Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hali si swari mkutano wa CHADEMA kata ya Ndago (Singida); watu 2 wafariki

    Report Post
    Page 1 of 10 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 194
    1. #1
      MAMA POROJO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 4,858
      Rep Power : 1843
      Likes Received
      592
      Likes Given
      413

      Default Hali si swari mkutano wa CHADEMA kata ya Ndago (Singida); watu 2 wafariki

      mods niko ndago msifute ni kweli.

      wabunge wa chadema walifika saa
      8.30 mchana huu lakini fujo na kuendelea kati ya mashabiki wa ccm na chadema watu wawili nimeona wamekufa na wengine kujeruhiwa kwa mawe. hali si shwari nitaleta taarifa zaidi baadaye natumia simu
      KWENYE MKUTANO KUNA JOHN MNYIKA NA KITILA MKUMBO KIJANA ALIYEKUFA ANAITWA YOHANA MPINGA MIAKA 30 MKAZI WA KIJIJI CHA SONGAMBELE KATA YA NDAGO JIMBO LA IRAMBA MAGHARIBI LA MBUNGE MWIGULU NCHEMBA INADAIWA NI MFUASI WA CCM KAPIGWA KWA MAWE. WANA CDM TISA WAMEKAMATWA NA POLISI.

      NAAMBIWA YULE WA PILI ALIKUWA BADO KUFA KAKIMBIZWA HOSPT.

      CDM walipofika eneo la mkutano kabla ya utambulisho WAITARA akaanza kumtukana MWIGULU NCHEMBA kuwa ni malaya, fisadi na mwongo ndipo mtu mmoja wa ccm akasisimama kwa amani na kutaka wasitoe matusi bali waongee sera. ghafla mawe yakaanza kuporomoshwa na kutupwa ikawa vurugu hadi mauaji.


      UPDATES..

      Quote By Tumaini Makene
      Wakuu na Mods

      Njia ya muongoni fupi sana. Wabunge wa CHADEMA wasiokuwa na majina wamefika Ndago saa 8.30 mchana?????!!!!!!

      Wakuu, kuna Operesheni ndogo kwa Mkoa wa Singida yakiwa ni maandalizi ya operesheni kubwa kwa mikoa mitano, Singida, Iringa, Dodoma, Manyara na Morogoro, kama ilivyoazimiwa na Kamati Kuu mapema wiki hii.

      Kazi hiyo iko chini ya timu inayoongozwa na Kamanda Mwita Mwikabwe Waitara, yeye ndiye mratibu wa ziara hii fupi na leo ilianzia katika Wilaya ya Iramba, Jimbo la Iramba Magharibi, ambapo mikutano ya hadhara imefanyika katika maeneo ya Ndago na Kinampanda.

      Kulikuwa na taarifa tangu siku tatu zilizopita, timu ikiwa bado Dar es Salaam, kuwa kuna kikundi cha vijana wamekodiwa, wananunuliwa pombe, wakiandaliwa kufanya fujo ili mkutano huo usifanyike kisha ionekane CHADEMA wameshindwa kufanya mkutano kwa Mwigulu Nchemba. Bahati mbaya sana kitumbua chao kimeingia mchanga. Nafikiri hata huyu mleta maada ni sehemu ya hiyo propaganda.

      Sasa wakati mkutano umefunguliwa tu, Kamanda Mwita akawa-preempty kwa kuwaambia kuwa taarifa hizo tayari zinajulikana na polisi wawe makini. Haa! Jamaa waka-panic. Walikuwa mbele kabisa pale. Wakaanza kurusha maneno, wanapiga makelele, wanazunguka zunguka pale mbele ya hadhara. Mbele ya polisi. No action.

      Kelele za kundi lile, hazikuwa zikivumilika. Wananchi hawakukubali uvunjifu wa amani wa makusudi uliokuw aukifanywa mbele ya polisi. Yaani sinema ile ilikuwa Ilemela-type, kule ambako wabunge wa CHADEMA walivamiwa, kukatwa mapanga mbele ya polisi wenye silaha. Brothers, huwezi kuamini lile kundi likajitenga pembeni na kuanza kurusha mawe.

      Wananchi wengi waliokuwa pale mkutanoni kwa mamia, hawakukubali ufidhuli ule. Wakawafukuzilia mbali wale wahuni. Mkutano ukaendelea kwa amani kabisa, kisha tukaelekea mkutano wa pili Kinampanda, ambako John Mnyika, Mkurugenzi wa Habari na Uenezi na Mbunge wa Ubungo, amemaliza kupiga nondo kama alivyopiga Ndago.

      Wananchi wamemskiliza John kwa makini, sasa kazi zinanunuliwa. Nondo zinawagusa wananchi wa Iramba Mashariki, yakiwa ni maandalizi ya Opereseheni kubwa inayokuja mikoa hii muda si mrefu.
      Last edited by MAMA POROJO; 14th July 2012 at 20:13.
      dedam, Mafie PM, Gilo24 and 2 others like this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Brightman Jr's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2009
      Posts : 707
      Rep Power : 659
      Likes Received
      89
      Likes Given
      22

      Default re: Hali si swari mkutano wa CHADEMA kata ya Ndago (Singida); watu 2 wafariki

      Mbona husemi chanzo cha mauaji ni nini hasa?

    4. #3
      masopakyindi's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 3,742
      Rep Power : 4196
      Likes Received
      1006
      Likes Given
      416

      Default re: Hali si swari mkutano wa CHADEMA kata ya Ndago (Singida); watu 2 wafariki

      Tundu Lissu yu hai?
      "If you don't know where you are going, any road will get you there-nowhere”

    5. #4
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,286
      Rep Power : 12582
      Likes Received
      5820
      Likes Given
      768

      Default re: Hali si swari mkutano wa CHADEMA kata ya Ndago (Singida); watu 2 wafariki

      Masikini Tanzania sijui inaelekea wapi tunaingia kwenye siasa za kuuwana sisi kwa sisi...inasikitisha sana.

    6. #5
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,286
      Rep Power : 12582
      Likes Received
      5820
      Likes Given
      768

      Default

      Quote By MAMA POROJO
      mods niko ndago msifute ni kweli.

      wabunge wa chadema walifika saa
      8.30 mchana huu lakini fujo na kuendelea kati ya mashabiki wa ccm na chadema watu wawili nimeona wamekufa na wengine kujeruhiwa kwa mawe. hali si shwari nitaleta taarifa zaidi baadaye natumia simu
      Mkuu chanzo ni nini mpaka imefikia hivyo watu kupoteza maisha?

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Mzee wa Rula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Posts : 6,374
      Rep Power : 12711
      Likes Received
      2192
      Likes Given
      1820

      Default re: Hali si swari mkutano wa CHADEMA kata ya Ndago (Singida); watu 2 wafariki

      Duuuuh polisi walikuwa wapi mpaka watu wanauana!!!

    9. #7
      sarawati's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th December 2011
      Posts : 58
      Rep Power : 386
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default re: Hali si swari mkutano wa CHADEMA kata ya Ndago (Singida); watu 2 wafariki

      tuletee habari kamili...

    10. #8
      Mystery's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 8th March 2012
      Posts : 609
      Rep Power : 485
      Likes Received
      214
      Likes Given
      150

      Default re: Hali si swari mkutano wa CHADEMA kata ya Ndago (Singida); watu 2 wafariki

      Ngoja tusubirie kidogo from other sources, maana hii habari ya kuletwa na mama porojo, lazima uiwekee question mark nyingi tuu??????????

    11. #9
      Kasimba G's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 852
      Rep Power : 593
      Likes Received
      252
      Likes Given
      265

      Default re: Hali si swari mkutano wa CHADEMA kata ya Ndago (Singida); watu 2 wafariki

      Unajua ujuha wa sisi waswahili ndio huu, na CCM ndicho haswaa wanachotaka! Devide the fools and rule the moorons!
      Mafie PM and Emil Kalanga like this.

    12. #10
      dubu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2011
      Posts : 2,396
      Rep Power : 960
      Likes Received
      583
      Likes Given
      143

      Default re: Hali si swari mkutano wa CHADEMA kata ya Ndago (Singida); watu 2 wafariki

      tumia hiyo hiyo simu unayo tumia kutupa chanzo cha vurugu.

    13. #11
      Mumwi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th January 2011
      Posts : 555
      Rep Power : 535
      Likes Received
      98
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By sarawati
      tuletee habari kamili...
      Niko hapa maeneo ya uhasibu Singida mda kidogo uliopita nimeona gari la FFU likiwa na bendera nyekundu lielekea Ndago.

    14. #12
      LiverpoolFC's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2011
      Posts : 6,693
      Rep Power : 11281
      Likes Received
      1475
      Likes Given
      570

      Default re: Hali si swari mkutano wa CHADEMA kata ya Ndago (Singida); watu 2 wafariki

      Hii ni habari mbaya kwa Taifa letu!

      Polisi wako wapi mpaka haya yanajiri?

    15. #13
      Kapo Jr's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 374
      Rep Power : 495
      Likes Received
      37
      Likes Given
      0

      Default re: Hali si swari mkutano wa CHADEMA kata ya Ndago (Singida); watu 2 wafariki

      Kama uzushi ivi au kifo cha ccm

    16. #14
      Kasimba G's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 852
      Rep Power : 593
      Likes Received
      252
      Likes Given
      265

      Default re: Hali si swari mkutano wa CHADEMA kata ya Ndago (Singida); watu 2 wafariki

      Kama ni kweli, hivi mkutano ulikuwa wa chama gani? Harafu what really transpired? Yaani mkutano ilikuwa ya vyama viwili

    17. #15
      thatha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 5,030
      Rep Power : 0
      Likes Received
      227
      Likes Given
      1

      Default re: Hali si swari mkutano wa CHADEMA kata ya Ndago (Singida); watu 2 wafariki

      Tunaomba taarifa zaidi sisi tulioko nje ya nchi tujue kinachoendelea,walikuwa ni wabumge gani hao.,hilo mbona ni jimbo la mwigulu wao walifuata nini huko.
      moshingi likes this.

    18. #16
      Doreen22's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Posts : 478
      Rep Power : 604
      Likes Received
      69
      Likes Given
      7

      Default re: Hali si swari mkutano wa CHADEMA kata ya Ndago (Singida); watu 2 wafariki

      Kwahiyo hao watu wa CCM wamelipwa kwenda kufanya fujo kwenye mkutano wa Chadema?!, mbona wanawafuatafuata na kuwachokonoa sana Chadema!
      matumbo likes this.

    19. #17
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,335
      Rep Power : 36533
      Likes Received
      7480
      Likes Given
      4604

      Default re: Hali si swari mkutano wa CHADEMA kata ya Ndago (Singida); watu 2 wafariki

      Tunaomba taarifa zaidi sisi tulioko nje ya nchi tujue kinachoendelea,walikuwa ni wabumge gani hao.,hilo mbona ni jimbo la mwigulu wao walifuata nini huko.
      Aliuziwa????....na likiwa jimbo lake hawaruhusiwi wasio ccm kufika huko?
      Life without problems never make a strong and good person!

    20. #18
      thatha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 5,030
      Rep Power : 0
      Likes Received
      227
      Likes Given
      1

      Default re: Hali si swari mkutano wa CHADEMA kata ya Ndago (Singida); watu 2 wafariki

      Watu wa singida huwa wapole na wastaarabu sana ukiona wanafikia hatua ya kumchapa mtu ujue wamechokozwa.mama porojo tupe taarifa kamili

    21. #19
      FUNGO jr's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2011
      Posts : 252
      Rep Power : 432
      Likes Received
      22
      Likes Given
      1

      Default re: Hali si swari mkutano wa CHADEMA kata ya Ndago (Singida); watu 2 wafariki

      huu thio udhushi kweli huu!

    22. #20
      Wimana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Posts : 1,046
      Rep Power : 557
      Likes Received
      281
      Likes Given
      180

      Default

      Quote By Negembo
      Mbona husemi chanzo cha mauaji ni nini hasa?
      Si amesema yuko huko, unataka source gani?
      Kama ni kweli ni jambo la kusikitisha sana, kinachonishangaza, hao CCM wameingiaje kwenye Mkutano wa Chadema? Hata wewe Mama Porojo umejiingizaje kwenye Mkutano wa Chadema wakati unajulikana msimamo wako uko chama gani?

    Page 1 of 10 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...