Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hali si swari mkutano wa CHADEMA kata ya Ndago (Singida); watu 2 wafariki

    Report Post
    Page 10 of 10 FirstFirst ... 8910
    Results 181 to 194 of 194
    1. #1
      MAMA POROJO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 4,858
      Rep Power : 1843
      Likes Received
      592
      Likes Given
      413

      Default Hali si swari mkutano wa CHADEMA kata ya Ndago (Singida); watu 2 wafariki

      mods niko ndago msifute ni kweli.

      wabunge wa chadema walifika saa
      8.30 mchana huu lakini fujo na kuendelea kati ya mashabiki wa ccm na chadema watu wawili nimeona wamekufa na wengine kujeruhiwa kwa mawe. hali si shwari nitaleta taarifa zaidi baadaye natumia simu
      KWENYE MKUTANO KUNA JOHN MNYIKA NA KITILA MKUMBO KIJANA ALIYEKUFA ANAITWA YOHANA MPINGA MIAKA 30 MKAZI WA KIJIJI CHA SONGAMBELE KATA YA NDAGO JIMBO LA IRAMBA MAGHARIBI LA MBUNGE MWIGULU NCHEMBA INADAIWA NI MFUASI WA CCM KAPIGWA KWA MAWE. WANA CDM TISA WAMEKAMATWA NA POLISI.

      NAAMBIWA YULE WA PILI ALIKUWA BADO KUFA KAKIMBIZWA HOSPT.

      CDM walipofika eneo la mkutano kabla ya utambulisho WAITARA akaanza kumtukana MWIGULU NCHEMBA kuwa ni malaya, fisadi na mwongo ndipo mtu mmoja wa ccm akasisimama kwa amani na kutaka wasitoe matusi bali waongee sera. ghafla mawe yakaanza kuporomoshwa na kutupwa ikawa vurugu hadi mauaji.


      UPDATES..

      Quote By Tumaini Makene
      Wakuu na Mods

      Njia ya muongoni fupi sana. Wabunge wa CHADEMA wasiokuwa na majina wamefika Ndago saa 8.30 mchana?????!!!!!!

      Wakuu, kuna Operesheni ndogo kwa Mkoa wa Singida yakiwa ni maandalizi ya operesheni kubwa kwa mikoa mitano, Singida, Iringa, Dodoma, Manyara na Morogoro, kama ilivyoazimiwa na Kamati Kuu mapema wiki hii.

      Kazi hiyo iko chini ya timu inayoongozwa na Kamanda Mwita Mwikabwe Waitara, yeye ndiye mratibu wa ziara hii fupi na leo ilianzia katika Wilaya ya Iramba, Jimbo la Iramba Magharibi, ambapo mikutano ya hadhara imefanyika katika maeneo ya Ndago na Kinampanda.

      Kulikuwa na taarifa tangu siku tatu zilizopita, timu ikiwa bado Dar es Salaam, kuwa kuna kikundi cha vijana wamekodiwa, wananunuliwa pombe, wakiandaliwa kufanya fujo ili mkutano huo usifanyike kisha ionekane CHADEMA wameshindwa kufanya mkutano kwa Mwigulu Nchemba. Bahati mbaya sana kitumbua chao kimeingia mchanga. Nafikiri hata huyu mleta maada ni sehemu ya hiyo propaganda.

      Sasa wakati mkutano umefunguliwa tu, Kamanda Mwita akawa-preempty kwa kuwaambia kuwa taarifa hizo tayari zinajulikana na polisi wawe makini. Haa! Jamaa waka-panic. Walikuwa mbele kabisa pale. Wakaanza kurusha maneno, wanapiga makelele, wanazunguka zunguka pale mbele ya hadhara. Mbele ya polisi. No action.

      Kelele za kundi lile, hazikuwa zikivumilika. Wananchi hawakukubali uvunjifu wa amani wa makusudi uliokuw aukifanywa mbele ya polisi. Yaani sinema ile ilikuwa Ilemela-type, kule ambako wabunge wa CHADEMA walivamiwa, kukatwa mapanga mbele ya polisi wenye silaha. Brothers, huwezi kuamini lile kundi likajitenga pembeni na kuanza kurusha mawe.

      Wananchi wengi waliokuwa pale mkutanoni kwa mamia, hawakukubali ufidhuli ule. Wakawafukuzilia mbali wale wahuni. Mkutano ukaendelea kwa amani kabisa, kisha tukaelekea mkutano wa pili Kinampanda, ambako John Mnyika, Mkurugenzi wa Habari na Uenezi na Mbunge wa Ubungo, amemaliza kupiga nondo kama alivyopiga Ndago.

      Wananchi wamemskiliza John kwa makini, sasa kazi zinanunuliwa. Nondo zinawagusa wananchi wa Iramba Mashariki, yakiwa ni maandalizi ya Opereseheni kubwa inayokuja mikoa hii muda si mrefu.
      Last edited by MAMA POROJO; 14th July 2012 at 20:13.
      dedam, Mafie PM, Gilo24 and 2 others like this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #181
      BONGOLALA's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 14th September 2009
      Posts : 4,851
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1004
      Likes Given
      128

      Default

      Quote By Ritz
      Zipi mkuu za kupopoana mawe mpaka mauti inakukuta.
      na bado kudadeki,ccm siku hizi mmekua wahuni,wezi na kununuliwa bei chee na akina mwigulu

    4. #182
      Crashwise's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Location : Safarini
      Posts : 13,122
      Rep Power : 14288
      Likes Received
      4013
      Likes Given
      3271

      Default

      Quote By Ritz
      Mkuu aliyeuwawa ni mfuasi wa CCM kapigwa mawe mpaka kufa na wafuasi wa Chadema.
      usikute alipewa 10000, wabunge wachadema walikatwa mapanga na wafuasi wa ccm mkachekelea, mwenyekiti wa cdm usa river aliuwawa kikatili na ccm mkapotezea, aliekuwa wakala wa chadema aliuwawa na kikosi cha ccm sikuona juhudi unazozionyesha leo kulaani kitendo hicho..mimi na sema safi sana ili viongozi waanze kutenda haki..huwezi kuponda mkutano wetu mbele ya polisi halafu tukakuchekea.

    5. #183
      Nduka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2008
      Posts : 5,580
      Rep Power : 1634
      Likes Received
      381
      Likes Given
      553

      Default

      Quote By Crashwise
      .mimi na sema safi sana ili viongozi waanze kutenda haki..huwezi kuponda mkutano wetu mbele ya polisi halafu tukakuchekea.
      Hongera sana CDM.

    6. #184
      timbilimu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2010
      Location : DSM
      Posts : 2,670
      Rep Power : 976
      Likes Received
      581
      Likes Given
      10

      Default

      Quote By Ritz
      TBC wameleta hii habari muda huu muandishi alikuwa anaripoti kutoka Singida anasema wafuasi wa Chadema wamemkimbiza mfuasi wa CCM mpaka nyumbani kwake wakamkamata kisha wakaanza kumshambuli kwa kupiga mawe ya kichwa mpaka huyo mfuasi wa CCM hakakata roho na kufa papo hapo wafuasi wa Chadema wakaondoka zao huku wakishangilia..

      Inasikitisha sana sijui tunakwenda wapi Watanzania.
      Kufika 2015 Mwigulu atamwaga damu za wananchi wengi. Huyu jamaa ana gundu,inaonyesha kuna laana fulani ndani ya ukoo wake. Alianza mwaga damu Igunga,ikafuata Arumeru, leo ktk jimbo lake.

    7. #185
      MARCKO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th June 2011
      Posts : 1,413
      Rep Power : 684
      Likes Received
      153
      Likes Given
      0

      Default Re: Hali si swari mkutano wa CHADEMA kata ya Ndago (Singida); watu 2 wafariki

      Eti mawe ya mbavu hadi kufa kisa naitetea ccm dhalimu 'kaa la moto mkononi' . Binadamu bhana?! Akrrr wanaudhi.

    8. Miaka 50

    9. #186
      Nduka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2008
      Posts : 5,580
      Rep Power : 1634
      Likes Received
      381
      Likes Given
      553

      Default

      Quote By timbilimu
      Kufika 2015 Mwigulu atamwaga damu za wananchi wengi. Huyu jamaa ana gundu,inaonyesha kuna laana fulani ndani ya ukoo wake. Alianza mwaga damu Igunga,ikafuata Arumeru, leo ktk jimbo lake.
      Mwigulu Kiboko karusha jiwe kutoka Sumbawanga hadi Singida kuuwa mwana CCM.

    10. #187
      popobawa2012's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th July 2012
      Posts : 86
      Rep Power : 363
      Likes Received
      4
      Likes Given
      16

      Default Re: Hali si swari mkutano wa CHADEMA kata ya Ndago (Singida); watu 2 wafariki

      Quote By Burn Karudi
      Hongera Chama cha Demokrasia na Maendeleo, wanairamba wamejua maana ya rangi nyekundu kwenye bendera yetu. Peopleees Killer!!
      we njaa tu ndo itakuua!

    11. #188
      democratic's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st November 2011
      Posts : 1,602
      Rep Power : 819
      Likes Received
      278
      Likes Given
      52

      Default Re: Hali si swari mkutano wa CHADEMA kata ya Ndago (Singida); watu 2 wafariki

      kila nafsi itaonja mauti,hakuna cha ajabu hapo.........viva m4c
      Kama damu inakusisimka unapoona haki ya mtu ikipokwa na uko tayari kuitetea kwa gharama yeyote, basi hakika wewe ni Comrade wangu-Che Guevara.


    12. #189
      KirilOriginal's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th February 2012
      Posts : 655
      Rep Power : 586
      Likes Received
      183
      Likes Given
      99

      Default Re: Hali si swari mkutano wa CHADEMA kata ya Ndago (Singida); watu 2 wafariki

      Tanzania yetu hata kama unang'olewa nyeti ukipiga kelele unaambiwa mvunjifu wa amani. Ni utulie kimya wakubwa wakufanye wanachotaka, Viva CDM

    13. #190
      paul vicent's Avatar
      Member Array
      Join Date : 13th July 2012
      Posts : 31
      Rep Power : 351
      Likes Received
      3
      Likes Given
      5

      Default

      Quote By popobawa2012
      CCM someni alama za nyakati!
      kuna haja serikali ikachukuliwa hatua za kisheria kwa undeshaji mbaya wa sheria za nchi. Katika mahakama ya icc
      popobawa2012 likes this.

    14. #191
      paul vicent's Avatar
      Member Array
      Join Date : 13th July 2012
      Posts : 31
      Rep Power : 351
      Likes Received
      3
      Likes Given
      5

      Default Re: Hali si swari mkutano wa CHADEMA kata ya Ndago (Singida); watu 2 wafariki

      hii nchi tunaenda wapi ikiwa jeshi lililopewa dhamana kulinda raia na mali zao linashudia watu wanatenda vitendo vya uvunjifu wa amani alafu wanacheka .kisa ni akina flani.tafikia kila mtu ataamu kufanya ajuavyo bila kufuata sheria .hapo nchi tutakua tumeiweka lehani.

    15. #192
      paul vicent's Avatar
      Member Array
      Join Date : 13th July 2012
      Posts : 31
      Rep Power : 351
      Likes Received
      3
      Likes Given
      5

      Default

      Quote By timbilimu
      Kufika 2015 Mwigulu atamwaga damu za wananchi wengi. Huyu jamaa ana gundu,inaonyesha kuna laana fulani ndani ya ukoo wake. Alianza mwaga damu Igunga,ikafuata Arumeru, leo ktk jimbo lake.
      hafai kuwa mbunge wala kiongozi wa namna yoyote.hata uongeaji wake bungeni ni wa hovyohovyo tu.

    16. #193
      ndyoko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 4,505
      Rep Power : 1706
      Likes Received
      1199
      Likes Given
      1916

      Default Re: Hali si swari mkutano wa CHADEMA kata ya Ndago (Singida); watu 2 wafariki

      Quote By Hydrobenga Jr
      Tuanze kumwaga ya mama yako ..kisha tufuate ya baba yako..tuendelee hivyo mpaka tuwamalize ukoo wenu mzima kisha
      Tuhahamie kwengine...unauonaje huu mpango ?

      Haina kwere aisee as long as the true freedom utapatikana! Unaifahamu novel inayoitwa 'A grain of wheat'? hebu isome kidogo
      “If you can not get what you love, then love what you have”

    17. #194
      Tume ya Katiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Chumbuni-Zanzibar
      Posts : 2,679
      Rep Power : 0
      Likes Received
      538
      Likes Given
      273

      Default Re: Hali si swari mkutano wa CHADEMA kata ya Ndago (Singida); watu 2 wafariki

      Quote By simplemind
      wewe uhuni CCM imewafanyia watanzania zaidi ya nusu karne hujauona?
      Ndo mmeamua kuulipizia

    Page 10 of 10 FirstFirst ... 8910

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...