Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hongera Star tv kwa usawa kuhusu mauaji kata ya Ngado Singida

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 44
    1. #1
      Landala's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Posts : 596
      Rep Power : 549
      Likes Received
      126
      Likes Given
      31

      Default Hongera Star tv kwa usawa kuhusu mauaji kata ya Ngado Singida

      Leo nimeangalia taarifa ya habari ya chanel 10 na ya ITV lakini vituo hivyo vyote viwili vimetoa habari ya upande mmoja kwa kumuonyesha katibu wa UVCCM akilaani mauaji yaliyotokea bila kuonyesha upande wa pili.

      Lakini kituo cha Star tv pekee ndo kimebalance habari kwa kumuonyesha Mwita Mwikabe wa CHADEMA akimtuhumu Mwigulu Nchemba kutuma watu kuja kufanya fujo na pia mwandishi wa star tv alimpigia Mwigulu kuhusu tuhuma zinazomkabili na akazikanusha.

      Tunaomba vituo vingine vya runinga kuiga mfano wa star tv kwa kutoa habari zilizokamilika na kuwa na pande mbili sio kutupatia habari zilizo za upande mmoja.Fuateni maadili ya uandishi wa habari sio mnakuwa kama TBCCCM.


    2. #2
      King of Kings's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th March 2010
      Location : KWA MBAYUWAYU
      Posts : 3,797
      Rep Power : 1231
      Likes Received
      441
      Likes Given
      854

      Default Re: Hongera Star tv kwa usawa kuhusu mauaji kata ya Ngado Singida

      itv siku hizi sijui nini kimewakumba....na waandishe wenyewe ndo akina semnyoooo

    3. #3
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,530
      Rep Power : 37790
      Likes Received
      4979
      Likes Given
      2345

      Default Re: Hongera Star tv kwa usawa kuhusu mauaji kata ya Ngado Singida

      Startv imenipitaje leo?
      Yahya Mohamed likes this.

    4. #4
      mndwadage's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2012
      Posts : 346
      Rep Power : 418
      Likes Received
      67
      Likes Given
      0

      Default Re: Hongera Star tv kwa usawa kuhusu mauaji kata ya Ngado Singida

      Nilikua mpenzi wa itv kwa habari hii itabidi nijikite star tv huenda nilikua napishana na mambo mengi.!
      Yahya Mohamed and Mafie PM like this.

    5. #5
      Landala's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Posts : 596
      Rep Power : 549
      Likes Received
      126
      Likes Given
      31

      Default

      Quote By mndwadage View Post
      Nilikua mpenzi wa itv kwa habari hii itabidi nijikite star tv huenda nilikua napishana na mambo mengi.!
      Hamia star tv mkuu habari zao ni balanced sio akina itv,chanel ten na tbcccm.


    6. #6
      Landala's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Posts : 596
      Rep Power : 549
      Likes Received
      126
      Likes Given
      31

      Default

      Quote By King of Kings View Post
      itv siku hizi sijui nini kimewakumba....na waandishe wenyewe ndo akina semnyoooo
      ITV siku hizi imeamua kuwa upande wa serikali na CCM,nimetokea kuichukia sana itv kwa jinsi siku hizi wanavyotoa habari zao kwa kukipendelea chama tawala na kukikandamiza CHADEMA.
      Mafie PM likes this.

    7. #7
      Ta Kamugisha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th May 2011
      Posts : 1,100
      Rep Power : 3624
      Likes Received
      302
      Likes Given
      30

      Default Re: Hongera Star tv kwa usawa kuhusu mauaji kata ya Ngado Singida

      ulikuwa unachengana na raha kutoangalia taarifa ya habari ya star tv
      Yahya Mohamed likes this.

    8. #8
      KIJOME's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2012
      Posts : 1,512
      Rep Power : 656
      Likes Received
      279
      Likes Given
      256

      Default Re: Hongera Star tv kwa usawa kuhusu mauaji kata ya Ngado Singida

      itv upuuzi mtupu toka walete majitu ya kutetea magamba kwenye malumbano ya hoja hawana mpango,hamia mlimani na star tv walau kwa balance niuz!!!

    9. #9
      nya2nya2's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 113
      Rep Power : 386
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default Re: Hongera Star tv kwa usawa kuhusu mauaji kata ya Ngado Singida

      hivi hii tbc siku ccm ikianguka itakuwaje maana wamejisahau,au mnazani ccm itatawala milele,ipo siku mtkimbia hizo ofisi

    10. #10
      Magesi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th July 2012
      Posts : 1,302
      Rep Power : 1034
      Likes Received
      285
      Likes Given
      1

      Default Re: Hongera Star tv kwa usawa kuhusu mauaji kata ya Ngado Singida

      Hapa ndio 2napoona umuhimu wa kua na ty,redio na gazeti vyote vikimilkiwa na chama naomba TUMAINI MAKENE utoe ufafanuzi kuhusu hili elimu ya uraia inahitajika zaid mkuu

    11. #11
      Landala's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Posts : 596
      Rep Power : 549
      Likes Received
      126
      Likes Given
      31

      Default

      Quote By KIJOME View Post
      itv upuuzi mtupu toka walete majitu ya kutetea magamba kwenye malumbano ya hoja hawana mpango,hamia mlimani na star tv walau kwa balance niuz!!!
      kweli mkuu star tv na mlimani tv habari zao ziko balanced sio wengine wanaobase habari zao kwa chama cha mabwepande aka chama cha mauaji.

    12. #12
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,473
      Rep Power : 2490
      Likes Received
      974
      Likes Given
      385

      Default

      Quote By Landala View Post
      Leo nimeangalia taarifa ya habari ya chanel 10 na ya ITV lakini vituo hivyo vyote viwili vimetoa habari ya upande mmoja kwa kumuonyesha katibu wa UVCCM akilaani mauaji yaliyotokea bila kuonyesha upande wa pili lakini kituo cha Star tv pekee ndo kimebalance habari kwa kumuonyesha Mwita Mwikabe wa CHADEMA akimtuhumu Mwigulu Nchemba kutuma watu kuja kufanya fujo na pia mwandishi wa star tv alimpigia Mwigulu kuhusu tuhuma zinazomkabili na akazikanusha.Tunaomba vituo vingine vya runinga kuiga mfano wa star tv kwa kutoa habari zilizokamilika na kuwa na pande mbili sio kutupatia habari zilizo za upande mmoja.Fuateni maadili ya uandishi wa habari sio mnakuwa kama TBCCCM.
      si unajua kujikosha ndo kunasababisha yote hayo, wapoe tu 2015 yaja

    13. #13
      maramojatu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th March 2012
      Posts : 130
      Rep Power : 392
      Likes Received
      24
      Likes Given
      0

      Default Re: Hongera Star tv kwa usawa kuhusu mauaji kata ya Ngado Singida

      mimi nilishaachanaga na mambo ya tv. jamiiforum tosha

    14. #14
      chama's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 6th August 2010
      Posts : 5,251
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1271
      Likes Given
      954

      Default Re: Hongera Star tv kwa usawa kuhusu mauaji kata ya Ngado Singida

      Quote By Landala View Post
      Leo nimeangalia taarifa ya habari ya chanel 10 na ya ITV lakini vituo hivyo vyote viwili vimetoa habari ya upande mmoja kwa kumuonyesha katibu wa UVCCM akilaani mauaji yaliyotokea bila kuonyesha upande wa pili lakini kituo cha Star tv pekee ndo kimebalance habari kwa kumuonyesha Mwita Mwikabe wa CHADEMA akimtuhumu Mwigulu Nchemba kutuma watu kuja kufanya fujo na pia mwandishi wa star tv alimpigia Mwigulu kuhusu tuhuma zinazomkabili na akazikanusha.Tunaomba vituo vingine vya runinga kuiga mfano wa star tv kwa kutoa habari zilizokamilika na kuwa na pande mbili sio kutupatia habari zilizo za upande mmoja.Fuateni maadili ya uandishi wa habari sio mnakuwa kama TBCCCM.
      Huu wako ni unazi na uchochezi mtupu, habari imekuwa balanced kwasababu tu imemuonyesha Mwita Mutabe akimtuhumu Mwigulu Chadema kazi mnayo!!

      Chama
      Gongo la mboto DSM

    15. #15
      mhalisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Posts : 615
      Rep Power : 614
      Likes Received
      151
      Likes Given
      139

      Default Re: Hongera Star tv kwa usawa kuhusu mauaji kata ya Ngado Singida

      wakuu, je na gazeti la Mwananchi hivi sasa nalo mnalionaje?

    16. #16
      Mohamedi Mtoi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th December 2010
      Location : Lushoto - Kwemakame.
      Posts : 2,230
      Rep Power : 32147
      Likes Received
      3441
      Likes Given
      368

      Default Re: Hongera Star tv kwa usawa kuhusu mauaji kata ya Ngado Singida

      Dawa ni kuwa na jf tv and redio huo ndio utakuwa muarobani wa habari za uhakika hapa Bongo. Mimi nimeamua kuangalia Citizen ya kenya. Wako juu kuliko kituo chochote ukanda wa Afrika mashariki nikitaka habari na matukio ya nyumbani kwa vile hiyo startv haiko kwenye king'amuzi nazama zangu Jf tu.

      Wakuu mimi tangu mdogo mpaka sasa sioni kama Itv inakuwa na kuimprove kwa maana ya utoaji bora wa habari zenye urari na Independent kama jina lao.

      Tupigeni jaramba wakuu tuchangie jf tv kulalamika hakutufikishi popote.
      Godlisten Masawe likes this.

    17. #17
      mmbangifingi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2011
      Posts : 2,573
      Rep Power : 862
      Likes Received
      455
      Likes Given
      2916

      Default Re: Hongera Star tv kwa usawa kuhusu mauaji kata ya Ngado Singida

      Mlimani TV nawaonaga kama wako firm,,hawalalii upande wowote
      Who Jah bless, No one Curse!

    18. #18
      Munambefu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2012
      Posts : 342
      Rep Power : 420
      Likes Received
      91
      Likes Given
      18

      Default Re: Hongera Star tv kwa usawa kuhusu mauaji kata ya Ngado Singida

      mbona mnaishangaa ITV angali mkijua safu yake ni vilaza kama semunyu?TV Star na Mlimani wakuu

    19. #19
      Mlengo wa Kati's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 16th February 2011
      Posts : 1,382
      Rep Power : 0
      Likes Received
      197
      Likes Given
      11

      Default Re: Hongera Star tv kwa usawa kuhusu mauaji kata ya Ngado Singida

      nyie chadema huwa hamriziki hata kidogo! anzisheni TV yenu ndio mtaji tangaza vizuri lasivo mtabaki kulalama tu!

    20. #20
      tedo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th August 2011
      Location : uchochoroni
      Posts : 5,760
      Rep Power : 4696
      Likes Received
      1303
      Likes Given
      913

      Default Re: Hongera Star tv kwa usawa kuhusu mauaji kata ya Ngado Singida

      Big up star Tv.
      Yahya Mohamed likes this.

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...