Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nape asema CHADEMA ni chama cha Kigaidi

    Report Post
    Page 1 of 6 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 118
    1. #1
      the horse's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th September 2011
      Posts : 177
      Rep Power : 422
      Likes Received
      39
      Likes Given
      47

      Default Nape asema CHADEMA ni chama cha Kigaidi

      Kwa kile kilichoonekana kuwa ni mfululizo wa matukio ya uvunjifu wa Amani kunakoandamana na umwagaji wa damu ambako siku zote Chadema wamekuwa wakiyafanya, Nape awashukia na kusema kuwa chama chao kina mlegwa wa kigaidi.
      matukio hayo ambayo yanazidi kshamiri siku hadi siku, yamekuwa yakifanywa na wafusi wa CHADEMA kwa amri ama maelekezo ya viongozi wao, kwa mfano; katika mkutano wa ndani wa viongozi wa chadema ambao ulipanga mkakati mpya wa kusabotage serikali iliofanyika nyumbani kwa Mbowe mikocheni pamoja na mambo mengine ulimuagiza Rwakatare kuelekea Iramba ili kuandaa kikosi kazi na kuendesha zoezi la kumchafua Mwigulu, Rwakatare alisafiri tarehe 11 kuelekea Singida kusimamia zoezi hilo ambalo tayari limeshasababisha maafa. Ambapo tayari wafuasi wa CCM na MWIGULU wameshapata madhira makubwa kwani Kijana mmoja wa CCM ameuawa na wengine ni majeruhi tangu kuanza kwa zoezi hilo chini ya Rwakatare.

      Ifuatayo ni VIDEO ya NAPE akioanisha matukio ya CHADEMA na UGAIDI.

      NNAUYE::CHAMA CHA KIGAIDI..................... - YouTube
      SMU and Sigma like this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      hoyce's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th October 2010
      Posts : 478
      Rep Power : 530
      Likes Received
      106
      Likes Given
      1

      Default re: Nape asema CHADEMA ni chama cha Kigaidi

      Gaidi ni Mwigulu aliyelipa vijana kuvuruga mikutano ya Chadema.
      mama D likes this.

    4. #3
      Nduka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2008
      Posts : 5,580
      Rep Power : 1634
      Likes Received
      381
      Likes Given
      553

      Default re: Nape asema CHADEMA ni chama cha Kigaidi

      Yaan mtu kama Rwakatare anatumika pande zote mbili.

    5. #4
      Tango73's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2008
      Posts : 1,039
      Rep Power : 739
      Likes Received
      290
      Likes Given
      2

      Default re: Nape asema CHADEMA ni chama cha Kigaidi

      Quote By the horse
      Kwa kile kilichoonekana kuwa ni mfululizo wa matukio ya uvunjifu wa Amani kunakoandamana na umwagaji wa damu ambako siku zote Chadema wamekuwa wakiyafanya, Nape awashukia na kusema kuwa chama chao kina mlegwa wa kigaidi.
      matukio hayo ambayo yanazidi kshamiri siku hadi siku, yamekuwa yakifanywa na wafusi wa CHADEMA kwa amri ama maelekezo ya viongozi wao, kwa mfano; katika mkutano wa ndani wa viongozi wa chadema ambao ulipanga mkakati mpya wa kusabotage serikali iliofanyika nyumbani kwa Mbowe mikocheni pamoja na mambo mengine ulimuagiza Rwakatare kuelekea Iramba ili kuandaa kikosi kazi na kuendesha zoezi la kumchafua Mwigulu, Rwakatare alisafiri tarehe 11 kuelekea Singida kusimamia zoezi hilo ambalo tayari limeshasababisha maafa. Ambapo tayari wafuasi wa CCM na MWIGULU wameshapata madhira makubwa kwani Kijana mmoja wa CCM ameuawa na wengine ni majeruhi tangu kuanza kwa zoezi hilo chini ya Rwakatare.

      Ifuatayo ni VIDEO ya NAPE akioanisha matukio ya CHADEMA na UGAIDI.

      NNAUYE::CHAMA CHA KIGAIDI..................... - YouTube
      CCM, tafadhali nakushauri kitu kimoja. watu kama nape,nchemba,na malima, hebu wapeleke pale new York kutembea wiki mbili tuu. nakuhakikishia watachenji kimawazo vibaya sana nakuthamini nini maana ya kucreate jobs kwa raia. yaani wao kwa sababu mababa zao walizeekea chamani, basi nao lazima wapate nafasi za uongozi ingawa kichwani mna sauti za kasuku! nakuhakikishiwa wakifika low manhatan pale wallstreet waone vijana lika lao wanajua kusimulia uchumi na kufanyia kazi uchumi wa marekani, watabadilika tuuu.

      watu wapo sehemu nyeti namna hiyo na hawajui nini maana ya madhara ya unemployment, kweli jamani tutafika? sijamsikia hata siku moja akizungumzia inflation, unemployment, low quality education na food stam kwa wajane! Je kama mtu hayazungumzii haya basic human needs, kweli huyu ni kiongozi wa kesho au mzigo wa leo? haya mambo ya mzigo wa leo ni kiongozi wa kesho CCM tafadhali jaribuni kuyamulika ili kujenga chama imara.

      hata hawa chadema, hawaoneshi kupigana kimaneno vita vya kujenga uchumi na CCM, je huu ni upinzani wa kuimarisha chama au nani ni bora kutujengea maisha bora? Chadema, tueleze una foreign policy gani nzuri za ku atract western europe investors? au na wewe bado una kasumba ya kuichukia marekani na Israel ukipata kiti cha agano?

    6. #5
      Josephine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2010
      Posts : 696
      Rep Power : 730
      Likes Received
      753
      Likes Given
      134

      Default

      Quote By the horse
      Kwa kile kilichoonekana kuwa ni mfululizo wa matukio ya uvunjifu wa Amani kunakoandamana na umwagaji wa damu ambako siku zote Chadema wamekuwa wakiyafanya, Nape awashukia na kusema kuwa chama chao kina mlegwa wa kigaidi.
      matukio hayo ambayo yanazidi kshamiri siku hadi siku, yamekuwa yakifanywa na wafusi wa CHADEMA kwa amri ama maelekezo ya viongozi wao, kwa mfano; katika mkutano wa ndani wa viongozi wa chadema ambao ulipanga mkakati mpya wa kusabotage serikali iliofanyika nyumbani kwa Mbowe mikocheni pamoja na mambo mengine ulimuagiza Rwakatare kuelekea Iramba ili kuandaa kikosi kazi na kuendesha zoezi la kumchafua Mwigulu, Rwakatare alisafiri tarehe 11 kuelekea Singida kusimamia zoezi hilo ambalo tayari limeshasababisha maafa. Ambapo tayari wafuasi wa CCM na MWIGULU wameshapata madhira makubwa kwani Kijana mmoja wa CCM ameuawa na wengine ni majeruhi tangu kuanza kwa zoezi hilo chini ya Rwakatare.

      Ifuatayo ni VIDEO ya NAPE akioanisha matukio ya CHADEMA na UGAIDI.

      NNAUYE::CHAMA CHA KIGAIDI..................... - YouTube
      Nape ,najua unaongea haya kwa makusudi,,nachofurahi unazungumza uwongo na taarifa hizo hazitakuwa na kibali popote.

      Mbona nilikuwa huko sikuyaona hayo zaidi ya kukutana na vijana ambao Mwigulu amewatumia pesa wafanye vurugu.
      tubadilike-sasa and CUTE like this.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Nduka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2008
      Posts : 5,580
      Rep Power : 1634
      Likes Received
      381
      Likes Given
      553

      Default

      Quote By Josephine
      Nape ,najua unaongea haya kwa makusudi,,nachofurahi unazungumza uwongo na taarifa hizo hazitakuwa na kibali popote.

      Mbona nilikuwa huko sikuyaona hayo zaidi ya kukutana na vijana ambao Mwigulu amewatumia pesa wafanye vurugu.
      Kwa hyo wewe na honey wako mkaona suluhisho la mtu anayepewa hela na Mwigulu ni kuuliwa kwa mawe?

    9. #7
      Nduka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2008
      Posts : 5,580
      Rep Power : 1634
      Likes Received
      381
      Likes Given
      553

      Default re: Nape asema CHADEMA ni chama cha Kigaidi

      Ironically adhabu ya kupigwa mawe hadi ufe anastahili mwanamke aliyeolewa akaenda kuzini nje ya ndoa.

    10. #8
      Lunyungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th August 2006
      Location : Malampaka
      Posts : 8,016
      Rep Power : 2561
      Likes Received
      784
      Likes Given
      28

      Default re: Nape asema CHADEMA ni chama cha Kigaidi

      Quote By Tango73
      CCM, tafadhali nakushauri kitu kimoja. watu kama nape,nchemba,na malima, hebu wapeleke pale new York kutembea wiki mbili tuu. nakuhakikishia watachenji kimawazo vibaya sana nakuthamini nini maana ya kucreate jobs kwa raia. yaani wao kwa sababu mababa zao walizeekea chamani, basi nao lazima wapate nafasi za uongozi ingawa kichwani mna sauti za kasuku! nakuhakikishiwa wakifika low manhatan pale wallstreet waone vijana lika lao wanajua kusimulia uchumi na kufanyia kazi uchumi wa marekani, watabadilika tuuu.

      watu wapo sehemu nyeti namna hiyo na hawajui nini maana ya madhara ya unemployment, kweli jamani tutafika? sijamsikia hata siku moja akizungumzia inflation, unemployment, low quality education na food stam kwa wajane! Je kama mtu hayazungumzii haya basic human needs, kweli huyu ni kiongozi wa kesho au mzigo wa leo? haya mambo ya mzigo wa leo ni kiongozi wa kesho CCM tafadhali jaribuni kuyamulika ili kujenga chama imara.

      hata hawa chadema, hawaoneshi kupigana kimaneno vita vya kujenga uchumi na CCM, je huu ni upinzani wa kuimarisha chama au nani ni bora kutujengea maisha bora? Chadema, tueleze una foreign policy gani nzuri za ku atract western europe investors? au na wewe bado una kasumba ya kuichukia marekani na Israel ukipata kiti cha agano?
      Tango youn started well umevuruga mwishoni .Tanzania ni tajiri kwanza Chadema wanataka madaraka na kusafisha uchafu na mengine yatafuata sasa wewe unataka haya muda huu ? Mengine yote muhimu zaidi yako mezani na yanasemwa .Kaka tulia ukianza kuandika
      Nasema : CCM tunadhani adui yetu ni Chadema hapana ni Watendaji wetu katika Serikali ya CCM tukawabane hao - Livingstone Kibajaji Lusinde 2013 25 April at 11:54am.

    11. #9
      Duble Chris's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2011
      Posts : 2,340
      Rep Power : 872
      Likes Received
      382
      Likes Given
      304

      Default re: Nape asema CHADEMA ni chama cha Kigaidi

      tumesamehe tu hajui maana ugaidi
      frustration is given by expectationdivide by
      outcome
      ie
      frustration = expectation/outcome


    12. #10
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,480
      Rep Power : 19785
      Likes Received
      4300
      Likes Given
      1248

      Default re: Nape asema CHADEMA ni chama cha Kigaidi

      Huo ni utoto haina haja ya kuujadili watanzania wote wanajua kabisa chama cha kigaidi ni kipi!

      Kweli nape bila haibu ana sema hayo na kusahau serikali ya ccm inavyo fanya kupitia janjaweed yao.

      Kweli nape una wachekesha watu sasa, tuna jua mtatumia kila njia kujisafisha lakini mtajisahau kuwa mnajisafishia oil chafu.

    13. #11
      Bubona's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st August 2011
      Posts : 280
      Rep Power : 446
      Likes Received
      53
      Likes Given
      11

      Default re: Nape asema CHADEMA ni chama cha Kigaidi

      CCM please come to your senses!!!
      Siasa za kufanya propaganda za kuua watu ni laana.
      Mungu atawahukumu 2015. Utawala wenu umefika kikomo!!

    14. #12
      mpogole's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 25th August 2008
      Posts : 103
      Rep Power : 568
      Likes Received
      13
      Likes Given
      2

      Default re: Nape asema CHADEMA ni chama cha Kigaidi

      Quote By bubona
      ccm please come to your senses!!!
      Siasa za kufanya propaganda za kuua watu ni laana.
      Mungu atawahukumu 2015. Utawala wenu umefika kikomo!!
      ccm mheishiwa wauaji ni nyie igunga ,arumeru, etc mlitaka kumuua kiwia na mbunge wetu wa ukerewe
      sasa mmemkosa ulimboka mwaongea porojo nape twakujua siasa na porojo zako labda ukawambia wasio na akili kama wewe .................
      Cdm 2015

    15. #13
      ASENGA WA PAKAYA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 13th July 2012
      Posts : 38
      Rep Power : 352
      Likes Received
      2
      Likes Given
      1

      Default re: Nape asema CHADEMA ni chama cha Kigaidi

      Nape asema CHADEMA ni chama cha Kigaidi.

      Kwa kile kilichoonekana kuwa ni mfululizo wa matukio ya uvunjifu wa Amani kunakoandamana na umwagaji wa damu ambako siku zote Chadema wamekuwa wakiyafanya, Nape awashukia na kusema kuwa chama chao kina mlegwa wa kigaidi.
      matukio hayo ambayo yanazidi kshamiri siku hadi siku, yamekuwa yakifanywa na wafusi wa CHADEMA kwa amri ama maelekezo ya viongozi wao, kwa mfano; katika mkutano wa ndani wa viongozi wa chadema ambao ulipanga mkakati mpya wa kusabotage serikali iliofanyika nyumbani kwa Mbowe mikocheni pamoja na mambo mengine ulimuagiza Rwakatare kuelekea Iramba ili kuandaa kikosi kazi na kuendesha zoezi la kumchafua Mwigulu, Rwakatare alisafiri tarehe 11 kuelekea Singida kusimamia zoezi hilo ambalo tayari limeshasababisha maafa. Ambapo tayari wafuasi wa CCM na MWIGULU wameshapata madhira makubwa kwani Kijana mmoja wa CCM ameuawa na wengine ni majeruhi tangu kuanza kwa zoezi hilo chini ya Rwakatare.

      Ifuatayo ni VIDEO ya NAPE akioanisha matukio ya CHADEMA na UGAIDI.

      NNAUYE::CHAMA CHA KIGAIDI..................... - YouTube

      muds rudisha ile post ya waraka wa chadema na maazimio yao YAWEZEKANA NI UKWELI MAANA ULIKUWA UNASEMA JUZI KUWA LWAKATARE ALIKUWA AKIENDA IRAMBA KUTEKELEZA UMAFIA.KIDUMU CCM

    16. #14
      ASENGA WA PAKAYA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 13th July 2012
      Posts : 38
      Rep Power : 352
      Likes Received
      2
      Likes Given
      1

      Default re: Nape asema CHADEMA ni chama cha Kigaidi

      Muds rudisha post ya waraka wa kamati kuu ya chadema uliovuja utakuwa ni waraka wa kweli kwa mauaji ya lwakatare iramba.kufa chadema

    17. #15
      ASENGA WA PAKAYA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 13th July 2012
      Posts : 38
      Rep Power : 352
      Likes Received
      2
      Likes Given
      1

      Default re: Nape asema CHADEMA ni chama cha Kigaidi

      Chadema imemeza ndoano

    18. #16
      Bubona's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st August 2011
      Posts : 280
      Rep Power : 446
      Likes Received
      53
      Likes Given
      11

      Default re: Nape asema CHADEMA ni chama cha Kigaidi

      Quote By mpogole
      ccm mheishiwa wauaji ni nyie igunga ,arumeru, etc mlitaka kumuua kiwia na mbunge wetu wa ukerewe
      sasa mmemkosa ulimboka mwaongea porojo nape twakujua siasa na porojo zako labda ukawambia wasio na akili kama wewe .................
      Cdm 2015
      Hujanitendea haki mkuu! Sijawahi kuwa CCM, wala sitarajii kuwa.
      Kwa nini umenihusisha na hawa wanafiki, wanaofanya siasa za ghiliba??!!

    19. #17
      ASENGA WA PAKAYA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 13th July 2012
      Posts : 38
      Rep Power : 352
      Likes Received
      2
      Likes Given
      1

      Default re: Nape asema CHADEMA ni chama cha Kigaidi

      Madaktar wanaitafuta ndoano kwenye mwili wa chadema haionekani lakini usaha unazidi kutunga tumboni,,,,,,,,,,,,,,,,nape endela na operesheni bandua plasta ukutani

    20. #18
      Nduka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2008
      Posts : 5,580
      Rep Power : 1634
      Likes Received
      381
      Likes Given
      553

      Default

      Quote By ASENGA WA PAKAYA
      Muds rudisha post ya waraka wa kamati kuu ya chadema uliovuja utakuwa ni waraka wa kweli kwa mauaji ya lwakatare iramba.kufa chadema
      Hata kwa bunduki wanazi hawarudishi ule waraka.

    21. #19
      hodogo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th March 2012
      Posts : 235
      Rep Power : 410
      Likes Received
      90
      Likes Given
      59

      Default re: Nape asema CHADEMA ni chama cha Kigaidi

      Quote By the horse
      Kwa kile kilichoonekana kuwa ni mfululizo wa matukio ya uvunjifu wa Amani kunakoandamana na umwagaji wa damu ambako siku zote Chadema wamekuwa wakiyafanya, Nape awashukia na kusema kuwa chama chao kina mlegwa wa kigaidi.
      matukio hayo ambayo yanazidi kshamiri siku hadi siku, yamekuwa yakifanywa na wafusi wa CHADEMA kwa amri ama maelekezo ya viongozi wao, kwa mfano; katika mkutano wa ndani wa viongozi wa chadema ambao ulipanga mkakati mpya wa kusabotage serikali iliofanyika nyumbani kwa Mbowe mikocheni pamoja na mambo mengine ulimuagiza Rwakatare kuelekea Iramba ili kuandaa kikosi kazi na kuendesha zoezi la kumchafua Mwigulu, Rwakatare alisafiri tarehe 11 kuelekea Singida kusimamia zoezi hilo ambalo tayari limeshasababisha maafa. Ambapo tayari wafuasi wa CCM na MWIGULU wameshapata madhira makubwa kwani Kijana mmoja wa CCM ameuawa na wengine ni majeruhi tangu kuanza kwa zoezi hilo chini ya Rwakatare.

      Ifuatayo ni VIDEO ya NAPE akioanisha matukio ya CHADEMA na UGAIDI.

      NNAUYE::CHAMA CHA KIGAIDI..................... - YouTube
      Ugaidi ni suala linaloitesa dunia, na linanamna ya kushughulikiwa na Dola ambayo inashikiliwa na chama Chako. Kama una data namna hiyo na unataka tuamini ni za kweli, kwa nini wahusika wasikamatwe na kfikishwa mbele ya vyombo vya sheria? Kushindwa kufanya haya kuna maana mbili kwa mtazamo wangu:
      1. Hizi ni propaganda za kisiasa hasa za wanasiasa waliofilisika kisiasa wanaoamini katika matusi na uongo kama nyenzo ya kuwavusha! Waliijaribu Arumeru Mashariki ikawashinda! Wanataka kuipeleka na Sumbawanga!
      2. Hizi ni jitihada mpya za kujaribu kuwarejesha wanachama walioamua kujivua magamba na kuvaa magwanda, kwa kukichafua chama walikokwenda kujiunga.
      Tuhuma hizi zinzotolewa ni nzito mno kusemwa kwenye majukwaa ya kisiasa. Kwa Serikali makini watuhumiwa katika jambo hili hivi sasa wangekuwa wanavunda!!
      Daudi Mchambuzi likes this.

    22. #20
      Bubona's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st August 2011
      Posts : 280
      Rep Power : 446
      Likes Received
      53
      Likes Given
      11

      Default re: Nape asema CHADEMA ni chama cha Kigaidi

      Quote By ASENGA WA PAKAYA
      Muds rudisha post ya waraka wa kamati kuu ya chadema uliovuja utakuwa ni waraka wa kweli kwa mauaji ya lwakatare iramba.kufa chadema
      Waraka mlioandaa baada ya kuandaa mikakati ya mauaji; waraka mlioandaa kuhalalisha mauaji!!. Haitawasaidia! Damu ya watu inayomwagika itawahukumu.
      Mungu mwenye haki anawajua wenye haki wake.
      CCM die now; let my people live.

    Page 1 of 6 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...