Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kitilya wa TRA kupelekwa TANESCO ?

    Report Post
    Page 1 of 6 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 109
    1. #1
      wimbi la mbele's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th January 2011
      Posts : 647
      Rep Power : 2881
      Likes Received
      245
      Likes Given
      62

      Default Kitilya wa TRA kupelekwa TANESCO ?

      Taarifa za hapa Dar mchana huu zinasema kuwa KITILYA wa TRA anaweza kupelekwa TRA kuokoa jahazi la TANESCO lisizame

      swali; Je Kitilya anafaa au hafai kupelekwa Tanesco? sababu ni zipi?


    2. #2
      Kiboko Yenu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Posts : 313
      Rep Power : 433
      Likes Received
      60
      Likes Given
      0

      Default Re: Kitilya wa TRA kupelekwa TANESCO ?

      hivi kuna mahali wanatoa degree ya umbeya na kukurupuka?

    3. #3
      Kidogo chetu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2009
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 478
      Rep Power : 581
      Likes Received
      53
      Likes Given
      130

      Default Re: Kitilya wa TRA kupelekwa TANESCO ?

      katafute bwana akuoe mbeya mkubwa wewe

    4. #4
      Mwikimbi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Posts : 1,545
      Rep Power : 953
      Likes Received
      346
      Likes Given
      128

      Default Re: Kitilya wa TRA kupelekwa TANESCO ?

      kinachotakiwa tanesco ni serikali ifanye yafuatayo

      kuondoa kodi ya mafuta inayofikia 80bn kama alivyosema mhando
      kudhamini tanesco kukopa kwenye mabenk, syndicate loan ili kuwalipa wadai wao ili kuepusha mgao

      hata akienda kikwete pale kuwa MD haitasaidia, hatuhitaji kuuza sura bali kufanya kazi, na kufanya kazi ni pesa inatakiwa siyo barua na siasa

    5. #5
      MAFISADI KOMENI's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 15th July 2012
      Posts : 1
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      1

      Default Re: Kitilya wa TRA kupelekwa TANESCO ?

      Umeyapata wapi haya, haya tusubiri tuone


    6. #6
      Tutafika's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2009
      Posts : 756
      Rep Power : 641
      Likes Received
      234
      Likes Given
      175

      Default

      Quote By Mwikimbi View Post
      kinachotakiwa tanesco ni serikali ifanye yafuatayo

      kuondoa kodi ya mafuta inayofikia 80bn kama alivyosema mhando
      kudhamini tanesco kukopa kwenye mabenk, syndicate loan ili kuwalipa wadai wao ili kuepusha mgao

      hata akienda kikwete pale kuwa MD haitasaidia, hatuhitaji kuuza sura bali kufanya kazi, na kufanya kazi ni pesa inatakiwa siyo barua na siasa
      Kwanini kodi iondolewe? Unadhani Tanesco ndio wanaolipa kodi au ni wananchi?

      Serikali iwadhamini wakope walipe deni!, haya ni mawazo yako au ni mawazo ya bia!

      Ili twende sawa lazima turudi nyuma tuulizane kwanza hela zote inazokopa na zile ambazo serikali imetoa kwa miaka mingi, zimepotelea wapi? Kumbuka kila senti inayokopwa wananchi tumeilipa kupitia bili za umeme

    7. #7
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 16,053
      Rep Power : 14671
      Likes Received
      2955
      Likes Given
      2099

      Default Re: Kitilya wa TRA kupelekwa TANESCO ?

      Quote By wimbi la mbele View Post
      Taarifa za hapa Dar mchana huu zinasema kuwa KITILYA wa TRA anaweza kupelekwa TRA kuokoa jahazi la TANESCO lisizame

      swali; Je Kitilya anafaa au hafai kupelekwa Tanesco? sababu ni zipi?
      Hafai, ni wale wale tu.

      TANESCO apewe S. S. Bakhresa kuiendesha.
      Maundumula likes this.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    8. #8
      Mwikimbi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Posts : 1,545
      Rep Power : 953
      Likes Received
      346
      Likes Given
      128

      Default Re: Kitilya wa TRA kupelekwa TANESCO ?

      ina maana huyo kitilya ndo mtu pekee aliyebaki Tanzania, anayeweza ku-manage haya mashirika? manake katika nchi hii kuna professional CEO kama masebu, mattaka, idrisaa rashid, hawa vijana wetu wanaosoma ni bure kabisa?

    9. BAK is offline
      BAK
      #9
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,848
      Rep Power : 45018
      Likes Received
      8691
      Likes Given
      8755

      Default Re: Kitilya wa TRA kupelekwa TANESCO ?

      ...Yale yale!!! Kwa mafanikio yepi aliyoyapata TRA hadi apelekwe TANESCO? Si ndiye huyu aliyeshindwa kubuni mikakati ya kuongeza mapato ya Serikali na pia aliyeisababisha nchi kupoteza shilingi bilioni 500 pale kampuni ya kihindi ilipoamua "kuwekeza" nchini!?
      rmashauri likes this.
      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    10. #10
      Mwikimbi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Posts : 1,545
      Rep Power : 953
      Likes Received
      346
      Likes Given
      128

      Default Re: Kitilya wa TRA kupelekwa TANESCO ?

      Quote By Tutafika View Post
      Kwanini kodi iondolewe? Unadhani Tanesco ndio wanaolipa kodi au ni wananchi?

      Serikali iwadhamini wakope walipe deni!, haya ni mawazo yako au ni mawazo ya bia!

      Ili twende sawa lazima turudi nyuma tuulizane kwanza hela zote inazokopa na zile ambazo serikali imetoa kwa miaka mingi, zimepotelea wapi? Kumbuka kila senti inayokopwa wananchi tumeilipa kupitia bili za umeme
      mkuu tulishachelewa hayo madeni si ya tanesco bali yale mambo ya rich mond, agrreko, symbions, dowans ambayo serikali kupitia mafisadi wali-drag tanesco hapo ilipo. mkakati huo hapo juu ni wa kuinasua tanesco na taifa lisiingie gizani madhali wale waliolifikisha tanesco hapo mkuu wa magogoni hataki wachukuliwe hatua

    11. #11
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,507
      Rep Power : 21688
      Likes Received
      13814
      Likes Given
      18061

      Default Re: Kitilya wa TRA kupelekwa TANESCO ?

      Tanesco na makampuni mengi ya ummah yanahitaji wazungu tu kuiendesha....

      nchi ya ajabu hiiii
      tunaajiri wazungu kwa mpira
      lakini hatutafuti wataalam wa kutoka nje kwa menejiment.....
      Maundumula likes this.
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    12. #12
      Raiamwematz's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 9th May 2012
      Posts : 102
      Rep Power : 379
      Likes Received
      18
      Likes Given
      6

      Default Re: Kitilya wa TRA kupelekwa TANESCO ?

      Wapo wengi wazuri, wapewe tu ushirikiano!!!!!!!!!!!!!
      ............Attitude towards Change.................

    13. BAK is offline
      BAK
      #13
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,848
      Rep Power : 45018
      Likes Received
      8691
      Likes Given
      8755

      Default Re: Kitilya wa TRA kupelekwa TANESCO ?

      Quote By The Boss View Post
      Tanesco na makampuni mengi ya ummah yanahitaji wazungu tu kuiendesha....

      nchi ya ajabu hiiii
      tunaajiri wazungu kwa mpira
      lakini hatutafuti wataalam wa kutoka nje kwa menejiment.....
      BOSS si walikuwepo wale makaburu wauza stationeries toka South Africa ambao waliingizwa na Mkapa kwa mtutu wa bunduki lakini kazi ikawashinda? Hata Wazungu pia hufanya madudu mengi tu.

      Mie naamini wako Wabongo ambao wanaweza kabisa kuiendesha TANESCO ila tu wawe huru kuachiwa kuiendesha bila kuingiliwa na Serikali (Wizara ya Nishati) Angalia matatizo mengi sasa hivvi ya TANESCO (Dowans, IPTL, mikataba ya Gas n.k.) Chanzo chake kikubwa ni Serikali (Nishati) Kwa mfano baada wataalamu wa TANESCO kuitathmini kampuni ya Richmond kabla haijaingia mkataba na Serikali wataalam wa TANESCO waliishauri Serikali kwamba Richmond haina uwezo wa kufua umeme hivyo isipewe mradi ule, lakini Serikali haikusikia ushauri wa wataalam wa TANESCO na yaliyotokea wote tunayajua.

      Last edited by BAK; 15th July 2012 at 17:16.
      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    14. #14
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,507
      Rep Power : 21688
      Likes Received
      13814
      Likes Given
      18061

      Default Re: Kitilya wa TRA kupelekwa TANESCO ?

      Quote By BAK View Post
      BOSS si walikuwepo wale makaburu wauza stationeries toka South Africa ambao waliingizwa na Mkapa kwa mtutu wa bunduki lakini kazi ikawashinda? Hata Wazungu pia hufanya madudu mengi tu.

      Mie naamini wako Wabongo ambao wanaweza kabisa kuiendesha TANESCO ila tu wawe huru kuachiwa kuiendesha bila kuingiliwa na Serikali (Wizara ya Nishati) Angalia matatizo mengi sasa hivvi ya TANESO (Dowans, IPTL, mikataba ya Gas n.k.) Chanzo chake kikubwa ni Serikali (Nishati) Kwa mfano baada wataalamu wa TANESCO kuitathmini kampuni ya Richmond kabla haijaingia mkataba na Serikali wataalam wa TANESCO waliishauri Serikali kwamba Richmond haina uwezo wa kufua umeme hivyo isipewe mradi ule, lakini Serikali haikusikia ushauri wa wataalam wa TANESCO na yaliyotokea wote tunayajua.


      BAK please usipende sikiliza radio mbao
      kwanza hao makaburu ndio walioiambia serikali ubovu wa kampuni ya Richmond
      soma vizuri ripoti ya Mwakyembe...
      CEO kaburu ndio aliepinga zoezi zima la Richmond....

      halafu nikisema wazungu sina maana mzungu Rangi tu
      awe qualified na uzoefu unaohitajika

      wazungu ndio wana ubavu wa kukataa 'siasa' na presha za viongozi dhaifu wa nchi hiii....
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    15. #15
      BONGOLALA's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 14th September 2009
      Posts : 5,413
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1196
      Likes Given
      199

      Default

      Quote By zomba View Post
      Hafai, ni wale wale tu.

      TANESCO apewe S. S. Bakhresa kuiendesha.
      naunga hoja mkuu maana tangu aichukue NMC hatujawahi kosa ngano,maji,mkate!hata sasa serikali inategemea uwanja wake chamazi,boat za kwenda zanzibar,ana viwanda msumbiji,malawi,rwanda,uganda

    16. #16
      Ndinani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2010
      Posts : 2,974
      Rep Power : 1540
      Likes Received
      755
      Likes Given
      238

      Default Re: Kitilya wa TRA kupelekwa TANESCO ?

      Tatizo ni mikataba mibovu ya POWER PURCHASE ambayo tunaingia na hawa wazungu bila kuwa na uilewa tunaingia mikataba ya aina gani!! Ndio maana tunajikuta TANESCO inadaiwa na hayo makampuni fedha ambazo yenyewe haikusanyi kutoka kwa wateja wake, hivyo kama gharama inazidi mapato lazima utakuwa na madeni [ deficit] . Tatizo liko kwenye hiyo mikataba na hivyo hivyo tutajikuta makampuni ni kuchimba GAS yatatuingiza mkenge kwa ujinga wa kuingia mikataba kichwa kichwa bila kuwatumia wazalendo WALIOTUKUKA kuihakiki vizuri.[sio wakina CHENGE na RASHID]!!
      rodrick alexander likes this.

    17. BAK is offline
      BAK
      #17
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,848
      Rep Power : 45018
      Likes Received
      8691
      Likes Given
      8755

      Default Re: Kitilya wa TRA kupelekwa TANESCO ?

      Hakuna chochote nilichoandika hapa ni cha kutoka redio mbao. Hizo ni info kutoka kwa close friends ndani ya TANESCO ambao wako kwenye position za juu. Waliofanya tathmini kama Richmond/Dowans wanastahili kupewa mkataba wa kufua umeme wakati ule nchi imegubikwa na giza nene na Wabongo wa kuzaliwa, CEO kaburu hakuwa na uwezo wowote wa kufanya tathmini ile kwa sababu alikuwa hajui chochote kuhusiana na ABC za ufuaji wa umeme.

      Wazungu makaburu walikuwa pale TANESCO lakini hawakuweza kukataa chochote kuhusu "siasa" na hivyo kusign mkataba wa kifisadi na kampuni ya wizi ya Mkapa "Kiwira" ya mkataba wa $326 millioni.



      Quote By The Boss View Post
      BAK please usipende sikiliza radio mbao
      kwanza hao makaburu ndio walioiambia serikali ubovu wa kampuni ya Richmond
      soma vizuri ripoti ya Mwakyembe...
      CEO kaburu ndio aliepinga zoezi zima la Richmond....

      halafu nikisema wazungu sina maana mzungu Rangi tu
      awe qualified na uzoefu unaohitajika


      wazungu ndio wana ubavu wa kukataa 'siasa' na presha za viongozi dhaifu wa nchi hiii....
      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    18. #18
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,507
      Rep Power : 21688
      Likes Received
      13814
      Likes Given
      18061

      Default Re: Kitilya wa TRA kupelekwa TANESCO ?

      Quote By BAK View Post
      Hakuna chochote nilichoandika hapa ni cha kutoka redio mbao. Hizo ni info kutoka kwa close friends ndani ya TANESCO ambao wako kwenye position za juu. Waliofanya tathmini kama Richmond/Dowans wanastahili kupewa mkataba wa kufua umeme wakati ule nchi imegubikwa na giza nene na Wabongo wa kuzaliwa, CEO kaburu hakuwa na uwezo wowote wa kufanya tathmini ile kwa sababu alikuwa hajui chochote kuhusiana na ABC za ufuaji wa umeme.

      Wazungu makaburu walikuwa pale TANESCO lakini hawakuweza kukataa chochote kuhusu "siasa" na hivyo kusign mkataba wa kifisadi na kampuni ya wizi ya Mkapa "Kiwira" ya mkataba wa $326 millioni.
      kama makaburu waliletwa na Mkapa
      wasingeshindwa kukataa 'oder' ya Mkapa

      alikataaa siasa, CEO wa kwanza kabisa wakamuondoa...

      bottomline hao rafiki zako ndio hao hao kina Mhando in waiting.....

      Wazungu ndo solution ya kampuni za ummah za TZ..

      hawapendi kuchafuliwa.hawaogopi kuanika kitu
      na hawaogopi kufukuzwa...na hawawezi kuonewa sababu wanalindwa na sheria hadi za kimataifa...

      tutafute CEO wa kizungu from U S A...utaniambia....
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    19. BAK is offline
      BAK
      #19
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,848
      Rep Power : 45018
      Likes Received
      8691
      Likes Given
      8755

      Default Re: Kitilya wa TRA kupelekwa TANESCO ?

      Kutoka ripoti ya Mwakyembe

      Mheshimiwa Spika, kama nilivyodokeza awali, Kamati Teule ilishindwa kubaini moja kwa moja chanzo cha ujasiri wa kiburi ndani ya Wizara ya Nishati na Madini kiasi cha kupindisha maamuzi ya Baraza la Mawaziri bila wasiwasi wowote, kukaidi ushauri wa kitaalamu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma mara tatu mfululizo na kinyume na maagizo ya Baraza la Mawaziri yaliyotaka Sheria ya Ununuzi wa Umma izingatiwe, kukiuka sheria kwa makusudi kwa kuingilia mchakato wa zabuni wa taasisi nyingine ya ununuzi, kuvipuuza vyombo vya ndani vya maamuzi vya TANESCO (Bodi ya Wakurugenzi, Bodi ya Zabuni n.k), kuilazimisha Bodi ya Menejimenti ya TANESCO kuridhia maamuzi yaliyofanywa na Wizara ya kuibeba Richmond Development Company LLC kinyume cha sheria na taratibu, n.k. Aidha Kamati Teule ilishangazwa na Ofisi ya Waziri Mkuu iliyokuwa ikifuatilia kwa karibu mchakato huo, kushindwa kukemea ukaidi huo wa Wizara ya Nishati na Madini.
      Pasco likes this.
      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    20. #20
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,507
      Rep Power : 21688
      Likes Received
      13814
      Likes Given
      18061

      Default Re: Kitilya wa TRA kupelekwa TANESCO ?

      Quote By BAK View Post
      Hakuna chochote nilichoandika hapa ni cha kutoka redio mbao. Hizo ni info kutoka kwa close friends ndani ya TANESCO ambao wako kwenye position za juu. Waliofanya tathmini kama Richmond/Dowans wanastahili kupewa mkataba wa kufua umeme wakati ule nchi imegubikwa na giza nene na Wabongo wa kuzaliwa, CEO kaburu hakuwa na uwezo wowote wa kufanya tathmini ile kwa sababu alikuwa hajui chochote kuhusiana na ABC za ufuaji wa umeme.

      Wazungu makaburu walikuwa pale TANESCO lakini hawakuweza kukataa chochote kuhusu "siasa" na hivyo kusign mkataba wa kifisadi na kampuni ya wizi ya Mkapa "Kiwira" ya mkataba wa $326 millioni.

      kuendesha Tanesco sio lazima ujue taaluma ya umeme
      MENEJIMENTI peke yake ni TAALUMA..
      ndio maana Idrisa Rashid alikuwa better CEO kuliko Engineer Mhando

      na ndo maana ma CEO mfano wa TBL hawajui 'taaluma ya kutengeneza beer'
      lakini wanaweza..
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    Page 1 of 6 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...