hakuitoa roho yake kwa kuwa ana jambo la kuongea na watanzania kwani saa ya kuonewa na kudhulumiwa haki yetu sasa imekwisha.
      Hata kama mtu ni mjinga kiasi gan ? Mkenya anahusika nin na sakata la madokta wa tanzania wakati ni ishu ya serikal na wao na ni kwa sababu ya kudai haki zao za msingi ikiwemo maslah na mazingira ya kufanyia kazi ?
      Tunashukuru kusikia ya kwamba serikali ya kenya nao wameamua kulifatilia hili jambo na kuujua ukweli na si kupumbazwa kama ilivyozoeleka kwa serikali ya tz na itakuwa vizuri watu kuujua ukweli !!! Kuna mwanamziki mmoja aliimba you can fool people for sometime but not all the time sasa haya maneno kwa watanzania yanakwenda kutimia soon nchi inajifanya ina Aman ila hali imejaa mauaji ya kutisha unyanyasaji usio na kifani kwa sababu ya madaraka tuu sasa imefika kwa hao mabepari na wanyonyaji wa nchi hiii.
      Ni vizuri dini zote watu wakaungana na kuliweka hili katika maombi hasa wakati huu wa mwezi mtukufu tukaungana wote na wenzetu kufunga na kusali kwa kupitia viongozi wa din zote na nina hakika mwenyezi Mungu atasikia kilio cha watanzania haiwezekani kumfanyia binadamu mwenzako unyama wa namna hiii
      Hii ni kuonyesha nchi hii inatawalika kwa ubabe Mr Sugu alisema bungeni hali kama hii ni mambo ya Janjaweed ukiangalia nchi kwa Rwanda,Sudan Eritrea Congo hali hii ilianza hivi hivi mwishoe waliingia kwenye disaster ambayo iliwakosti wengi ila viongozi jueni walikuwepo watawala wenye mabavu kuliko nyie na walijulikana sana dunian lakin leo hii wako wap? Sadaam ,Ghadaffi,Maboutu!Jonasi savimbi hawa ni baadhi ya hao waliojiona dunia ni ya kwao wewe jeee nawasilisha!!!!!!!!!!!!!!!!

    5. #64
      CHEMPO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2011
      Location : A TOWN
      Posts : 369
      Rep Power : 1936
      Likes Received
      58
      Likes Given
      19

      Default Nani wa kumlaumu chadema au polisi waliopuuza taarifa za awali

      -ni kwa nini polisi walipuuza taarifa za awali kuusu kutokea kwa vurugu,,vuongozi wa chadema waliokuwa kwenye mkutano wanadai walitoa taaraifa mapema,,au tuamini kuwa mwigulu aliwazuia..
      -na pia kwa nini wanachama wa chadema ndio wakamatwe ili hali viongozi wa chadema ndio waliokuwa na rbanyika leo
      -nasikia mazishi yamefanyila leo,je mwigulu kashiriki?maana anadai kaumia sana
      mytake:wananchi tusitumiwe na chama kinachokufa sivyo tutakufa sisi

    6. #65
      gwambali's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th May 2011
      Posts : 149
      Rep Power : 440
      Likes Received
      32
      Likes Given
      41

      Default

      Quote By Ta Muganyizi View Post
      Si mbaya haki za binadamu waingilie kati kwa serikali kumuweka rumande mwehu/kichaa
      Hiyo n kweli kabisa toka lini kichaa akafunguliwa kesi au kwann mmtangaze m2 ambaye hamjampima akili na mkiwa mnahisi hana akili? Lol! Kova kwa hili umeunguza


    7. #66
      Limbani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2008
      Location : Kisiwani
      Posts : 1,233
      Rep Power : 824
      Likes Received
      261
      Likes Given
      63

      Default Re: Serikali imewafunga wananchi/wanahabari mdomo kwa kupeleka mwehu/kichaa mahakamani!!!

      Hii inchi sijui tunapekekwa wapi! Jamaa hataki watu waongelee issue ya Dr Ulimboka sababu tu kichaa yupo rumande!!

    8. #67
      HeartBreak's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st April 2008
      Posts : 245
      Rep Power : 619
      Likes Received
      8
      Likes Given
      0

      Default Kichaa cha muda muda!!! By kova

      Imekuwa ni vitu na ngonjera za polisa na askofu gwajima..kweli ukitaka kujua ukweli leo kova katoa ukweli kila binadamu ana kichaa ila kuna kichaa cha muda muda.....kichaa ni kichaa tu..hakuna cha muda wala masaa...kova anatupa ngonjera za kisanii...
      Mkandara likes this.

    9. #68
      Kasimba G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 19th January 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 918
      Rep Power : 610
      Likes Received
      277
      Likes Given
      265

      Default Re: dcp suleman kova atoa ufafanuzi kuhusu mch. gwajima

      Wawe na imani na mabwepoliccm plus tiss? Ana maana hiyo?Karukwa na akili huyo, wa tz wa sasa siyo wa enzi za upe!

    10. #69
      delabuta's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 23rd May 2011
      Location : Dar es salaam
      Posts : 179
      Rep Power : 444
      Likes Received
      44
      Likes Given
      0

      Default Re: dcp suleman kova atoa ufafanuzi kuhusu mch. gwajima

      kwa kifupi kova hana mvuto kwa sasa yeye alie tu amekosea picha imeungua kazi kwake makengeza yanazidi kila kukicha.pole kova.

    11. #70
      Fringe's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 91
      Rep Power : 421
      Likes Received
      32
      Likes Given
      13

      Default Re: Hatimaye afande Kova ajibu shutuma juu yake

      Quote By Ndinani View Post
      These words come out of the mouth of an angry man! Watch out you magamba people.
      Ndidani
      kuna tatizo mtu akipata hasira? au akihuzunika? au akifurahi kama kuna sababu za kufanya hivyo?
      All these are emotions that are triggered by either external or internal stimuli,AM happy as i respond to stimuli,physiologically ok!!!
      sasa wewe jambo linalo kuudhi,hukasiriki,linalo kufurahisha haufurahii,linalo kuhuzunisha wala hau huzuniki, I think u suffer from personality disorder...polee.

      by the way you have to stop rebelling me as Magamba,though ts futile to convince your skeptics.
      your fanatical political view should not ends in this premature labeling of folks
      watch out
      MLETAHOJA likes this.

    12. #71
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 6,022
      Rep Power : 1657
      Likes Received
      1144
      Likes Given
      419

      Default Re: Serikali imewafunga wananchi/wanahabari mdomo kwa kupeleka mwehu/kichaa mahakamani!!!

      Quote By Limbani View Post
      Hii inchi sijui tunapekekwa wapi! Jamaa hataki watu waongelee issue ya Dr Ulimboka sababu tu kichaa yupo rumande!!
      makengeza
      CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...

      REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha

    13. #72
      Nyani Ngabu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,521
      Rep Power : 0
      Likes Received
      9766
      Likes Given
      696

      Default Re: dcp suleman kova atoa ufafanuzi kuhusu mch. gwajima

      Quote By hendeboy View Post
      dcp sulemani kova amesemani hataki malumbano na mchungaji gwajima kuhusiana na mtu aliyemteka dr. olimboka,
      akiongea na waandishi wa habari leo hii amesema kuwa wananchi waendelee kuwa na imani na jeshi lao
      Mtanzania yeyote mwenye akili timamu hawezi kamwe kuwa na hata chembe ya imanii na hilo so called jeshi la polisi.

    14. #73
      Kasimba G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 19th January 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 918
      Rep Power : 610
      Likes Received
      277
      Likes Given
      265

      Default Re: dcp suleman kova atoa ufafanuzi kuhusu mch. gwajima

      Ati siku hizi TISS ni idara ya uhasama wa taifa, sio usalama na polisi ni wanauhasama! Kazi kwelikweli!

    15. #74
      ndenga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th December 2010
      Location : Kigamboni New City
      Posts : 1,049
      Rep Power : 640
      Likes Received
      269
      Likes Given
      84

      Default Re: Kichaa cha muda muda!!! By kova

      Kwa hiyo hata yale matokea ya uchunguzi wa awali ilikuwa ni ukichaa kichaa..

    16. #75
      KANYIMBI's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Location : Tanganyika
      Posts : 182
      Rep Power : 421
      Likes Received
      23
      Likes Given
      64

      Default Re: dcp suleman kova atoa ufafanuzi kuhusu mch. gwajima

      Nimemuona Kova anasema kuwa taarifa za awali alizozitoa huyo mkenya bado anazipa uzito. hadi hapo madaktari watakapothibitsha kuwa huyo mtuhumiwa ni chizi.

    17. #76
      delabuta's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 23rd May 2011
      Location : Dar es salaam
      Posts : 179
      Rep Power : 444
      Likes Received
      44
      Likes Given
      0

      Default Re: Nani wa kumlaumu chadema au polisi waliopuuza taarifa za awali

      Nimependa ujumbe mzuri wananchi tusikubwali kufa na chama cha mabwepande wanakupeni pombe na tishirt mkafanye vurugu wao wapo salama na familia zao, mwigulu unanuksi kwani jimbo umebinafsishwa mpaka hutaki mtu mwingine afanyemkutano? mbona ccm mnajidanganya hivyo???/

    18. #77
      Umslpogaaz's Avatar
      Member Array
      Join Date : 14th April 2008
      Posts : 99
      Rep Power : 590
      Likes Received
      55
      Likes Given
      63

      Default Re: Serikali imewafunga wananchi/wanahabari mdomo kwa kupeleka mwehu/kichaa mahakamani!!!

      Wanasheria mnisaidie. Hivi mtuhumiwa kama akidhaniwa ni kichaa anapandishwa moja kwa moja kizimbani, au anafanyiwa uchunguzi kwanza na daktari, na akionekana ni mzima wa kuweza kujibu mashtaka ndio anapandishwa mahakamani?

    19. #78
      Manyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2011
      Posts : 1,950
      Rep Power : 771
      Likes Received
      312
      Likes Given
      296

      Default Re: dcp suleman kova atoa ufafanuzi kuhusu mch. gwajima

      Yeye angejibu mapigo kwa Mchungaji, na siyo kusema hivyo tu! Kwani alipokuja kwa mbwembwe na kumtangaza yule mtuhumiwa hakuwa na habari kamili? Hii haingii akilini kabisa!
      MLETAHOJA likes this.

    20. #79
      CHEMPO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2011
      Location : A TOWN
      Posts : 369
      Rep Power : 1936
      Likes Received
      58
      Likes Given
      19

      Default Re: dcp suleman kova atoa ufafanuzi kuhusu mch. gwajima

      Alifikiri ni wale viongozi wa upande wa pili,ambao hawajui lolote

    21. #80
      Kasimba G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 19th January 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 918
      Rep Power : 610
      Likes Received
      277
      Likes Given
      265

      Default Re: dcp suleman kova atoa ufafanuzi kuhusu mch. gwajima

      Ati siku hizi TISS ni idara ya uhasama wa taifa, sio usalama na polisi ni wanauhasama! Kazi kwelikweli!

    Page 4 of 7 FirstFirst ... 23456 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...