Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hivi daktari ana thamani kuliko binadamu wengine???

    Report Post
    Page 5 of 5 FirstFirst ... 345
    Results 81 to 88 of 88
    1. #1
      Chilisosi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2008
      Posts : 1,808
      Rep Power : 0
      Likes Received
      386
      Likes Given
      498

      Default Hivi daktari ana thamani kuliko binadamu wengine??? POLISI NA JESHI WAKIGOMA ITAKUWAJE??

      Naomba mnijibu jamani, kwa nini hawa madaktari wantumia uhai wetu kuomba nyongeza ya mshahara
      Kwani wao ni bora kukliko hawa wafuatao
      POLISI
      WANAJESHI
      WALIMU Nk
      Daktari alipwe shs 10,000,000 halafu mwalimu aliyemfundisha alipwe laki nne??
      Halafu wanatumia kisingizio cha huduma bora kudai mihela.
      Hebu nisaidieni mawazo yenu
      Last edited by Chilisosi; 15th July 2012 at 20:04.
      Ogah, Ukwaju, Litvinienko and 2 others like this.


    2. #81
      Chilisosi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2008
      Posts : 1,808
      Rep Power : 0
      Likes Received
      386
      Likes Given
      498

      Default Re: Hivi daktari ana thamani kuliko binadamu wengine???

      Quote By Ritz View Post
      Madakatari wa Tanzania kwani kulikuwa hakuna njia ingine ya kuigomea serikali iwasikiliza madai yao kuliko kutumia mbinu za kigaidi watu wasiokuwa na hatia wapoteze maisha ili maslahi yao yatimizwe.

      Kisa wao ni watu wenye akili sana kuzidi wengine.
      Hapo mie ndio pananikera. hawa jamaa wanajiona wao ni kama Miungu fulani hivi, hawajui udaktari ni kazi kama nyingine kama polisi, mwanajeshi, wahasibu, walimu nk. si waondoke tuu wenzao watakuja kupiga kazi. malalamiko kuhusu wao kusoma masomo magumu hiyo siyo tija walichagua wenyewe, kwa nini wasisomee accounts masomo rahisi ili nao wawe na mihela. mbona kozi ya kusomea hali ya hewa ni ngumu sana na hawalalamiki, ma engineer? achitekchas, wategua ,mabomu????

    3. #82
      IzeGREAT's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th January 2009
      Location : ABROAD.
      Posts : 59
      Rep Power : 542
      Likes Received
      16
      Likes Given
      215

      Default Re: Hivi daktari ana thamani kuliko binadamu wengine???

      Quote By chilisosi View Post
      Hapo mie ndio pananikera. hawa jamaa wanajiona wao ni kama Miungu fulani hivi, hawajui udaktari ni kazi kama nyingine kama polisi, mwanajeshi, wahasibu, walimu nk. si waondoke tuu wenzao watakuja kupiga kazi. malalamiko kuhusu wao kusoma masomo magumu hiyo siyo tija walichagua wenyewe, kwa nini wasisomee accounts masomo rahisi ili nao wawe na mihela. mbona kozi ya kusomea hali ya hewa ni ngumu sana na hawalalamiki, ma engineer? achitekchas, wategua ,mabomu????
      ...Hivi unajua kuwa ''CHILISOSI inatoka kwenye CHILI NA SOSI'' vitu ambavyo ni ''HUWEKWA JUU YA CHIPS,NYAMA,etc'' ili kuongeza ladha wakati wa ''KUTAFUNA'',mi ningeomba watu wasipoteze muda kuongea na mtu ambaye ''ANATAFUNWA!!''

      Madaktari wamegoma,kwanini msiweke hizo substitutes za ''WAALIMU'' waliowafundisha Madaktari badala ya kuendelea kupiga makelele!!??

      Mnakubali kuwa Udaktari ni kazi kama kazi zingine,ila hamtaki kukubali kuwa na wao wana haki ya kuacha kazi mda na wakati wowote ule wanapoona maslahi hakuna kama ambavyo watu wa kazi zingine wanavyoweza kuacha kazi any time wakijiskia au kupata maslahi mazuri zaidi...!


    4. #83
      Gwangambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Location : Mabwepande
      Posts : 1,125
      Rep Power : 576
      Likes Received
      267
      Likes Given
      87

      Default Re: Hivi daktari ana thamani kuliko binadamu wengine???

      Quote By Pombekali View Post
      Hala hala kijiti na jicho! kubhalonda ubhubhibhi abhamanyisi!
      Ngabhatuka!
      Pombekali likes this.
      WATANZANIA KUMCHAGUA JK, TUMEPAKA WANJA WA PILIPILI.

    5. #84
      Kichuguu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th October 2006
      Location : Popote Porini
      Posts : 6,857
      Rep Power : 3280
      Likes Received
      1342
      Likes Given
      930

      Default Re: Hivi daktari ana thamani kuliko binadamu wengine??? POLISI NA JESHI WAKIGOMA ITAKUWAJE??

      Quote By chilisosi View Post
      Naomba mnijibu jamani, kwa nini hawa madaktari wantumia uhai wetu kuomba nyongeza ya mshahara
      Kwani wao ni bora kukliko hawa wafuatao
      POLISI
      WANAJESHI
      WALIMU Nk
      Daktari alipwe shs 10,000,000 halafu mwalimu aliyemfundisha alipwe laki nne??
      Halafu wanatumia kisingizio cha huduma bora kudai mihela.
      Hebu nisaidieni mawazo yenu
      Kuwa mkweli; Tanzania siyo nchi ya kijamaa tena, kwa hiyo kila kazi inalipwa kulingana na thamani yake. Iwapo unajua kuwa uhai wako unategema hao madakatari, basi walipe vizuri kwani kwa tamko hilo ni kukiri kuwa taaluma yao ni ya muhimu. Iwapo unaamni taaluma ya daktari siyo ya muhimu, na hivyo uhai wako hauhitaji taaluma yao basi usillamike wanapogoma. Hebu fikiria tena iwapo wabunge watagoma hata kwa mwaka mzima, je utaathirika vipi?
      Kichuguuu: Nyumba inayohifadhi mchwa na nguchiro kwa pamoja bila mkwaruzo

    6. #85
      kasimba123's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th April 2010
      Posts : 1,066
      Rep Power : 679
      Likes Received
      154
      Likes Given
      56

      Default

      Quote By Electron View Post
      Watatu watatu kwenye vitanda, wamelala mpaka chini, kuambukizana magonjwa nje nje. Sasa hapo kama wewe ni daktari na ofisi yako ndo hiyo day in day out, si unakuwa katika risk kubwa ya wewe mwenyewe kuambukizwa maradhi na kuyapeleka majumbani kwao? Au wao wana kinga fulani kutoka mbinguni hatuijui.........Ahhhhh gomeni tu hayo mazingira ya kazi siyo kabisa....

      Tusiwe mambumbumbu kwa hali hii (jumlisha na mziki wa shule yao ya miaka umri wa mtoto kuzaliwa hadi kufika darasa la pili), risk allowance haki yao, sindano za kinga haki yao, posho ya mazingira magumu haki yao, ongezeko la mshahara haki yao, tena hata hayo madai ya maboresho ya huduma ya afya wala msingepigia kelele, mngetuacha wavunja miwa wenyewe tupigike mpaka tutakapoona haja ya kuiwajibisha serikali dhaifu!!
      Halafu baadhi ya hawa hawa kinamama wakipewa kanga, ubwabwa na 5000 wanasahau shida zote hizi kweli maskini mpe pombe asahau shida kwa muda


    7. #86
      kasimba123's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th April 2010
      Posts : 1,066
      Rep Power : 679
      Likes Received
      154
      Likes Given
      56

      Default

      Quote By chilisosi View Post
      Yote nayakubali lakini kama kweli wana huruma basi wasiombe mshahara wa kutisha ili hizo hela zitumike kuboresha afya
      Na ikulu isitenge kila siku 1000000/= kwa chai kumbuka twaweza pata vitanda viwili hospitalini au madawati 3

    8. Tom is offline
      Tom
      #87
      Tom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2007
      Posts : 504
      Rep Power : 719
      Likes Received
      17
      Likes Given
      30

      Default Re: Hivi daktari ana thamani kuliko binadamu wengine??? POLISI NA JESHI WAKIGOMA ITAKUWAJE??

      Quote By chilisosi View Post
      Naomba mnijibu jamani, kwa nini hawa madaktari wantumia uhai wetu kuomba nyongeza ya mshahara
      Kwani wao ni bora kukliko hawa wafuatao
      POLISI
      WANAJESHI
      WALIMU Nk
      Daktari alipwe shs 10,000,000 halafu mwalimu aliyemfundisha alipwe laki nne??
      Halafu wanatumia kisingizio cha huduma bora kudai mihela.
      Hebu nisaidieni mawazo yenu
      Daktari si bora kuliko wengine, ila tatizo serikali ya CCM haikutoa hilo somo kwa madaktari mapema likaeleweka. Muda mrefu serikali ya CCM imekuwa party na wamekua mfano mbaya kwa Madaktari na raia wengine - labda tusubiri hang-over ya Serikali ya CCM iishe.

    9. Tom is offline
      Tom
      #88
      Tom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2007
      Posts : 504
      Rep Power : 719
      Likes Received
      17
      Likes Given
      30

      Default Re: Hivi daktari ana thamani kuliko binadamu wengine???

      Quote By kasimba123 View Post
      Halafu baadhi ya hawa hawa kinamama wakipewa kanga, ubwabwa na 5000 wanasahau shida zote hizi kweli maskini mpe pombe asahau shida kwa muda
      Hivyo tuwaponde mawe? Kama ni makosa ni ya mume na mke.

    Page 5 of 5 FirstFirst ... 345

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...